RECAP: ALIKIBA, DIAMOND, HARMONIZE COLLABO INAKUJA?? MAPUNGUFU POA YA NANDY NA MAUA SAMA, UPENDO TU

  Рет қаралды 3,767

Bongo5

Bongo5

13 күн бұрын

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Пікірлер: 19
@christiancuma6146
@christiancuma6146 11 күн бұрын
Bro. Mbona hauja fanya Recap juu ya studio na vipindi za Crown media? Love from Congo
@ISSASHABANI-sw7lx
@ISSASHABANI-sw7lx 11 күн бұрын
Kwa nini asiemde yeye kwanza kimataifa mbwa huyu kwani yeye hafai kwenda huko kimataifa
@WendoJuma
@WendoJuma 11 күн бұрын
Kweli kabisa..jamaa mnafki sana
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 11 күн бұрын
Mi nishamsona hivi ushawai kuona anatoa mapungufu wimbo hata wa msanii mmoja wa wcb ? Hata aimbe hovyo
@furahachuma9039
@furahachuma9039 11 күн бұрын
Huku kila siku nilikutoa nilikutoa nilikutoa nilikutoa Haaaaaa
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 11 күн бұрын
Mapungufu yanakuaga kwenye nyimbo ambazo sio za WCB tu hahaha yan hata huna aibu et upendo wakati roho inakuima
@furahachuma9039
@furahachuma9039 11 күн бұрын
Huyu huwa ni chawa kindakindaki wa WCB
@SharafiPanjoro-mg9uw
@SharafiPanjoro-mg9uw 10 күн бұрын
umeona eeeh huyu jamaaaa mapungufu Anaona nyimbo nje na wcb tu huyu jamaaa sijui yukoje
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 11 күн бұрын
Wabongo atupendani
@IssaIssa-wc6nm
@IssaIssa-wc6nm 11 күн бұрын
Kulilia kolabo zakimkakati tu ... Kusapoti wasanii waendembele aaaah utaki
@user-gz4qb9wz3d
@user-gz4qb9wz3d 10 күн бұрын
Nadhani unaota ndoto ya mchana sana ww hakuna kolabo apo
@mrsinia3064
@mrsinia3064 8 күн бұрын
Wasanii wetu kufanya collabo inawezekana ila shida huwa inakuja pale je, nani atakuwa mstari wa mbele kumfata mwenzie kuomba collabo? Tatzo liko hapo bwana Armando 🙄
@ankalmzito254
@ankalmzito254 11 күн бұрын
Hapo kwenye Alikiba na Diamond daaaahh hatari....
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 11 күн бұрын
Asante sana mchambuzi wetu umeongea vzr sana kweli wasanii wetu wawe wamoja
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 11 күн бұрын
Kwaza yeye mwenyewe hana upendo na wasanii hivi nikuulize umesshawai kuona anatoa mapungufu wimbo wa hata uwe wa kucoppy ila ni kutoka wcb?manguf ni kaz ni kwenyekaz Za wasanii ambao sio anaowapenda tu je yupo fea? Huyo mtu ni chawa tu hana lolote anakatisha tamaa wasanii
@OnlyRuky
@OnlyRuky 11 күн бұрын
Nani kakudanganya King na Dainamoo ni jambo la kibiashara?
@dicksontimotheo7617
@dicksontimotheo7617 11 күн бұрын
Acha ujinga fanya recap ya vipindi crownfm mana ww ulisemaga kiba hana uwezo wa kusimamia media....ebu tufanyie recap tuone
@furahachuma9039
@furahachuma9039 11 күн бұрын
Hawezi, ni wivu tu unamsumbua huyu mtangazaji.
@dicksontimotheo7617
@dicksontimotheo7617 10 күн бұрын
@@furahachuma9039 alikiba kawasprize sana hawaamini wanachokiona asaivi naona watangazaji wengi wanatamani kwenda crown mana naskia wasafi pale wananyanyaswa sana na familia ya boss hawana uhuru
Maua Sama feat Nandy - Poa (Visualiser)
2:51
Maua Sama
Рет қаралды 488 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 100 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
Alikiba Live performance AFROFEST 2024 at Canada
35:37
Alikiba
Рет қаралды 26 М.
Maua sama ft Nandy - Poa (lyrics)
2:49
Swahili lyrics
Рет қаралды 910
Harmonize Amsifia Diamond"Chris Brown Kucheza Nyimbo yake ya KOMASAVA
0:59
Smart thief😳 لص ذكي…
0:19
MARYA & AMINE
Рет қаралды 5 МЛН
Help your little TV win Tic Tac Toe  #skibiditoilet #tvman
0:28
Zuka TV
Рет қаралды 11 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
MrBeast
Рет қаралды 129 МЛН