HARMONIZE Afunguka kuhusu Utajiri wake | Uadui kati yake na Wasanii wengine | Kutega Pesa za Kampeni
Пікірлер: 72
@user-fi8of5bz3s24 күн бұрын
Oya bro I'm waiting for you in south africa....siamini kuja SA i look up to you
@ambrose-exclusive-hunterst35324 күн бұрын
Nakkbar Sanaa kaka harmonize my blood love you so much unajituma sana pia nimekskiliza sana 💕💕
@Omari-wl3wo24 күн бұрын
Noma sana konde ❤ Like apa please ❤
@sadikiballack163124 күн бұрын
Harmonize uko mkubwa tu ❤❤
@izevisuals954022 күн бұрын
One of the best interview!!! big up konde
@mrsinia306423 күн бұрын
Jeshi umekua sasa god bless you more
@dkensmopainvevo368322 күн бұрын
Konde boy jamaa ana jua saana afu ana tu inspire kinoma🇰🇪🎤🙏🏽
@Akili82016 күн бұрын
Bro na kukubali sana 🇨🇩 🇨🇩☝️
@EnockLubengo-uu3zi22 күн бұрын
harmonize God bless you am proud of you 👏
@GAVANAGAVANAOG24 күн бұрын
Mmetisha
@user-zz1xm4lr9b17 күн бұрын
Mzee wa kazii big up brooh
@ElishaMangi24 күн бұрын
Jeshi ametisha sna
@djkrafa16 күн бұрын
Djkrafa fun wa konde gang fit❤
@Jordan-ov4yc24 күн бұрын
Fact
@Asheri-k5k24 күн бұрын
Tz wasanii wengi ni machawa wa serikali
@WaziriRamadhan-ML24 күн бұрын
Sanaaaa!!Na ndiyo kinachowapa hela ss hv mpaka wanajeuli ya kufungua makampuni yao mbali mbali wamejua kujipendekeza kwa mama yao samia na ndiyo hapo wanajikuta wakimsifia sn samia hata akiaribu wao wanasema kafanya vzur,
@MeenaHassan-fd9vv24 күн бұрын
Yaan we ni mpumbavu kweli umeshasema serikali, serikali ndiyo mpango mzima mbuzi wewe tena mbuzi jike
Nikushauri tu tafuta kaz ufanye hii nguvu unatumia kufatilia maisha ya watu mitandaoni ingekusaidia kutafutia family yko ugali maragwe😂😅
@Aleckieofficial25423 күн бұрын
Wote izipokuwa Ney wa Mitego
@Kobe_25416 күн бұрын
Harmonize aliamua baada ya vijitembe vya misuri ni kuingi mkorogo na kuwa mzungu--- hii safari ya usanii noma sana!!
@sandramutabazi866624 күн бұрын
❤❤
@ChristopherChristopher-ro5lx24 күн бұрын
Kaka mbeya boy chuma hapa nakukukubal sana hsolin Zak
@ayoubsalehayoub99924 күн бұрын
❤❤❤❤
@ramad308624 күн бұрын
Konde leo umeongea kikubwa nakubali 🐘🐘🐘
@ambrose-exclusive-hunterst35324 күн бұрын
Konde boy ❤❤❤
@OSMAIZOfriendngoloEsambo19 күн бұрын
Ft Rich mavoko
@Abu-Hamza25422 күн бұрын
Huyu Harmonize amenenepa sana
@MakameSaid-w5h22 күн бұрын
Broo nakukubal sana tulia utupe mzk mzur ww sasa hv staa
@kelvinmwenda101323 күн бұрын
Ni Tusi kubwa sana... Ni neno la Nchi za Caribbean.
@OmmySumuyao-vn2ju24 күн бұрын
Jama
@user-tg2fw7wz3d23 күн бұрын
Tupo pamoja kaka tunacheza
@demolenebooysen208522 күн бұрын
Uzushi tu ... uchawa umezidi kuliko muziki
@JosephAntony-ec7vs24 күн бұрын
Huyu jamaaa mimi huwa ananikata san anavyo msifia mamaake samia mdawooooote yan unaweza seme huyo mamaake ni MUNGU umsifiage bhac na mamaako mzazi mz we nn samia samia samia ndyo rakin tunakalibia kujuta sasa huyo mama kafanya nn vitu vyote ni magufur kaviacha huyo mama nikutufilis2 anatufilis bandal kauza ushoga kauweka kipaumbele bado mnamsifia we nn ww ila harmonize
@roxietz562120 күн бұрын
Pindi bandari haijauzwa ulikuwa unaingiza sh ngapi na Sasa umepungukiwa nini nyie ndo mnashirikishwaga maandamano bila kujua yanahusu nini
@jeremiahcharles602720 күн бұрын
Mtu mwenyewe kashindwa kuwasimamia wasanii wake ,alafu anasema ako na pesa ,,,labda akama anapesa zinazomtosha yeye na za kuhonga😁😁😁😁😁😁
@tigejuma986524 күн бұрын
Bomboclp....means vizur xna 😅
@abbassalum682417 күн бұрын
Apo umefeli mdg wangu
@JosephDickson-s4m23 күн бұрын
We ilo tusii
@Theman-dn8vo24 күн бұрын
Wote hawajui maana ya hilo neno bhana
@JamesMoses-jd1yq18 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@JamesMoses-jd1yq18 күн бұрын
Yaani lijamaa linamsifia mama wa mwanaume mwenzio badala ya mamaye
@user-gf7qz3gp9e23 күн бұрын
Kwakonde nitabeti atakama nitaliwa milele jamaa mpambanaji sanaa k pomoja
@bazengadaddie92524 күн бұрын
Mwanasiasa huyu
@user-fh5xt9pr3v24 күн бұрын
Chitoholi atukosei buana
@shamimumkindi699124 күн бұрын
LITOTO LISILOJALI TUNASTRUGLE VP MTAANI AMEKUWA CHAWA WA CHAMA MAZIMA, BRO! NIKUJUZE TU NIMEKUHAMA VIZURI TU.
@YasinMalua24 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣 wew shabik mwenzang asa kuhama kwako kunamsaudia nn 🏃🦴
@EmmanuelMurula24 күн бұрын
😂😂😂😂😂 huyu ni chawa tu kama chawa wengine
@EmmanuelMurula24 күн бұрын
Hii comment imenifanya niirudie niisome Kisha nicheke tu😂😂😂 HARMONIZE ni mbwa hana lolote
@RudigaAdiil20 күн бұрын
Mbona kipini
@luckybarbershop234223 күн бұрын
Kistuli comasava
@richkaja331724 күн бұрын
Konde pita jia zako
@jamesngaita483624 күн бұрын
Wanatumika kutajirisha watu wengine, akili inatakiwa itumike ili na wao wafanikiwe
@mikidadymohammedy760322 күн бұрын
Kwa hiyo ndugu yetu biashara umeona kamali tu hamna biashara nyingine yakufanya kiukwel ni mtihani na hii yote inasababishwa na kupenda dunia kuliko akhera
@JumaMohammed-ch1sm21 күн бұрын
Ukiwa na hela huwazagi ni kuamua tu
@mckipenziofficial216822 күн бұрын
Mlisema siku gani ndo mtaweka mchongo wa Harmonize pale Dar katikati ndo heshima yake iwe duniani kote
@sudaisishamarash429324 күн бұрын
Uke wa mwana mke ndio bombcrat kwa kijamaica
@samwelnevele779615 күн бұрын
Pamoja nautajiri ulionao kwaniniutoboe pua na masikio hiyo siyo dalili njema dhambi inakufuata na jehamu haikuachi salama
@venasmlega67278 күн бұрын
😂 fungus kanisa kaka
@hashimuuhehwa132023 күн бұрын
Huyo bila Uchawi wa ccm hawea mpumbavu tu stupid kabisa Samia toka aanze Uchawa amemtaja mara nyingi kushinda mama yake Gen Z tutanyooka nae time ikifika
@PhillyAmbilikile23 күн бұрын
Kuaminika tu
@eugeneseko403121 күн бұрын
bum-bum-clothe...not a vibe at all.
@saidilome-ue2df24 күн бұрын
Bila Adam mchovu hawa majournalist woote ni nothing.
@mrsinia306423 күн бұрын
😂😂😂
@aliadremanengolilo637824 күн бұрын
Harmonize umekuwa unaongea puent.
@samwelnevele779615 күн бұрын
Yaaani huhamasishi vijana kufanya kazi ila unahamasisha kamali kijana mzima siyo poa