No video

RECAP: KOMASA NAMBA 1 DUNIANI?? CHRIS BROWN KUCHEZA ITASHINDA GARMMY?? KWANINI HAINA NAMBA SPOTIFY??

  Рет қаралды 11,307

Bongo5

Bongo5

Ай бұрын

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Пікірлер: 124
@King_186
@King_186 Ай бұрын
Kiukweli Diamond umejua kutuheshimisha Watanzania,,,huu ni wimbo wa dunia kwa sasa ❤❤
@NoName-pp4lo
@NoName-pp4lo Ай бұрын
Nilikua nangoja ww uongee brother El-Mando👏
@user-gf4zp4si6x
@user-gf4zp4si6x Ай бұрын
Hahahahahahahahababa kakak nilikusubil kwa HAMU SANA
@elizabethchabluma-zw5qz
@elizabethchabluma-zw5qz Ай бұрын
Kaka unaongea ukweli big up diamond❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@islamisco8118
@islamisco8118 Ай бұрын
Na very soon Jason derulo Ata rukiya komasava 😅😅mtanikumbuka simba ndo msani wa Tanzania na Africa 🦁🦁🦁🦁🦁
@chizashungu8364
@chizashungu8364 Ай бұрын
Nice one.Hakuna Msanii yoyote mkubwa hapa Africa zaidi ya DIAMOND PLATNUMZ KWA SASA.KOMASAVA TO THE WORLD.
@bensonkiponda5147
@bensonkiponda5147 Ай бұрын
Benson kiponda from Kenya 🇰🇪 you are true bro
@MuddyKazuba-en4mz
@MuddyKazuba-en4mz Ай бұрын
Nakupenda sana kaka
@VexMaizoOfficial
@VexMaizoOfficial Ай бұрын
🧭🤳 habari na viji habari kubwa duniani. Like zangu jamani kutoka Msumbiji 🇲🇿 Mozambique PEMBA MOZAMBIQUE carioca ✨✨✨✨
@kizibotv9661
@kizibotv9661 Ай бұрын
Kaka ata we una mchango mkubwa katika gemu ya bongo fleva
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Ай бұрын
The World wide 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🔥🔥
@frank18112
@frank18112 Ай бұрын
Uko sawa brother, Sema nazani comasava ingetoka around mwezi wa 9 hivi ingekuwa vizuri ili Grammy pale mwezi wa 12 awe nominated
@AlslayRyson
@AlslayRyson Ай бұрын
Sema kaka diamond atakuja na moto mkubwa kuliko komasava. Na atachukua Grammy tu
@LatifaOmari-iw8uq
@LatifaOmari-iw8uq Ай бұрын
Ila bado hajachelewa
@simbaedouardo8499
@simbaedouardo8499 Ай бұрын
Uko sahihi ila nazani grammy wanachukuwaga data za mwaka soo itapita mule vile vile
@Mohaa4309
@Mohaa4309 Ай бұрын
Yuaeza kua nominated ivo ivo kwasababu nyimbo ya mwaka
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 Ай бұрын
We naeee😂😂😂
@lucksonrupa3618
@lucksonrupa3618 Ай бұрын
Sana sana kaka
@ramayonline2281
@ramayonline2281 Ай бұрын
I was waiting for you Broh for your RECAP ✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊💪💪💪💪💪💪🎧
@EdmondNyirenda
@EdmondNyirenda Ай бұрын
Hadi raha 🦁🔥
@user-gf4zp4si6x
@user-gf4zp4si6x Ай бұрын
Hahahahababababababababaabbaa hahahahaha kaka LECTURER nilikusubil sana kaka
@MaliaLazaro
@MaliaLazaro Ай бұрын
Nakuelewaga sana bongo 5
@sosom14
@sosom14 Ай бұрын
Bongo5 we love in 🇬🇧
@BabeRymz
@BabeRymz Ай бұрын
Diamond platnumz is always the best but I wonder why some Tanzanians hate him nimnoma sana huyo Mama I love u 💕💕💕💕💕
@kalebuenosh7694
@kalebuenosh7694 Ай бұрын
Video inatakiwa aitoe kuanzia mwez wa 9 au 10
@kalistuschaula
@kalistuschaula Ай бұрын
hii imeshalipa❤❤bila video
@ThomsSafari
@ThomsSafari Ай бұрын
Ndugu wewe unajuwa sana lakini watanzaniya wanaroho mbaya
@AmaniNangerembe
@AmaniNangerembe Ай бұрын
Good nice one story brother namando 🎉🎉🎉🎉
@ShamanyekisimbaTravail
@ShamanyekisimbaTravail Ай бұрын
Nakubali 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
@user-jd6vr9xw1o
@user-jd6vr9xw1o Ай бұрын
Nilikuwa nakusubiri kaka ,utuchambulie broo ❤❤❤
@johnnchora3215
@johnnchora3215 Ай бұрын
Waoo
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Almando nilikuwa nakusubilia Sana broo useme kitu kuhusu kris's brown na komansava
@Akili820
@Akili820 Ай бұрын
Leo umeongea kama mtu 🇨🇩🇨🇩☝️
@CROWNMEDIAKE
@CROWNMEDIAKE Ай бұрын
Wakenya tumefika hizo levels banaaa
@MuddyKazuba-en4mz
@MuddyKazuba-en4mz Ай бұрын
Umeongea point broo
@MagomaPato
@MagomaPato 14 күн бұрын
Uchawi wa harmonize umeharibu views za nyimbo za Diamond KZfaq 😊😊😊😊😊😊
@OmarOmar-yq7il
@OmarOmar-yq7il Ай бұрын
Bro samir nilikuwa nataka kushangaa leo upo zz kwa hili umechelewa ulikuwa wp bro samir
@malianonicass7029
@malianonicass7029 Ай бұрын
Na tetema mbona husemi diamond alihusika na umesema tuwe vizuri kwenye kuweka reference
@mohamedshabani9485
@mohamedshabani9485 Ай бұрын
Simba wcb
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Ila criss brown pia kaenda mjini Sana Kwasababu ya daimond..nimemuona criss brown kaenda mjini..ila Criss brown nae anachukua tu upepo wa Africa amshukuru Sana Daimond mana nimefurahia Sana izo habar mpaka Yan mpaka Sina chakuongea..unajuwa wakati comasava niliiyona yakawaida lakin sio bwana
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD Ай бұрын
Upo sahihi SEMA ma boflo awaezii elewa😂
@ShelayWamapozi
@ShelayWamapozi Ай бұрын
Wabongo wanalaana diamond nidhahabu tunayoichafua kila siku
@MohammedGharib-pe6se
@MohammedGharib-pe6se Ай бұрын
Waache waongee, kwani kuna shido. Hakuna anaekufa kwa maneno, maneno sio mkuki bro, Never give up for Diamond
@fortuneplata2294
@fortuneplata2294 Ай бұрын
Oky umeongea yote lakin Kaka nawey Auna number kwenye vipindi vyako nawewe nakushaur bro jitazame 😂😂
@user-jd6vr9xw1o
@user-jd6vr9xw1o Ай бұрын
Lakini Leo hii habari imetrend TZ ,nimefurahi sana
@user-gn8qq8rp8n
@user-gn8qq8rp8n Ай бұрын
Unasemakwelibkaka nimependa san kaka 🎉🎉🎉🎉
@ellykaka2360
@ellykaka2360 Ай бұрын
Mondi heshima tunàkupa kweli. 254📌
@frank18112
@frank18112 Ай бұрын
Kombe la dunia 2026 mbali sana kutakuwa na hit song nyingi mpaka hiyo 2026
@AlslayRyson
@AlslayRyson Ай бұрын
Hii ngoma itachukuliwa ichapwe 2026 Kwa kombe la Dunia jamani. Kisa ni kuwa salamu yawaonganisha wengi.
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc Ай бұрын
Hii ni Kali...roho mbaya imechosha huko tz
@hawamoshi5139
@hawamoshi5139 Ай бұрын
KaKa unasema kweli😂😂
@StivemarleyBaruswage-sx6gd
@StivemarleyBaruswage-sx6gd Ай бұрын
Mbona umekawiya kutupostia brother nimekuwa nataka wew ndio uongelee hio story
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 Ай бұрын
El Mando mchambuzi no 1 wa music Tz
@aselemiekalist4355
@aselemiekalist4355 Ай бұрын
Semeni sasa diamond kamripa pesa ..chris.brown..tanzania acheni wivu
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD Ай бұрын
Majinga yale😂
@MichaelMavoko
@MichaelMavoko Ай бұрын
Simba ka maliza
@samsonmatwiga6098
@samsonmatwiga6098 Ай бұрын
Daimod of the king
@KipampeMedia
@KipampeMedia Ай бұрын
Nakuelewa sana kk ila unavyo sema ni heshima kwa bongo Flava Kwani comasava ni bongo fleva
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw Ай бұрын
Hivi tu karibuni uskie million mia sita kwa show
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD Ай бұрын
Lazimaaaa
@HeriRamadan-qx2hk
@HeriRamadan-qx2hk Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@shabanipande5379
@shabanipande5379 Ай бұрын
Well said mzee❤
@user-il6rm7cj1g
@user-il6rm7cj1g Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@rashidingole1588
@rashidingole1588 Ай бұрын
Bro upo sahihi lkn kuhusu numbers kwa Kommasava muda bado utapata tu numbers
@AlslayRyson
@AlslayRyson Ай бұрын
Tena huu mziki ni mkubwa kinoma. Utapata numbers soon. Mwamba anajua kucheza na numbers
@user-xr4dp1cs5b
@user-xr4dp1cs5b Ай бұрын
Safff brooo kaɓsa
@Nemboyamta
@Nemboyamta Ай бұрын
Brother wambie watazania sijui wanatatizo lipi na @diamond platnumz kazi yao mtu akifa ndowataona faida yake
@user-jd6vr9xw1o
@user-jd6vr9xw1o Ай бұрын
Naam kizuri kinajiuza , fact
@babalao3250
@babalao3250 Ай бұрын
Bila kuangalia kando unajua ufafanuzi
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Mana iyo nyimbo niyetu sote nyimbo ya tanzania iyo inabidi sisi mashabiki wake tuchangie Sam idia ya video..
@GugulethuKhanyase
@GugulethuKhanyase Ай бұрын
Tayarisha BT❤
@kuki1476
@kuki1476 Ай бұрын
Akitaka Numbers afanye Remx na Drake😂
@bonirodi6301
@bonirodi6301 Ай бұрын
Diamond is the King ❤
@EdwinJohn-vo8uf
@EdwinJohn-vo8uf Ай бұрын
Uko sawa kabisa my brother 🙏🫶
@CheloDangote
@CheloDangote Ай бұрын
❤❤🇨🇩🙏🔥🔥🔥
@user-mm5td4rz8t
@user-mm5td4rz8t Ай бұрын
Bado kazi iko
@goodluckandrea3421
@goodluckandrea3421 Ай бұрын
Diamond platnumz respect ✌️🪂🪂
@user-uj5mz7hd2u
@user-uj5mz7hd2u Ай бұрын
Lakini kaka ulitwambia sensema itafunika komasava
@paizinhosaide-cv9pm
@paizinhosaide-cv9pm Ай бұрын
Simbaaaa
@Assamu_Officiel
@Assamu_Officiel Ай бұрын
😮😮
@bonirodi6301
@bonirodi6301 Ай бұрын
Harmonize na Rayvanny wako na wivu Sana na diamond
@edwinnyataya3223
@edwinnyataya3223 Ай бұрын
Kaka nilisubiri reaction yako kwa ham sana
@ElishamaMulokozi-pi8nm
@ElishamaMulokozi-pi8nm Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ShadreckDreck
@ShadreckDreck Ай бұрын
Nakubali 💪🫡
@byamukamainnocent5473
@byamukamainnocent5473 Ай бұрын
Ninoma
@kennyplatnumz
@kennyplatnumz Ай бұрын
Wew ni mtu mzima kabs najua unachoobgea
@KhadijaJuma-jm6do
@KhadijaJuma-jm6do Ай бұрын
Mwaga fact mtumzima
@orikodesign8422
@orikodesign8422 Ай бұрын
Kutoka +254 Huwa nakuelewa sana
@G_M22
@G_M22 Ай бұрын
Ucjmalze elmando kamnunua huyo🤣🤣🤣
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Ай бұрын
Lakin kaka kama nikupostiwa mbona hata miso misondo washapostiwa tayari na Chris brown na bado hawajaota mapembe kama nyinyi..!!! 🙄🙄
@sagatv4306
@sagatv4306 Ай бұрын
Kuiceza haimanoshi kuwa ya kwanza
@silasila3111
@silasila3111 Ай бұрын
Ata mimi nakumbuka uli sema komasava ni wimbo wa 3 duniani watu wali bicha 🎉
@TanzaniteInAmerica
@TanzaniteInAmerica Ай бұрын
I always comment on your recaps and say you are extremely smart una akili sana ambaye Hana akili hawezi kukuelewa kabisa MTV EMA ya juzi tuu ulisema Daimond ana vigezo vya kuchukua Zaidi ya Burna boy na aka Julia wewe una ni remind me of sway
@MamboSuper
@MamboSuper Ай бұрын
bro yani uliwongeya ukweli kusu kusu number
@malitozzy3538
@malitozzy3538 Ай бұрын
Waambie wote wenye wivu na mafanikio ya wenzao jamaniiii mtu akifanya vinzuri mpatie hongera zake ata asipo kuwa simbaaa ata wewee freshiiii😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@alexshabani2012
@alexshabani2012 Ай бұрын
Nisawa ila sasa El mando wewe kwanini hukutabiri before Chris brown hajafanya challenge
@Wapoletz13
@Wapoletz13 Ай бұрын
Asa Kama unataka kumshauri diamond be his manager
@LyonWalker_
@LyonWalker_ Ай бұрын
spotfy hamnaga views kuna streams sasa spotfy watu wanaview nini
@cbegram6161
@cbegram6161 Ай бұрын
😂😂😂 wabongo 😂😂😂
@joesplatnumz
@joesplatnumz Ай бұрын
Chris brown anapenda amapiano cku hizi 😂😂😂😂sio bongo flavor
@user-lm5fu5tu5z
@user-lm5fu5tu5z Ай бұрын
Kuna kijamaa kimoja kutoka kundi genge kinakubaki huku kinatoa unafki ety chriss aliwaigi kupost miso misondo sasa ndio nini??
@hawamoshi5139
@hawamoshi5139 Ай бұрын
wanamuonea wivu kabisa
@tausikiyabo6302
@tausikiyabo6302 Ай бұрын
Tatizo la wivu na roho mbaya aliyeanzisha nani???
@vincentgeorge178
@vincentgeorge178 Ай бұрын
Shuuu ilmupa mtv
@Wapoletz13
@Wapoletz13 Ай бұрын
Acha uwongo
@simaonasoliverpool6492
@simaonasoliverpool6492 Ай бұрын
Missa misondo mbona alicheza?
@jut1161
@jut1161 Ай бұрын
Hakucheza alipost
@AlslayRyson
@AlslayRyson Ай бұрын
😂😂😂😂❤
@NoName-pp4lo
@NoName-pp4lo Ай бұрын
Elewa kupostiwa na kuchezwa mbn unajitoa fahamu...🤣🤣🤣
@chrispinmkanda6097
@chrispinmkanda6097 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 shida Nini si mnyamaze tu, ona sasa yan mbaka mnajikuta mnalopoka tu kwa loho mbaya sasa lini kacheza NGOMA ya misondo tutajie NGOMA Gani alicheza, tunachojua kuwa alipostiwa tu
@babalao3250
@babalao3250 Ай бұрын
Misso misondo kapostiwa kulingana na makoti yake😢😢 ila hata hivyo Mondi style za kucheza zinachangia Ukweli jamaa anajua
@CROWNMEDIAKE
@CROWNMEDIAKE Ай бұрын
Afike grammy ndo nimamini mziki wa tanzania umefika mbali
@VitusEmmanuel-pe3yi
@VitusEmmanuel-pe3yi Ай бұрын
Ww kichaa tena Hauna Nature kwanyimbo gan had haiwez kupata Views weng Kwa xababu haielewek km nibongo freva atafanya rimex Nan waniger ndo hao hawamtak
@albertkadyanji9722
@albertkadyanji9722 Ай бұрын
Wewe choko kajifunze kwanza kuandika ndio uje ku koment umu apa mwendo ni komasava
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 Ай бұрын
​@albertkadyanduh halafu hata wewe hujui kuandika😅😅😅ji9722
@albertkadyanji9722
@albertkadyanji9722 Ай бұрын
@@pilimwanza8117 sawa sawa dada pili iyo inaitwa hand writing Comasava
@tausikiyabo6302
@tausikiyabo6302 Ай бұрын
Mbona misomisondo hamkuifagilia hivyo Jamani mnaonyesha ubaguzi wa hali ya juu.
@chrispinmkanda6097
@chrispinmkanda6097 Ай бұрын
Ukimfagilia ww inatosha bingwa
@malianonicass7029
@malianonicass7029 Ай бұрын
Miso walicheza wimbo wa Chris kuku wewe
@tausikiyabo6302
@tausikiyabo6302 Ай бұрын
@@malianonicass7029 huna akili wewe misomisondo watu wa mitaani wala hawana ma promo yakuhonga mahela ili wimbo wao uchezwe na amewarusha na kuwasifia wanacheza bila jasho utafananisha na mtu anayeenda mpk paris kufanyia wimbo promo acha mlitakiwa muwasifie halafu nyie ndio mnawagawa wasanii badala kuwapenda wote na luna siku watapatana wote mtapata aibu Halafu kuniita kuku sawa Mwenyezi Mungu aliniumba kuku heri yako wewe uliyeumbwa mtu.
@achawanunetv1167
@achawanunetv1167 Ай бұрын
Aende sasa akaijaze o2 Arena ya London 🤣🤣 mbona misomisodo kapostiwa na CB. nina wasi wasi na wewe mtangazaji
@ramayonline2281
@ramayonline2281 Ай бұрын
Kwan Diamond Platnumz amepostiwa na CB…?????😂😂😂😂😂
@christianniyokwizera6148
@christianniyokwizera6148 Ай бұрын
@mr pimbi
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 44 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН
DIAMOND AWAPIGA NA KITU KIZITO,  KOMASAVA YAMFIKIA CHRIS BROWN
3:46
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 44 МЛН