Hakuna asiyemkubali Diamond Africa hii,,bali ktk maisha ukiishafika juu watu huitaji kukushusha,,,mwamba ndio kwanza anazidi kupaa
@thehustlerafrica436821 күн бұрын
Ata Chris brown anashangaa views zimekuwa kubwa sana kwake i think kaona nguvu ya diamond platinumz
@ChuxDaniel21 күн бұрын
umeongea kitu kikubwa sana❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@allykwaya21 күн бұрын
@@ChuxDaniel point kwa waelewa
@user-uf7oh5eu4v21 күн бұрын
Fact🎉
@ommyjay462221 күн бұрын
🎉🎉
@salimalaquimane307720 күн бұрын
Ata mm nme sema hivyo
@GavyoleJonas21 күн бұрын
Diamond ni 🔥 hata wengine wasipomkubali,sisi tunaomkubali tunatosha pamoja na chris
@sevastierkalumba755621 күн бұрын
Me here too I love him ❤🎉
@ahz690721 күн бұрын
Pamoja sana....team chrisplatinumz 😂
@user-nb2jw4km6f21 күн бұрын
Kweli kabisa
@channyanjen904721 күн бұрын
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
@AbdallahMzonge-pg9il17 күн бұрын
Mungu amzidishie kwenye muziki?
@user-qf6dh9hy8c21 күн бұрын
Asante mond😊🎉🎉🎉❤
@hassankhamis738021 күн бұрын
Kaka dully umeongea fakti bro watu ni wanafki kazi za tz ghost singer hawapendi kazi zake hasa huyo ombaomba mwijaku
@user-il1kv9zv9j21 күн бұрын
Simba la masimba dangote
@chusseboywcb280821 күн бұрын
diamond platnamz ❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎵🎵🎵🙏🙏
@ChuxDaniel21 күн бұрын
Dully ameongea kupitia uvungu wa moyo dahhhh😢😢 nakubali sana kaka hiyo roho usije ukaiachia maana dahhh kwaimani niliyonayo naona milango inafunguka kwa simba la masimba dangote
@allenonesmomwebembezi624821 күн бұрын
Milango hipi? Wakati kalipia hiyo post
@lakasid386021 күн бұрын
@@allenonesmomwebembezi6248unauhakika kalipia? Unarisiti ya malipo aliyofanya 😂 wabongo bana wivu tu
Hii channel ya Millard Ayo si wanajifanyaga hawapost habari za mondi Leo VP??
@vangraphixvan832021 күн бұрын
Dhahabu
@MATIKO964020 күн бұрын
Kumbe TID anaakili kubwa tu
@dalalizanzibar958319 күн бұрын
Dully kanyooka sana ana moyo wa pekee
@mdumashop742321 күн бұрын
Daaa
@kijakazimussa923621 күн бұрын
Diamond pia ajifunze kwa hilo anapoona msanii mchanga tz anafanya vzr amsapot hata kwa kupost kaz zake
@godfreydavid684721 күн бұрын
Sio kazi yake...
@rahmaidd881821 күн бұрын
@@godfreydavid6847Santaaaaaaa😂😂😂😂
@user-re4ve4nf3p21 күн бұрын
Alimpa support harmonize alimpa nn zaidi y kumshusha kutumia machawa wake
@ShelayWamapozi21 күн бұрын
Dhahabu inayochafuliwa kilasiku
@mtotowamanka21 күн бұрын
Amapiano ni bongo fleva au... Sema msanii wa bongo fleva sy nyimbo ya bongo fleva muwe makin sku ingine 😊 congratulations 🎉
@francsamwel579120 күн бұрын
Kwan piano wa Niger hawaimbi au..... mziki una hitaji mixer coz ya biashara na kuteka mashabiki
@AlfaEnock-st9md19 күн бұрын
We unaijua bongo fleva?? Hakuna mziki unaitwa hivo
@samwelfundi152721 күн бұрын
Ifike mahala watanzania mujitambue sijuwi ila naomba samahani sijui wengi wenu kama wanaelewa siasa ya hawa wamerekani, naishi hapa USA 🇺🇸 ni miaka 15 ila hawa jamaa wakikuposti ujuwe yy anafaidika, ila ww utabaki mtu wa tiktop tu akuna utakachovuna
@rahmaidd881821 күн бұрын
Diamond has more money kuliko WEWE mbeba maboksi
@annethsongwe606321 күн бұрын
@@rahmaidd8818😂😂😂😂
@allytv171421 күн бұрын
At tenge wa uganda kashapostiwa na huyo mshikaji tena kacheza kile kinyimbo chake mbn mambo ya kawaida sana hayo mnakuza ivo
@ziggertv318521 күн бұрын
Utakufa mwaka huu😅😅😅
@allytv171421 күн бұрын
@@ziggertv3185 tatizo watanzania wengi ujinga ndo unawasumbua toka enzi za Nyerere
@rahmaidd881821 күн бұрын
Na badooo chuki tuuu kuoga janaba aaah shenz
@JacksonFuliwa13 күн бұрын
❤❤❤
@dianajohnson726820 күн бұрын
Tid tunaongelea diamond sio wewe😂
@mussandikumana356117 күн бұрын
Ila wa bongo ni watu wa kushangaza saana sasa Chris Brown njo kitu gani ao njo nini mbona mweye mnacheza ngoma zao awawatangazi ivo
@waziliLyamosi21 күн бұрын
😂😂😂, Nchi ya ovyoo kisenge Chris Alisha post MISO MISONDO achani promo za kipuuzi af huo ushamba hio ni kawaida sana kwa Chris brown, alisha post madogo wa kenya waliofanya covering, 😂😂😂😂
@rahmaidd881821 күн бұрын
Haya kameze wembee ,,chuki tuu kupiga mswaki aah idiot
@OwdenLivingstone-kq5dy21 күн бұрын
Azijakukaa
@elinamilyatuu733721 күн бұрын
Wembe ni bei chee sana, chukua mmoja umeze
@MawazoMwamba-fz5hr19 күн бұрын
❤❤❤🥰🥰🔥🙏🙏
@lulurubby223518 күн бұрын
Amsterdam tid alikuja na rau c waliwekwa kwenye majumba ya watu na wakaanzia kuvuta unga Amsterdam
@mussakiziyzi40820 күн бұрын
I say daemongo ni Mkali
@Ramadhanikisodya21 күн бұрын
Mm sioni chajabu hapo jamani mbona dogo ngomayake ili fanyapoa ulaya mavokali
@AbilahSalumu-qx1cb20 күн бұрын
Aminiy Duri sesk
@user-lm5fu5tu5z20 күн бұрын
Dully kaongea ukweli wa moyo wake kabisa
@Ramadhanikisodya21 күн бұрын
Acheni kusapot upumbafu
@Matakaissa21 күн бұрын
Vp misomisondo
@malitozzy353821 күн бұрын
Sio mnafiki tu huyo nyoko sanaaa tena kkkkkkkkk kubwaaaaaaaaaaaas😅😅😅😅😅
@wanasisi770921 күн бұрын
Tunafanyaga hawa wazungu nikama mungu wetu ndo maana wanatubebanga ufala kupistiwa 2 Africa kumbe bado tunatawaliwa
@faiasap830721 күн бұрын
Kapostiwa au chris kajipost😂
@malikissa825119 күн бұрын
Mbona ata miso misondo hamkumpa maua yake
@GivenMtambo17 күн бұрын
Sema tid kama hajakubali xana.mbn kuna maneno hanyooki hyo english inaficha what
@user-sj1rf8ij7f21 күн бұрын
HATA MISO MISONDO WALIPOSTIWA ..
@bcozhenry269821 күн бұрын
IPO tofauti ya kupostiwa kama kichekesho na kujiposti akifanya kurudia ulichofanya
@BILALIMSANGI-kw2ki21 күн бұрын
Sawa miso misondo walipostiwa lkn hii chris ametenga muda wake akaweka dancers wake na mtu wa camera kacheza alipomaliza kucheza aka post huoni Kuna utofauti hapo
@user-xw9bu5ud5h21 күн бұрын
Miso misondo ni nan wechoko
@rosemuna556921 күн бұрын
Asante kwa kuwaelewesha maana watu hawajaelew utofauti@@BILALIMSANGI-kw2ki
@Ramadhanikisodya21 күн бұрын
Mapiono nyimbo mnajisifia jamani
@RomanMwinyi21 күн бұрын
Wa sanii bongo machawa kwani misomiaondo mbona amja wa pongeeza leo mnajifa nya 😂😂😂 makellele mengi yule dogo mulimuonea wivuu nini
@MapradoMsonde21 күн бұрын
Kuna baazi ya watu wanamkataa diamond lakini utamkuta kwenye simu ya zimejaa ngoma za mondi jaman au mnataka mtu akifa ndo mumsifie
@isayamsisika625521 күн бұрын
@@MapradoMsondeila bado hoja ya misomisondo ujaijibu
@IkoUwasi-it6qy21 күн бұрын
Kila mtu na nyota yake
@hoseanobocka714021 күн бұрын
Wapongeze wewe hao misomisondo au na wewe haujulkani 😅😅😅😅
@hoseanobocka714021 күн бұрын
@@isayamsisika6255hao misomisondo hata ukiwasifia wewe inatosha😊😊😊
@RomanMwinyi21 күн бұрын
Nyinyi mjitambue pale kacheza kajua ngoma ya sauzee
@awadhally105221 күн бұрын
😂😂😂😂😂kwel
@chrispinmkanda609721 күн бұрын
inaonekana inauma eee!?
@IkoUwasi-it6qy21 күн бұрын
Pole sana
@Sonia_abass21 күн бұрын
😂😂😂 amapiano to the world
@hoseanobocka714021 күн бұрын
Diamond ni mmoja tu wengne ni nsensema mashenzi😂😂😂😂😂
@andrewmmassy520421 күн бұрын
😬😬Natamani ingekuwa ni bongo fleva, tatizo ni amapiano so respect to southafrica country.
@awadhally105221 күн бұрын
Kwel
@hoseanobocka714021 күн бұрын
Bwege wewe
@svt321 күн бұрын
@andrewmassy5204 tz inawasanii zaidi ya elfu2 wamefikisha wapi bongo flevo? Hata wewe ni mu tz hii ni jukumu lako pia
@zedohmariotz74121 күн бұрын
Saw amapiano tz kwhy amapiano ilyofnyka n moja tu ya diamond sio....ngoz nyeuc ina matatzo
@svt321 күн бұрын
@@zedohmariotz741 sensema yenyewe pia ni Amapiano wanaimba na kucheza, na wanasahau mdundo uko juu kila mahali saa hii ni amapiano
@baikokokangamoko21 күн бұрын
Sisi Watanzania nibwashamba sana, kiukweli tunatia aibu sana, lakini pia hii inathibitisha kwamba sisi ni wadogo sana.