REV. DR. ELIONA KIMARO: USHENZI WA PROFESA KWA WANAFUNZI WA KIKE CHUO KIKUU

  Рет қаралды 61,138

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Жыл бұрын

Пікірлер: 55
@nangatv9218
@nangatv9218 Жыл бұрын
Yesu alimwambia Thomas mwenye mashaka heri mtu yule anaeamini na hajaona, Thomas alimuona Yesu na alijua atakufa na kufufuka na hakuamini bado kama Yesu kweli kafufuka mpaka alipomshika na alama za misumari, mimi nimemuona Yesu, nimemuona Mungu kwenye maisha yangu, Naamini!!!
@siphaelmbise3175
@siphaelmbise3175 Жыл бұрын
barikiwa sana mchungaji ni kweli apandacho mtu ndicho atakachovuna
@geofreytimoth8084
@geofreytimoth8084 Жыл бұрын
Mungu akuzidishiye nguvu tunabarikiwa na mafunzo baba.
@faustinahugo9621
@faustinahugo9621 Жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏 unachosema nasikia 😭 Mungu utuokoe na yule mwovu 🙏
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 2 ай бұрын
Mungu aturehemu sana dhambi ya baba ni kiboko
@amoogaza6825
@amoogaza6825 Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Mungu akubariki baba. Umenifunza jambo
@macklinakabyazi3036
@macklinakabyazi3036 Жыл бұрын
Napenda mifano YA huyu mtumishi wa Mungu.
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 Жыл бұрын
Ndugu yangu Macklina, hii Siyo mifano. Ni ushuhuda. Ni Mambo halisi yaliyotokea.
@macklinakabyazi3036
@macklinakabyazi3036 Жыл бұрын
@@timothymoshi5800 hapo ndo nilikosea kunyoosha maelezo ndugu yangu
@esmilykipele4008
@esmilykipele4008 Жыл бұрын
What??? I need grace here to forgive such a man . Hapa nahitaji ombi hilo mchungaji Niokolewe na yule muovu🙏🙏
@edwardpeter8569
@edwardpeter8569 Жыл бұрын
Good lesson, goes around comes around, tuwe makini kwa nafasi zetu.
@user-bj2sl5cp1w
@user-bj2sl5cp1w 8 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏🙏
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Asante kwa kisa hivhi amvacho kina mafundisho mazuri.
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 Жыл бұрын
Mungu atusaidie Vyeo hivi na lecturers wetu kwa kweli inatia uchungu
@zawadipaul4857
@zawadipaul4857 Жыл бұрын
Bwana Yesu kumbuka rehema, uovu wa Wazazi usiwapate watoto 🙏
@tinasteve5181
@tinasteve5181 Жыл бұрын
Uuuuuuiiiiii 🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭 ya duniani naogopa sana
@gideonking5404
@gideonking5404 Жыл бұрын
Nakupenda Mtu wa MUNGU 🙏
@juslenkavira6961
@juslenkavira6961 Жыл бұрын
Ubarikiwe baba yangu kwa mafudisho Mungu azidi kukubariki na akupe mwisho muzuri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@neemalaurent9836
@neemalaurent9836 Жыл бұрын
Amina,barikiwa sana
@jacquelinesemu1347
@jacquelinesemu1347 Жыл бұрын
Watoto wanateseka kwa dhambi za wazazi wao.
@paulsabe3917
@paulsabe3917 Жыл бұрын
Mimi huwa nashangaa sana.Mama mkaanga mihogo hana chochote;Watoto wake wanakuwa profesa.Lakini profesa anashindwa kurise hata mtoto mmoja kuwa profesa.Kumbe haya mambo yanachangia.Mungu atunusuru na haya maovu.
@richhaule9264
@richhaule9264 Жыл бұрын
Sometimes wanakuwaga maprofesa ila kwakutumia nguvu ya pesa zaid
@heriethinnocent3283
@heriethinnocent3283 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa baba.
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
MUNGU UTUOKOE WATU WAKO DHIDI YA NJAMA ZOTE ZA MWOVU.
@rahelmyombo9874
@rahelmyombo9874 Жыл бұрын
Hadi natetemeka Yesu tusaidie 😢
@nangatv9218
@nangatv9218 Жыл бұрын
Na huyo mama nae kama hujamuhoji nae anayake mengi amefanya kwa watoto wa wenzie...Mungu analipa hapa hapa duniani
@andersonmtui4094
@andersonmtui4094 Жыл бұрын
January mkobogo wa chuo cha iringa @Tumaini ndio tabia zake kuwafelisha watoto wakike wa chuo cha tumaini iringa nakuwaapia hawawezi faulu yupo rafiki angu alifelishwa kwenda kumuuliza kwanini akamwambia anaenda dodoma kwahiyo hamfuate akamrekebishie dodoma matokeo yake kaenda kulala nae dodoma ndio akambadilishia matokeo na huwa anawaambiaga kabisa mtafeli
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Жыл бұрын
😤😤😤
@user-tb6xx2wh1t
@user-tb6xx2wh1t 9 ай бұрын
Naomba namba Yako nataka nikutafutie uliko nishiliki mkutano
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
BABA usiwatie majaribu watoto wetu bali uwaokoe na yule muovu
@gloryabdulhassan7100
@gloryabdulhassan7100 Жыл бұрын
Mwenye sikio na asikie roho asema na kanisa
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Yaani mpaka unajiuliza useme Nini ...aisee ni ngumu sana sana ..Mungu tu atusaidie
@gracekasambala4712
@gracekasambala4712 Жыл бұрын
Barikiwa kwa mafundisho ya ukweli
@monicakimati4619
@monicakimati4619 Жыл бұрын
Maombolezo 5:7
@bensonogindo8963
@bensonogindo8963 Жыл бұрын
Sacrifice haikua kwa watoto hawa facility is hoja ni aliwai kuwavunjia matabahu ya barrier
@Carcrycal95
@Carcrycal95 Жыл бұрын
Aise huu ujumbe sio wa kawaida. Mungu arehemu kizazi chetu
@mwanzajosephine468
@mwanzajosephine468 Жыл бұрын
Hakika Mungu aturehemu mno mno mno.
@Carcrycal95
@Carcrycal95 Жыл бұрын
@@mwanzajosephine468 hakikisha kila unapofungua kinywa chako kuwasiliana (kuomba) Kwa Mungu Baba Kama umejaliwa watoto ombea sana watoto wako, ndoa ila zaidi ambea watoto wa jilani marafiki na jamaa maana kadri unapoombea wengine ndivyo Mungu anatenda kwako.
@mwanzajosephine468
@mwanzajosephine468 Жыл бұрын
@@Carcrycal95 Amina Roho mtakatifu anikumbushe kila iitwa po leo barikiwe mno.
@lilianmyinga4578
@lilianmyinga4578 Жыл бұрын
Yesu wa Nazareth tureheme! maana wewe ni mungu wa kuogopwa, unajibu maombi kwa majira na wakati umurehemu mtu huyu
@swailaurence2108
@swailaurence2108 Жыл бұрын
Asante Mtumishi, huu Ni ukweli mtupu. Mungu tunusuru Baba!!
@heavenlight5084
@heavenlight5084 Жыл бұрын
MUNGU tusaidie na watoto Wetu
@amaninoi1959
@amaninoi1959 Жыл бұрын
... usitutie majaribuni bali utuokoe na yule mwovu ...
@salomemuasya2331
@salomemuasya2331 Жыл бұрын
fuzo kuu
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Жыл бұрын
Wali disco, siyo ku suprimentaly !!??
@goblessjrtz5464
@goblessjrtz5464 Жыл бұрын
Disco means Discontinue (kuachishwa) and suprimentary (kurudia mtihan)
@elardurasa2025
@elardurasa2025 Жыл бұрын
Kuna demu namuona hapo muuza k mpaka nimeshangaa
@dodwiedwin3944
@dodwiedwin3944 Жыл бұрын
Aisee unachekesha, unauzia wapi k?
@dodwiedwin3944
@dodwiedwin3944 Жыл бұрын
Anauzia wapi k?
@piusphilip307
@piusphilip307 Жыл бұрын
,😆😆anaweza kutuitia huyo prof. Kuja kutoa ushuhuda, "imaginary story"
@amoogaza6825
@amoogaza6825 Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho
@magdalenannko7012
@magdalenannko7012 Жыл бұрын
Mungu atuhurumie
@anesikisongela6721
@anesikisongela6721 Жыл бұрын
Duuuh
@bensonogindo8963
@bensonogindo8963 Жыл бұрын
Sacrifice haikua kwa watoto hawa facility is hoja ni aliwai kuwavunjia matabahu ya barrier
REV. DR. ELIONA KIMARO: NA TUVUKE MPAKA NG'AMBO
39:22
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 12 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I
34:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 12 М.
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 26 МЛН
REV. DR. ELIONA KIMARO: KISA CHA DAUDI CHA KUMCHUKUA BATHSHEBA MKE WA URIA
19:16
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 59 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: FULFILL YOUR CALLING (KIBIBI)
19:04
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 340 М.
Family TODAY, Esther Nasuwa, Ps Wilbroad Mastai: Family & Ministry
1:12:31
Family Today Show
Рет қаралды 12 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: KISA CHA DANIEL
12:42
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 84 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WA ALIYEENDA KUOGESHWA KWA MGANGA MTO MALAGALASI
12:34
REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA KUTOKA KENYA
9:58
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 30 М.
JIFUNZE KUKAA KIMYA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
12:39
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 494 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: UNA KITU GANI MKONONI MWAKO?
1:42:14
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 106 М.
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН