Mungu Azidi kukuongoza Mchungaji,Mifano hii nihai na Mungu Huwapitisha watu wake
@user-el9rq6px1j11 ай бұрын
Glory 2god
@LivingstoneShuma-xn9in Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji Kwa mfano huu mzuri wa jua la haki,ni kwamba limenibariki sana
@carolinemwugusi8945 Жыл бұрын
Powerful testimony have learnt something here
@glorylaban5861 Жыл бұрын
Mungu ni mwema,jua la Hali liwe kwangu Amina
@everlinekemunto267 Жыл бұрын
Ahsante sana, hii ni sawa na story ya Esther alivyomuomba Mungu, mambo yakamgeukia naaman,na alifikilia ni Mordecai ndio atauwawa,Mungu ni mwaminifu kwa walio wake.
@InChrist2024 Жыл бұрын
Glory to God. Hallelujah!
@heriethinnocent3283 Жыл бұрын
Malaika wa Bwana, Fanya kituo kwangu
@heriethinnocent3283 Жыл бұрын
Asante Yesu wangu. Jua la haki, Mungu unatisha naogopa matendo yako
@emanuelaugust Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu kama no za vocha chungaji wa Mungu iko siku Mungu atanipa kibali nije kusal na nyie
@olengelatamoleltzolengelat3696 Жыл бұрын
Amen . Asante sana mchungaji nimejifunza mengi sana
@geraldlazaro4523 Жыл бұрын
Ameeeeeeeeerrreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
@aishahaisha4941 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏 Kwa kweli umeugusa Moyo wangu mchungaji Mungu akubariki Sana
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Aisha ubarikiwe
@daudikirway9428 Жыл бұрын
Nakuelewa Sana mchungaji barikiwa sana
@stephanosospeter1709 Жыл бұрын
Amen
@lutangilooffice8604 Жыл бұрын
Ameen Ameen
@edithaladis9077 Жыл бұрын
Amina haleluya
@user-nx9eh3ex9y Жыл бұрын
Ameen
@tedygodwin5431 Жыл бұрын
Amina
@everlynkilimba3963 Жыл бұрын
Just la Haki
@LivingstoneShuma-xn9in Жыл бұрын
Nami naomba jua la haki likanizukie na mimi,napokea ushuhuda huo Kwa mikono miwili
@kanankirannko6174 Жыл бұрын
Wala siwashangai hao Anania na Safira ,kikubwa shetani alikuwa ashaona nyota ya jamaa inawaka akaanza vita
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
Amen Mungu ni mtenda haki
@angelyshaily1466 Жыл бұрын
Nakupenda sana baba
@angelyshaily1466 Жыл бұрын
Mungu akulinde akubariki akutendee mema Amen
@heavenlight5084 Жыл бұрын
Amen kubwa baba mchungaji
@elidaburton8737 Жыл бұрын
Mafunzo yako mchungaji yananitia ujasiri sana kwenye ndoa yangu
@InChrist2024 Жыл бұрын
Jesus Christ!
@innocentmassawe7160 Жыл бұрын
Palipo na mzoga ndipo wakusanyikiapo tai
@sia4867 Жыл бұрын
Jamaniiiii anayemjua huyu Anipe njia yakumuona ninashida Sana najua Akiniombea naweza vuka ninayopitia
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Wewe upo wap sasa hivi
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Upo maeneo gani dar es salaaam
@sia4867 Жыл бұрын
@@highzacknnko9685 mbez kimara
@lynmichael2537 Жыл бұрын
ni Mchungaji kiongozi kanisa la Kkkt Kijitonyama, kwa sasa amesafiri kwa ajili ya maombi unaweza kupata watumishi wengine wako hapo kanisani