Whenever I listen to your sermons,I feel blessed and born again christian.God be with you 4ever.
@zawadishaaban39 Жыл бұрын
Mchungaji Leo umetukumbusha jambo la maana sana katika maisha yetu,ahadi na sadaka,kipekee imenigusa sana mchungaji,mungu anisaidi e kuweka ahadi na kuzitimiza na sadaka kwa ajili ya Asante kwa uweza wa mungu.mungu azidi kututia nguvu kwaajili ya meno lake kupitia kwako mchungaji barikiwa sana.
@ringojustin8392 Жыл бұрын
Yesu Kristo ni Bwana. Lets preach gospel. Injili inajitegemeaa
@dennomtotowasarah1519 Жыл бұрын
Am in Kenya... That's true story Keroche family
@stephenmwakulo6177Ай бұрын
Oh wawapi?
@wilsongatimu6612 Жыл бұрын
Nampenda sana huyu mtume wa Mungu. Kuna mahali imenigusa ya kweli hapo kwa kuahidi pesa kwa Kanisa na unakosa nakwambia mtu hukula shinda mpaka unaanza kulaumu Mungu. Pastor you're talking to me in this Sermon. Following from Seattle Washington.
@rosemaryjoseph8287 Жыл бұрын
Baba mchungaji umenichekesha Sana na ushuhuda wako kwakweli nimeongeza siku
Umeomba Jambo jema sana, MUNGU akutendee sawasawa na hitaji lako.
@godfreydavid6996 Жыл бұрын
You are the best Paster,umenibariki sana.
@MagrethMhina4 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKII.MNOOO
@greenermichael2057 Жыл бұрын
Mchungaji Asante naongeza siku za kuishi kila nikiangalia shuhuda zako baba
@hassanmatumba52725 ай бұрын
Umenisemea yaliyokua moyoni mwangu hakika
@rahimajuma53067 ай бұрын
Mungu akubariki
@user-el9rq6px1j11 ай бұрын
Amina mtumishi
@joycekaje8755 Жыл бұрын
Hahahaaa ,Mungu akubaliki Pastor
@MagrethMhina4 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKII.MNOOO❤
@hurumapatrick4372 Жыл бұрын
Barikiwa Sana mchungaji
@neema_mollel Жыл бұрын
Mungu atuhurumie sana
@violetmmbone536 Жыл бұрын
Amen mko station gani kwa tv
@lutangilooffice8604 Жыл бұрын
Daaaah mawe mtumishi umetupa gizani lakini yamenipata asante kunikumbusha mema mtumishi wa mungu
@mashauriparapara4173 Жыл бұрын
Unanifundisha mengi pastor
@miriamalute15405 ай бұрын
Barikiwa babaa
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
Amen 🙏 🙏
@johngragod5877 Жыл бұрын
Amina kimario
@christinakiula3743 Жыл бұрын
Mungu turehemu
@emanuelaugust Жыл бұрын
Ameeeeen
@user-sj6ls2cc6j5 ай бұрын
😊hi
@BenadetaLatnathael-ri9iu10 ай бұрын
Mtumish endelea kutufundish nimejifunza kitu kutoka kwako
@ndinagwemwakyambiki8521 Жыл бұрын
Ameni
@reginakahesi3126 Жыл бұрын
NIMEBARIKIWA SANA NA USHUHUDA HUU
@donaldchakuja8020 Жыл бұрын
Kwa nijuavyo mimi Mungu huangalia nafsi yako inawaza nini, sitegemei kwamba Mungu angeruhusu huyo binti aharibikiwe kisa tu baba yake hajatimizi kwa wakati nadhiri aliyoweka ilihali bado moyo na shauku yake ni kutoa.sometmes siyo kila jambo linalotokea maishani litafsiriwe kama ni pigo kutoka kwa Mungu mimi na wewe hatuna haki ya kumhukumu huyo mtu .maana waliyokuwa wananena na mungu wake wanajua wenyewe ila kupitia maelezo ya pastor sioni kama yanawezakuwa 100% what was the reason!
@sayuni123-kl6xk2 ай бұрын
Soma HAGAI 1.2-11
@magejuliani5293 Жыл бұрын
Mwee Mungu nijalie nimtimizie Mungu nadhiri niliyoiweka
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Nouma sana!!!!!
@EmmanuelMdenye Жыл бұрын
Ameeni
@user-dn4rn5vw6q2 ай бұрын
Kweeeli kabisa Baba
@lovenesswalter6650 Жыл бұрын
Aseh wasomali
@elibarikilukasimakala5534 Жыл бұрын
👆😘
@elidantwara8887 Жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@everlinekemunto267 Жыл бұрын
Walae hapa nimejifunza
@evamringo307111 ай бұрын
Msg imeenda hio.. jmn nimejifunza kitu..
@ammsuya9400 Жыл бұрын
Nguvu ya nadhirii
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Na we umoò
@edwinmeena4493 Жыл бұрын
Wachaga
@nimuhsteve1079 Жыл бұрын
Wakikuyu tumefikiwa na padre
@user-qu9uj9qs1i Жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@annamulungu2876 Жыл бұрын
Mchongo.....😜😂😂😂
@sia4867 Жыл бұрын
Uyu mchungaji kanisa lake likowap?
@rehemamkamba9027 Жыл бұрын
Kkkt kijitonyama dar es salaam
@aishalucas3502 Жыл бұрын
Nielekeze unapanda gar gani ukiwa unatoka kigamboni samahani lakn🙏🤝
@brysonkaale3003 Жыл бұрын
@@aishalucas3502 Panda Daladala za kijitonyama,ukifika ulizia kanisa la KKKT kijitonyama,
@rehemamkamba9027 Жыл бұрын
@@aishalucas3502 sijui kwakeli
@rehemamkamba9027 Жыл бұрын
@@aishalucas3502 ebu fuatilia ibada zako pia kuna number za sim hapo utapata