DIAMOND Alivyomuomba ZUCHU MSAMAHA kwa UCHUNGU Akiri KUMSALITI na wanake wengine

  Рет қаралды 108,832

Rick Media

Rick Media

Күн бұрын

Haya ni maneno ya @diamondplatnumz akikiri kumuumiza mara kwa mara mpenzi wake @officialzuchu . Diamond ameomba radhi mbele za watu huku akimuahidi Zuchu kutomuuza tena
.
Diamond Platnumz anasema kuwa mahusiano yake ya nyuma yamemfanya asijitoe sana kwa Zuchu kwani ameumizwa sana na ilifika muda akawa anaogopa kuzama 100% kwenye mahusiano
.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Zuchu #Diamond

Пікірлер: 161
@kimah9855
@kimah9855 6 ай бұрын
Umri inaenda na wakati, Sasa Nasibu ndo anaongea 👏👏👏Next put a ring on it❤❤❤❤❤❤❤❤❤Hongera sana both
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 6 ай бұрын
Diamond you are a true man! Men apologies when they do something wrong,You are a real man!!
@sponsalfathedj8177
@sponsalfathedj8177 6 ай бұрын
Kiki hizo
@saidahj2543
@saidahj2543 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@naimacax2457
@naimacax2457 6 ай бұрын
He is the definition of a true pathological narcissist liar and Zuchu ako very weak kabisa atatumiwa mpaka afe
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 ай бұрын
​@@sponsalfathedj8177acha wivu
@phebvlymo2068
@phebvlymo2068 6 ай бұрын
Zuchu is the true lady of Tanzania am proud of her
@Amina-ig3jw
@Amina-ig3jw 6 ай бұрын
Muoe zuchu mond anakupenda❤❤❤🎉
@vidawillis1894
@vidawillis1894 6 ай бұрын
He is not done yet Zuchu wake up see musicians girls outside Tanzania they're doing good think big aim higher u have a very long way to go. Wake up
@az5195
@az5195 5 ай бұрын
i dont understand it either, she has a great future a head of her but she is wasting her time with this guy. But money blinds women.
@user-wi6uk1vz1h
@user-wi6uk1vz1h 4 ай бұрын
En tout cas vous aimez tellement commandé la vie des autres, vous voulez qu'elle fasse votre volonté sans connaître les tenants et les aboutissants hein 😂
@shadiwaigwa9230
@shadiwaigwa9230 6 ай бұрын
Msamehe zuu, tunawapenda sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@sharonahwilliams4481
@sharonahwilliams4481 6 ай бұрын
Zuchu will break diamond until he will know that how it feels to be betrayed 💔 looks like
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 ай бұрын
😂😂😂
@jackywambua917
@jackywambua917 6 ай бұрын
My favourite couple 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Tashie001
@Tashie001 6 ай бұрын
Ni kweli anatukwana sana juu Yako wewe😢
@em_vee_josh
@em_vee_josh 6 ай бұрын
Diamond and Zuchu the undisputed Coyle of East Africa
@Caralina829
@Caralina829 6 ай бұрын
Zuchu ujaliwe na akili na nguvu za kuwacha huu mchezo. Unahitaji mwanamme mwenye heshima kabisa
@user-sc3wo3ol1k
@user-sc3wo3ol1k 6 ай бұрын
Show ya jana iyo Kendwa nimeiyona ilikuwa pw sana zuchu kapiga sana shwoo mondi nae anampenda sana zuchu jamani
@adamuchenchere5699
@adamuchenchere5699 6 ай бұрын
Mondi badilika ety me napenda uhusiano wenu na zuuh❤
@phebvlymo2068
@phebvlymo2068 6 ай бұрын
When a man lovesssss
@louloubika8603
@louloubika8603 6 ай бұрын
Love it ❤❤❤❤❤❤❤❤
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 6 ай бұрын
Kama movie la kihindi 😀
@fitinakipita6813
@fitinakipita6813 6 ай бұрын
Badilka daimond ❤❤❤❤❤❤
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 6 ай бұрын
POLE ZUCHU NI KUTUMIKA KWA KWENDA MBELE
@user-gt1so2ew9y
@user-gt1so2ew9y 6 ай бұрын
Lakin Simba wamuumiza mwenzio kwakwel ...lakin nawapenda Sana mukiwa pamoja
@fatumahamisi3781
@fatumahamisi3781 6 ай бұрын
Muowe atoke midomoni mwa watu khaa😊
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 6 ай бұрын
Mwanaume siku zote kuomba msamaha ni kawaida ila Zuchu angalia mbele acha kudhalilishwa
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 6 ай бұрын
Kuna siku Zuchu ataolewa…..na kijana mwenye hikma kama Baba yake.
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 6 ай бұрын
Ataolewa na Mondi tuu
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 ай бұрын
Kabisa yn
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 5 ай бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc Mungu ndiye anaye juwa zaidi sisi tunabahatisha tuu.
@ngoni7944
@ngoni7944 5 ай бұрын
Baba yake hana hekma, alimtelekeza zuchu, unawezaje kuzaa mtoto halafu humtunzi?
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 5 ай бұрын
​@@BarbaraPatience-qt9ccHuo ndio ukweli ulio uchi zuchu atakuja kuolewa na mondi mchana kweupe wanafiki hawataamini macho yao niko paleeeeeee!
@user-ty5oc5xd5o
@user-ty5oc5xd5o 6 ай бұрын
Zuchu utasameh leo,kesho,utalia,ulie na ulie tena diamond sio mwanaum wakupend ka mamy 😢ila pol
@user-wi6uk1vz1h
@user-wi6uk1vz1h 4 ай бұрын
Et c'est toi qui l'aime certainement....
@agnessirungu1623
@agnessirungu1623 5 ай бұрын
Wake up and smell the coffee Zuchu. He'll step on you over and over again. Haiyaeee
@MwonekanoTv
@MwonekanoTv 6 ай бұрын
Watu wakoment punguzeni ushari muenjoye mziki mzuri maisha yao mengine hayawahusu.😂
@katsuvakamatedaniel7893
@katsuvakamatedaniel7893 6 ай бұрын
Zuchu achana na huyo malaya.ana kupotezeya muda wako bureee😢.Omba Mungu akutumiye Mume bora !!!
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
@ZalhathamohdSaid-qn4jj 6 ай бұрын
wahuni hawaelew eti buuuh mnatuzinguwa😂😂😂
@user-by7jo6dk6r
@user-by7jo6dk6r 6 ай бұрын
Zuchu.. Userudi.. Faiti. Maishayako😢
@pendochimammy5013
@pendochimammy5013 5 ай бұрын
Ww tumekuzoe ni kuku wakawaida lakini zuchu atakuja choka siku moja
@noorrajpar3928
@noorrajpar3928 6 ай бұрын
Ameenda kumshika shika ukweni ningekua baba zuu hapo jukwaani pangechimbika 😢😢😢
@jonesbaraka7506
@jonesbaraka7506 6 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@jamilajamila9682
@jamilajamila9682 6 ай бұрын
Yaani ni dhaifu sana kuregea, tukio anapigwa hasikii, ndio mana ni king'nga mange hajakosea 😂😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 ай бұрын
😂😂😂
@iddiali8057
@iddiali8057 6 ай бұрын
Kuna siku hazitawafaa MALI zenu zitakuwa kama mavubi. FANYENI HARAKA SANA KURUDI KWA ALLAH S.W
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 ай бұрын
Kweli kabisa
@Cath844
@Cath844 6 ай бұрын
I don’t understand the language but I know Diamond is lying!😁🙌🏾
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 ай бұрын
😂😂😂
@rutakihama3523
@rutakihama3523 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@sewandomkuchu9267
@sewandomkuchu9267 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@dianamueni
@dianamueni 6 ай бұрын
😂😂
@peterdeus6093
@peterdeus6093 6 ай бұрын
Mamae, upo magomeni apo
@user-bw8un9ds6t
@user-bw8un9ds6t 6 ай бұрын
Nmependa jinsi simba alivyo omba msamaha na jinsi jinsi daa zuchu alivyo pokea msamaha mpk nmetoa machozi 😅 hebu pitisheni ndoa mudekezane
@nohumanislimited703
@nohumanislimited703 6 ай бұрын
Next time zuchu vaa hata dera mambo gani haya show nzima kupandisha longi
@mumyomary1812
@mumyomary1812 6 ай бұрын
Altona zuchu anamkwepa mondi tujuane😂😂
@hassanmwallimu5767
@hassanmwallimu5767 6 ай бұрын
And top of that kwanini wanazini na wazazi wao wanatazama tu au ndo maokoto dini pembeni
@lydiahmartinz925
@lydiahmartinz925 6 ай бұрын
Mond stop using her for ur own benefit pls.
@user-xb5fd1yf5w
@user-xb5fd1yf5w 6 ай бұрын
Kama kweli unampenda muoe
@jameskasololo8594
@jameskasololo8594 6 ай бұрын
Aaaah jamaa mnafiki kila corner
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 6 ай бұрын
Acha kuongopea watu unampenda mbona huoi
@abeidbhuzo520
@abeidbhuzo520 6 ай бұрын
Hamna kitu… iz ni showbizz…
@kafilathsalami5314
@kafilathsalami5314 6 ай бұрын
❤❤❤
@user-yp3zf6cg7s
@user-yp3zf6cg7s 6 ай бұрын
Ayo ni maneno baada sho
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 6 ай бұрын
Sisi wazanzibar ni wema sana tena sana popote tunachukua ushindi wa heshima na Busara na ukarimu na ustahmilivu hiyo ndio sifa yetu wazanzibar
@wholeheartedMotivations-dj6rr
@wholeheartedMotivations-dj6rr 6 ай бұрын
Amempenda vile alivyoo
@nelimakitindaa6358
@nelimakitindaa6358 6 ай бұрын
Unapenda kiki wewe kijana😂😂😂
@Michaelmwamba-fi2lq
@Michaelmwamba-fi2lq 3 ай бұрын
dah ogopa siku mwanamke akichafukwa wanakuaga na roho mbaya kwaiy sk mond imefika mwisho utakoma
@user-tx9yp3rx9c
@user-tx9yp3rx9c 6 ай бұрын
Mmmmmh akiamung mapnz uchiziiii
@iddiali8057
@iddiali8057 6 ай бұрын
MUOGOPENI ALLAH S.W
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 ай бұрын
😢
@sululuzungu9587
@sululuzungu9587 6 ай бұрын
Mwenyew hapo k yke yot imelowa hpo kuona rah anavozungumzia😂😂
@JosephMumuza
@JosephMumuza 6 ай бұрын
Umemutchezea sana mtoto wawatu Bana sumuowe jamaniii
@jonesbaraka7506
@jonesbaraka7506 6 ай бұрын
Tuache utani huyu mwanamke anautamu sio rahisi mwanaume aropokwe ivo
@hajihchumah3206
@hajihchumah3206 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 6 ай бұрын
Hahaaa
@FaridaFaridaseif
@FaridaFaridaseif 3 ай бұрын
Zuchu kakazaa mara hii ht baada ya kuombwa msamaha hakumshobokea kumrukia kumkumbatia . Km kamshit flani anaona km anamlaghai tuni km mara hii kawekeza kwenye kazi yake
@aishaahmed269
@aishaahmed269 2 ай бұрын
Ukweli utakuweka huru simba anasimama kwenye ukweli mpaka
@Fauzia2090
@Fauzia2090 6 ай бұрын
Mtu gani anaomba msamaha kavaa miwani, msamaha wa kinafiki.
@louloubika8603
@louloubika8603 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@shishgal2274
@shishgal2274 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@ChristinaKirangi
@ChristinaKirangi 6 ай бұрын
Polezuchu
@ChristinaKirangi
@ChristinaKirangi 6 ай бұрын
😕😕😕😕😕😕😕😕
@ChristinaKirangi
@ChristinaKirangi 6 ай бұрын
😕
@ZubedaRadjabu
@ZubedaRadjabu 4 ай бұрын
Zuu pole sn ila ww unampendo mondi sn hnazidish sikuu moja utakuj kufa jili ya mondi pol sn ntafuta mwengin zuu utapat so mondi mwenyew tuu tafut unapat pol apo na bado
@fatumamnyenze9696
@fatumamnyenze9696 5 ай бұрын
Hao waume n viuno jamaniii 😂😂kwisha
@user-yx3ic8zy9e
@user-yx3ic8zy9e 6 ай бұрын
Yaani huyu Zuchu hawezi ku trend mpaka alete kiki alikuwa anajuwa show yake itabuma wakaleta usanii wa kiki yaani mmeishiwa nyie wajinga
@fatumamnyenze9696
@fatumamnyenze9696 5 ай бұрын
Zuchu kifua pia hamnaa😂😂😂
@hellenrobi5775
@hellenrobi5775 6 ай бұрын
Mm najua malaya ubadilika zucha anaeza fanya Mondi aache umalaya juu ata Mondi awez kua kijana kila siku muda unaisha
@WinnieUmanzi
@WinnieUmanzi 6 ай бұрын
Wanya harusi 😂😂😂😂marry zuchu😂will know the truth
@user-jx5ze8ni4y
@user-jx5ze8ni4y 6 ай бұрын
HahhHa eti unatuzungua yakawaida hayo
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 6 ай бұрын
Una mambo Zuhura
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 6 ай бұрын
Zuchu alukie wap ww mwanaume star, mwenye Hera anakuomba msamaha utarukia wap😂😂😂
@ARIELLAMITCH
@ARIELLAMITCH 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@EdghaMoses-js8lj
@EdghaMoses-js8lj 6 ай бұрын
🤝
@Kadebecomedy
@Kadebecomedy 6 ай бұрын
Mondi mungu anakuona acha unafki bhana ww mapenzi wapi na wap ww kaz yako ni kunyandua na kuwabwaga
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 6 ай бұрын
Munafki ni wewe! Hutaki waludiane!!! Kwenda kabisa
@Kadebecomedy
@Kadebecomedy 6 ай бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc hivi mondi tokea lin akaweka kambi kwa mwanamke?
@peninahmueni3256
@peninahmueni3256 6 ай бұрын
Mapenzi ujinga tuuuu
@user-wc9xs6ww7w
@user-wc9xs6ww7w 6 ай бұрын
Zuchu aolewe buana
@emmanuelmathias1509
@emmanuelmathias1509 6 ай бұрын
mashabiki waliokuwepo kwenye show walikuwa hawataki mond asamehewe
@ashakijaji5869
@ashakijaji5869 6 ай бұрын
Sijui chizi ww di
@hassanmwallimu5767
@hassanmwallimu5767 6 ай бұрын
Kwasababu hiyo diamond kwanini amuoi na uwezo wa kukaa na mke anao shame on him
@user-hn3km9ex5r
@user-hn3km9ex5r 6 ай бұрын
Boss kabaki kufanya kiki ila kumpromote msanii wake Lavalava hawezi ila angekua ndio konde anayafanya haya mbona vinuka midomo yangewatoka mengi ama ndio tuseme nyani haoni kundule 😅😅😅
@giztony2009
@giztony2009 6 ай бұрын
Ww boya huyo mvuta bangi wako kawafikisha wapi wasanii wake
@user-hn3km9ex5r
@user-hn3km9ex5r 6 ай бұрын
@@giztony2009 si uvute na wewe pumbavuu kwani kakushika mdomo,ngedere wewe chefuuuuu
@TheBossOdhis
@TheBossOdhis 6 ай бұрын
Uyu amerogwa
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 6 ай бұрын
Kumbe ilikuwa kiki ya kupush show😂😂
@merinamoses7629
@merinamoses7629 6 ай бұрын
Kabisa
@ashaali7154
@ashaali7154 6 ай бұрын
Wewe unalaumu wanawake ulioachana nao wewe mwenyewe umejiona una pesa ukawatumia na kuwaumiza na kuwaacha kama takataka lakini hujioni hizo pesa zitakwisha siku moja.
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 6 ай бұрын
Huyu mond kimuziki basi tena jua lishakua la jioni aendelee tu na hizi kiki za kijina
@user-jh9yv1zp1l
@user-jh9yv1zp1l 6 ай бұрын
Mapenz yanaum boya ww,ach kuksrk fal ww
@jacobsadock3530
@jacobsadock3530 6 ай бұрын
Mondi anajua kucheza naakili za mabinti, Ila nazani pia pesa Inaongea
@tabiaramadhani2348
@tabiaramadhani2348 6 ай бұрын
MOND ACHA TABIA MBAYA
@blessedlu8836
@blessedlu8836 6 ай бұрын
@ Drezzy radio please come and see how this game is played eeeehhhhhh!!!!
@leonidamachuru5960
@leonidamachuru5960 6 ай бұрын
Drezzy ndio nini hana lake
@mariammuslim2987
@mariammuslim2987 6 ай бұрын
Aki mapnz yamekuathiri zuuuu au muamala ndio unakuzubaisha tuseme,,,,,jus try to move on and mind your pez darling 💕💕💕 ,,,anakuchukulia mjinga Kati ya wanawake wajinga duniani,,,,nipo pale mtakuja kunambia
@user-uq3cn1jh6u
@user-uq3cn1jh6u 6 ай бұрын
Simba ni muongo bana😂😂
@kelvinduper
@kelvinduper 6 ай бұрын
😂😂😂 alooooohh
@user-jm6dr3hd1y
@user-jm6dr3hd1y 6 ай бұрын
Nyinyi niwazinifu tu hakuna chochote hapo
@AbdillaahAbdillah
@AbdillaahAbdillah 6 ай бұрын
Ipo siku moja watajuta
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 6 ай бұрын
wazinifu wakubwaa
@graceamadi1096
@graceamadi1096 6 ай бұрын
Takia hata adui yako mazuri
@Lulu-rh4zy
@Lulu-rh4zy 6 ай бұрын
Nihatari
@iddiali8057
@iddiali8057 6 ай бұрын
UOGOPENI MOTO
@ntabyoetienne2508
@ntabyoetienne2508 6 ай бұрын
Acheni kiki za ujinga weye Diamond ju ya show ya zanzibar unaunga buvitu bya watoto kimapenzi 😅
@tabiaramadhani2348
@tabiaramadhani2348 6 ай бұрын
USIMTESE ZUCHU
@Nyanda506
@Nyanda506 6 ай бұрын
Bongo bana ..ujinga ujinga tu
@lebelgross2656
@lebelgross2656 6 ай бұрын
Simba dwanzi sana nowadays
@nicolerose5112
@nicolerose5112 6 ай бұрын
Zuu umulig muongo
@lukacjackson3342
@lukacjackson3342 6 ай бұрын
Acha drama ww
@messiahfeatures3994
@messiahfeatures3994 6 ай бұрын
Mbn tumbo la zuchu limetepeta hta mtoto mmoja hana au anatoaga?
@honolinachulu6473
@honolinachulu6473 6 ай бұрын
Nilikuwa natafuta hii comment😂😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 ай бұрын
Ata mm😂😂😂
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 6 ай бұрын
Hivi kuna anae amini kua eti wameachana hizo ni kiki zao tu za kijinga lao liende
@hassanmwallimu5767
@hassanmwallimu5767 6 ай бұрын
Lier big time
@user-hn3km9ex5r
@user-hn3km9ex5r 6 ай бұрын
Domo bila kiki hatoboi alafu Zuchu anatumika tu maskini
@graceamadi1096
@graceamadi1096 6 ай бұрын
They have one chemistry ata kama anatumika on the other hand anatengeneza hela
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 6 ай бұрын
​@@graceamadi1096kabisa yn
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 6 МЛН
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 12 МЛН
Секрет фокусника! #shorts
00:15
Роман Magic
Рет қаралды 29 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /31/ #love
40:19
BabaJoan
Рет қаралды 114 М.
MAUNO YA ZUCHU YAMPAGAWISHA DIAMOND JUKWAANI ZANZIBAR
9:33
TANZANIA GOSSIP
Рет қаралды 317 М.
When you discover a family secret
0:59
im_siowei
Рет қаралды 14 МЛН
IMPOSSIBLE 🍷🗿#shorts #afghanistan
1:01
AFG Wolf
Рет қаралды 8 МЛН
Лучше бегите как можно быстрее 😨
0:22
FilmBytes
Рет қаралды 1,8 МЛН
ОН ПОХОЖ НА ДЕДА МОРОЗА?🎅🏻😂😂😂
1:00
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 2,1 МЛН