Рет қаралды 61,324
Mwanamuziki @officialzuchu amefunguka kuwa miezi kadhaa amekuwa akipitia kipindi kigumu sana kwenye maisha yake, si kwasababu ya mapenzi ila ni maisha kwa ujumla
.
Zuchu anasema kuwa amekuwa anachukiwa na baadhi ya watu bila sababu za msingi, amekuwa akijitahidi kuonesha kuwa mwenye furaha lakini ndani ya moyo kuna mengi anayapitia
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Zuchu #Diamondplatnumz