Makonda aliivamia mawingu,(Claus media) na panya wa kigoma zitto kabwe,na mtoto wa kambo ni makonda ,kama umemuelewa kama nilivo elewa Mimi gonga like
@user-um8fo2cz5s2 ай бұрын
Kama tungesema SU New york ingehamia Chato dah Roma nomaaaaa
@ErickMwendwa-md2cz2 ай бұрын
Rest in peace JPM tulio wengi tunakuombea 😭😭😭😭😭
@mohoniajoseph90672 ай бұрын
Huyo Dada kwenye korasi amevua vibaya mno! Roma umetoa majibu ya maswali mengi sana tuliyokuwa nayo tangu ulipotekwa
@atenionesmo_A102 ай бұрын
Ndomaana katika mabojiano alikwepa kujibu kila alipofanya interviw
@subirafelix74132 ай бұрын
Uyo Dada 🎉🎉🎉🎉🎉ametenda haki🎉🎉
@user-xx1je7sy4h2 ай бұрын
Hii nchi ngoja ninyamaze tu lakini niseme magufurification of Africa haitasahaurika na hakuna atakayejitokeza tena nchi hii kuwapigania wanyonge kama alivyokuwa magufuri never rip mzee baba
@hakeemlionafrica68702 ай бұрын
Ngoma kali sana brother wachane hao mwanangu wewe kweli ndio mwanahalakati kama 2pac unachokisema kwa Wale waelewa huyu mtu ni kichwa sana sio hadi Afe ndio muone umuhimu wa roma salute you my homie fight for us bro👊👊👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@geofreyhilmary94502 ай бұрын
"Mtoto wa kambo akapewa Toyi la Dar alichezee" Huu mstari bana
@lampadshigonko30062 ай бұрын
makonda
@user-uv7op3id3s2 ай бұрын
Mtoto wa kambo kapewa tena Arusha
@butudeus93584 күн бұрын
Viva Roma wewe ndo mwanaharakati wa kweli 2030 wania Uraisi utapita bila kupigwa
@TazamaelLuka2 ай бұрын
"Bado vita havina Suluhu na Kupona ni Majaliwa " Kama Umeikubali hii gonga like twende pamoja
@frankkotte1172 ай бұрын
Sikuweza kuisema pombe nilijua ningepaliwa...
@athumanfuko1992 ай бұрын
@@frankkotte117😂😂😂😂Majaliwa labda Mwenyezi Mungu anawezajalia.
@kingmawese2 ай бұрын
Dahhh mr president tutaanzisha chama cha wanaharakat tukupe uraisi amini utashinda uchaguzi❤❤❤
@user-sc3ds8qd3m2 ай бұрын
Kama umekubali Latifah kapiga kolasi kali gonga like twende Sawa
@ouweydalton77322 ай бұрын
WALIO JIONA WAZALENDO WALISOMA NAMBA YA KIRUMI UKIKOSEA MIUNDO MBINU TU UMEHUJUMu UCHUMI 🔥 🔥
@mkombozimkinde75542 ай бұрын
Ukikosoa sio ukikosea
@mkombozimkinde75542 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@SuleAmber-lw2tx2 ай бұрын
Goma la kwenda hili Roma ila Magufuli atabaki kuwa Rais bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania ❤❤ Chorus ya huyo sister niiii fireeeee
@chumizola18472 ай бұрын
Ni kweli kabisa, RIP JPM
@adamjumaah26792 ай бұрын
R.i.p my president JPM😢
@gazzomaster94622 ай бұрын
Nimeitafuta hii comment Kwa mda mrefu
@SalminRahis-kd9sv2 ай бұрын
Acha unafiki
@YunusYahya-gr6ksАй бұрын
Unataka kuongea nn ww Nan kama magufuli nyie ndioo wanafki wenyewee Sasa Aya Sasa SEMA raisi wakoo boraa paka ww@@SalminRahis-kd9sv
@melomusictz10792 ай бұрын
Huyu Latifa kaka nampa maua yake mapema 🌹🌹🌹🌹🌹
@BOB_SHEBY_NINJA2 ай бұрын
Kweli huyu latifa ni mtu na nusu yan kiitikio ni kikali san
@MICHAELEDWIN-fh5nq2 ай бұрын
kama una mkubali roma gonga like hapa
@user-ff6ek9iz2i2 ай бұрын
MKALI WA RAP
@MongooFabre-yg6xp2 ай бұрын
Tayar nshaambiwa nihame uku maana tangu asubh n derby inapigwa tu volume 80. Sina tatizo na Ngoma zako maana zinataka utulivu kusikiliza.❤❤ 🌺 🌹 🌹
@kmotivation11302 ай бұрын
Rest in peace Magufuli ulitenda vema na wema wako tuta ukumbuka zaidi, washenzi washenzi ndo hawajui wema wako
@sefoo80842 ай бұрын
Paka aliyemteka Roma sii ndiye aliyevamia MAWINGU (clouds fm)🔥🔥
@BOB_SHEBY_NINJA2 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-uf7oh5eu4v2 ай бұрын
Fact 👍
@davidnyaonge20352 ай бұрын
Vita haina Suruhu kupona ni Majaliwa....Kwakifupi nchi hii inamuhitaji MAJALIWA roma kama nimemuelewa hapa
@user-re1ci6dr5u2 ай бұрын
Uko sawa
@awessomdugwa34822 ай бұрын
Hahah ila harmonize😂
@user-uf7oh5eu4v2 ай бұрын
Fact 👍
@NestymwampambaMwampamba2 ай бұрын
Niyeye ROMA alie toa Album kali sana tumusapoti 💪💪💪💪🤝🤝
@tmagoti2 ай бұрын
Mwanangu Ibra umeunguruma sana humu ndani. SOLIDARITY!!
@samwelmeela83842 ай бұрын
Oyaaaaa Mwanangu Roma Mkatoliki umeua umemaliza kila kitu bablaii Huyo Panya wa kigomaaa 😂
@hhurbert2 ай бұрын
Paka paka tu mapaka Afe ndo Panya waongee. Ndo umejitokeza kumfunga Marehemu paka kengele. IZZO B ALimwambia Ridhiwan aongee na Mshua. Sasa ongea na mtekaji aongee na mama
@philipedward60902 ай бұрын
Hii Ngoma hatari sanaaaa keep it up broo Roma ww ni kama lenzi Kwa wasioona
@sleifikhajjir2622 ай бұрын
Huu wimbo mpaka uwe umepata A ya mathmati. Ndio utaelewa
@erricquejohansen2 ай бұрын
achana na hao wapenda michuzi... utakuta mtu anatoa macho eti wimbo mbovu.
@Tesha20002 ай бұрын
💞
@godfreynoya66702 ай бұрын
Hakika
@GiftLuhanga-sl6vk2 ай бұрын
Latifah kaua sana 🎉🎉🎉.Roma huyu mdada ulikutana nae wapiiiii maaana ndo kwanza anasikika na ametembea sana....kama mkongwe wa game.
@BOB_SHEBY_NINJA2 ай бұрын
Kweli kabisa huyu dada apewe pongezi zake tu
@kashiririrkaasongwisye94872 ай бұрын
Roma kwa huu wimbo Mbingu zinafunguka Mungu akubariki sana
Ngoja niwaambie ukweli watanzania iko hivi unaweza ukawa unamchukia mtu juu ya matendo aliyo kufanyia lakini ukawa unampenda kwa kazi alizo wafanyia walimwengu niseme tu Mungu akunariki Roma, Rest in peace Mzee wetu Magufuli ❤❤❤❤
@AffectionateBeagle-ni7ht2 ай бұрын
Nina saanaa
@PizzoBeatz2 ай бұрын
Hapa huyu paka ni nani mniambie tafadhali Watanzania 🇰🇪🇰🇪.. Kama unaamini hii albam ni kali zaidi ya yule muuza korosho like hapa
@johnsilima16292 ай бұрын
Ruto😢
@user-pb3ub3gl4q2 ай бұрын
Kamuongelea marehemu Magufuli kwa 90%, na Makonda kamuongelea kwa 10%(kuhusu kutekwa)
@user-kh8zm6cv8s2 ай бұрын
Li magufuli kudadaek
@triphonechami10372 ай бұрын
Paka Hayati Magufuli na panya ni Msaidizi wake
@frankkotte1172 ай бұрын
Anadiss maiti huyu😂😂😂
@MwanduMagida-gv9od2 ай бұрын
Walio jifanya wazalendo wakukosoa Maendeleo Walipewa kesi ya uhujumu uchumi🎵🎶🎶🔊🔥🔥
@mbarukally5072 ай бұрын
Baada ya kusikiza huu wimbo nilisema kumanina Wallah Ngoma kali wazee
@safarivahocha80772 ай бұрын
Ipo siku nyimbo za Roma zitatumika kufundisha historia ya Tanzania.
@saluuhans2 ай бұрын
Sure
@vincentcharles43852 ай бұрын
Labda somalia
@safarivahocha8077Ай бұрын
@@vincentcharles4385 Kwanini ndugu?
@worldrapamako39602 ай бұрын
😂😂❤Demu wangu ashazoea hip-hop sababu Kila akija geto playlist yangu ningoma za Roma round Moja naanza na mathematic, viva Roma, 2030 alafu nakojoa kwa Zimbabwe dk kama 20 Sasa naongeza albam my jmoc tare 8/6/2024 njoo ujipakulie pumbu na albam kama kifungashio😂😂😂
Hii ngoma sio Kali Ney wa mitego ndo sauti ya watu . Bro Roma acha makasiliko .Raisi Magufuri tulimkubali sana . Acha kufukua Makaburi . Mzee alikua the Best. Kile chama pinzani ndo kilikua kinakutumia
@minicooper96422 ай бұрын
The best kwako wewe Sasa Ney kajifunza kwanani kama sio kwa Roma? Yeye yamemkuta wewe na mimi tulimuona akivimba kwenye tv.
@dismashaule16312 ай бұрын
Huyu ndo msanii Bora wa Hip hop na mwana harakati kma Nay wa mitego. Ngoma kali na ujumbe mzuri lakini bdo saa paka shume kaondoka ssa ivi tuna paka jike
@stylishgenius98862 ай бұрын
Tukaskia kidoti ndio 🤱. Baby 😮😮😮 ,kama nawewe uliskia weka like
@chrispinally24202 ай бұрын
wale tunao mkubali Roma gonga like 👍🏾 tukisonga mbele 🤲🏾🤲🏾😅🔥🔥🔥
@alexlucas15712 ай бұрын
Wimbo Bora wa mwaka huu 2024 Ila aliemteka Roma au baaaaas😂😂😂
@onesmongenzi34712 ай бұрын
Aliyevamia mawingu (maana yake aliyevamia clouds FM)
Nyimbo 1 albam tatu za mr korosho kama unakubaliana namim gonga like twende
@user-ih6hk5nh7v2 ай бұрын
Huu wimbo umefanya nimefuta nyimbo zote za harmonize
@tato89792 ай бұрын
😂😂😂
@wa-mbeyaTv47252 ай бұрын
😂😂😂😂 subir comment ya harmonize kwa comment yako
@J_Jeromy2 ай бұрын
😂😂😂
@kadmc91242 ай бұрын
😂😂😂😂
@hamismohamed3541Ай бұрын
😂😂😂
@ibrahimmkala43362 ай бұрын
Kenya njooni hapa,this is now hiphop,si kuimba mapenzi na drugs saa zote,Hii ngoma unafaa kuiskiza kama mara 10 ndo ushike anasema nini,big up Roma,this is why i love Hiphop
@Tesha20002 ай бұрын
Tz wazee wa hip-hop ni roma, nay, dizasta,nacha wengne sijawaelewa ila nay na roma wajengewe sanam paleeeeeee makumbusho😊
@user-er3ss1gw8l2 ай бұрын
Ata lugha inawashinda wapuuzi wanarudi kuimba kilugha
@triga24x2 ай бұрын
Napenda the way Roma anaendelea kuwapa shavu Fresh Artist naamini mimi pia one day #NIPENIMAUAYANGUTHEALBUM❤🙌
@Emilyojijo-ro8ps19 күн бұрын
Siku paka akishibaa mwambie panya tunataka katiba jamn hii ngoma duuuuuh
@byamungurashidi852 ай бұрын
Congratulations to you my brother Roma tu nataka urudi tena Afrique. This is king byam's from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 i'lk you so much my brother
@mofaya48072 ай бұрын
Roma we mwanangu ila kwa magufuri mzee hapan 🙌
@user-dx8bk9oj4g2 ай бұрын
Panya wa kigoma waliyemjua wa like twende sawa😂😂😂😂
@abdulmohd68802 ай бұрын
Zitto Zuberi Kabwe😂
@user-dx8bk9oj4g2 ай бұрын
😂😂😂😂😂@@abdulmohd6880
@godblessluvanda98082 ай бұрын
Jepesi Kabwe😊
@Siitak-ccm2 ай бұрын
Zitto mwinyi
@swillazelloАй бұрын
Zt
@othinielmnango48882 ай бұрын
Roma apewe maua yake, kama unampa huyu mwamba maua comment hapa au like
@MapatoJovenary162 ай бұрын
Mtu mmoja alike comment yang ili badae nirud
@bramzymedia45532 ай бұрын
Fala kweli ww
@user-kw8uw9fe1y2 ай бұрын
kwesha
@theclassicone74702 ай бұрын
Kwani aliyemteka Roma si ndo aliyevamia mawingu.... Hapo sasa
@onesmongenzi34712 ай бұрын
Clouds FM
@salimsemvua93182 ай бұрын
@@onesmongenzi3471 makonda ndo alimteka mwamba
@mwamwajaonline18812 ай бұрын
Clouds hiyo
@mossiewiser2 ай бұрын
Naogopa mimi 😮😮 Arusha mpooo
@japhethmwimba48492 ай бұрын
Kwaiy paka ndo mwenda zake panya anatawala 😢😢😢mmd duuuh
@Chimgege2 ай бұрын
“Bado vita vina suluhu na kupona ni majaliwa nisingeweza kuisema pombe ningejua ningepaliwa”
@joshuasakwa15482 ай бұрын
Majaliwa ni nani huko 256 juu sielewi Mimi please
@user-ci1dk6zy3v2 ай бұрын
Sema huyu dada Latifah ameua sana kwenye hii ngoma 🙌🙌🙌🙌❤
@miangijunior43582 ай бұрын
Ishi Sana Bro ALLAH akufanyie wepesi katika Dunia na kesho Akhera Amiin 🤲
@JoshuaGodifreyJoshua2 ай бұрын
Haya wale mashabiki wa Ile Album ya kumsifia Chifu Hagaya njoon hapa mtoe povo 💪💪💪 Roma
@dancemachinecrew64802 ай бұрын
Hii albam sio poa song zote roma ntakuja kucoment tena nkielewa nyimbo maana nmeamua kubadilisha playlist kwanza niweze kuelewa maneno yako
@Dotto-m3b25 күн бұрын
Oaaaah kaka mekubali aseee,,,, Sema just pull up pengine ukashikilia hip hop kama afande sele
@safarivahocha80772 ай бұрын
Roma asipewe tu Maua yake. Ajengewe sanamu kabisa.
@user-gy2nh7sq9w2 ай бұрын
Umetukosea kaka Kumbe kunamda hata saa mzima husema uongo😮
@streetpoint83402 ай бұрын
Bado vita haina suluhu nakupona ni majaliwa sikuweza kusema pombe nilijua ningepaliwa!!!🔥🔥🔥🎵🎵
@allychiranga9998Ай бұрын
Oy uyukamaa inafikiria ni mwambaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@lubokatimotheo2 ай бұрын
Ukikosoa tyuu miundo mbinu umehujumu uchumi
@naimunaimu23122 ай бұрын
Roma siku moja ufanye colabo na tundu lissu. Mtaua Sana kwenye hiyo ngoma
@user-lb6xw9fg1u2 ай бұрын
Daaaa jamani goma Kali San
@suleimanmohamed59918 күн бұрын
Sawa kaka roma ila watz wengi tulimuelewa King MAGU r.i.p magufuli
@hesaujames80042 ай бұрын
Daaaaah bro nyimbo imebeba hisia sana 😢 big up sana
@geofreyanania11082 ай бұрын
Ebana eeeeeeeeeeeeee bonge Moja la Ngoma🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@user-uv7op3id3s2 ай бұрын
Huyu jamaa kweli ni mwanahabari na sio rapa Karibu nyumbani mwamba paka kashiba ili tudai katiba yetu
@WasafiWasafi-up6du2 ай бұрын
Doooohhhh jameni hii ni moto tenaaaaaa ❤❤
@rashidally66422 ай бұрын
Ok nyau nyau nyau atamfunga nani paka kengere😢
@naimunaimu23122 ай бұрын
Vita vinasuhu kupona nimajaliwa. Kama umeelewa gonga like👍
@fredrickokoth17002 ай бұрын
I love this song so much huyu mwamba mkali,na dada pia sauti iko on top
@yohanaleska36292 ай бұрын
Wewe baba unakiti chako heaven mkuu ..roma unajua wewe ndo msanii peke yako bongo niacheni tu niseme hvii..cjagathabika lakini..
@swafaayunus29162 ай бұрын
Kenya 🇰🇪 tunasema East Africa Roma Top 💯🔥
@zebdayleonard85992 ай бұрын
Bado vita ina suluhu kupona ni majaliwa skuweza kuisema pombe ningejua ningepaliwa 😊 da
@MASAWE3022 ай бұрын
Panya Alie mteka Roma ndo panya Alie vamia mawingu (clouds) ngoja panya akusikie Yuko Arusha saivi na anatrendinkinomaaa
@theemayor19602 ай бұрын
from kenya; Roma kiukweli we ni🔥🔥 siku moja paka atatoweka na panya atatawala
@peteressau-ul1rt2 ай бұрын
Da❤ huyu mwamba hatari sana mno ,
@kuyengathomas8762 ай бұрын
Yaa ndo nyimbo tunataka sisi 🔥🔥🔥
@aboubakarymbuke90472 ай бұрын
Roma anaweza ameandika sana hii ngoma kama hauna D mbili hauwezi kumuelewa ila Roma kaka umeandika Sana hii ngoma nmeisikiliza hii nyimbo aisee noma na nusu
@ramadhanihassani55422 ай бұрын
Isee Roma nakubali sana ngoma zako paka katuzima Domo isee ninoma tuliyoikubali ngoma like angalau kidogo pamoja mkatoriki saruti zikufikie ulipo
@josephtungu89362 ай бұрын
Roma kaka miaka yote hujawahi kosea nakubali sana
@abdulsalim10692 ай бұрын
Mmmmmmh kaka we ni mtu na nusu bro👍
@dennisisrael21872 ай бұрын
NGoma za mdau Yan nikisema nichungulie najikuta nmeckiliza ad mwsho one Love Viva Roma Viva
@cardoalbert13662 ай бұрын
Moja kati ya nyimbo mbovu za roma ebu muache kipenzi cha africa kipumzike salama
@ShafiiBakari-vl7lb2 ай бұрын
We niboya Kama boya wengine
@cardoalbert13662 ай бұрын
@@ShafiiBakari-vl7lb kua makini na watu unao watukana kijana
@ShafiiBakari-vl7lb2 ай бұрын
@@cardoalbert1366 sasa Kama mbovu imba wewe yaan kijana wawatu anatufumbua macho au ww ndo wale wale unanijua mm? Ndo Nini tembea huko niwe makini naww kua makini unamkosoa anaekosoa na kuelekeza vitu vyema we mpe maua yake
@exclusvetztv90112 ай бұрын
the number one song in 2 days mrejee hapaa 1 in treding....
@chogondizi77582 ай бұрын
Bado vita vina SULUHU na kupona MAJALIWA....kama una D 2 huwezi kuelewa huu mstari
@user-uk4lw7oc4r2 ай бұрын
Hiki kichwa hatariii😂 mungu akupe miaka mingi roma
@user-wq2gy8ec3w2 ай бұрын
Du! Huyo demu anaweza jaman
@user-tb2yf5pr2d2 ай бұрын
one love bruh, msemaji wetu katika harakatii za hip hop
@Manjalino2 ай бұрын
Kali sana like nyingi team roma
@mgungulem31872 ай бұрын
Bigup Roma, hujawahi kuukosea heshima mziki wa jamii, uko vzr kaka
@simonjuma29122 ай бұрын
Mimi namtafuta huyu Panya wa KIGOMA ... kigeugeu haeleweki... anaweza kutuchoma hadi sisi
@Tesha20002 ай бұрын
Zitoo😁😁😁😁
@waridypeter52562 ай бұрын
Oyaaa we roma ni roma wew kama unamkubali roma piga like apa
@stevenmarwa6322 ай бұрын
Roma wewe ni mkali sanaaa huna mpinzani hapa bongo
@saluuhans2 ай бұрын
Hip-hop for life ✊ #VivaRoma #bestRapperEver 🇹🇿
@kennix64572 ай бұрын
Roma tunakupa urai Kenya .bless up
@BOB_SHEBY_NINJA2 ай бұрын
Big up sana bro Kwanza ujumbe mzuri Pili umetumia lugha ya kisanii Tatu umetoa kwa mda sahihi Nne umemshilikisha mtu sahii Basi gonga like kama na wewe umeyaona haya🥰🥰👍👍👍
@BOB_SHEBY_NINJA2 ай бұрын
Hivi huyu latifa ni nani yan kajua kuuwa tumpe mauwa yake tu🥰🥰🥰🥰😅👍❤❤❤