No video

ROMA - Derby (Paka & Panya) Feat Latifah

  Рет қаралды 250,746

VIVAROMA

VIVAROMA

Күн бұрын

Пікірлер: 988
@IddiMbwambo
@IddiMbwambo 2 ай бұрын
Makonda aliivamia mawingu,(Claus media) na panya wa kigoma zitto kabwe,na mtoto wa kambo ni makonda ,kama umemuelewa kama nilivo elewa Mimi gonga like
@user-um8fo2cz5s
@user-um8fo2cz5s 2 ай бұрын
Kama tungesema SU New york ingehamia Chato dah Roma nomaaaaa
@ErickMwendwa-md2cz
@ErickMwendwa-md2cz 2 ай бұрын
Rest in peace JPM tulio wengi tunakuombea 😭😭😭😭😭
@mohoniajoseph9067
@mohoniajoseph9067 2 ай бұрын
Huyo Dada kwenye korasi amevua vibaya mno! Roma umetoa majibu ya maswali mengi sana tuliyokuwa nayo tangu ulipotekwa
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 2 ай бұрын
Ndomaana katika mabojiano alikwepa kujibu kila alipofanya interviw
@subirafelix7413
@subirafelix7413 2 ай бұрын
Uyo Dada 🎉🎉🎉🎉🎉ametenda haki🎉🎉
@user-xx1je7sy4h
@user-xx1je7sy4h 2 ай бұрын
Hii nchi ngoja ninyamaze tu lakini niseme magufurification of Africa haitasahaurika na hakuna atakayejitokeza tena nchi hii kuwapigania wanyonge kama alivyokuwa magufuri never rip mzee baba
@hakeemlionafrica6870
@hakeemlionafrica6870 2 ай бұрын
Ngoma kali sana brother wachane hao mwanangu wewe kweli ndio mwanahalakati kama 2pac unachokisema kwa Wale waelewa huyu mtu ni kichwa sana sio hadi Afe ndio muone umuhimu wa roma salute you my homie fight for us bro👊👊👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@geofreyhilmary9450
@geofreyhilmary9450 2 ай бұрын
"Mtoto wa kambo akapewa Toyi la Dar alichezee" Huu mstari bana
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 2 ай бұрын
makonda
@user-uv7op3id3s
@user-uv7op3id3s 2 ай бұрын
Mtoto wa kambo kapewa tena Arusha
@butudeus9358
@butudeus9358 4 күн бұрын
Viva Roma wewe ndo mwanaharakati wa kweli 2030 wania Uraisi utapita bila kupigwa
@TazamaelLuka
@TazamaelLuka 2 ай бұрын
"Bado vita havina Suluhu na Kupona ni Majaliwa " Kama Umeikubali hii gonga like twende pamoja
@frankkotte117
@frankkotte117 2 ай бұрын
Sikuweza kuisema pombe nilijua ningepaliwa...
@athumanfuko199
@athumanfuko199 2 ай бұрын
​@@frankkotte117😂😂😂😂Majaliwa labda Mwenyezi Mungu anawezajalia.
@kingmawese
@kingmawese 2 ай бұрын
Dahhh mr president tutaanzisha chama cha wanaharakat tukupe uraisi amini utashinda uchaguzi❤❤❤
@user-sc3ds8qd3m
@user-sc3ds8qd3m 2 ай бұрын
Kama umekubali Latifah kapiga kolasi kali gonga like twende Sawa
@ouweydalton7732
@ouweydalton7732 2 ай бұрын
WALIO JIONA WAZALENDO WALISOMA NAMBA YA KIRUMI UKIKOSEA MIUNDO MBINU TU UMEHUJUMu UCHUMI 🔥 🔥
@mkombozimkinde7554
@mkombozimkinde7554 2 ай бұрын
Ukikosoa sio ukikosea
@mkombozimkinde7554
@mkombozimkinde7554 2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 2 ай бұрын
Goma la kwenda hili Roma ila Magufuli atabaki kuwa Rais bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania ❤❤ Chorus ya huyo sister niiii fireeeee
@chumizola1847
@chumizola1847 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa, RIP JPM
@adamjumaah2679
@adamjumaah2679 2 ай бұрын
R.i.p my president JPM😢
@gazzomaster9462
@gazzomaster9462 2 ай бұрын
Nimeitafuta hii comment Kwa mda mrefu
@SalminRahis-kd9sv
@SalminRahis-kd9sv 2 ай бұрын
Acha unafiki
@YunusYahya-gr6ks
@YunusYahya-gr6ks Ай бұрын
Unataka kuongea nn ww Nan kama magufuli nyie ndioo wanafki wenyewee Sasa Aya Sasa SEMA raisi wakoo boraa paka ww​@@SalminRahis-kd9sv
@melomusictz1079
@melomusictz1079 2 ай бұрын
Huyu Latifa kaka nampa maua yake mapema 🌹🌹🌹🌹🌹
@BOB_SHEBY_NINJA
@BOB_SHEBY_NINJA 2 ай бұрын
Kweli huyu latifa ni mtu na nusu yan kiitikio ni kikali san
@MICHAELEDWIN-fh5nq
@MICHAELEDWIN-fh5nq 2 ай бұрын
kama una mkubali roma gonga like hapa
@user-ff6ek9iz2i
@user-ff6ek9iz2i 2 ай бұрын
MKALI WA RAP
@MongooFabre-yg6xp
@MongooFabre-yg6xp 2 ай бұрын
Tayar nshaambiwa nihame uku maana tangu asubh n derby inapigwa tu volume 80. Sina tatizo na Ngoma zako maana zinataka utulivu kusikiliza.❤❤ 🌺 🌹 🌹
@kmotivation1130
@kmotivation1130 2 ай бұрын
Rest in peace Magufuli ulitenda vema na wema wako tuta ukumbuka zaidi, washenzi washenzi ndo hawajui wema wako
@sefoo8084
@sefoo8084 2 ай бұрын
Paka aliyemteka Roma sii ndiye aliyevamia MAWINGU (clouds fm)🔥🔥
@BOB_SHEBY_NINJA
@BOB_SHEBY_NINJA 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-uf7oh5eu4v
@user-uf7oh5eu4v 2 ай бұрын
Fact 👍
@davidnyaonge2035
@davidnyaonge2035 2 ай бұрын
Vita haina Suruhu kupona ni Majaliwa....Kwakifupi nchi hii inamuhitaji MAJALIWA roma kama nimemuelewa hapa
@user-re1ci6dr5u
@user-re1ci6dr5u 2 ай бұрын
Uko sawa
@awessomdugwa3482
@awessomdugwa3482 2 ай бұрын
Hahah ila harmonize😂
@user-uf7oh5eu4v
@user-uf7oh5eu4v 2 ай бұрын
Fact 👍
@NestymwampambaMwampamba
@NestymwampambaMwampamba 2 ай бұрын
Niyeye ROMA alie toa Album kali sana tumusapoti 💪💪💪💪🤝🤝
@tmagoti
@tmagoti 2 ай бұрын
Mwanangu Ibra umeunguruma sana humu ndani. SOLIDARITY!!
@samwelmeela8384
@samwelmeela8384 2 ай бұрын
Oyaaaaa Mwanangu Roma Mkatoliki umeua umemaliza kila kitu bablaii Huyo Panya wa kigomaaa 😂
@hhurbert
@hhurbert 2 ай бұрын
Paka paka tu mapaka Afe ndo Panya waongee. Ndo umejitokeza kumfunga Marehemu paka kengele. IZZO B ALimwambia Ridhiwan aongee na Mshua. Sasa ongea na mtekaji aongee na mama
@philipedward6090
@philipedward6090 2 ай бұрын
Hii Ngoma hatari sanaaaa keep it up broo Roma ww ni kama lenzi Kwa wasioona
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 2 ай бұрын
Huu wimbo mpaka uwe umepata A ya mathmati. Ndio utaelewa
@erricquejohansen
@erricquejohansen 2 ай бұрын
achana na hao wapenda michuzi... utakuta mtu anatoa macho eti wimbo mbovu.
@Tesha2000
@Tesha2000 2 ай бұрын
💞
@godfreynoya6670
@godfreynoya6670 2 ай бұрын
Hakika
@GiftLuhanga-sl6vk
@GiftLuhanga-sl6vk 2 ай бұрын
Latifah kaua sana 🎉🎉🎉.Roma huyu mdada ulikutana nae wapiiiii maaana ndo kwanza anasikika na ametembea sana....kama mkongwe wa game.
@BOB_SHEBY_NINJA
@BOB_SHEBY_NINJA 2 ай бұрын
Kweli kabisa huyu dada apewe pongezi zake tu
@kashiririrkaasongwisye9487
@kashiririrkaasongwisye9487 2 ай бұрын
Roma kwa huu wimbo Mbingu zinafunguka Mungu akubariki sana
@Dannny690
@Dannny690 2 ай бұрын
Tuliomjua Paka aliyevamia mawingu, tugonge likes hapa.
@laurent993
@laurent993 2 ай бұрын
Huyo paka alivamiwa clouds fm😅
@TmKt-kx7pq
@TmKt-kx7pq 2 ай бұрын
Wanaharakati walimsaka Ben hadi saa nane
@danielluvunzu553
@danielluvunzu553 2 ай бұрын
Ni wale wahasibu wa Daladala Asa hivi yuko na Wadudu wa A City😂😂😂😂😂
@kingsanya6860
@kingsanya6860 2 ай бұрын
ila roma ni moto wa utunzi
@EmanuelMrisho-gb5tt
@EmanuelMrisho-gb5tt 2 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/bJyBpJmDz96lmn0.htmlsi=7eCqqIH_rV_cTze3❤
@SwahiliAmbasador954
@SwahiliAmbasador954 2 ай бұрын
Ngoja niwaambie ukweli watanzania iko hivi unaweza ukawa unamchukia mtu juu ya matendo aliyo kufanyia lakini ukawa unampenda kwa kazi alizo wafanyia walimwengu niseme tu Mungu akunariki Roma, Rest in peace Mzee wetu Magufuli ❤❤❤❤
@AffectionateBeagle-ni7ht
@AffectionateBeagle-ni7ht 2 ай бұрын
Nina saanaa
@PizzoBeatz
@PizzoBeatz 2 ай бұрын
Hapa huyu paka ni nani mniambie tafadhali Watanzania 🇰🇪🇰🇪.. Kama unaamini hii albam ni kali zaidi ya yule muuza korosho like hapa
@johnsilima1629
@johnsilima1629 2 ай бұрын
Ruto😢
@user-pb3ub3gl4q
@user-pb3ub3gl4q 2 ай бұрын
Kamuongelea marehemu Magufuli kwa 90%, na Makonda kamuongelea kwa 10%(kuhusu kutekwa)
@user-kh8zm6cv8s
@user-kh8zm6cv8s 2 ай бұрын
Li magufuli kudadaek
@triphonechami1037
@triphonechami1037 2 ай бұрын
Paka Hayati Magufuli na panya ni Msaidizi wake
@frankkotte117
@frankkotte117 2 ай бұрын
Anadiss maiti huyu😂😂😂
@MwanduMagida-gv9od
@MwanduMagida-gv9od 2 ай бұрын
Walio jifanya wazalendo wakukosoa Maendeleo Walipewa kesi ya uhujumu uchumi🎵🎶🎶🔊🔥🔥
@mbarukally507
@mbarukally507 2 ай бұрын
Baada ya kusikiza huu wimbo nilisema kumanina Wallah Ngoma kali wazee
@safarivahocha8077
@safarivahocha8077 2 ай бұрын
Ipo siku nyimbo za Roma zitatumika kufundisha historia ya Tanzania.
@saluuhans
@saluuhans 2 ай бұрын
Sure
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 2 ай бұрын
Labda somalia
@safarivahocha8077
@safarivahocha8077 Ай бұрын
@@vincentcharles4385 Kwanini ndugu?
@worldrapamako3960
@worldrapamako3960 2 ай бұрын
😂😂❤Demu wangu ashazoea hip-hop sababu Kila akija geto playlist yangu ningoma za Roma round Moja naanza na mathematic, viva Roma, 2030 alafu nakojoa kwa Zimbabwe dk kama 20 Sasa naongeza albam my jmoc tare 8/6/2024 njoo ujipakulie pumbu na albam kama kifungashio😂😂😂
@dheGamingking1
@dheGamingking1 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MeshackKajela
@MeshackKajela 2 ай бұрын
Mathematics mwisho kaka😂
@user-lx7fs5bf8u
@user-lx7fs5bf8u 2 ай бұрын
Mbn akija Kwang anapenda afroest🎧🤣
@3malis
@3malis 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@KishoraKishoralimbu
@KishoraKishoralimbu 2 ай бұрын
Tisha saana mtaalam ikibidi funga na booster kbsaa yaan mpka asemeeee🎉🎉🎉🎉
@IsakaMgeje
@IsakaMgeje 2 ай бұрын
Hii ngoma sio Kali Ney wa mitego ndo sauti ya watu . Bro Roma acha makasiliko .Raisi Magufuri tulimkubali sana . Acha kufukua Makaburi . Mzee alikua the Best. Kile chama pinzani ndo kilikua kinakutumia
@minicooper9642
@minicooper9642 2 ай бұрын
The best kwako wewe Sasa Ney kajifunza kwanani kama sio kwa Roma? Yeye yamemkuta wewe na mimi tulimuona akivimba kwenye tv.
@dismashaule1631
@dismashaule1631 2 ай бұрын
Huyu ndo msanii Bora wa Hip hop na mwana harakati kma Nay wa mitego. Ngoma kali na ujumbe mzuri lakini bdo saa paka shume kaondoka ssa ivi tuna paka jike
@stylishgenius9886
@stylishgenius9886 2 ай бұрын
Tukaskia kidoti ndio 🤱. Baby 😮😮😮 ,kama nawewe uliskia weka like
@chrispinally2420
@chrispinally2420 2 ай бұрын
wale tunao mkubali Roma gonga like 👍🏾 tukisonga mbele 🤲🏾🤲🏾😅🔥🔥🔥
@alexlucas1571
@alexlucas1571 2 ай бұрын
Wimbo Bora wa mwaka huu 2024 Ila aliemteka Roma au baaaaas😂😂😂
@onesmongenzi3471
@onesmongenzi3471 2 ай бұрын
Aliyevamia mawingu (maana yake aliyevamia clouds FM)
@user-pb3ub3gl4q
@user-pb3ub3gl4q 2 ай бұрын
Hhh kasema aliyeenda kuvamia mawingu(clouds media) ndiye aliyemteka inamaana Makonda
@innocentchristopher7571
@innocentchristopher7571 2 ай бұрын
Ndo alieteka mawingu hahaha
@athanaskimaro9664
@athanaskimaro9664 2 ай бұрын
😂😂😂😢😢 alie vamia malindi Bana 😅😅
@HadijaallyAlly-vb2ui
@HadijaallyAlly-vb2ui 2 ай бұрын
Nyimbo 1 albam tatu za mr korosho kama unakubaliana namim gonga like twende
@user-ih6hk5nh7v
@user-ih6hk5nh7v 2 ай бұрын
Huu wimbo umefanya nimefuta nyimbo zote za harmonize
@tato8979
@tato8979 2 ай бұрын
😂😂😂
@wa-mbeyaTv4725
@wa-mbeyaTv4725 2 ай бұрын
😂😂😂😂 subir comment ya harmonize kwa comment yako
@J_Jeromy
@J_Jeromy 2 ай бұрын
😂😂😂
@kadmc9124
@kadmc9124 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 Ай бұрын
😂😂😂
@ibrahimmkala4336
@ibrahimmkala4336 2 ай бұрын
Kenya njooni hapa,this is now hiphop,si kuimba mapenzi na drugs saa zote,Hii ngoma unafaa kuiskiza kama mara 10 ndo ushike anasema nini,big up Roma,this is why i love Hiphop
@Tesha2000
@Tesha2000 2 ай бұрын
Tz wazee wa hip-hop ni roma, nay, dizasta,nacha wengne sijawaelewa ila nay na roma wajengewe sanam paleeeeeee makumbusho😊
@user-er3ss1gw8l
@user-er3ss1gw8l 2 ай бұрын
Ata lugha inawashinda wapuuzi wanarudi kuimba kilugha
@triga24x
@triga24x 2 ай бұрын
Napenda the way Roma anaendelea kuwapa shavu Fresh Artist naamini mimi pia one day #NIPENIMAUAYANGUTHEALBUM❤🙌
@Emilyojijo-ro8ps
@Emilyojijo-ro8ps 19 күн бұрын
Siku paka akishibaa mwambie panya tunataka katiba jamn hii ngoma duuuuuh
@byamungurashidi85
@byamungurashidi85 2 ай бұрын
Congratulations to you my brother Roma tu nataka urudi tena Afrique. This is king byam's from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 i'lk you so much my brother
@mofaya4807
@mofaya4807 2 ай бұрын
Roma we mwanangu ila kwa magufuri mzee hapan 🙌
@user-dx8bk9oj4g
@user-dx8bk9oj4g 2 ай бұрын
Panya wa kigoma waliyemjua wa like twende sawa😂😂😂😂
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 2 ай бұрын
Zitto Zuberi Kabwe😂
@user-dx8bk9oj4g
@user-dx8bk9oj4g 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂​@@abdulmohd6880
@godblessluvanda9808
@godblessluvanda9808 2 ай бұрын
Jepesi Kabwe😊
@Siitak-ccm
@Siitak-ccm 2 ай бұрын
Zitto mwinyi
@swillazello
@swillazello Ай бұрын
Zt
@othinielmnango4888
@othinielmnango4888 2 ай бұрын
Roma apewe maua yake, kama unampa huyu mwamba maua comment hapa au like
@MapatoJovenary16
@MapatoJovenary16 2 ай бұрын
Mtu mmoja alike comment yang ili badae nirud
@bramzymedia4553
@bramzymedia4553 2 ай бұрын
Fala kweli ww
@user-kw8uw9fe1y
@user-kw8uw9fe1y 2 ай бұрын
kwesha
@theclassicone7470
@theclassicone7470 2 ай бұрын
Kwani aliyemteka Roma si ndo aliyevamia mawingu.... Hapo sasa
@onesmongenzi3471
@onesmongenzi3471 2 ай бұрын
Clouds FM
@salimsemvua9318
@salimsemvua9318 2 ай бұрын
@@onesmongenzi3471 makonda ndo alimteka mwamba
@mwamwajaonline1881
@mwamwajaonline1881 2 ай бұрын
Clouds hiyo
@mossiewiser
@mossiewiser 2 ай бұрын
Naogopa mimi 😮😮 Arusha mpooo
@japhethmwimba4849
@japhethmwimba4849 2 ай бұрын
Kwaiy paka ndo mwenda zake panya anatawala 😢😢😢mmd duuuh
@Chimgege
@Chimgege 2 ай бұрын
“Bado vita vina suluhu na kupona ni majaliwa nisingeweza kuisema pombe ningejua ningepaliwa”
@joshuasakwa1548
@joshuasakwa1548 2 ай бұрын
Majaliwa ni nani huko 256 juu sielewi Mimi please
@user-ci1dk6zy3v
@user-ci1dk6zy3v 2 ай бұрын
Sema huyu dada Latifah ameua sana kwenye hii ngoma 🙌🙌🙌🙌❤
@miangijunior4358
@miangijunior4358 2 ай бұрын
Ishi Sana Bro ALLAH akufanyie wepesi katika Dunia na kesho Akhera Amiin 🤲
@JoshuaGodifreyJoshua
@JoshuaGodifreyJoshua 2 ай бұрын
Haya wale mashabiki wa Ile Album ya kumsifia Chifu Hagaya njoon hapa mtoe povo 💪💪💪 Roma
@dancemachinecrew6480
@dancemachinecrew6480 2 ай бұрын
Hii albam sio poa song zote roma ntakuja kucoment tena nkielewa nyimbo maana nmeamua kubadilisha playlist kwanza niweze kuelewa maneno yako
@Dotto-m3b
@Dotto-m3b 25 күн бұрын
Oaaaah kaka mekubali aseee,,,, Sema just pull up pengine ukashikilia hip hop kama afande sele
@safarivahocha8077
@safarivahocha8077 2 ай бұрын
Roma asipewe tu Maua yake. Ajengewe sanamu kabisa.
@user-gy2nh7sq9w
@user-gy2nh7sq9w 2 ай бұрын
Umetukosea kaka Kumbe kunamda hata saa mzima husema uongo😮
@streetpoint8340
@streetpoint8340 2 ай бұрын
Bado vita haina suluhu nakupona ni majaliwa sikuweza kusema pombe nilijua ningepaliwa!!!🔥🔥🔥🎵🎵
@allychiranga9998
@allychiranga9998 Ай бұрын
Oy uyukamaa inafikiria ni mwambaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@lubokatimotheo
@lubokatimotheo 2 ай бұрын
Ukikosoa tyuu miundo mbinu umehujumu uchumi
@naimunaimu2312
@naimunaimu2312 2 ай бұрын
Roma siku moja ufanye colabo na tundu lissu. Mtaua Sana kwenye hiyo ngoma
@user-lb6xw9fg1u
@user-lb6xw9fg1u 2 ай бұрын
Daaaa jamani goma Kali San
@suleimanmohamed5991
@suleimanmohamed5991 8 күн бұрын
Sawa kaka roma ila watz wengi tulimuelewa King MAGU r.i.p magufuli
@hesaujames8004
@hesaujames8004 2 ай бұрын
Daaaaah bro nyimbo imebeba hisia sana 😢 big up sana
@geofreyanania1108
@geofreyanania1108 2 ай бұрын
Ebana eeeeeeeeeeeeee bonge Moja la Ngoma🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@user-uv7op3id3s
@user-uv7op3id3s 2 ай бұрын
Huyu jamaa kweli ni mwanahabari na sio rapa Karibu nyumbani mwamba paka kashiba ili tudai katiba yetu
@WasafiWasafi-up6du
@WasafiWasafi-up6du 2 ай бұрын
Doooohhhh jameni hii ni moto tenaaaaaa ❤❤
@rashidally6642
@rashidally6642 2 ай бұрын
Ok nyau nyau nyau atamfunga nani paka kengere😢
@naimunaimu2312
@naimunaimu2312 2 ай бұрын
Vita vinasuhu kupona nimajaliwa. Kama umeelewa gonga like👍
@fredrickokoth1700
@fredrickokoth1700 2 ай бұрын
I love this song so much huyu mwamba mkali,na dada pia sauti iko on top
@yohanaleska3629
@yohanaleska3629 2 ай бұрын
Wewe baba unakiti chako heaven mkuu ..roma unajua wewe ndo msanii peke yako bongo niacheni tu niseme hvii..cjagathabika lakini..
@swafaayunus2916
@swafaayunus2916 2 ай бұрын
Kenya 🇰🇪 tunasema East Africa Roma Top 💯🔥
@zebdayleonard8599
@zebdayleonard8599 2 ай бұрын
Bado vita ina suluhu kupona ni majaliwa skuweza kuisema pombe ningejua ningepaliwa 😊 da
@MASAWE302
@MASAWE302 2 ай бұрын
Panya Alie mteka Roma ndo panya Alie vamia mawingu (clouds) ngoja panya akusikie Yuko Arusha saivi na anatrendinkinomaaa
@theemayor1960
@theemayor1960 2 ай бұрын
from kenya; Roma kiukweli we ni🔥🔥 siku moja paka atatoweka na panya atatawala
@peteressau-ul1rt
@peteressau-ul1rt 2 ай бұрын
Da❤ huyu mwamba hatari sana mno ,
@kuyengathomas876
@kuyengathomas876 2 ай бұрын
Yaa ndo nyimbo tunataka sisi 🔥🔥🔥
@aboubakarymbuke9047
@aboubakarymbuke9047 2 ай бұрын
Roma anaweza ameandika sana hii ngoma kama hauna D mbili hauwezi kumuelewa ila Roma kaka umeandika Sana hii ngoma nmeisikiliza hii nyimbo aisee noma na nusu
@ramadhanihassani5542
@ramadhanihassani5542 2 ай бұрын
Isee Roma nakubali sana ngoma zako paka katuzima Domo isee ninoma tuliyoikubali ngoma like angalau kidogo pamoja mkatoriki saruti zikufikie ulipo
@josephtungu8936
@josephtungu8936 2 ай бұрын
Roma kaka miaka yote hujawahi kosea nakubali sana
@abdulsalim1069
@abdulsalim1069 2 ай бұрын
Mmmmmmh kaka we ni mtu na nusu bro👍
@dennisisrael2187
@dennisisrael2187 2 ай бұрын
NGoma za mdau Yan nikisema nichungulie najikuta nmeckiliza ad mwsho one Love Viva Roma Viva
@cardoalbert1366
@cardoalbert1366 2 ай бұрын
Moja kati ya nyimbo mbovu za roma ebu muache kipenzi cha africa kipumzike salama
@ShafiiBakari-vl7lb
@ShafiiBakari-vl7lb 2 ай бұрын
We niboya Kama boya wengine
@cardoalbert1366
@cardoalbert1366 2 ай бұрын
@@ShafiiBakari-vl7lb kua makini na watu unao watukana kijana
@ShafiiBakari-vl7lb
@ShafiiBakari-vl7lb 2 ай бұрын
@@cardoalbert1366 sasa Kama mbovu imba wewe yaan kijana wawatu anatufumbua macho au ww ndo wale wale unanijua mm? Ndo Nini tembea huko niwe makini naww kua makini unamkosoa anaekosoa na kuelekeza vitu vyema we mpe maua yake
@exclusvetztv9011
@exclusvetztv9011 2 ай бұрын
the number one song in 2 days mrejee hapaa 1 in treding....
@chogondizi7758
@chogondizi7758 2 ай бұрын
Bado vita vina SULUHU na kupona MAJALIWA....kama una D 2 huwezi kuelewa huu mstari
@user-uk4lw7oc4r
@user-uk4lw7oc4r 2 ай бұрын
Hiki kichwa hatariii😂 mungu akupe miaka mingi roma
@user-wq2gy8ec3w
@user-wq2gy8ec3w 2 ай бұрын
Du! Huyo demu anaweza jaman
@user-tb2yf5pr2d
@user-tb2yf5pr2d 2 ай бұрын
one love bruh, msemaji wetu katika harakatii za hip hop
@Manjalino
@Manjalino 2 ай бұрын
Kali sana like nyingi team roma
@mgungulem3187
@mgungulem3187 2 ай бұрын
Bigup Roma, hujawahi kuukosea heshima mziki wa jamii, uko vzr kaka
@simonjuma2912
@simonjuma2912 2 ай бұрын
Mimi namtafuta huyu Panya wa KIGOMA ... kigeugeu haeleweki... anaweza kutuchoma hadi sisi
@Tesha2000
@Tesha2000 2 ай бұрын
Zitoo😁😁😁😁
@waridypeter5256
@waridypeter5256 2 ай бұрын
Oyaaa we roma ni roma wew kama unamkubali roma piga like apa
@stevenmarwa632
@stevenmarwa632 2 ай бұрын
Roma wewe ni mkali sanaaa huna mpinzani hapa bongo
@saluuhans
@saluuhans 2 ай бұрын
Hip-hop for life ✊ #VivaRoma #bestRapperEver 🇹🇿
@kennix6457
@kennix6457 2 ай бұрын
Roma tunakupa urai Kenya .bless up
@BOB_SHEBY_NINJA
@BOB_SHEBY_NINJA 2 ай бұрын
Big up sana bro Kwanza ujumbe mzuri Pili umetumia lugha ya kisanii Tatu umetoa kwa mda sahihi Nne umemshilikisha mtu sahii Basi gonga like kama na wewe umeyaona haya🥰🥰👍👍👍
@BOB_SHEBY_NINJA
@BOB_SHEBY_NINJA 2 ай бұрын
Hivi huyu latifa ni nani yan kajua kuuwa tumpe mauwa yake tu🥰🥰🥰🥰😅👍❤❤❤
@jordanjonas8009
@jordanjonas8009 2 ай бұрын
Hiiiih ndo baba lao 🔥🔥🔥🔥🔥 umeuwa sana kaka
@ikabako2454
@ikabako2454 2 ай бұрын
Masterpiece 💯✅. Mziki mzuri sana.
@sulemohammed7820
@sulemohammed7820 2 ай бұрын
Roma mwanaharakati wa kweli tz
ROMA ft Abiud - Nipeni Maua Yangu (official Audio)
7:00
VIVAROMA
Рет қаралды 2,1 МЛН
Derby (Paka & Panya) ft. Latifah (Lyrics Video)
6:01
VIVAROMA
Рет қаралды 84 М.
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 21 МЛН
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 23 МЛН
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 33 МЛН
2030
6:34
Roma Mkatoliki - Topic
Рет қаралды 4,5 М.
ROMA -  Story ndiyo Itakayobakia Feat One Six
3:54
VIVAROMA
Рет қаралды 115 М.
ROMA - Wape Habari Feat Byser & Latifah
3:32
VIVAROMA
Рет қаралды 72 М.
ROMA ft Abiud - Nipeni Maua Yangu
7:00
VIVAROMA
Рет қаралды 48 М.
Rostam Feat Ferooz - Hujambo Mwanangu (Official Audio)
4:35
Stamina Shorwebwenzi
Рет қаралды 1,4 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 21 МЛН