RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI

  Рет қаралды 67,041

Global TV  Online

Global TV Online

2 жыл бұрын

RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE ZA KIVITA AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI
Hivi karibuni tulikuletea simulizi ya Ndege ya kivita ya Ukraine, MiG-29 Fulcrum inayoongozwa na rubani aliyebatizwa jina la The Ghost of Kyiv (Mzimu wa Kyiv) ambayo ilikuwa gumzo.
Ndege hiyi ilipata umaarufu mkubwa kutokana na oparesheni za kijeshi inazozifanya katika Jiji la Kyiv ambapo ilisemekana kuziangusha ndege sita za kivita za Urusi.
Inaelezwa kwamba ndege sita za Urusi zilitunguliwa Februari 24, 2022 muda mfupi baada ya Urusi kuanza mashambulizi ya anga dhidi ya serikali ya Ukraine na kuanzia hapo, The Ghost of Kyiv amepata umaarufu mkubwa na kuungwa mkono na wananchi wengi wa Ukraine.
Tukiachana na stori hiyo, turudi hapa Bongo na tukutane na simulizi nyingine ya binti Mtanzania mwenye umri mdogo ambaye anaweza kuendesha helkopa inayoweza kutumika kwenye vita.
Huyu si mwingine bali ni luteni Usu Hasnat Akbar.
Ni binti ambaye hivi karibuni alitunukiwa tuzo ya kuhitimu masomo yake ya urubani Afrika Kusini.
Amesimulia changamoto alizokutana nazo pamoja na mambo mengine mengi. Karibu umsikilize….
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 42
@dorcasseruhere6875
@dorcasseruhere6875 2 жыл бұрын
Hongera sana na Mwenyezi Mungu akuongezee kujiamini na kazi iendelee.nakupa Big up.watunze wazazi wako
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mashallah ALLAH barik
@bartondidas849
@bartondidas849 Жыл бұрын
hongera sana dear Mungu azidi kukubariki na kukuongoza
@irenembisso1601
@irenembisso1601 2 жыл бұрын
Hongera Sana Asnat akbar
@SaidMkwabi-ho8yy
@SaidMkwabi-ho8yy 27 күн бұрын
Hongerasana kwakweli mungu akusaidie najua utapitia mitihani mingi
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
hongera mtt mzuri Mungu akusimamie lnshallha
@joackimpeter6501
@joackimpeter6501 2 жыл бұрын
Ongera sana dada kazana utuwakilishe watanzania big up
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 2 жыл бұрын
Hongera sana binti yetu we real proud about you
@RonnieMchatta-pr5bd
@RonnieMchatta-pr5bd 2 ай бұрын
Hongera sana dada keep it up
@yusufkisome639
@yusufkisome639 2 жыл бұрын
Hongera Sana binti yetu
@mkanamc8341
@mkanamc8341 2 жыл бұрын
👏👏👏👏Never give up
@user-fx2gx6fo1e
@user-fx2gx6fo1e 26 күн бұрын
Daaah tulikua wote pale TMA monduli
@alfamweta9922
@alfamweta9922 23 күн бұрын
Salut dada
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana mdogo wangu, 😘❤️
@prefectalex9397
@prefectalex9397 Жыл бұрын
ONGERA SANA...........ADAA HAPO SH GAPI
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 2 жыл бұрын
Hongera kwake
@yusuphkassimu227
@yusuphkassimu227 2 жыл бұрын
Ni jambo la kawaida sana kwani urubani hata kijana wa kdato cha nne anasoma tatizo ni kwamba unapataje nafasi kama auna mtu kwenye mfumo .
@romanambelle6356
@romanambelle6356 2 жыл бұрын
Mpe hongera mbona kama unalalamika kwa wivu
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 2 жыл бұрын
Kama ni jambo la kawaida mabinti wooooote wangekuwa huko pamoja na wewe mpe mtoto wa mwenzio hongera na wakwako atafanikiwa
@yusuphkassimu227
@yusuphkassimu227 2 жыл бұрын
@@magrethmollel1078 Hyo fani tatizo garama za malipo tu ni makubwa lakini akuna cha ajabu kwenye urubani jaribu kufatilia uone tatizo wandishi wa bongo wamechukulia kama kitu cha ajabu sana ndio nacho Pinga .
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 Ай бұрын
​@@yusuphkassimu227urubani una vitu vingi, masuala ya kusema hakuna cha ajab ni kelele za tembo, otherwise kila mtu nchi hii angekuwa rubani
@saddamrashidmohmmedsaddamr7378
@saddamrashidmohmmedsaddamr7378 2 жыл бұрын
Nice
@RonnieMchatta-pr5bd
@RonnieMchatta-pr5bd 2 ай бұрын
Very good
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Hongera sana
@faridaaloyce7672
@faridaaloyce7672 2 жыл бұрын
Hongera dada
@vintz338
@vintz338 2 жыл бұрын
Huna connection undeshe ndege ya Nan? Endesha ungo wako msumbuane huko mtaani. Kunawatoto huku mtaani ni talented had unaumia ,hawana exposure tu,Ila fresh ...watu wa kawaida huku mtaani ndo wanaolewa
@benitoilulatvpilla144
@benitoilulatvpilla144 2 жыл бұрын
Keel big
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 Ай бұрын
Haina connection, kwa jeshi la wananchi kama una vigezo wanavyotaka wanakupeleka kozi wenyewe
@Jr_gavana
@Jr_gavana 2 жыл бұрын
Bongo bwana
@user-pt3io6ud2h
@user-pt3io6ud2h Ай бұрын
Sasa siamna vita..
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 2 жыл бұрын
wabongo bhana sasa huyu helkopta yule wa uganda anayesukuma ndege kubwa mbona awajisifii hivi dah😂😂😂😂😃😃😃😃
@Thomas-lm1dq
@Thomas-lm1dq Ай бұрын
Hivi unajua license ya ATPL na CPL au unaropoka tu. Huyo anaweza kurusha ndege kubw kabisa ya abiria. Fuatilia hizo kozi za leseni za urubani alizosema zina kuwezesha kurusha ndege gani. Siyo helicopter (hovercraft) pekee.
@justinemico1871
@justinemico1871 2 жыл бұрын
Hii nchi bwana kama huna watu wewe wahi shamba lako tu huko kijijini. Watu hata salute tu hamna kitu .
@faridamohamed4677
@faridamohamed4677 2 жыл бұрын
Hongera binti wa Rashid Ajali Akbaru .mmefanana sana baba Allah amrehem
@dodwiedwin3944
@dodwiedwin3944 2 жыл бұрын
Kwa hiyo ulitaka akusaluti ww!
@mdosephayta8075
@mdosephayta8075 Ай бұрын
😂😂😂ebwana eeeh atakayesema bongo bahati mbaya mpige makofi
@malitomalito
@malitomalito 14 күн бұрын
Bongo sio Bahati mbaya viongozi ndio Bahati mbaya
@muhammadjuma8457
@muhammadjuma8457 Ай бұрын
Gost sio mtu icho ni kikosi maalum cha jeshi huku ukreni kinaitwa ivo na sio mtu
@mongosimon2065
@mongosimon2065 Ай бұрын
Vp
@samlove6339
@samlove6339 2 жыл бұрын
Kabinti kazuri
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 2 жыл бұрын
Nani kamwona yule dada corporal,nimemfurahia anavyo'match'
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n Ай бұрын
Nimemuona mzee na anabeba mzigo nyuma kinomanoma
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Global TV Online
Рет қаралды 790 М.
Indian sharing by Secret Vlog #shorts
00:13
Secret Vlog
Рет қаралды 57 МЛН
100❤️ #shorts #construction #mizumayuuki
00:18
MY💝No War🤝
Рет қаралды 20 МЛН
1❤️
00:20
すしらーめん《りく》
Рет қаралды 33 МЛН
I Need Your Help..
00:33
Stokes Twins
Рет қаралды 147 МЛН
SHEMA: RUBANI MTOTO wa MIAKA 7, ANAYEJIANDAA Kwenda SAYARI ya MARS...
8:37
KINGWENDU AKATWA VIDOLE ZIMBABWE 🇿🇼  AZULUMIWA PESA 🤣
21:01
KINGWENDU OG TV
Рет қаралды 1,4 МЛН
Indian sharing by Secret Vlog #shorts
00:13
Secret Vlog
Рет қаралды 57 МЛН