Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa

  Рет қаралды 105,871

Azam TV

Azam TV

5 жыл бұрын

Rais Magufuli aliposikia sababu za wafanyabiashara wanavyosafirisha madini "kiujanja" kutokana na msusuru wa malipo.
Sikiliza mlolongo huo na namna Rais anavyosikiliza.

Пікірлер: 37
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 Ай бұрын
Mungu azidi kumpumzisha jpm.
@beatuskazimily457
@beatuskazimily457 5 жыл бұрын
Hongera xn umefunguka
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 5 жыл бұрын
huu jamaa yuko sahihii sana alio yaongea hajakosea kabisaa
@stevenpaskali9590
@stevenpaskali9590 5 жыл бұрын
nikweli kaka hongera sana
@danielyfidelis7102
@danielyfidelis7102 5 жыл бұрын
huyu jamaa anajua njia nyingi
@akidasalim9798
@akidasalim9798 5 жыл бұрын
Mh hongera baba
@wilemakunga1016
@wilemakunga1016 2 жыл бұрын
Allah akulaze mahali pema peponi
@notburgamaskini7324
@notburgamaskini7324 Жыл бұрын
Apumzishwe kwa amani Mungu amlipe kwa mema haya na mengi ya haki aliyotutendea
@fraviansweetberty8819
@fraviansweetberty8819 3 жыл бұрын
Mara ih atukusikii ata saut Jpm wetuuu dunian ama tunapta
@jerrywilhelm
@jerrywilhelm 5 жыл бұрын
Nimekuelewa mwinji
@chumilahazard2713
@chumilahazard2713 5 жыл бұрын
nikwel kabisa muinjilist
@salumabdallah5529
@salumabdallah5529 5 жыл бұрын
saf sana
@mawazoaliselemani8909
@mawazoaliselemani8909 2 жыл бұрын
WATU wana uchungu na TAIFA
@yudamsafiri7427
@yudamsafiri7427 4 жыл бұрын
Bila chenga kabisa
@apboy8944
@apboy8944 2 сағат бұрын
My former president r.i.p 🙏🙏
@farajikilindila8907
@farajikilindila8907 2 жыл бұрын
Ni raisi mwenyewe msimamo Sana na mfuatiliaji hatu kwa hatu toka akiwa waziri wa ujenzi kwakwel atutopata raisi mwenyewe msimamo km huyu tena
@wilemakunga1016
@wilemakunga1016 2 жыл бұрын
Dah jpm tutakukumbuk
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 2 ай бұрын
Dah Mzee Magu RIP 😢 🙏
@wycliffenyamweya.w
@wycliffenyamweya.w 6 ай бұрын
Ndugu mnenaji mwema tu Hadi kaongezwa muda size yake tu,heko🎉jamani naye rais aliyekuwa na maslahi ya nchi yake rohoni make apumzike Kwa amani🙏
@eliaslazaro2809
@eliaslazaro2809 2 жыл бұрын
Mwinjilist Solomon nyang'hwale nakuona mtumishi.
@mohamedyeslam5194
@mohamedyeslam5194 Ай бұрын
Jamaa ako Sawa Kwa maelezo, magufui mchaguwe huyo jamaa
@kassimloav2402
@kassimloav2402 2 жыл бұрын
Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli
@abuumashua4971
@abuumashua4971 Жыл бұрын
Nikweli asa ayo ndio usika tunamkumbuka sana aliekuwa rais wetu rais wawanynge rais mwenye ofu ya mungu wamemziki kwaaliokuwa anatufanyia watanzania amepambana namafisadi ametutia ujasiri watanzania wote eeeeh ulazwe pema peponi arp josefu pombe makufuli
@hamidmkwizu6379
@hamidmkwizu6379 2 жыл бұрын
Mungu aku
@abdillahkinande1057
@abdillahkinande1057 Ай бұрын
😅 😊
@kassimloav2402
@kassimloav2402 2 жыл бұрын
Uongoz Wa maguli hakuna kiongozi anayesema vijisent au helaya chai maliuma unasema hela ya chai vijisent ni aibu
@feisal6592
@feisal6592 Жыл бұрын
Suluhisho ni machine tu
@emmanuelsanga34
@emmanuelsanga34 2 жыл бұрын
Wazalendo was kweli
@fidelislugusi5361
@fidelislugusi5361 Жыл бұрын
R.i.p Jpm
@patrickmarwa5024
@patrickmarwa5024 4 ай бұрын
Hili swala la dhahabu hata wabunge wa upinzani awaongei hili swala ni kupewa bahasha tu.
@nehemiazakeo2746
@nehemiazakeo2746 2 жыл бұрын
Huo ndo uongozi ulivyo kuwa bora na ilikuwa hivyo kipindi hicho. yani ukiwa kiongozi bora yani hata watumishi wako huwa waminifu na kusema ukweli na kuwa na ujasili katika kazi yake kwa sababu anachokuwa akikisema kinakuwa na ukweli ndaniyake nakutekelezeka kwa halaka hivyo selikali na wana nchi wake hufulahiya matunda ya utendaji wao kwa uaminifu muzuli na kuiamini selikali na raiya kuamini selikali yake: Sijui? hii leo je, hayo yanayo semwa na huyo mubunge yana tekelezwa au ndo imebakia kama histolia? kama hivi zamani vile?
@petromtakati2975
@petromtakati2975 2 жыл бұрын
King Solomon 💯💯💯💯
@CANAANTZ_TV
@CANAANTZ_TV 2 ай бұрын
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoshambulia maisha yako 2=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp 2=
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 Жыл бұрын
HIVI HUYUU JAMAAA ALIKUWA MWINJILISTI KWELI ALIKUWA AMEVAA KIVULI CHA UINJILISTI? HAKIKA ALIKUWA MTUMISHI MWEMA.
@davykisabo875
@davykisabo875 Ай бұрын
Hahaha sahihi jamaa ni mwinjilisiti sahihi Mimi jirani ukitaka hata namba yake nikupe umsalimie
@kassimloav2402
@kassimloav2402 2 жыл бұрын
Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli
@amanifataki1714
@amanifataki1714 2 жыл бұрын
Magu tinao wengi ila wamebanwa na matajiri wa nchi hii ila tukimuomba mungu kwa pamoja hanaga roho mbaya.
HOTUBA YA MAGUFULI KWENYE MKUTANO NA WADAU WA MADINI      22/1/20199
1:12:14
Kisa Wasanii, Msukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
12:08
Global TV Online
Рет қаралды 137 М.
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 38 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 10 МЛН
#BINTI MDOGO NA MAAJABU MAKUBWA ZANZIBAR
7:10
IsleBlogTv
Рет қаралды 38
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
Rais Magufuli afanya ziara ya ghafla Wizara ya fedha Nov. 6, 2015
14:29
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 38 МЛН