SABASITA AKABIDHIWA JENEZA LAKE, AFUNGUKA "SASA NASUBIRI KIFO, NIMEFURAHI SANA"

  Рет қаралды 62,218

Wasafi Media

Wasafi Media

4 ай бұрын

SABASITA AKABIDHIWA JENEZA LAKE, AFUNGUKA "SASA NASUBIRI KIFO, NIMEFURAHI SANA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 301
@adenadolph1951
@adenadolph1951 4 ай бұрын
Trust me,hii sio Hali ya kawaida Kuna majuto makubwa anayo kutokana na mambo Fulani aliyofanya ndio Maana nafsi haiwezi kutulia na psychological mara nyingi ni maisha ya majuto kwake.
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 4 ай бұрын
Yes inawezekana kuna siri anaijua yeye peke yake
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 4 ай бұрын
ANAMAZITO ALIYO YAFANYA KWENYE UTUMISHI WAKE. SASA AMEPATA MARADHI Y SONONA.
@unuc4100
@unuc4100 4 ай бұрын
Ila huyu jamaa alikomesha sana majambazi morogoro.....
@VirginiaMuthoki-wt6ig
@VirginiaMuthoki-wt6ig 4 ай бұрын
Remember our forefathers had graves ready prepared for the dead. Jesus was one of the beneficiaries of these grave wen he died he was buried in a graves that belonged to smbody. It's ok
@JumaKimanga
@JumaKimanga 4 ай бұрын
Umeongea facts sana HUYU mzee alitesa sana watu MOROGORO TENA aliwapola watu Mali zao mpaka msikiti aliuza KISA yeye police KWA hiyo anajuta moyoni
@user-hc9yg5so3s
@user-hc9yg5so3s 4 ай бұрын
Mzee katumia pesa nyingi sana kwenye kujiandalia safari yake ya mwisho ikifika,ila kajisahau kama kuna kufa baharini, ziwani na kwenye mito, akaliwa na samaki, si atakuwa amepata hasara
@othmanmohamed578
@othmanmohamed578 4 ай бұрын
Kweli kabisaaa🤝🤝
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 4 ай бұрын
Watazikwa wengine😂😂😂😂
@maryaugustino8716
@maryaugustino8716 4 ай бұрын
Kulikuwa na baba mmoja Dar anaishi ilala karibu na mchikichini. Naye alifanya hivi eti asije kusumbua watu. Na aliishi sana na alipo fariki walimweka kwenye hilo jeneza lake na kumzika. Pole sana baba
@zuwenankungu5774
@zuwenankungu5774 4 ай бұрын
Yarabb tujaalie mwisho mwema maana huko tuendako maisha ya kaburini ni mtihani sana. Ama kaburi liwe shimo kama shimo la motoni au liwe nyumba kama nyumba za peponi. Hayo yote anayajua Allah pekee ss ni kufanya mema tu na kumuomba Allah husnlkhatima.
@user-gc2bk4rq9k
@user-gc2bk4rq9k 4 ай бұрын
Hiyo milioni kumi ungetoa kwa wajane.yatima Ni Bora zaidi kuliko ulivyofanya....
@luthgadeschrispin6554
@luthgadeschrispin6554 4 ай бұрын
Amefanya vizuri sana ila maisha yake ya rohoni yako vzr? Je Yesu kristo ni Bwana na mokozi wake? Adije amutupwa jehanamu buree asafishe moyo wake ili aondoke akiwa safi, Yohana 3 : 16 : 18
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 4 ай бұрын
Hao wajane watamzika au watanunua jeneza
@graceaugustino5372
@graceaugustino5372 4 ай бұрын
Ni jambo jema Ila namshauri ajiandae KIROHO pia namaanisha ATENGENEZE na Mungu wake ili amalize safari salama maandalizi ya moyo niuhimu zaidi kuliko ya mwilini so hakuna baya kwa alichofanya Ila kikubwa ATENGENEZE maisha yake na Mungu 👏
@Sheba4651
@Sheba4651 4 ай бұрын
Anahangaika na vitu visivyokuwa na umuhimu, njoo kwenye Uislamu huwezi hangaika na majeneza ya dhahabu wala kaburi la milioni 10, kwetu sisi hata rais sanda yake kama yangu kapuku, laki hamsini na ubao, mchimba kaburi 30,000/ lile jeneza la kubebea linakuwepo msikitini, hata rais naye anapanda hilo hilo la msikitini hachongewi jipya kwa sababu kafa yeye, labda iwe limeoza kuliwa na mchwa na uchakavu, lakini si kwa sababu kafa raisi aitwe seremala aunde jipya. Njoo huku, huku kimaisha kama upo kwa Yesu tu, unakua mtu wa kawaida, ukitaka kujikweza wewe mwenyewe tu, mbona Yesu alikua maskini, hata banda la kulala hakua nalo, yaani alisema mbweha ana pango na ndege ana kiota ile yeye mwana wa Adam hana hata pa kulala. Hela ya jeneza tu na kaburi milioni zote hizo, Yesu humuonei haya wewe?
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd 4 ай бұрын
Wadudu watakao dili na wew hawazuiliwi na ilo jeneza la ml 2 mkuu Utatafunwa vizuri sana kama wanavyo tafunwa makafiri wengine
@Prd_mysterious
@Prd_mysterious 4 ай бұрын
hv kwann Huwa mnafnyaga hv na je usipo kufa miaka 40 ikapita mbn kabur litakuw shimo au ndo utakuw unarepair😭😭🙄🙄😭😭 okoka Yesu anakupenda najua mnaojitabiria umauti mnamikataba ya uchawi na nguvu za Giza
@marikwilliam9886
@marikwilliam9886 4 ай бұрын
Sas jamani Mungu afungue ufahamu wako 🤲 mwenyez mungu akutoe uko fikra zako pengine zimefungwa na mwovu iyo roho ilio kushikilia ikuachie jaman
@user-tb5kg9sh4i
@user-tb5kg9sh4i 4 ай бұрын
Safi kabisa hataki kusumbua watu, aandae na hela ya chakula cha msimba wake ,
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 4 ай бұрын
😂😂mi niwe mpesa yke kwakweli
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 4 ай бұрын
Wewe umeongea ukweli kabisa
@jeskamwashitete1643
@jeskamwashitete1643 4 ай бұрын
😂😂
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 4 ай бұрын
Huyu mzee anajua kwa nini kafanya hivi inawezekana kuna kitu kinamtafuna taratibu ndo maana anaandaa mazingira
@hellennehemia9269
@hellennehemia9269 4 ай бұрын
Kabisaa
@moriscollins4494
@moriscollins4494 4 ай бұрын
Usikute alifanya mambo ya hovyo sana sasa damu zinamuita
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 4 ай бұрын
Ashasema babaake alizikwa kwa tabu kipindi hicho ndio anaanza kazi hakuwa na hela. Yeye hataki asumbue watu. Nafikiri ataandaaa na ng'ombe,mchele na kuni😂😂😂
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 4 ай бұрын
Elimu yetu watanzania haitufanyi kuwa wabunifu wala WENYE kufikiri nje ya Box. Comments nyingi Zina lalamika juu ya maamuzi ya Mzee. Jifunze kuishi vile Mungu anakuongiza, epuka kuishi kwa mazoea. Mzee kafanya jambo la tofauti Sana na trust me Nchi nyingi za Ulaya ndivyo wanaishi. Tupende kuwa wabunifu na tuache mazoea. Hongera Sana Mzee S1BASITA.
@marthakonkumo7816
@marthakonkumo7816 4 ай бұрын
Honger baba kwa wazo lako ila ushauri andaa na kamati ya chakula, mapambo, usafiri. Ili unalizie kazi mwenyewe
@user-zx3ji7ux4k
@user-zx3ji7ux4k 4 ай бұрын
Na kweli
@leahjumanne9548
@leahjumanne9548 13 күн бұрын
Ni imani yake tu ndio sio alikuwa hakukosea kama vile mwisilamu anaruhusiwa kujiandalia sanda yake wazee wengi sana toka zamani walikuwa wakinunuwa sanda na kuweka ndani akifa inatumia hiohio
@hellenmassawe7284
@hellenmassawe7284 4 ай бұрын
Jaman
@hatibbaraka3956
@hatibbaraka3956 4 ай бұрын
Mzee chenji inabakia wewe ndio maana yake,nadhani ungetumia nguvu kubwa kwenye ibada ili hio safari yako ije iwe nyepesi.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 4 ай бұрын
Katika imani alichokifanya pia ni ibada maana kukumbuka kufa na kujiandaa tu ni ibada kama hujui, maana wapo wanaoshinda bar na kusema acha nileweee akishalewa anafukana watu na hata kusema we umbwa humalizi mwaka lazima ufe utuachie dunia yetu. Tuendelee kulewa na kula bata.
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 4 ай бұрын
Hizo hela alizotumia angewapa maskini ninauhakika hata kuna baadhi ya ndugu zake wanahitaji msaada. ukifa hujijui unahangaika nini. Hizo hela nikufuru tupu watu wanalala njaa hizo hela zinaweza kubadilisha maisha ya mtu kabisa au hata watu. Lets say ukituzawadia million moja vijana kadhaa za mtaji utaenda na baraka zetu zote. Hata dhambi unaweza samehewa
@husnaswai989
@husnaswai989 4 ай бұрын
Mbona wanaojenga majumba ya kifahari na magari huwaambiii wawape masikini.kifo ni Mali yetu hivyo ni Sawa tu kujiandaa
@khalidissahovic5302
@khalidissahovic5302 4 ай бұрын
Mzee hongera sana, ilaa ungeanza kulala cku1 1 ili ukuzowee naujuwe nn uongezee
@libentylaurian703
@libentylaurian703 4 ай бұрын
😂😂😂
@alextzmmary5121
@alextzmmary5121 4 ай бұрын
Hhqhqhahqhahahahahaahah
@jeskamwashitete1643
@jeskamwashitete1643 4 ай бұрын
😂😂😂
@richardmshiu5118
@richardmshiu5118 4 ай бұрын
😂😂😂alale apandwe na kichaa,, subutuuu..
@marianaduncan6330
@marianaduncan6330 4 ай бұрын
Kujiandaa na kifo ni kumwamini na kumkiri YESU KRISTO Kuwa ni BWANA na mwokozi,yeye ndio mwenye makao mazuri na ya milele,hapo kazi bure maana itaishi mifupa tu ,jiweke tayari mbinguni
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 4 ай бұрын
Hakika
@user-jx2os8iw7g
@user-jx2os8iw7g 4 ай бұрын
God
@navioma4882
@navioma4882 4 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢
@casablancastudioarusha775
@casablancastudioarusha775 4 ай бұрын
Mzee Tubu dhambi zako achana na haya mengine Kifo ni fumbo usishangae ukapiga miaka 100
@jerryjohn8030
@jerryjohn8030 4 ай бұрын
Katika maisha tuishi vizuri ili baadaye usije fanya mambo kama haya
@FreeGod368
@FreeGod368 4 ай бұрын
Broo acha vichekesho io ulaya ni kawaida yeye ajafanya kwa kua ana madhambi sana bali kuepusha mzigo kwa familia
@Expedito2512
@Expedito2512 4 ай бұрын
Mbona kafanya vizuri tu. Badilikeni
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 4 ай бұрын
Hii ni njema wala hakuna shida. Tafuta hela usisumbue watu ukifa
@mukeshimanarose1334
@mukeshimanarose1334 4 ай бұрын
❤❤😊
@IsayaNgoiva
@IsayaNgoiva 4 ай бұрын
Yaani huyu mzee yuko sawa kabisa mbele za Mungu na anafanya toba kila siku mbele za Mungu kwakweli Mungu atakusamehe sana kibibilia yupo sahihi
@patelokoh5828
@patelokoh5828 4 ай бұрын
Nakuombea uishiii mpaka ulitupe hilo jeneza kwa jina la Yesu
@saidmlemeta8083
@saidmlemeta8083 4 ай бұрын
Amina ni kweli Mungu anaweza kulichakaza jeneza mpka atashangaa
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 ай бұрын
😀😀😀 Aminaa🙏🙏 Alifanye kuni
@mwitaagness455
@mwitaagness455 4 ай бұрын
Akiona hafi atajinyonga huyu
@mwitaagness455
@mwitaagness455 4 ай бұрын
Baba ake tunda wa whozu😢😢😢😢
@nuruanaelisha8731
@nuruanaelisha8731 4 ай бұрын
Kuna watu wanauhitaji mkubwa sana katika maisha haya,yamkini mzee umeshafanya Hilo la kusaidia watu, nafikiri bhado wanahitaji kuhudumiwa usiwasahau,usije uka bezi upende mmoja TU,hata kama Hilo lipo litatokea TU but usisahau , kumbuka dini iliyosafi ni kuwakumbuka wahitaji kama yatima,wajane , ......
@AdenAdiliano-rh8zf
@AdenAdiliano-rh8zf 4 ай бұрын
Pesa za kwake Sasa ninyi mnaesema Ametoa pesa nyingi kwani zinawauma nini ? Wakati hamujachangia hata mia ? Watoto yatima pelekeni ninyi Sasa
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 4 ай бұрын
Shangaaa watu wana makiriko
@mamamushimushi6100
@mamamushimushi6100 4 ай бұрын
Je mungu akkikuchukua kwenye maji na kuliwa na mamba andaa moyo yaani roho na simwili pili kumbuka mwili wako unA chumvi ni lazima uoze na nyama zitaozesha mbao.hizo pesa wapi yatima
@ChegeMsemakweli-cv4qb
@ChegeMsemakweli-cv4qb 4 ай бұрын
Pole sana mzee mungu atakusaidia
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 ай бұрын
Baba ana akili sana Hataki kuwasumbua ndugu kuchanga michango. Wazungu wanachukua bima. Sawasawa na alichofanya ndugu.Hongera sana❤
@priscakwannhamfungimipakam9231
@priscakwannhamfungimipakam9231 4 ай бұрын
Akifia baharini akapotea
@samwelilaizer8609
@samwelilaizer8609 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MawaddaKhamis-zh3kc
@MawaddaKhamis-zh3kc 4 ай бұрын
Litaenda kutupwa uko uko baharini 😢😂😂 halafu eti anasema jeneza ni zuri !!!
@maswamills3161
@maswamills3161 4 ай бұрын
😌
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 ай бұрын
​@@MawaddaKhamis-zh3kclinatupwa Bahlini Mala mahiiti hiyo 😂😂
@Expedito2512
@Expedito2512 4 ай бұрын
Huko baharini utampeleka?
@NeemaMdachi
@NeemaMdachi 4 ай бұрын
hii dunia tutaona mengi jaman hizo hela ungetoa sadaka kwa wasiojiweza mzee
@user-ub1xk6yz6l
@user-ub1xk6yz6l 4 ай бұрын
Ni sawa hata kipindi Cha zamani,sijui vipi Kwa sasa wayanudi walikuwa wanaandaa makaburi. Hata Yesu al😊zikwa kwenye kaburi ambalo lilikuwa limeandaliwa tayari. Hii ni desturi ya Wayahudi. Sioni tatizo. Nadhani na Michele umeshachambuliwa!! 😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 4 ай бұрын
kwani yesu alizikwa
@VirginiaMuthoki-wt6ig
@VirginiaMuthoki-wt6ig 4 ай бұрын
Sioni ubaya he is preparing his last home wat he wants to live in for the rest of live. He didn't want wat u will prepare for him cheap while on earth he lived well in good house. Congratulations that u know here on earth we are all tourists one day we will be back to our creator
@patelokoh5828
@patelokoh5828 4 ай бұрын
Medical checkup to him quickly please... I hope his not mentally case.
@TaarabChannel
@TaarabChannel 4 ай бұрын
Haya ukifa kwa moto ukiungua tiati utafanya nn!!! Au ufe maji utobolewe bolewe na samaki uliwe uliwe itakuaje!!! Omba husnil khatma ndio muhimu maandilizi Wala sio muhimu mana hujui umauti utakukutaje
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 ай бұрын
Hakika
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 4 ай бұрын
Mmmmh
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 4 ай бұрын
subhaanallaaah huyu baba huenda freemason anajua lini atachukuliwa dah imani gani hio potofu uliyonayo
@salmoomorefeelingproductio1744
@salmoomorefeelingproductio1744 4 ай бұрын
Hata sisi waislam inakubalika kujiandalia sanda,ni thawabu, kwani hakuna mtu ataishi milele,pia yapaswa ajiandalie mambo ya akhera
@user-xd4lu1xl6c
@user-xd4lu1xl6c 4 ай бұрын
Mke wake au mama ake tunda yuko wapi?nauliza jmn
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 4 ай бұрын
mmmhhhh
@richardmshiu5118
@richardmshiu5118 4 ай бұрын
Huyu mzee nahisi malaika mtoa roho ameshampigia kengele na alamu,, 😂😂😂ameshtukaa huyo malaika anamzungukia 😂
@JosephDhahabu
@JosephDhahabu 4 ай бұрын
Kama hujaokoka basi sasa ndio muda mtafute Mungu ishi maisha matakatifu ili ukiondoka uwende kuishi na Yesu mbinguni,
@anazarethlalama
@anazarethlalama 4 ай бұрын
Mm naona angeandaa maisha yake ya mile mana mungu atakachoangalia siku ya mwisho ni moyo wako au maisha yako ya hapa Dunia I uliishije? Kuliko kuhangaika na majeneza hayo ni kutaka umaarufu wa Dunia bado Kwa mungu
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 4 ай бұрын
Hongera sana hautaki kusumbua watu
@wajisheikh_
@wajisheikh_ 4 ай бұрын
Na tayar kashajiuwa naona R.I.P apo kwny jeneza 😢😢😢😂😂😂🙌🙌
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 4 ай бұрын
Awekee kwanza nguo afanye kabati maana hajui kesho yake na sk yake ya kufa😂😂
@zuberiyahya6090
@zuberiyahya6090 4 ай бұрын
atakwamatuu kwasababu hajui atafia wapi anaweza kufia hata bahalin aliwe na papa au aliwe nasimba
@kenedymusaukavithi
@kenedymusaukavithi 4 ай бұрын
Mzee hio jeneza italiwa na mchwa bure tu, Mungu ata kuongezae miaka na mikaka mpaka upate pijukuu, wazae vijukuu.
@YohanaMwakaje
@YohanaMwakaje 4 ай бұрын
Maisha nikweri sote tunapita alicho kifanya uyu mzee nisawa wayeye ila neno lamungu Lina sema nikwanin tunaangaika na vitu vya mwilini kuliko vitu vya rohoni nivyema Sasa wakati mwili utaoza kikubwa Sasa amuamini mungu amche bwa kama mwokoz wamaisha yake mungu aku saidie okoa nafsi yako mzee wangu.
@peninashungu6633
@peninashungu6633 4 ай бұрын
Mpaka aje afe litakuwa nimepitwa na Wakati akiishi miaka 30 mingine iyo mbao itakuwa imeliwa na mchwa
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 4 ай бұрын
Fundi amesema Lina uwezo wa kuishi miaka hamsini mpaka Mia moja
@maswamills3161
@maswamills3161 4 ай бұрын
Mchwa atoke wapi pale!!!
@user-ov5iq4zv2c
@user-ov5iq4zv2c 4 ай бұрын
Kweli Dunia tunapita lkn hii duh. Mwenyez MUNGU akuite mapema ili utimize ndoto zako mzee 7-6😂😂
@geembwana6189
@geembwana6189 4 ай бұрын
Hata utengeneze jeneza na kabur au usitengeneze safari ipo pale pale na kuzikwa utazikwa tuu kama kawa 😅😅
@user-ht6wt6kt5f
@user-ht6wt6kt5f 4 ай бұрын
Uyu mzee kapagawa sana Akili zake sio sawa
@Zuu673
@Zuu673 4 ай бұрын
Ni mti mgumu sana mbao ngumu sana kwamba hauta oza uko ndani wala kuliwa na wadudu funza,tandu,,scorpion na wengine watafanya kukusikia tu 😂😂😂safi sana
@JenesKereti-xy2dw
@JenesKereti-xy2dw 4 ай бұрын
😂
@JenesKereti-xy2dw
@JenesKereti-xy2dw 4 ай бұрын
😅😅😅😅
@Zuu673
@Zuu673 4 ай бұрын
@@JenesKereti-xy2dw hahaha siumemsikia yani funza, tandu,scipio watafanya kumsikia tu
@lilyrose7983
@lilyrose7983 4 ай бұрын
Nani kakudanganya ukifa ukioza funza wanajitokeza wenyewe sio lazima watoke nje ya jeneza
@Zuu673
@Zuu673 4 ай бұрын
@@lilyrose7983 punguza pank sio mimi ni mzee 7sita uyo
@mgendijr7380
@mgendijr7380 4 ай бұрын
Matatizo ya akili hayaa,.
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 ай бұрын
😂😂😂
@MillardMushi-ce2bu
@MillardMushi-ce2bu 4 ай бұрын
hata kufa kwa sasa mpaka asahau pia hata zikwa humo. ata potea maanake ata tekwa na kwenda kuuliwaa mbali na kuzikwa huko
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 ай бұрын
Subuhanallah. Mbonaunasema.hivyo.
@IbrahimuRashid
@IbrahimuRashid 4 ай бұрын
Mtu mjanja huwaza kifo. Hongera sana 7 6
@Graceyust
@Graceyust 4 ай бұрын
Hizo hela ungeezitoa kusaidiwa watoto yatima na wamama waliotelekezwa ingefaa sana
@athumaniissa4161
@athumaniissa4161 4 ай бұрын
Huyu jamaa enzi akiwa askari alikomesha wahuni Arusha.
@wajisheikh_
@wajisheikh_ 4 ай бұрын
Najiuliza tu uyu mzee anamke je km watangulia watoto wake au mke vp ataenda kuwazika makaburin lake liendele kumgoja
@aggy8272
@aggy8272 4 ай бұрын
Duuuh
@evaristjoseph8151
@evaristjoseph8151 4 ай бұрын
Umepatwa na kichaa meku
@shamissuleyman4894
@shamissuleyman4894 4 ай бұрын
Huyu mzee anadhambi kubwa kafanya ndio maana anatamani kuondoka na hiyo dhambi imemtoa akili siakili ya kibinadamu hiyo
@saphinaelycharles2342
@saphinaelycharles2342 4 ай бұрын
Au.sio.mzee
@michaelnkamba9872
@michaelnkamba9872 4 ай бұрын
Mzee bado maturubai na Michele supa weka ndani kabisa
@sirilaeliasfredrickjohn4096
@sirilaeliasfredrickjohn4096 4 ай бұрын
Duuuuh 😢 inaogopeshaa mbonaa
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 4 ай бұрын
Sasa akifa baharini na sionekane??...Yaani kifo ni siri na anaejua ardhi utayokufa ni Mungu tu..😂
@petermichael1862
@petermichael1862 4 ай бұрын
Sio jambo baya, ila kuandaa mahali unaenda baada ya kufa ni bora zaidi kuliko hili...
@salmaramadhan2725
@salmaramadhan2725 4 ай бұрын
Mzee anajua Kuna kufa,Yuko vizur
@nusuraomar-xn2uj
@nusuraomar-xn2uj 4 ай бұрын
Ndio maana waislam tunatumia jeneza la msikitin kwa pomoja
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 4 ай бұрын
Aha. Ndio mana jeneza la nanii lilikua vile maskini nilishangaa lakini mnafanya vizur hakuna Cha tajir Wala maskini wote sawa hakuna ufahari Wala ujinga. Mko vizur
@carolynemkiramweni6667
@carolynemkiramweni6667 4 ай бұрын
Mmh huyu anamjaribu Mungu...aasichezee asili na utaratibu wa Mungu. Asishangae akiliwa na samaki baharini, asiingie jenezani. Au moto mpk awe jivu....Sasa anakisubiria wapi ,,,, hizo hela angesaidia maskini....maana hatujui siku wala saa, wana namna utakavyoondoka....na waza tu.hivi moto ukipita hapo itakuwaje?😢
@Official83640
@Official83640 4 ай бұрын
Kumbe ndy maana Tunda akili zake hazijatulia sasa naamini karithi kwa baba yake loh Whozu alee mwanawe hii familia aliyatimba😂😂😂😂
@florahmushi748
@florahmushi748 4 ай бұрын
Jamani
@user-ti3dr8pt2d
@user-ti3dr8pt2d 4 ай бұрын
Namsihi huyu ndugu amkiri bwana yesu kiristo hata kama anasumbuliwa na nini YESU atamponya TU.
@manfredkibona3126
@manfredkibona3126 4 ай бұрын
Kiufupi jamaa anaogopa kufa ndio maana anajiandalia mazingira rafiki😅 design ya kaburi lazima itakuwa hairuhusu udongo ndani na kutakuwa na kavent kadogo
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 4 ай бұрын
Nimeona comments nyingi Negative, ila ki ukweli sio dhambi kujiandalia keshoo yako, haina maana utakufa keshoo yake , ila jaalia Mungu kamhitaji hapo ni kuzika tu basi
@user-rx8wn3st3t
@user-rx8wn3st3t 4 ай бұрын
Ya Mungu mengi hujui utaliwa na mamba
@DayoDayoDayo-cc5jl
@DayoDayoDayo-cc5jl 4 ай бұрын
R.I.P 😢😢😢SABASITA
@jamilaissa1386
@jamilaissa1386 4 ай бұрын
😅
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@scholasticamassawe9594
@scholasticamassawe9594 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@lizzygabriel9601
@lizzygabriel9601 4 ай бұрын
Hivi watu wanajua kama huyu ni baba yake na tunda? Alishasema hana mtoto wa kiume kwahyo hataki kuja kuwasumbua mabinti zake
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 4 ай бұрын
Ni pale Mungu aseme 20 ijayo uwepo je utatengeneza jingine😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@naomikisaba5785
@naomikisaba5785 4 ай бұрын
Meku🙌
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 4 ай бұрын
Shida ni akiishi miaka 20
@mohamedally4496
@mohamedally4496 4 ай бұрын
Mbao ngumu mdudu hawezi haribu kumbuka kuoza utaoza tu maana tumbo lako ndo wadudu wenyewe .
@nikundiweamosi5087
@nikundiweamosi5087 4 ай бұрын
1:06 afya ya akili.Kifo sio suala la furaha kusubiri,ni jambo la shetani kudhania kifo ni kizuri na wakati ni madhara ya dhambi na shetani anajaribu kuhadaa watu ili dhambi pia iwe ya kawaida
@user-qe5sk4gd6e
@user-qe5sk4gd6e 4 ай бұрын
Ivi hata kama sijui sikuyangu yakufa siwez kujiandalia mazingira ya kufa weee hapana izo hela angezitumia kula na kukedha kwenye ibada kutubu dhambi zake
@mwashumkigoda
@mwashumkigoda 4 ай бұрын
Wakristo mnajua kumkufuru mungu
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 4 ай бұрын
Amejikatia tamaa. Au kunaugonjwa dealy unamsumbua anajua mda umeisha?
@stellamokiwa2025
@stellamokiwa2025 4 ай бұрын
Free mason
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps 4 ай бұрын
Je ukifa bila kulala iweje maana kifo huja bila matarajio msimubipu mungu
@user-zp4gf7te8o
@user-zp4gf7te8o 4 ай бұрын
MI naona yuko Sawa kufa kunajulikana kama unajijengea nyumba ya kuishi kwa nini usijitengenezee nyumba yako ya milele uyu ataki kuja kuzikwa mahali pabaya anajijengea kwa fedha zake Bila kusumbua jamii
@salmoomorefeelingproductio1744
@salmoomorefeelingproductio1744 4 ай бұрын
Safi sana kila nafsi itaonja mauti,hata sisi waislam inakubalika mtu kujiandalia sanda,tuweni tayar kwa safari kwani hapaduniani tupo kwa siku chache tu,
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 4 ай бұрын
Hii.ndio.inatakiwa kila afanye hii unakumbuka mungu kila mda
@user-pz1qh6ti6h
@user-pz1qh6ti6h 4 ай бұрын
Kazi ipo
@user-bi6ph3sf7w
@user-bi6ph3sf7w 4 ай бұрын
Hayo yote ni ubatili tuuu kwani ukifa umekufa,hizo pesa afadhar ungetoa misaada hata hospital kwa wagonjwa ungebarikiwa sana tu
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 4 ай бұрын
Unasubir kufa tena😂😂 hii mbona hilo linawezekana dakik tu ukiamua au unasubir cha...
@idrissamhina5190
@idrissamhina5190 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mwashumkigoda
@mwashumkigoda 4 ай бұрын
Hivi anajua nn kuhusu akhera jamani acheni kumkufuru mungu
@jebajr
@jebajr 4 ай бұрын
Mimi naona ni sawa tu, maana sote tutakufa
@santacruzy9386
@santacruzy9386 4 ай бұрын
Uyo mzee hana matatizo yyte lkn kichwani mwake Sasaapo inabidi ajitengenezee na kifo amalize ukurasa wa mwisho
@Official83640
@Official83640 4 ай бұрын
Mizinga na kushika bunduki sana lazima uchizike 😂😂😂😂
@jeskamwashitete1643
@jeskamwashitete1643 4 ай бұрын
Sasa ikatokea ukafaa kwa ajali ya moto au majini au wanyama wakali ........ Atatumia nani ivyo😂😂.......aya bhana ila polee kwa msongo
@maswamills3161
@maswamills3161 4 ай бұрын
Baba kumbuka kujiwekea akiba MBINGUNI Ni uamuzi wa Busara zaidi.
@user-or1wl2ry2z
@user-or1wl2ry2z 4 ай бұрын
Baba yangu huwa inakua tofauti kabisa ngoja tuombe uzima
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,6 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 29 МЛН
DUKANI KWA MEKU
11:05
Joti TV
Рет қаралды 280 М.
The Sory Book : GodoGodo Jambazi Aliyestarehe Kuua Polisi (Part 1)
33:19
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,6 МЛН