MWALIMU BAKOZI ALIVYOPELEKA SOMO LA DINI ZA MANABII NA KUPELEKA SIMANZI NZITO KWA MABABA ASKOFU.

  Рет қаралды 133,802

Saimu gwao Online tv

3 жыл бұрын

Пікірлер: 209
@allysaid2367
@allysaid2367 6 ай бұрын
mashaAllh ustadh Bakoz kwa kweli umefikisha ujumbe kwa wahusika. Nimeangalia hii video mara nyingi sana. Asanteni sana kwa kazi nzuri Allah atawalipa hapa Duniani na malipo makubwa zaidi huko Akhera.
@ismailkenga1243
@ismailkenga1243 3 жыл бұрын
Jazakallahu kheir ustadh bakozi.. Mungu akujalie wepesi ktka maisha yko
@timarusia8637
@timarusia8637 2 жыл бұрын
Ameen Allah ampe umri mrefu wakheri..
@khadijasaid5065
@khadijasaid5065 3 жыл бұрын
Mashaallah mashekhe wetu Mungu awahifadhi mashekhe wetu muna fungu kubwa kwa Mungu kuwa ongoza watu kama hao kuwaonyesha njiya ya sawa ya haki Alhmdulilahi Mungu awape afiya njema na umri mrefu inshaallah muzidi kulimisha watu kutoka kenya khadija said Nahdi mld
@mohammedkimanga8960
@mohammedkimanga8960 3 жыл бұрын
Shukrni sna sheikh,,,kwa kweli uislamu ndio dini ya manabii wote tuko pamja kutoka Kenya
@jumahamis4898
@jumahamis4898 3 жыл бұрын
Juma khamis mashalla
@yahyasalum5634
@yahyasalum5634 3 жыл бұрын
twaiyib (mashaallah
@kudrawanguvu5923
@kudrawanguvu5923 3 жыл бұрын
Mashallah nawapongezeni wote mrioshiriki walimu wote wapande mbili nijambo jema kujadiliana kwa upendo na aman M/Mungu awabariki na atuongoze wote
@makapaabdallah7937
@makapaabdallah7937 3 жыл бұрын
Ustadh bakozi umeongea ya kweli ndo maana hata kunawakrito walikuelewa na kutikisa kichwa kwamba umefundisha. Umenikumbusha almarhum Deedat. Allah akuongoze na akulinde na kila mitihani.
@abuubakar5749
@abuubakar5749 2 жыл бұрын
sahihi nimewaona wakristo wakitikisa kichwa ni ishara ya kuelewa
@shikivokochabunu8011
@shikivokochabunu8011 3 жыл бұрын
Uko vizuri Sheikh Na umekuwa Na makini unaeleza vizuri mwenye kufahamu atakubali bila shaka mwenye kupinga ni ujinga wakwe
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 3 жыл бұрын
Wallah cjutii kuwa Muislam aisee
@user-xh6mt8xj9d
@user-xh6mt8xj9d 5 ай бұрын
Hata wale waislamu wasiojiamini kwenye uislamu wao umewagandisha hawatoki tena Allah Akubarik Bakozi na wenzio inshaallah
@aishaabbas4869
@aishaabbas4869 3 жыл бұрын
Allah Akubarik Bakozi Akupe umri mreeeeeefu, Amiiin,
@faridkhamis3910
@faridkhamis3910 Жыл бұрын
😁Yaani hadi raha shekh ibrahim bakozi unatufundishavhadi tunakuwa na sura ya kutabasam allah akupe umri mrefu sheikh yakuilingania dini ya hakki ya uislamu 🙏
@tumajunior6080
@tumajunior6080 3 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie ilmu zaidi nafurahi kakangu kusoma raha na uislam raha 🥰🥰🥰🥰👌👌👌👌trasfomer ya Allah hio 💥💥💥💥💥💥💥💥💥
@zeinachimamiazani4409
@zeinachimamiazani4409 3 жыл бұрын
Tune from kenya mashallah uyu bwana heko kwake asema yeye mwalimu afundisha ili watu waelewe sio kuhubiri tuu..wallai ata kama mwanafunzi bonzo majibu yote akupa...
@mrishokisombe1486
@mrishokisombe1486 2 жыл бұрын
Sheikhewangu asantesans walinganie hao ndugu zetu walio ionahakiwaksipa mgongo walinganie iposiku jakiwataitambua tu
@fatomhalogandy4045
@fatomhalogandy4045 3 жыл бұрын
MashaAllah tabarakallah.great muhadharah.Allah awabariki yarabi
@asedtembo4742
@asedtembo4742 3 жыл бұрын
Masha Allah tabarakallah Mwenyezi Mungu awape umri mrefu tupate kuelimika
@charlesjoseph2092
@charlesjoseph2092 3 жыл бұрын
Hebu jiulize hii yakukamua maiti mavi tumboni hii NAyo niyamitume na manabii???
@allymtungunyu2425
@allymtungunyu2425 3 жыл бұрын
@@charlesjoseph2092 qur an unaijua na bibiria?
@charlesjoseph2092
@charlesjoseph2092 3 жыл бұрын
@@allymtungunyu2425 Ndio kama unaswali uliza ila Mimi nimeuliza sijajibiwa nimeuliza kwamba hii ya waislam kukamua maiti mavi hii nayo niyamitume na manabii??
@allymtungunyu2425
@allymtungunyu2425 3 жыл бұрын
@@charlesjoseph2092 mimi cna taaluma ya midahalo kaka
@charlesjoseph2092
@charlesjoseph2092 3 жыл бұрын
@@allymtungunyu2425 Lakini si wewe unaamini Uislam ndio ulikuwepo tangu awali?
@muhunzijunior5153
@muhunzijunior5153 3 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, awalipe na awaongoze ktk kuuelimisha umma
@juju-hc8to
@juju-hc8to 2 жыл бұрын
Really I'm proud of my self and my diny. Ilove my self coz I'm muslim
@aishasaif31
@aishasaif31 3 жыл бұрын
Mashallah hadi rahaa wallah nawependa kwa ajili y Allah 🇰🇪
@masmojree
@masmojree 3 жыл бұрын
Bi Aisha asalaam aleykum dada
@ramadhanomar5152
@ramadhanomar5152 2 жыл бұрын
Amiiin
@rukiamusa9916
@rukiamusa9916 3 жыл бұрын
Jazakalahu kheir maashalah nice yani napenda vile una fafanua vizu tena kwa ujasiri kwa unacho kifundisha mungu akupe hekima zaidi
@omarsalim5389
@omarsalim5389 3 жыл бұрын
Allah awape kila kheri mashekh wetu na hao wakristo allah awape kufahamu. Uislamu raha tupu na akhera ni peponi. Ameen
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 3 жыл бұрын
Nafurahi Sana hawa wanao soma Masha Allah 👏👏👏👏👏 kwakweli uislam raha ,❤❤❤
@abdullahsalim5582
@abdullahsalim5582 2 жыл бұрын
Alhamdulillah
@missrukia9661
@missrukia9661 2 жыл бұрын
Mashallhaaa bakozi mungu akuzidishie elimu
@guyogalora2736
@guyogalora2736 4 ай бұрын
Masha Allah shukran jazeelan sheikh wetu
@aishaaisha4549
@aishaaisha4549 3 жыл бұрын
MashaAllah Allah awalinde ma sheikh nyote na awalipe kheri Leo duniani na kesho akhera
@minraya6322
@minraya6322 3 жыл бұрын
Maashallah tabarakallah lnn Sha Allah mungu awaongoze waadhiri wetu alhamdhulillah kwa kua muislam
@firo0ozdawah378
@firo0ozdawah378 2 жыл бұрын
ALLAH AWAPE HIDAYA NA SISI WAISLAMU TUMUABUDU TUSIWE WAISLAMU MAJINA ... AAMEEN.
@zaitunimrisho6377
@zaitunimrisho6377 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awape umri mrefu muishi miaka 800
@user-jp6tc8jk5s
@user-jp6tc8jk5s 7 ай бұрын
Mashalllah sheikh jazaka llahu khaira
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 3 жыл бұрын
mashaAllah
@rbagha5280
@rbagha5280 Жыл бұрын
Thank you Sheikh Mazinge, other sheikhs, and the Christian clergy and ministers. These kinds of debates, or rather, discussions remove misconceptions. We are One Humanity under One God ( for aren't we all monotheists?) This is nopt about who is right or wrong. This is more about mature debates. We shall not hurl earth and stones on each other, for the one who hurls earth on the other, he himself sinks further down. Always maintain civility. God is the ONE going to judge us all. Let us be SINCERE, ask God to grant you the absolute TRUTH, not the truth that one is biased from the start to believe in. No bias, no favorism, no kabila, or dressings style, or color, or language one speaks. Once you remove those biases, see if you will not, for sure, a 100% surety with of course God Willing, be guided to the truth. I am a Muslim from Canada, and I love my Christian brothers and sisters. Peace be upon you all and peace be upon Jesus Christ and upon Muhammad, those sent by God the Creator. Ray, from Canada
@jumakhamis226
@jumakhamis226 3 жыл бұрын
Jazaka Allah khaira shekh
@doublejclassic
@doublejclassic 3 жыл бұрын
Hii midahalo inatoa elimu kubwa sana🇹🇿
@tanzanian8847
@tanzanian8847 3 жыл бұрын
Wallah huu mdahalo ulikuwa wa kimataifa, Allah awalipe kheri
@tajirikajembe1270
@tajirikajembe1270 3 жыл бұрын
Bakozi
@lisauroble31
@lisauroble31 Жыл бұрын
Amina ibrahim bakozi allha akulipe mema innshalla
@user-qq9gi3gs3q
@user-qq9gi3gs3q 3 ай бұрын
I'm very happy to be muslim
@aishaabbas4869
@aishaabbas4869 3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah tabarakallah Allahu Akbar
@user-fu6qi5bt1y
@user-fu6qi5bt1y 6 ай бұрын
Bacoz bacoz bacoz na mashekh wote mungu awahifadhi
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt Ай бұрын
Aamina
@tanzanian8847
@tanzanian8847 3 жыл бұрын
Alhamdulillah alhamdulillah alhamdulillah, kuwa muislam Ku
@oman7710
@oman7710 3 жыл бұрын
Masha Allah
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 3 жыл бұрын
Sheikh umeingia kwa uzuri saana jazaakumullahu khaira 🙏
@barakamohamedbaraka6246
@barakamohamedbaraka6246 Жыл бұрын
MashAllah.... mwenye alibahatika kua mwislamu basi
@nurdinijuma8402
@nurdinijuma8402 3 жыл бұрын
Kadinari pengo ndie alie zuia mihadhara matokeo ya wasilam wliritadi sana
@tanzanian8847
@tanzanian8847 3 жыл бұрын
Allah awalipe kheri nyingi masheik
@amrubinannasannas9185
@amrubinannasannas9185 3 жыл бұрын
Kichwa ichi hatari sana Mazinge hata Mazinge hawa ndo warisi wako Tallent iyooo wakristo
@issaadam867
@issaadam867 3 жыл бұрын
Kuna tofauti ya kuhubiri na kufundisha ...Hapa Tumefundishwa
@LilyKangethe-hw2bw
@LilyKangethe-hw2bw Жыл бұрын
Takbir Allah Akbar...😊
@ashaidd4501
@ashaidd4501 3 жыл бұрын
Jazakallah khaira
@alliabdullah6180
@alliabdullah6180 Жыл бұрын
Uislam raha sanaaaa🙏
@bigmanfish6346
@bigmanfish6346 Жыл бұрын
Wakiristo vipofu sana masikini wako hasarani wamepotea vibaya sana
@jaymandy1914
@jaymandy1914 2 жыл бұрын
Wakristo hawana hoja hata siku moja.
@irakozeabubakar3223
@irakozeabubakar3223 2 жыл бұрын
Allah azidishe nguvu katika dinni ya hakki amin
@lwengeradisp1056
@lwengeradisp1056 Жыл бұрын
Maashaallah kweli uislam ni dini ya haqqi
@abuubakar5749
@abuubakar5749 2 жыл бұрын
jazakumullahu khaira wabaada khair jannatulnaim
@user-qq9gi3gs3q
@user-qq9gi3gs3q 3 ай бұрын
Let vitu bakoziiiii
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu 2 жыл бұрын
Wacristo macho NGOOOOOOOO
@saiddaji6342
@saiddaji6342 3 жыл бұрын
Wenzetu wanajua haki ilipo ila ubishi tu kibri
@HawaAbdullahamansais
@HawaAbdullahamansais Жыл бұрын
Mashaallah
@hassaniharuna1010
@hassaniharuna1010 Жыл бұрын
Hapo jibu ni moja tu kwamba manabii wote walikua wanyenyekevu kwa maana kwamba waislamu kwaiyo imeisha hiyo
@zainabumocka87
@zainabumocka87 3 жыл бұрын
Mashaallah jooni na uku jamani kwetu kigoma vijijini
@malikikalole7697
@malikikalole7697 3 жыл бұрын
Kigoma vijijin sehem gani
@nurhassan8379
@nurhassan8379 3 жыл бұрын
Masha allah
@hamisikamanda9933
@hamisikamanda9933 3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@user-qq9gi3gs3q
@user-qq9gi3gs3q 3 ай бұрын
Bakozii tuweke juu waislam
@tatujuma3428
@tatujuma3428 2 жыл бұрын
Maashallh
@mussamtimbinya7643
@mussamtimbinya7643 Жыл бұрын
Allah awalipe kila la khery Inshalah
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
@nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 жыл бұрын
Huyu shekhe anaehubili ni nani selemani mazinge au Allah amhifadhi
@tajirikajembe1270
@tajirikajembe1270 3 жыл бұрын
Bakozi
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
@nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 жыл бұрын
@@tajirikajembe1270 ok
@user-rm5xw8ux2w
@user-rm5xw8ux2w 7 ай бұрын
Shekh umefit na kama kunamtu hajaelewa, huyo atakua anashida ktk uelewa
@rajabuomari2694
@rajabuomari2694 3 жыл бұрын
Mashallah mungu atujalie kher akuzidishie umri
@selemaniyabbi5942
@selemaniyabbi5942 3 жыл бұрын
Mashaallah
@daru2549
@daru2549 2 жыл бұрын
MashaAllah
@musahassan3033
@musahassan3033 3 жыл бұрын
Mashaalah
@cabylake2320
@cabylake2320 Жыл бұрын
Mashaallah 💓 mashaallah 💓 mashaallah 💓❤️❤️❤️😍
@khalidajali2920
@khalidajali2920 3 жыл бұрын
Mashallah
@babazungu3180
@babazungu3180 9 ай бұрын
Mim nachoka na yesu na kuona hana adabu pale alimuita mama yake mzaz mwanamke,
@mwanakombaabbas93
@mwanakombaabbas93 3 жыл бұрын
Ma shaa Allah Ma shaa Allah Ma shaa Allah Nakupenda skekh kwa ajili ya Allah wallahi mko sawa kabisa namuomba Allah awahifadhi yaa rabb
@zaitunimrisho6377
@zaitunimrisho6377 3 жыл бұрын
Hahaaa,baabaaaa!
@dulladiznz2719
@dulladiznz2719 3 жыл бұрын
Mashalla uwislamu ni dini ya kweli
@radhiambo1830
@radhiambo1830 Жыл бұрын
Ukweli ni kwambaa..yesu ndie njia si Muhamed...Muhammad alitokomea wapii?
@allymamlo252
@allymamlo252 3 жыл бұрын
Wallahi Raha mmevamia kanisa nammmewafunza wakae kiislam sioni minsket naziona njemba zimecool kiislam zaidi yaani penda mimi
@Qaswararafashion5041
@Qaswararafashion5041 2 жыл бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh aya ya kwanza ulisoma inayozungumza kuwa ukiristo ni neno la kubumba ni ngapi ngapi?
@LilyKangethe-hw2bw
@LilyKangethe-hw2bw Жыл бұрын
🎉
@bigmanfish6346
@bigmanfish6346 Жыл бұрын
Mashallah Bakozi nipe number yako
@EngJosh
@EngJosh 2 жыл бұрын
Weka full
@husha6372
@husha6372 3 жыл бұрын
Antokiya ambayo ilikuwaIku ikiitwa Antioch ilikuwa Chini ya ufalme wa Roman Empire Constantinople Lakini sasa ni Turkey
@mzeekifaru1417
@mzeekifaru1417 2 жыл бұрын
A
@lileoh3893
@lileoh3893 3 жыл бұрын
Mwanza nunawakalibisha sana sana saaaaaana
@issahavisuti6757
@issahavisuti6757 2 жыл бұрын
Hii midahalo naomba iekwe full na isiwe vipande vipande maana mtu unapata tabu kuunganisha vipande
@werehadija153
@werehadija153 3 жыл бұрын
Waislam takbiiiir
@ramadhanomar5152
@ramadhanomar5152 2 жыл бұрын
ALLAHU AKBAR
@gracecypilian6557
@gracecypilian6557 2 жыл бұрын
Nawape ushauli mkiona kanisa limenyakaliwa musikubari kuekewa microchip maana kutakuwa na mateso lakini mwenye kuvumilia ndie atakae okoka
@mariamumasinda9020
@mariamumasinda9020 2 жыл бұрын
K8
@swadaqtr1027
@swadaqtr1027 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojali
@nurhassan8379
@nurhassan8379 3 жыл бұрын
U islaamu raha
@kuluthumally2859
@kuluthumally2859 2 жыл бұрын
Kuluthum ally
@waltershayo1339
@waltershayo1339 2 жыл бұрын
Bakozi kanena kweli biblia inafundisha vingine na wachungaji wanafundisha vingine
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu 3 жыл бұрын
Wekeni daki30 za mazinge
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 3 жыл бұрын
Munatupa tabu hatuju ipiyakwaza wala yapili tunakubeni mlofanya records kwahisani zenu muzipage ikiwa mnataka nasitupatefaida .
@jacksonnzai1593
@jacksonnzai1593 3 жыл бұрын
Kakangu nikwambie usifuate dini gani yakwanza au ya pli. Tafuta nikipi kinakufaa kuinusuru Roho yake mble ya Mungu. Kipi chakuamini na kwa nini umeamua kuamini ulichoamua kuamini
@fundibombazanzbar5717
@fundibombazanzbar5717 3 жыл бұрын
anakusdia clip huyu
@gracecypilian6557
@gracecypilian6557 2 жыл бұрын
Yesu anawapenda
@ramadhanomar5152
@ramadhanomar5152 2 жыл бұрын
Allah akujaaliye uone ukweli InshaaAllah
@gracecypilian6557
@gracecypilian6557 2 жыл бұрын
@@ramadhanomar5152 hata Mimi nakuombea Yesu akuonyeshe njia sahihi Yesu anakupenda
@ramadhanomar5152
@ramadhanomar5152 2 жыл бұрын
@@gracecypilian6557 wacha ushabiki dada soma maandiko uyaelewe Kisha ufanye uamuzi
@gracecypilian6557
@gracecypilian6557 2 жыл бұрын
@@ramadhanomar5152 kama Kuna shabiki hapa Basi niwewe maana wewe ndie unanijibu wakati sijakuuliza
@gracecypilian6557
@gracecypilian6557 2 жыл бұрын
@@ramadhanomar5152 Usha fanya uwamuzi wako bila ushauli wangu Basi nawewe huna haki ya kunishauli kaka
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 жыл бұрын
Asielewahapo hatoelewa
@ashaidd4501
@ashaidd4501 3 жыл бұрын
Vit hivi tulivimis san
@najashrk3738
@najashrk3738 3 жыл бұрын
Yule sheikh Yahaya mpeuyo yukowapi mbona haonekani
@nyumbaniwawi9643
@nyumbaniwawi9643 3 жыл бұрын
Kashatangulia mbele yahaki uyo
@ramadhanomar5152
@ramadhanomar5152 2 жыл бұрын
Innalillahi wainailayhi rajjiun , yahya mpe alishatangulia mbele zahaki ALLAH AMREHEMU
@HaidarOmar-tx7cc
@HaidarOmar-tx7cc Жыл бұрын
Kasha kufa
@johnissango2357
@johnissango2357 2 жыл бұрын
nashangaa waislamu wanaongelea mambo ya dini nyakati hizi .yesu alikuja duniani yeye ndio njia au dini ya kweli na uzima hakuna mwingine wa kumfuata,uislamu sio njia ni tabia ,mtu kujifanya mnyenyekevu ili afanye yake ukitaka ushahidi nenda somalia ujue waislamu ni watu wa tabia gani.
@sharifuahmed8340
@sharifuahmed8340 2 жыл бұрын
Daaah wakristo bhna mnachekesha xaxa Somalia ndio Nini, fuata uislam na usifuate waislam maana ni binadamu hao
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 47 МЛН
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 47 МЛН