JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV. KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 58
@KondoMhando13 күн бұрын
Huyu akapimwe akili kwanza halafu ajetena studio yenu, tena akapimiwe Milembe. Kwa mtazamo anaonekana ni mtu mwenye akili timamu, kumbe ni gamba la ubuyu
@leonardrweyemamu612613 күн бұрын
Kabisa
@user-ce3tx7mr8v13 күн бұрын
UPO VIZURI SALEHE JEMBE
@ZachariaMwita-bu7rw13 күн бұрын
Huyu ndo waga anaongea point
@BashiluOmary13 күн бұрын
Siku zote ukiongea ukweli unatukanwa uko vizuri kaka
@mtmarchcontempo13 күн бұрын
Ameonyesha kuumizwa kwake pole sana!
@ABDALLAHMWATANDA13 күн бұрын
MATUSI YA NINI NYINYI MAUTOPOLO.....jushua Mutale ana NGUVU speed na AKILI ya MPIRA....
@ommymsangi918213 күн бұрын
Mna mhoji kolo hamuoni anavyoumia na asivyo amini!!
@rajabumalonda262513 күн бұрын
Wewe S Jembe mbona watu tushakujua ,huna jipya
@JohnMagofi13 күн бұрын
Wanaoumia wako wengi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-yg2oi5ln7h13 күн бұрын
Point sana kaka angu umeongea
@saidimnyani333013 күн бұрын
Anavyojibu aibu naona mimi
@user-to9xw2mc9m13 күн бұрын
Salehe wewe ni kolo😂kwanini utaki kuamini chama kaja yanga
@deokibona283513 күн бұрын
Hapana, ni tofauti kabisa na lameck lawi, kwasababu chama ameshamaliza mkataba Simba kwahiyo amesajiliwa kama mchezaji huru.
@hamisikapute59813 күн бұрын
Kama umeumia vile
@user-zx1vk9pr1w13 күн бұрын
Wee naee 🤣🤣 ! Kuna watu pale wanatekereza majukum bwana ! Wanajua ni nn wanakifanya sa wew unapiga kelele hapa 🤣🤣
Wwe jembe uwe na aaakili sasa wanampenda chama simba ndomaana awake taka kuumpa asante mapema
@adrophinamwanguse151013 күн бұрын
Ndo maana nakupenda we kaka unaongea point sana
@fredylucas248413 күн бұрын
Aliongea vizuri sana kwenye mkutano mwaks jana. Mnapenda sana kupakwa mafuta na sio kuambiwa ukweli😅😅
@mwanangusana13 күн бұрын
@@fredylucas2484njoo chukue maji makubwa ya Kilimanjaro baridiii ndugu yanguu
@malietamalieta965811 күн бұрын
Uache wivu naroho mbaya ila chama Ako tu sawa sema team nzima aikua sawa yote usimutupie rawama chama
@AlfredRutaguza13 күн бұрын
Huyu mbwa tumemuumbia fara wew
@MriduAlly-yy2ce13 күн бұрын
Huyo NI Simba damu
@khalifabahati13 күн бұрын
Jembe ni koloo😅
@user-up4kd4di7h13 күн бұрын
Mzee mlisema Leo amekua kijana
@gracemtonga326313 күн бұрын
Unaumia vibaya mzee baba! Na bado utaumia zaidi. Eti simba hawamtaki chama! Nyokweeee
@sulaimanalhabsi235513 күн бұрын
Hawezi kuosifia yanga
@rizmarkabraham392113 күн бұрын
Mwehu
@kolosii435111 күн бұрын
Wewe huwezi kuwapangia watu taratibu zao.
@emmanuelzwallo393313 күн бұрын
JEMBE USIZUNGUKE ZUNGUKE,ROHO INAKUUMA
@allymngwaya283113 күн бұрын
Ni kweli Simba walikuwa hawamtaki Chama?
@ahmedburhan510413 күн бұрын
Aibu imwkushika acha usimba wako
@mwansasujonny353613 күн бұрын
Hili jingaaa sanaàa
@jumaseif245213 күн бұрын
Tena kk hili ni tahahira
@mwanangusana13 күн бұрын
Mjinga mweupeee .....
@user-up4kd4di7h13 күн бұрын
Mm
@user-vv5qi9yh8l13 күн бұрын
Wew jembe umiaa2 naww ni simba
@sulaimanalhabsi235513 күн бұрын
Huyu kolo hamumjui
@meshackmganga694813 күн бұрын
Yaan jamaa hana furaha kabisa😅
@SaidEmmanuel-dl6er13 күн бұрын
Kwani kumtambulisha mchezaji xi niuamuz wa klabu imta.bulishe kwa wakati gani unahoja na hilo mchambuz uwe mkwer saree H Mm nimiongoni nakufuatia naona unaukolo weee
@user-yz6ds9hn9l13 күн бұрын
Na muendelee hivyohivyo nyie yanga kutoa Rushwa kwa wachezaji ili muharibu timu za wenzenu, tumesafisha bado kipa, ukiwa unapenda kula rushwa na msenge. Wenu zeruzeru chawa,
@stejasatv734913 күн бұрын
Yanga hawakoseinmkuuu kesho keki
@Evance-op4jw13 күн бұрын
usituongopee yeye ndo alikuwa kipendwa no 1 pale simba
@Sanjey-vp1fm13 күн бұрын
Kweli tulimpenda sana chama lkn kabla hajaharibika na kuihujumu simba lkn kwa misimu miwili iliyopita na kuanza kula rushwa tukaanza kumuona c lolote.