Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Пікірлер: 77
@stanleyhenrish10554 жыл бұрын
Sasa hapa ile midemu iliyo kua inajipendekeza kwa captitho kama nawaona miwivu inavyo mwagika congratulation to my National team capten
@bekanjechele15544 жыл бұрын
Ndoa ya kiislamu inakamilika kwa mambo matano (1) kukubali anaeowa (2)kukubali anaeolewa (3) idhini ya walihi ( mzazi) (4) mashahidi wawili (5) kuitikia na kukubali muolewaji. zingine mbwembwe tu, Big up mbwana ali samata
@babynkossa54414 жыл бұрын
Mashallah,huyu kijana ni wa aina yake,hana mashauzi,ameitawala pesa,sio pesa imemtawala,yaani yuko cool sana,ni mfano wa kuigwa,tabia zake ni za utulivu sana,hongera wazazi kwa malezi mazuri,hata ukiangalia video hii utaona kabisa anamsikiliza mzazi kwa kiwango cha juu sana,na pia mzazi ana maelekezi mazuri sana.Tumwombe Allah amjaalie katika ndoa yake,wawe na kizazi chema na maisha yenye mapenzi halisi.
@herson93434 жыл бұрын
Mashallah. Huyu jamaa hana makuu wallahi. Allah amzidishie maarifa na barka
@jafarijafari2314 жыл бұрын
Hii ndio ndoa. Wakati mwingine kuprosper kiuchumi kusikufanye umkufuru Allah. Ndoa imefuata taratibu za dini kwa mazingitio ya Qur'an na Sunnah. Hakuna masuala ya kupiga muziki, kulewa wala kufanya maasia. Tumeshuhudia ndoa zilizonyingi, takataka za uchafu wa madhambi zikifanyika. Sisi watu tuache na kilichochema tuige. Tumuige Samatta. Allah akujalie kher nyingi na mafanikio bora ktk ndoa yako kk.
@allyhassan75224 жыл бұрын
Hakika wengi wanaojiita waislam wakiruzukiwa kidogo tu kiuchumi basi maadili ya dini yao ndo huweka kando.Nimeipenda sana hii.
@jeshilamtu8634 жыл бұрын
Aaaamin
@omarinurdin81934 жыл бұрын
Allah akupe mwisho mwema samatta. Umefanya vzur
@ramadhaniahmad17974 жыл бұрын
Mwenyezi mungu hawajalie kheri na baraka. . Mmetimiza nusu ya dini . Hongera sana strike mkali Africa. . Alhaji Mbwana Ally Samata
@ochogopeter88924 жыл бұрын
Hongera mdogo wangu mungu akujalie kwenye ndoa yako upate watoto wenye hekima
@omaryshafii504 жыл бұрын
Allah azidi kukuongoza .. Na akupe afya njema udumu ktk maisha ya ndoa, ulichokifanya ni kuonyesha nidhamu ya fedha huna ulimbukeni na dunia .. Big up bro
@vailetmwaka24244 жыл бұрын
Hongera sana tena sana allah akujaalie na akulinde na mabalaa
@azizauledi41084 жыл бұрын
mwenyezi mungu akujalie mke mwema nakizazi chema kinakachukuwa na hafu na Allah well done
@wemalove90494 жыл бұрын
Hongera sana kwa kurudi nyumbani kwetu umeweka heshima kubwa
@sumayafissoo78084 жыл бұрын
Manshaallah sama goli Allah awatangulie katika maisha mapy ya ndoa
@anjelinakasembe8454 жыл бұрын
Hongera sana Samata na umilionea wote ulionao nimekurahia na simple Harusi yako mungu awape maisha marefu wewe na mke nzuri uamuzi nzuri sana ulioufanya l Salute bro👍👍👍👍👍👌👌
@ayoubabdull12654 жыл бұрын
Hii ndio ndoa haswa Samatta kwa hili hujabadilka,sio kujaza mijitu mipumbav haina maadil eti mastaa pumbav zao ,naona tunga tu kichwan hii ndio taratibu zetu ....wapumbav waache na upumbav wao dunian mapito tu ...nimeipenda san ...
@kiluwasalum50024 жыл бұрын
Safi sana dogo kwa kuingia kwenye chama chetu mungu akujalie dogo
@mohammedabdallah63904 жыл бұрын
Mabrouk inshallah ndoa njema
@mzeemzee47484 жыл бұрын
Mabrouk Samata harusi ya heshima na adabu na maadili ya dini ya kiislam sio mastaa wengi masifa na kukumbatiana na wanawake na kucheza nao
@jimjam41624 жыл бұрын
MASHA ALLAH. ALLAH aibariki ndowa yenu na awape watoto watakao mtwi ALLAH.
@abuyabally50864 жыл бұрын
harusi nijambo jema limefanywa na wajawema hongera samagoal
@shakilakhamis24134 жыл бұрын
ma shaa llah hongera sanaa kakaang
@keppablanko47014 жыл бұрын
Congratulation capitano God bless you
@halimambena61104 жыл бұрын
Mabrouk Alf mabrouk mungu awalindie ndoa yenu hd pale kifo kitakapo watenganisha inshaallah
@iddmabena66524 жыл бұрын
Allwa akuruzuku kwa ibada hii njema
@salmasalim60554 жыл бұрын
elf mabrook
@abdulihafidhali53794 жыл бұрын
Home is home.hongera sana kk
@kassimomar75894 жыл бұрын
Mimi nimeipenda hii harus hana mkuu
@haroldukason43024 жыл бұрын
Hakika Mbwana Samatta anajielewa. Ingekuwa wale watoto wadogo wangealika wale wanaokujaga na mabaunsa 8 na kushindana na manguo yasyoelewaka kuleta nuksi kwenye ndoa. Hongera dogo utazid kufika mbali sana.
@azizauledi41084 жыл бұрын
Hongera sana Allah akuongoze ufate maadili mema ya dini yetu islam mashaa Allah
@twahirukilemile86544 жыл бұрын
mashallah allah akujaalie maisha mazuri weye pamoja na familia yako
@khadidjayasini86884 жыл бұрын
Mashaa allah alfu mabruok🌹
@salimliemba34584 жыл бұрын
Mash Allah mabruk
@amiramir38604 жыл бұрын
Barakallahulakuma
@henedferej22014 жыл бұрын
Mabrouk
@maxmaizer46314 жыл бұрын
Ktk ndoa zote nilizo ona zimefata dini ipasavo hiyapa afu ya aina yake usiku usiku
@chandeabdallah70644 жыл бұрын
Hongera samata
@ibrayakub4764 жыл бұрын
Mashallha hiyo ndio ndio inayotakiwa sio mpaka kila midia ionyeshe mwisho wa siku kufru kama ilivyokuwa ramadhan kwenye kufuturisha
@muhrajovic7524 жыл бұрын
Kuna vitu ni vya thamani mno Allah akikupa useme Alhamdulillaah na akimpa mja basi muonee wivu (wivu wenye faida) kama huku' KUTOJIONESHA mbele ya watu
@twaakyonlinetv994 жыл бұрын
maashaallah
@princessaidal11304 жыл бұрын
Kila LA kheri Samata
@aminakhatibu7334 жыл бұрын
Hongera Mbwana Samatta
@toxkibope93704 жыл бұрын
safi sana kaka njoo chama LA wanaaaa
@ashritaabdallah64744 жыл бұрын
Allah awadumishe kwenye ndoa yenu
@mathewungani97244 жыл бұрын
Hii ndio Ndoa impendezayo Mungu
@beatricepallangyo28214 жыл бұрын
Hongera sana
@hasanially92944 жыл бұрын
Mora akubaliki na akubaliki juu ya mke wako
@seifsaidi99114 жыл бұрын
mashaAllah
@medardjustinian52234 жыл бұрын
Nimependa sana mtindo wa maisha wa familia hii
@hafidhharuna99584 жыл бұрын
Saf sana kaka
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Ni somo!!!
@husseinkarim67454 жыл бұрын
Samata katunyima pilao
@abdulkarimmbottoni25904 жыл бұрын
Kimya kimya
@sheryphamwenevalley61244 жыл бұрын
Huyu kaka anajitambua umefanya vema.kumuoa mama watoto wako huo ndio ubinaadam, hongereni sana ndoa iwe ya heri na baraka tele
@michaelmponeja21024 жыл бұрын
Sio matangazo mengi kama za wasanii wa kariakoo
@benjaminpatrick63644 жыл бұрын
Mke mbonaaa simwoniiii sasa?
@mwanamwemaomary69344 жыл бұрын
Ongera xn,akunaga masifa
@minaside67174 жыл бұрын
Hongera
@iddmabena66524 жыл бұрын
Allwa akuruzuku kwa ibada hii njema
@edinamutakyawa68724 жыл бұрын
hongera cn
@ramadhanabdallah96144 жыл бұрын
naomba tu nijue iyo qaswida kaimba nani wadau nisaidieni
@hasanially92944 жыл бұрын
Ume ukimbia ubaro baro
@DIweni4 жыл бұрын
Huyu ndo sababu anaelewana na yule jamaa sababu tabia na matumiz ya umaarufu wao vinafanana
@hashimnkanga57224 жыл бұрын
kwa salio alilonalo mjomba samata hii ndoa kama amelazimishwa'local sana
@salimkhamis36384 жыл бұрын
Hivyo ndo inavyotakiwa
@minaside67174 жыл бұрын
Waislam hatuna makuu, dini imekataza kufanya kufuru hapo alipofanya ni sahihi kabsa.
@yasinshaban49334 жыл бұрын
@Hashim Nkanga ulifanikiwa hata kupita madrassa au kuckilza jpo wana zuoni wanasema nn juu ya misingi ya din? Hususan mtu kujifagharisha??
amehalalishiwa maana watoto wawil hakumbuki ndoa, allaah amsamehe
@KobbyTz4 жыл бұрын
Zama zimebadilika dunia sasa ina mambo mengi, kuna ndoto na malengo, mipango na mikakati ya maisha katika maisha, pia kusubiri wakati ambao Mungu atakufungulia milango ya kufanya jambo, muda wake umefika baada ya kuweka mambo yake sawa ameamua kufunga ndoa, tumpongeze kwa hilo pasi na kuangalia alipokosea kwani ni Mungu tu ndio anayepaswa kuhukumu.