Muda HUU GB 64 avujinsha SIRI nzito TAARIFA Njema SIMBA AZIZI KI AMESAIN SIMBA | USAJILI WA KISASI

  Рет қаралды 33,465

SANGA TV

SANGA TV

18 күн бұрын

#usajiliwasimbaleo #usajiliwasimba #simbaleo #aziziki #modewj

Пікірлер: 35
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 16 күн бұрын
Hapo umeongea GB 64 kikubwa uwezo wa wachezaji kama mnajua mnajua tu National Team zina kutana 14 days wanaingia kwenye mashindano. Wanakipiga.
@LovelyBird-sf5fn
@LovelyBird-sf5fn 16 күн бұрын
Bro uko sawa hapo
@user-vk5dj7st3p
@user-vk5dj7st3p 16 күн бұрын
Vizur, kaka, iyo, Simba, mpya
@aminaomary5567
@aminaomary5567 16 күн бұрын
Tunafurahiiiiiiiiiiiii kama kweli tunapata Azizo k. Bado feitotoooooooo❤❤❤🎉🎉🎉🎉moira wa vijana mwaka huu.
@Aman-vx6xb
@Aman-vx6xb 16 күн бұрын
Sa10 ninan me naona kikos tayar cha msingi tupen usajil mmoja wa kuwakera tuu
@eddiemwangaraba9289
@eddiemwangaraba9289 16 күн бұрын
Sasa hivi hawana la kuongea Tena maana wakati ule simba ikisajili ooh wamesajili wa wazee Leo kimya
@user-bo5ee2tp9p
@user-bo5ee2tp9p 16 күн бұрын
Hapo umeongea point saaanaa
@levocatuspjohn8638
@levocatuspjohn8638 16 күн бұрын
Ndugu zangu wanasimba me moyo umeshaanza kudunda kwa hofu duh Mungu saidia tuwafunge yanga goli nyingi 😢😢😢😢
@essaumapunda5766
@essaumapunda5766 16 күн бұрын
Utopolo mpira wa sasa ni wa vijana Mo big up kazi umeimaliza
@fredylucas2484
@fredylucas2484 16 күн бұрын
Mo ataoa timu nzima na wanachama kwakweli. Sijaona washabiki wenye vichwa panzi kama Simba. Kuwadanganya ni rahisi sana😅😅😅
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 16 күн бұрын
Aziz ki😂😂😂 , haya rudi hapa utupe taarifa imekuwaje Aziz ki na Yanga😅😅😅😅😅
@twahakabajemi9716
@twahakabajemi9716 16 күн бұрын
Wewe waota!!
@flaxbeatman
@flaxbeatman 16 күн бұрын
nakubali 😂😂😂😂 vijana na wazeeee tareh 8
@RashidKaoneka-bj8mm
@RashidKaoneka-bj8mm 16 күн бұрын
Walimfanya kitu kibaya huko centro
@salimmalaka256
@salimmalaka256 16 күн бұрын
BILA YA KISOMO NA ALBADIRI YA KINGA KWA WACHEZAJI WATAROGWA NA WATAONEKANA WABOVU HAWAFAI ANZENI KUTOKA LEO
@eddiemwangaraba9289
@eddiemwangaraba9289 16 күн бұрын
mwaka huu jitu linakufa nakuua nyongo za watu ndipo watajuta kwa Nini wamechukua chama
@MolotoniMalisela
@MolotoniMalisela 16 күн бұрын
Nakubali kaka
@fredylucas2484
@fredylucas2484 16 күн бұрын
Huyu mgonjwa wa akili huyu. Bado namsubiri ahamie Azam kama alivyosema
@KhamisHamadi-gd3eb
@KhamisHamadi-gd3eb 16 күн бұрын
Hajielewi
@AbdallahShekhan-qx3kp
@AbdallahShekhan-qx3kp 16 күн бұрын
Gb 000000 tunakuja kukuvalisha shanga Aziz yupo Yanha tajiri ni GSM tu wengine pesa za urithi.
@khajihamisi5054
@khajihamisi5054 16 күн бұрын
Mtawakataa!!jamaa zangu
@bmkaskazinib4363
@bmkaskazinib4363 16 күн бұрын
Bingwa wa kihistoria miaka 30 Yanga,Bender's ya jihadi rangi kijani wekundu no moto tu njano no matunda,ngoja tuone eachezaji hawana afya mnasingizia madawa,hao TFF no simba kwa mini wasigundue hili we gala tu hukijui unachosema
@RashidKaoneka-bj8mm
@RashidKaoneka-bj8mm 16 күн бұрын
Bangi inakusumbua unahamia lini azam?
@khajihamisi5054
@khajihamisi5054 16 күн бұрын
Wapumbavu kama Hawa wako wengine upande huu, kiongozi wao alishawaambia!!!
@Hope-ok9dy
@Hope-ok9dy 16 күн бұрын
Mshindwe kumpakiza chama azizi mtamuweza azizi tayari miaka miwili fakolo wewe
@user-ic2cb9gm2j
@user-ic2cb9gm2j 16 күн бұрын
Wewe ni mropokaji wa kawaidaa
@Hope-ok9dy
@Hope-ok9dy 16 күн бұрын
Subirini tarehe nane paka nyie
@raulencomarkesh5848
@raulencomarkesh5848 16 күн бұрын
Mtambo huo
@KhamisHamadi-gd3eb
@KhamisHamadi-gd3eb 16 күн бұрын
Hata ishu ya chama ulisema mo ameshamsainisha miaka miwili,nikama haujielewi vile
@fredylucas2484
@fredylucas2484 16 күн бұрын
Huyu ni mwezi mchanga kama Simba wenzake
@peterrobertkabate239
@peterrobertkabate239 16 күн бұрын
Gb kila interview unarudia maneno yale yale
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 16 күн бұрын
Jiongeze hawa sanga Tv wame iedit matapeli hawataki kumpoza Gb 64.
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 16 күн бұрын
Hilo nalo neno,umesema kweli na umetolea mfano mzuri wa timu za Taifa.
@DenisMalima-cq9hp
@DenisMalima-cq9hp 16 күн бұрын
Hivi huyu jamaa uko Centro walimfanya nini
@salimmalaka256
@salimmalaka256 16 күн бұрын
MATOPOLO MACHOGO FC WANATOWA RUSHWA NA WANATUPIGA MISUMARI HATA TUKICHEZA MECHI ZINGINE WA LAANA WALA MIHOGO HAO
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 82 МЛН
HOUSE GIRL EP 57 || love story💞💕
25:26
BUSATI TV
Рет қаралды 13 М.
SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO
31:40
CLAM VEVO
Рет қаралды 59 М.
JOSHUA MUTALE SKILLS
5:15
Muu mtwale
Рет қаралды 24 М.
Фанат выбежал на поле😱
0:25
FilmBytes
Рет қаралды 611 М.
But how??
0:16
OfficialGlobalMilitary
Рет қаралды 10 МЛН
Leo Messi 👽😈#ytshort #shorts #trending #viral
0:10
RZ 20
Рет қаралды 2,2 МЛН
Jump Round kick 🥋 #taekwondo #wushu #karate
0:13
Farakicks
Рет қаралды 3,1 МЛН
Фанат выбежал на поле😱
0:25
FilmBytes
Рет қаралды 611 М.