No video

"Sasa wewe njoo na tai na Cheti cha Degree halafu nikupe hela zangu'' kISHIMBA vs MWIGULU

  Рет қаралды 96,591

Ngasa Tv

Ngasa Tv

Күн бұрын

KISHIMBA AMCHANA MWIGULU, ATOA TAHADHARI, "WAONDOE HUO UOGA, WANAOGOPA NINI?"
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
⚫️ SIASA : • Video
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
ngasamedia@gmail.com
WhatsApp: +255 716909567
Call us : +255 716909567
thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
#sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv

Пікірлер: 64
@masungajp1
@masungajp1 Жыл бұрын
This man is super GENIUS. Lazima tutumie vichwa hivi kabla havijaondoka duniani.
@user-jh4hg2ev9s
@user-jh4hg2ev9s Ай бұрын
Genius
@nassibuwilliam1896
@nassibuwilliam1896 10 сағат бұрын
Brother nimekuelewa Sanaa Mungu akupe maisha marefu ntakupa Kura ya ndio ukichukua form
@yadidehaule6399
@yadidehaule6399 Жыл бұрын
Huyu Mbunge awe anaongezewa Muda akiwa anatoa hoja.
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Vyeti na hio PHD nyingi ukigonga ndani zinatoa MWANGWI YAANI ZIKO TUPU ,😂😂😂😂
@daudimlamka1239
@daudimlamka1239 Жыл бұрын
Ni kwanini Rais haoni kama mwigulu ni shida jamani?
@user-ek3zk4bx5j
@user-ek3zk4bx5j Жыл бұрын
Wanajuana
@hamzamfyagidzi6344
@hamzamfyagidzi6344 Жыл бұрын
Kishimba safi sana Akili nyingi
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 Жыл бұрын
Mtangaika sana bila mama kumtumbua mwiguru hatutakuwa salaama wizara ya fedha ni kubwa anatakiwa mtu mwenye Elimu kubwa na maono yule jamaa vyeti tu vya kununua kutoka udsm hpo wanahonga mwalimu pale akili ndogo inatakiwa mtu makini kuongoza wizara ya fedha
@user-uy2dk2yv2c
@user-uy2dk2yv2c Жыл бұрын
Bro wasomi wengi Ni majizi tena majambazi wakubwa
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
tatizo watanzania hamna uelewa mwigulu hawezi kufanya kitu bila rais kwahiyo huyo mama enu ndio anamtuma afanye hivo ndio maana unaona hawatumbui makamba na mwigulu wabaya kupitia nguvu yavrais nasio wao hata akiwatoa hao akaleta wengine halafu yeye ndio ana wamrisha wafanye hayo hakuna kitakacho badilika
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
@@user-uy2dk2yv2c kabsa ndugu
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Mwigulu anafanya nini bungeni empty box kabisaaa😢
@jacksonzeno1447
@jacksonzeno1447 Жыл бұрын
Kua na Elimu sio kua na hela. Hao wenye vyeti hawawezi ku raise hela.
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 Жыл бұрын
Kumbe huyu ndio kishimba wa kakahama 🙌❤️
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Huyu jamaa Safi sana. Akili kubwa!
@princebuganzilut2047
@princebuganzilut2047 Жыл бұрын
Royal brother!! I salute you!!
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Kishimba mpina ndio wenye akili sio Hawa wengine wanajiona Wana akili kumbe mabogas tuu
@damianmachira7535
@damianmachira7535 Жыл бұрын
Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..
@erickkimaro9190
@erickkimaro9190 2 ай бұрын
Sijui kwanini hakupewa wizara ya fedha.
@amiribakari2528
@amiribakari2528 Жыл бұрын
Me sijui vigezo binavyo mpa mtu uwaziri au naibu waziri..nashindwa kuamini huyu jamaa anakosaje huo uwaziriii...yaani akili nyingi hivi bado hamtaki kuzitumiaa..
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 2 ай бұрын
❤❤❤
@matindesamson7648
@matindesamson7648 Жыл бұрын
Kishimba your smart.wafundishe hao. Wanajua ila ni wahuni
@stevesungura6789
@stevesungura6789 Жыл бұрын
Kuna siku tutamwelewa tu!
@godfreymwendawila
@godfreymwendawila Жыл бұрын
Mi najua wabunge sahihi hawazidi kumi hapo bungeni wengine wote ni wezi tu
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
Mzee kishimba Kibera -; Kuna baadhi ya mambo anabidi awakubali tu wavaa tai Kuna tofauti kubwa ktk kuendesha Private Company na Public Company Kampuni za Umma ambazo Sheria za uendeshaji na Umaliki Mitaji zinaruhusu Kuuza hisa hata kwa Aliye Nje ya Company lazima hiyo Mitaji ilindwe Na Wasomi (wanataaluma ) Maana Si Kila Mwenye Mtaji ana Uwezo wa Kuwa Mwendesha Jambo Na Kanuni inasema -; ili Kampuni ifanye vyema kibiashara inahitaji vitu vikuu v 2 Kwanza Sheria Nzuri za uendeshaji Pili Msimamizi Mzuri Mwenye weledi na Kipaji Hapa kwenye Weledi namaanisha pamoja na Taaluma Pia Maana logical Pekee haitatosheleza Kila Eneo wakati wa kutekeleza majukumu
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk Жыл бұрын
Siyo wezi Ila uwezo wa kufikiri mdogo! Na watawala wanapenda Sana wabunge vilaza ili waweze kuiburuza Ichi vizuri!
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 Жыл бұрын
Bunge Ni la ajabu sana
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 10 ай бұрын
Safi kaka ❤❤❤
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 Жыл бұрын
Manful!!!✊✌️
@edsonjrtz7676
@edsonjrtz7676 Жыл бұрын
Tatizo wasomi yy anamiliki vyeti tu na kuhusu kutafta ela hmn imani yangu tokeapo mtu ambae hana elimu kubwa ndie anae weza kutafuta na kubarance mm matajili wengi naona ambao hawaja soma
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын
Mh kishimba upo sahihi utafikili kuna viongozi wanajitoa akili. Vitu vya kawaida sana hata hao wazungu wana nguvu sababu ya akiba ya dhahabu.
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
This man explains.boder of education and saycologe Different there that it shows how education works but saycologe sense umanbeng born with it always sense action then goes on his brain thinking choose and came with it on resption voice it ather sense goes on choose point sense of right answer This man is big brain has saycologe sense big capacity of netrow thing from.peaple who undermine peaple who are not educate but forgot education is matiriol fomuler but saycologe sense umanbeng born with it but different capacity
@mazikumange9130
@mazikumange9130 Жыл бұрын
Is this english too?
@piusthomas624
@piusthomas624 Жыл бұрын
Wazir wa fedha anazingua
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Kishimba katika ubora wake.
@bozbun3994
@bozbun3994 11 ай бұрын
Huyu ndo alitakiwa kuwa waziri ..ila Cha ajabu uwaziri wanapewa vilaza
@alexmatt9504
@alexmatt9504 Жыл бұрын
Mbunge mwenye bongo inayochambua mambo kisawasawa
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 9 ай бұрын
Hili bunge la mazuzu kazi kupiga makofi miaka yote kishimba anasema hakuna hatua ...
@user-th9to6yt9y
@user-th9to6yt9y Жыл бұрын
Asipate uwaziri atakula kiapo na mdomo ataufunga ili aitetee serikali
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Жыл бұрын
Cku akiapa atashindwa atakuwa na kigugumizi
@MarandaIhonde-qe6df
@MarandaIhonde-qe6df Жыл бұрын
Iyo wizara ina shida
@kondewra
@kondewra Жыл бұрын
Wape ushauri... Mzee
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 Жыл бұрын
Kuna akili za kuzaliwa huyu anazitumiaga vizuri mnoo
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 Жыл бұрын
Mwigula kiukweli hajitambuai mweee
@shukurudavid4369
@shukurudavid4369 Жыл бұрын
Kahama miundo mbinu mibovu sana
@kikotimedia6638
@kikotimedia6638 Жыл бұрын
Akili kubwa
@matindesamson7648
@matindesamson7648 Жыл бұрын
Hao ni wezu mzee
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 Жыл бұрын
Bunge lote mwenye kujielewa ni huyo Mzee tu wengine niwasaka tonge viva kishimba
@StartSmall
@StartSmall 2 ай бұрын
😂😂😂
@volcaremigius6881
@volcaremigius6881 Жыл бұрын
Agombee Uraisi kura yangu ameshapata
@Laajo1994
@Laajo1994 Жыл бұрын
sasa mtu ana degree na phd lkn ndio anategemea serikali impe mshahara na asipopewa hana akili ya kuvumbuwa kitu chochote kiufupi degree na phd ujinga tu
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 Жыл бұрын
😂👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@user-ek3zk4bx5j
@user-ek3zk4bx5j Жыл бұрын
Duu
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 Жыл бұрын
Kishimba.akili.kubwa.unafaa.kuwa.waziri.mkuu.shida.ccm.mna.roho.mbaya
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Huyo ndo kishimba kipaji Cha Tanzania erimu Nini bana wezi kabisa wasomi wetu ndo wameirudisha nyumba nchii yetu erimu kiazi Hawana hojaaa kabisaaa ni vyetu ndo vinawrinda
@syliviakente9460
@syliviakente9460 Жыл бұрын
Elimu bwana sio erimu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Kishimba unayosema ukweli mtupu hiyo misomi ndiyo mijizi haswa angalia inavyouza bandari zote mpakhatimayehatimaye3wstatuuza sisi wenyewe tutamkunbuka magufuli daima
@jonaskabonda741
@jonaskabonda741 Жыл бұрын
Kishimba wewe una PhD
@kipokendirangu2572
@kipokendirangu2572 Жыл бұрын
Na hapo mimi ndipo ninapo pata kigugumizi dhahabu ina chimbwa na watanzania halafu saa hiyo hiyo unasikia mama kaenda kukopa. Na mzungu anaona ajabu sana akienda mitandao mingine anaona hii nchi iliyokuja kukopa kwenye uzaji wa dhahabu ipo kwenye uzaaji wa Almasi ipo kwenye uzaaji wa chuma ipo kwenye uzaaji wa shaba ipo kwenye uzaaji wa tanzanite hayo madini duniani yapo tanzania. Mito ya maji ipo mingi. Maziwa na mabwawa yapo Bahari ya hindi tu nayo. Bandari yetu ikisimamiwa vizuri na jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ. Kibiashara bandari inaweze kusimamia bajeti ya nchi. Siyo wawekezaji wawekezaji matapeli tu wamekuja kunyakua mali za watanzania masiki vile vile hata hao viongozi watakuwa na masilahi yao humo yaani mgao wa bandari wakipewa Wa wekezaji mali ya wengi itaanza kuliwa na wachache.
@josephmayenga4615
@josephmayenga4615 Жыл бұрын
Wasukuma Mungu ametuteua kuwasaidia wajuaji na PhD zao chukua elimu hizo zitawasaidia
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Жыл бұрын
Mwigulu ma tai yeke.
@damianmachira7535
@damianmachira7535 Жыл бұрын
Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..
@user-rg7tx2cc1l
@user-rg7tx2cc1l Жыл бұрын
❤❤❤
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 42 МЛН
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 10 МЛН
Prank vs Prank #shorts
00:28
Mr DegrEE
Рет қаралды 11 МЛН
Mbunge aishauri serikali kuanzisha chuo cha wizi
5:41
Azam TV
Рет қаралды 154 М.
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 42 МЛН