Wimbo wa fuata biblia kutoka kwaya ya Sauti ya Jangwani Adventist Choir kutoka mkoa wa shinyanga Tanzani, wimbo unaobeaba jina la Albamu namba 4
Пікірлер: 43
@danielmagigita9356Ай бұрын
Aweeeee....sauti ya nne wameuaaaaa🙌🙌🙌🙌 hadi nafeel yaani namm ningekuwa mmoja wao😋😋🙌🙌🙌🙌
@KavughoMuhesicharlotte-te9fk3 ай бұрын
Maarifa kwa wenye roho wamungu ,amen
@dorcaslor21663 жыл бұрын
Hosanna hosanna Alléluia n’a Muana wana DAWUDI Mubarikiwe Kamue Muka ba Mungu Kueli Shalom
@imeandikwakatikabibilia15174 жыл бұрын
Huu wimbo unanifanyanga nihisi nikiwa nchi mpya. Mungu awabariki
@justusmutuku83037 ай бұрын
Wimbo wenye wasia,,, barikiweni
@kimilasayi26267 ай бұрын
May God continue to bless you very much. It is true that the Bible is a book that cannot be compared to anything. Amen, bless the singers
@NdagiMalida3 ай бұрын
Biblia ni ramani yetu, mbarikiwe wapendwa, tukazen mwendo.
@stanleymhagama51 Жыл бұрын
Nawapenda,Munguawabariki
@Alexkanan_5 ай бұрын
najihisi kubarikiwa sana ninaposikiliza hii nyimbo
@Sautiyajangwanisdachoir19874 ай бұрын
Amina
@gibelolela52333 жыл бұрын
naupenda sana huu wimbo mungu atukuzwe kupitia huu wimbo
@lisserbrown9304 Жыл бұрын
My best choir ever😍 naupenda sana huu wimbo🙏
@Sautiyajangwanisdachoir1987 Жыл бұрын
Amina endelea kubarikiwa
@oscarmashishanga330711 ай бұрын
Biblia na Biblia ndiyo dira na njia ya maarifa ya uzima sasa na ule ujao.. 🎉❤🎉
@danielmagigita935610 ай бұрын
Hii kwaya hii ni hatari...yaani ukisikiliza unapata msisimko kwa nywele kabisa na moyo unapata amani na kushawishika kutenda yaliyo mema. Hakika Sauti ya Jangwani ni Zawadi kwetu sisi sote. Mbarikiwe watumishi wa Mungu🙏
Hongereni sana waimbaji kwa nyimbo zenu nzuri mihumo ukiwemo kwenye vyombo
@divomlele55244 жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki balaa!!@mbarikiwe watumishi#SDA
@marionjons228810 ай бұрын
Barikiwa saaana Alleluyah Ameeen ❤❤
@mariamramadhan4943 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda siku zote 🙏🙏🙏🙏
@musyokimuendo91692 жыл бұрын
Pia mimi...tubarikiwe pamoja
@josephorangi84133 жыл бұрын
Nyimbo zenu hasiishi radha' be bressed
@daudydaud4 жыл бұрын
Huwa mnanibariki sana watumishi wa Mungu, 🙏 Mbarikiwe sana.
@georgesamson59583 жыл бұрын
Napenda sana kwaya jangwani tena sana
@mariaclaraleonard65384 жыл бұрын
Rip my lovely angel mom. Methodia mbwambo nitakukumbuka daima umetuachia kumbukumbu yako sauti ya jagwan japo uwa nakosa ujasili yakumaliza kuangalio wimbo wote nabaki kulia tu. Cjui lini nitazoea mama
@allymohamed54273 жыл бұрын
😭😭😭😭
@Sautiyajangwanisdachoir19874 ай бұрын
Tutaonana nae asubuhi njema. Bwana akubariki
@shadrackmihambo48515 жыл бұрын
Naipenda sana kwaya yangu ya kanisa n
@oscarmashishanga330711 ай бұрын
🎉❤🎉
@rashasshaban81355 жыл бұрын
Kweli kabisa waimbaji.....mwenyezi mungu awabariki sana
@sebastianmtatuu37725 жыл бұрын
Amina sana roho mtakatifu
@mbipiweja5 жыл бұрын
Ahsant Sana mungu awalinde nyote 🙏🙏 🙏
@janeomanwa794 жыл бұрын
Very True be Blessed all
@esthermethusela16235 жыл бұрын
nabarikiwa sn
@penueltango56623 жыл бұрын
Great and reminding song God bless you all!!
@trippbruce45093 жыл бұрын
A tip: watch series at flixzone. Me and my gf have been using them for watching loads of movies during the lockdown.
@jakobcayson86443 жыл бұрын
@Tripp Bruce yea, I have been watching on Flixzone for months myself :D
@arthuraydin87313 жыл бұрын
@Tripp Bruce definitely, I have been using Flixzone for years myself :)
@user-vr4po7gl1e9 ай бұрын
@@arthuraydin8731l'😂
@jumamisalaba33735 жыл бұрын
Amen
@ericknyangate82693 жыл бұрын
Amen
@imeandikwakatikabibilia15174 жыл бұрын
Huu wimbo unanifanyanga nihisi nikiwa nchi mpya. Mungu awabariki