Tarehe 26/11/2016 DEMO FARM Pamoja na shamba ujuzi wameandaa semina juu ya ufugaji pamoja na Kilimo Mafunzo ambayo yatafanyika kwa vitendo ndani ya shamba Darasa letu lililopo Kibaha kwa mfipa. BOFYA HAPA KWA MAELEZO ZAIDI
Пікірлер: 6
@zhnnnsafisanamweshimiawata13125 жыл бұрын
semin hiyo inakuwa siku ngapi au siku moja tu
@salummohdnyiga97606 жыл бұрын
Ni vizuri mngetoa namba zetu ili iwe lahisi kuwapata au kupata ushauri hata ukiwa mbali