Serikali ya Tanzania yafikia makubaliano na wafanyabiashara.

  Рет қаралды 17,020

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Ай бұрын

Hata baada ya jana serikali kutangaza kufikia makubaliano na wafanyabiashara, taarifa kutoka baadhi ya maeneo hapa Dar es Salaam na mikoa kama Mbeya na Mwanza zinasema wafanyabiashara wamendelea na mgomo.
Mwandishi wa BBC Sammy Awami alizungumza na Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Dar es Salaam Riziki Ngaga kupata undani wa madai yao.
#bbcswahili #tanzania #kariakoo
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 51
@marwajoseph8060
@marwajoseph8060 Ай бұрын
Kweli kabisa me nashangaa sana eti asimilia 18 bila hata kuangalia ni faida gani inapatikana
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Ай бұрын
Huyu jamaa ni kichwa. Serikali msikilizeni vizuri mfanye marekebisho maisha yaendelee
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur Ай бұрын
Si kweli kuwa hawa ccm hayo hawayajui kulazimisha kodi huo ndiyo upigaji wao yaani wizi mkubwa kupita kiasi
@salamasefu5494
@salamasefu5494 29 күн бұрын
Kweli kbsa wamachinga wasikae karibu na wanaolipa kodi uko sahihi kbsa
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 Ай бұрын
Serikali inawatengenezea watu njia ya Kula rushwa na kufanya wizi. Kodi nyingi hazifiki serikalini zinaishia mifukoni mwa watumishi wa TRA
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Ай бұрын
Umeongea point sana kuchanganya dagaa na samaki ni ngumu kutofautisha harufu zao.
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku Ай бұрын
Samia sio mama Yako kwasababu ndiye anatia Saini mnaanza kusumbuliwa na TRA halafu yy anakaambali anajifanya haoni
@dulasele-ud8cw
@dulasele-ud8cw Ай бұрын
UMeongea vizuli sana sana
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 Ай бұрын
Uko sahihi msemaji .serikali ijisahishe
@tashone7884
@tashone7884 Ай бұрын
Serikali imeshindwa biashara zake zote na zilizopo kila mwaka kuongezewa ruzuku. Bishara ni ngumu tusikilizwe
@shivobs4485
@shivobs4485 Ай бұрын
Sahihi kabisa wanazingua sana
@devangandhl2255
@devangandhl2255 Ай бұрын
Safi sana
@joshuaburton6599
@joshuaburton6599 Ай бұрын
@salamasefu5494
@salamasefu5494 29 күн бұрын
Kaka umeongea point maneno kamili .recpet
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Ай бұрын
Wasenge hawa. Wafanyakazi Sekta binafsi wanalipa kodi kubwa sana; PAYE (pay as you earn). Hawalipi kodi wanalilia tu. WAFANYABIASHARA NI WADANGANYIFU LINAPOKUJA SUALA LA ULIPAJI KODI. UKISEMA WALIPE KODI BAADA YA FAIDA, SAHAU. NEVER EVER WATALIPA HIZO KODI. KILA SIKU WATASEMA WANAPATA HASARA
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Ай бұрын
Ila Kenya
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Dogo umeongea vizizuli sana mwigulu na laisi wa chukue mawazo sofi umesahau osha na kushusha kontena mutu anashusha mzigo aliolipiya nakushusha alipe mbumbu hao dawa ni kuzi chapa j.makamba nape lidhiwani hawajasema sawa
@amosmangura
@amosmangura Ай бұрын
Mwanza watu wamewekwa ndani 50000 faini 250000 several da ilemela yaani inaumiza yaanu zinauma sana japo nwamelipa basi ukandamizi
@reubenmhagama8164
@reubenmhagama8164 Ай бұрын
Tozeni Kodi BANDARINI na VIWANDANI Kwa kiasi mtakacho ili bidhaa ikifika mitaani isibugudhiwe iwe ni kuuza tu. mfano mkitoza kilo Moja ya sukari sh. 500 kiwansani iwe imeishia kule huku mitaani ikauzwa 3000 sisi tutajua ni elfu 3.
@andreap.assenga8480
@andreap.assenga8480 Ай бұрын
Hizo sheria mbovu zinaonyesha kwamba rushwa tz haiwezi kuisha kutokana na mfumo mbovu fain ambazo hazilipiki milele
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp Ай бұрын
Wazee wa ndio ni wengi bungeni
@Digitalhhhhhgfgg
@Digitalhhhhhgfgg Ай бұрын
BBC leo mnashindwa kusema ukweli hali si shwari yaani tushwa mbaya sanaa mmelishwa nini mbona kwa JPM mlikuwa wanazi sanaaa
@ChancellorFelix-vm5yp
@ChancellorFelix-vm5yp Ай бұрын
Uchaguz wa mwakan inatakiwa wapiga kula wawe na TN number na uchaguz usimamiwe na wafanyabiashara kusudi mbunge na rais atakaeingia madarakan awe na uchungu wa Kodi znazokusanywa na matumiz yawe yenye tija sio Leo hii rais anaenda kukopa nje then pesa znaenda kwenye matumiz yakawaida badala yakuzalisha faida itumike kulipa den
@devangandhl2255
@devangandhl2255 Ай бұрын
Ulipe City service halafu ulipe malipo ya kuzoa takataka parking .halmashauri wanafanyia nini hizo pesa?
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 Ай бұрын
HIZI TAARIFA DODOMA ATUNA. NDIYO TUNAZISIKIA KWENU
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 Ай бұрын
Serekali in ubaguzi inabagua raia zake kuna wanaostahiki kulipakodi na wanaopewa huruma na serekali wasilipe kodi
@hurumalunda2490
@hurumalunda2490 Ай бұрын
Nisikilizenii watanzania,,TRA sio tatizo. Tatizo no Wawekezaji wa kihindi na kichina ndio wameharibu biashara ,,tunashindwa kusimamia bei kwa sababu Yao wawekezaji Hadi wateja wamekuwa na kiburi..
@samirhumud7408
@samirhumud7408 Ай бұрын
Uwo ni ubaguzi jee wew ukibaguliwa utaridhika?Kwani awo ndio wameweka kodi?Usikurupuke kutoa maoni akili ndogo
@sirajimsuya6226
@sirajimsuya6226 Ай бұрын
Kinachonikera ni service levy
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Subili Wana cheza na machinga watahalibu nchi hii
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 Ай бұрын
Hao machinga wengine mitaji yao mikubwa kuliko wanaolipa kodi
@reubenmhagama8164
@reubenmhagama8164 Ай бұрын
Kodi itozwe BANDARINI na VIWANDANI Kwa kiasi watakacho ili bidhaa ikifika mitaani izwe bila kugudhiwa hapo migomo hii isingekuwepo kabisa!
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Ай бұрын
Mpaka gari bovu linaandamwa na tre pale mwandege kucha magari yanaparasuwa pale bagamoyo kutwa tre inaparasa madereva dhuluma imezidi
@JundikiFoodproduction
@JundikiFoodproduction Ай бұрын
Hapo kwenye kukadiriwa mauzo ghafi inaumiza, hawaju una losse una wafanyakazi,kodi ya pango, osha, fire, manispa, mishahara,bili za maji umeme nk, malipo ya nssf kwa wafanyakaz gharama za uendeshaji marejesho ya bank nk
@mchungajimpigauzitv5703
@mchungajimpigauzitv5703 Ай бұрын
Yesu awape loho ya huluma watu pesa za kausha damu ni shda tena halimashauli nazo zina kuwa kausha damu
@user-id6xo9td6k
@user-id6xo9td6k Ай бұрын
Tanzania ni ya ajabu utakuta.wanayafikia hadi maduka ya mitaani,haya maduka pipi,,ambayo hata mtaji wake haufikii millions mbili,watu wanakamatwa wanachukuliwa hela zao,rushwa imetamaraki
@Man_of_valor
@Man_of_valor Ай бұрын
Let's try to reduce transactions using cash!
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Umesema vizuli sheliya na sela ya biashara awepo mufanya kazi mukulima mfanyabiashara kama sela inavyasema Sasa machinga halipi Kodi mama lishe halipi Kodi zaidi ya kuchagua Jiji anae taka kujiaajili ajiajili Kwa vitu hivyo vitatu bila hivo ccm mutasambalatika
@user-id6xo9td6k
@user-id6xo9td6k Ай бұрын
Hivi nisawa kitu kimoja kitozwe naTra mara nne, bandalini kitozwe, kwenye duka la jumla kitozwe kikifika kwa wa rejareja kitozwe, ndiyo maana vitu bei.
@dennismwakilembe5800
@dennismwakilembe5800 Ай бұрын
Point sana ndugu yangu
@user-df7xo5nu9z
@user-df7xo5nu9z Ай бұрын
Kweli service levy ya nn nikama kodi ndogo ulipe tra ulipe manispaa kwel
@majidimussa8678
@majidimussa8678 Ай бұрын
bado watu wa fire
@majidimussa8678
@majidimussa8678 Ай бұрын
pia Reseni
@zully756
@zully756 Ай бұрын
Beira msumbiji bandari ipo
@devangandhl2255
@devangandhl2255 Ай бұрын
Ndugu City service inabidi ibakie kwa Impoter au waagizaji wa mizigo viwanda mahoteli any wauzaji huduma siyo maduka ya jumla na rejareja.
@mariamshaban4518
@mariamshaban4518 Ай бұрын
Nyinyi wakinga semeni shida zenu msituchanganye na sisi machinga kama mmegoma rudini kwenu mbea kenge nynyi
@karimjuma4019
@karimjuma4019 Ай бұрын
Akili huna kenge ww
@SaimonJohn-fi8tp
@SaimonJohn-fi8tp Ай бұрын
we huelewi kitu mamba ww unadhani wamaduka makubwa wakifunga we utanunua wap hizo takataka zako
@mariamshaban4518
@mariamshaban4518 Ай бұрын
@@karimjuma4019 endeleeni kufunga wachawi wakubwa nyinyi mnaacha kufanya biashara muneleta umbea mjini hizo flemu zenu mulizo ficha misukule ndani kama zimewashinda ludini kwenu mbeya kariakoo ni ya kila mtu fisi wakubwa nyinyi
@Digitalhhhhhgfgg
@Digitalhhhhhgfgg Ай бұрын
Hakuna makubaliano bado BBC sema ukweli angalia mtangazaji anajificha
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 926 М.
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 21 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 35 МЛН
Robert Greene: A Process for Finding & Achieving Your Unique Purpose
3:11:18
Andrew Huberman
Рет қаралды 10 МЛН
Mwanangu mwenye jinsi tata aliniambia ‘ninaweza kujitoa uhai’
37:22
Wafanyabiashara wa Maduka Jijini Mbeya Wagoma Kupinga Manyanyaso ya TRA
14:30
A Muslim Man Enters a Church - They Laughed
39:53
Sabeel Ahmed
Рет қаралды 1,3 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 926 М.