Mimi sikubaliani kabisa na Professor kwa sababu Kenya tatizo ni la asili lazima uangalie shina.tatizo la Kenya ni ardhi issue kwa sababu mamilioni ya Kenya hawana ardhi katika nchi yao. Tatizo hili pia liko Africa kusini baada ya uchaguzi wa kwanza kwa kidemokrasia Nelson Mandela alishindwa kulikabili tatizo la ardhi mpaka kijana Malema akalizungumzia. Pia lilikuwapo Zimbabwe baada ya hayati Robert Mugabe kuchukua ardhi kwa wazungu walio wachache mpaka leo Zimbabwe bado iko katika vikwazo vya uchumi wa nchi za magharibi. Tanzania tunashukuru ardhi ni kubwa hakuna mwananchi asio na makao katika nchi yake nchi za magharibu mnapenda kuwasha moto kila mahali Africa wakati wa ukoloni umeisha angalieni yenu huko na vita ya Ukraine
@kharkanas67792 сағат бұрын
Sio ardhi, haswa. Dunia ya sasa, vijana wengi wamehamia na wanazidi kuhamia miji mikubwa kutafuta nafasi za kimaisha. Kwa hivyo hata wale walio na ardhi pia wahamaa. Shidi Kwa hivyo sio ukosefu wa ardhi, lakini uongozi mbaya unao sababisha ukosefu wa kazi. Na pia kushusha viwango vya maisha. Hata walio na mashamba wamekua wakilalamikia ukosefu wa vitu kama fertilizer, soko na bei nzuri Kwa vyakula wanavyo lima.
@ndukulusudikucho_5 сағат бұрын
Tujifunze nini Wakenya hawana lugha hata ya Taifa , tokea wapate uhuru hata Bunge Lao linatumia English , kampeni za Siasa kuomba kura Kwa Kiswahili lakini bungeni lugha ya wazungu, bado wana utumwa mwingi Saaana, wao hujiona wazungu wa East africa Sasa tunajifunza nini? Kupaka Nchi sio sababu, sisi tunapakana na zambia, Malawi, Burundi, Mozambique, Uganda na Congo ushaona Wa Tz tumeiga nini kutoka hizo Nchi? Tumepakana lakini hamuifaham vizuri Tz
@ndukumusyoki98352 сағат бұрын
Lugha la Taifa Kenya ni Kiswahili na ndio inatushikanisha sisi wananchi! Na hatujali Watanzania wajifunze lolote kutoka Kenya. Tunajivunia kuwa Wakenya na Wafrika pia! Fanyeni na inchi yenu vile mnataka! Elimu yetu iko juu zaidi ya Tanzania na sisi tutaendelea na kupigania haki zetu na kuondoa mabaya kwa taifa letu.
@decoloniz_afroСағат бұрын
Huelewi kabisa.....kupigania masilahi za wananchi na kuwafuata wale wakora wanaowaibia wananchi nijukumu ya wewe kuelewa usipoangalia vizuri utadhurumiwa
@ndukulusudikucho_5 сағат бұрын
Kwanini Tanzania? Majirani Mahasid hawa, yaani inawauma kuona Tanzania ikiwa imepoa, Sasa vijana wenu Zaid ya 20 wamekufa alafu mnataka tujifunze nini?
@lee817213 сағат бұрын
Nonsense
@sjsm85782 сағат бұрын
😂 imepoa hadi serikali ikipora mali ya umma hamuwezi sema lolote. Nonesense
@iMilitaryCompass7 сағат бұрын
Tanzanians are perceived as lacking agency, with Tanzania being governed authoritatively and the populace seen as passive and vulnerable. Many Tanzanians seem indifferent to their fundamental rights, often praising the government regardless of its actions. In contrast, a significant number of Kenyan youths actively engage in social, political, and economic matters in their country. They are knowledgeable, well-educated, and have a strong understanding of their rights and the political landscape in Kenya.
@SGOA3217853 минут бұрын
wamelala hawa majirani zetu. One cant have an intelligent convo with even a masters holder in TZ. Weaklings unable to stand up for themselves.
@felixmakinda76899 сағат бұрын
Sidhani kuna mengi Watanzania watajifunza kutoka kwa vijana wa Kenya. Yanayoendelea Kenya ni matokeo ya maendelea ya miaka mingi kisiasa, kikatiba, kielimu. Vijana wanaoongonza mabadiliko Kenya (Gen Z) wengi ni wasomi. Mabadiliko yataanza na katiba mpya.
@omarybakunda25549 сағат бұрын
Sikieni nyie hatuwezi kujifunza kenya labda china na urusi.
@jastinmkama854812 сағат бұрын
Ni neema tu
@hellennjuguna596412 сағат бұрын
Biden failed president ever
@stellabwiza815815 сағат бұрын
Ni interview ila nimecheka sana😂😂😂
@muthomimunyua906215 сағат бұрын
🎉
@MikenelloMike20 сағат бұрын
Professor anasema kweli....waafrika wamezoea kuinamia viongozi watumishi..... we're not a lesser God
@mohamedally699220 сағат бұрын
SASA WE MZEE BAADA YA KUTUBU WAJI C FIYA EBU KAA UFIKIRI AIPENDEZI
@cristaezekiel103620 сағат бұрын
Kwakweli hatukani kabisa eliud akichekesha ,had raha 🎉🎉🎉unasikiliza vichekesho hadi na wazaz wako
@nsiamasawe457821 сағат бұрын
Hatuna kitu cha kujifunza Kenya hata kimoja. Wao ndiyo wajifunze kwetu kuondokana na ukabila wawe wamoja kama Watanzania.
@asudarathman545320 сағат бұрын
Elewa swali ndio ujibu acha kuropokwa
@FahadAbubakari17 сағат бұрын
Umeshiba mbege wewe unachosema na kilichoulizwa havifanani
@almor4444410 сағат бұрын
Nonsense ! Hii movement ya gen z ya Kenya umeskia ukabila mahali?
@ourearthmatters52069 сағат бұрын
Wewe ni tahira
@Alpha241878 сағат бұрын
Gen Z Kenya slogan "Tribeless, fearless and partyless" do your research acha kuropokwa ovyo
@mjemamjema969522 сағат бұрын
KWA KWELI SIKUJUA HUYU NDIYE ALIYEKUWA NA BENDI ILIYOPIGA ASUU. NILIKUWA NI BENDI YA MISAMBANO. HONGERA MZEE MWENZANGU. ANA MAMBO YA BUSARA.
@saysophyfarm178022 сағат бұрын
Ukimleta Da Farida hata mimi ntakuja kwenye hiyo show😂😂😂😂😂
@hanskessy941323 сағат бұрын
Faith talk prosper where your planted
@DanielWabare23 сағат бұрын
Naitwa Daniel Wabare naishi Dar es salaam nafikaje kujionea shughuri hiyo nzima?
@AbdulhaamidSoudКүн бұрын
Kujiuzulu kwa iyo general ni sehem ya uwajinikajo,uwazi na democrasia ambayo Tanzania na mataifa mengine Africa mashariki haipo wajifunze kuwa wasikivu kwa raia wao
@kambamazig02024Күн бұрын
BBC na huyu bwana wanao lao kubwa lakini wamnasahau tamaduni na fikra za Wakenya na Watanzania zinatofautiana sana! Tamaduni zetu nazo ni tofauti, akileta mambo ya comparative analysis ya Kenya na Tanzania atakuja kuchekwa na dunia nzima kama hatazingatia tamaduni na itikadi za watu kwenye nchi hizi mbili.
@BIGBOSS-hl3buКүн бұрын
Point sana ,kusifia tu nitatizo,na kukosoa tu nitatizo zaidi lakini pia tutofautishe kati ya kukosoa na kukashfu,kusifia na kupongeza 😂😂😂
@King_Of_EverythingКүн бұрын
👊👍✌️.
@costantinemgalle1910Күн бұрын
Saa hii nasikia bado hao vijana wanania ya kuendelea na maandamano hadi Ruto atoke madarakani. Kama ni kweli basi agenda sio maamuzi specific waliyayapinga ila nia ni kumtoa madarakani. Sasa huu sio utaratibu na hili sio jambo la kujifunza kwa vijana wa Tanzania, kuna kiashiria cha uvunjifu wa katiba!
@hakimundabila7940Күн бұрын
Hata mifano mibaya ni funzo kwani kupitia kwayo unajifunza ubaya wake na kuuepuka.
@kwisa4899Күн бұрын
kwani kujifunza ni kutizama mazuri tu?
@hakimundabila794020 сағат бұрын
@@kwisa4899 ndo hapo sasa
@mariamhussain566717 сағат бұрын
Huyu anayehojiwa ni nani? Mbona hakuna maelezo kabisa ya huyo mgeni anayehojiwa. BBC swahili kiwango chenu mnakishusha..
@felixmakinda76899 сағат бұрын
Kuna mengi tunayotaka yabadilishwe. Lazima ashurutishwe. Katiba ya Kenya ipo mtandaoni. Unaweza isoma
@abdiaziztwahir5120Күн бұрын
Huyu amelipwa nnini
@rumesibarka5312Күн бұрын
Mzee rudi kwa mola wako wakati haukuruhusu sasa
@shamilaalhabsi90923 сағат бұрын
Kumbe tupo majiran
@PeterA.Meshack-mu5rwКүн бұрын
Naitwa Peter Meshack Nipo Ohio ,usa Nawapenda saaana Ronclife, Peter, baaj ,salim ,Elizabeth (mwanangu? Zuhura ,na wengine wengi Tuko pamoja
@gosbertrwezahura3645Күн бұрын
Waafrika tuache upumbavu huu wa daima kuweka nguvu zetu zote kwenye kandanda ya Ulaya na kushindwa yetu. Tunajua kuchambua timu zao na kuzifurahia utadhani ni timu za Afrika. Ukiwauliza wazungu juu ya soka la Afrika hawana habari na wala hawana mpango wa kulifuatilia. Waafrika sijui nani alituroga? Tuko kama mazezeta. Tunaishi Afrika lakini daima macho yetu yako Ulaya na Marekani. Kazi ni kusifia vya wazungu. Nao wanatumia vyombo vyao vya BBC,DW, SAUTI YA AMERIKA kuhakikisha tunaendelea kuabudu ngozi yao na utamaduni wao. Sijui ni lini Waafrika tutazinduka usingizini?
@danwayne786Күн бұрын
Shukran BBC. Uchambuzi wa kusisimua wa soka. Hispania noma.
@user-xj8vt6ur3xКүн бұрын
Hujambo
@jimmyromani1339Күн бұрын
Nawapata nikiwa Burundi hivi viongozi wetu wa African mtaacha lini kuwa watumwa Kwa wazungu
@EsauBanda-cw3cfКүн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 president Putin instead of zelenski
@ombeniyohaneaustin8415Күн бұрын
Tupo pamoja toka cape Town
@King_Of_EverythingКүн бұрын
👊👍✌️.
@AllyNtimanyongoКүн бұрын
Kazinzuri Eliudi
@NoelyLaizerКүн бұрын
Nawapenda bure
@MarjebyКүн бұрын
Huwa na wawaza sana watoto wa huyu mzee sijui huwa wanajisikiaje aisee
@mtzhalisi2232Күн бұрын
Watakuwa wana furaha sana
@spendjulius-qz9mtКүн бұрын
Baridi barafu
@user-fh9nx9xq8uКүн бұрын
Bbc nawapata mubashara nikiwa dar es salaam tz
@hamuzaelias211Күн бұрын
Nawapata vizulisana nikiwa kahama BBC kiboko😂
@user-xc5vf6tt9zКүн бұрын
Nawapata mubashara nikiwa luansha Zambia
@aminitu3766Күн бұрын
Kweli viongozi wana kazj ngum xna yan wanawaza namna ya kuongeza mapato halaf watu wanafukuza pesa
@nathanpaschal907Күн бұрын
Wanajidanganya tu
@timothykaiza327Күн бұрын
Mbona maswali yanapanda kabla mtu hajamaliza kuelezea vitu zaidi.
@monicapeter9065Күн бұрын
Kawaida yang huwa spendi interview ndefu ila hii tamu sanaaa yaan hata schoki jaman
@MatayoLekitonyiКүн бұрын
Pole sana dada yangu Mungu mwema 😂
@cocotz1892Күн бұрын
Mzee yupo vizuri sana Jpili pale Sawa Sawa Mikocheni ni 🔥🔥🔥
@user-jc8vt7ct9t2 күн бұрын
Mzee uko vizuri
@donaldmgunda49702 күн бұрын
Na Badoo kidogoo ilikuwa na mchepukoo apangiwe na bajetiii😂😂😂