KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 54
@rosehaule67653 күн бұрын
Kumshukuru Mungu kwa kila jambo.maana unapita kwenye majaribu anakuokoa Maana hata mvua zote hizo azikukuchukua kukusomba kupelekea kifo😢 basi mtumikie Mungu anakupenda sana kwa mapito haya utafuka mbali kaka
@aminajuma11563 күн бұрын
AMEEEN Mungu ni mwema barikiwa sana
@TheSalma19994 күн бұрын
It is well my brother God is soooooo good tunakuombea kaka yetu
@ritapiusnicolaus70682 күн бұрын
Mungu azidi kukubariki🙏🥰
@tato89796 күн бұрын
Mungu ukujalie usirud ulikotoka uzidi kwenda mbele na akuinue kimaisha
@user-wv5lk6uz5w3 күн бұрын
Hao mnaokometi kwa kukashifu dini ya kikrsto endeleeni kwa kujiona ninyi ndio bora zaidi ila nawaombea kwa mungu awasamehe
@julieeliah55116 күн бұрын
Zahir, you're the best. Mungu akutunze kwa utukufu wake 🙏 🙏 🙏
@maximumtvonline6 күн бұрын
Amen
@bolelambunda65544 күн бұрын
Mungu ni mwema sana hufanyanjia pasipo na njia
@ANGELA-oz1vi6 күн бұрын
Glory to Jesus
@saidaal16796 күн бұрын
Mungu ni mwema sana
@julieeliah55116 күн бұрын
Mungu anawajua walio wake🙏
@khamisikhamisi72256 күн бұрын
Mungu iko nawew
@zulekhaponti93536 күн бұрын
Mungu yupo na wewe !
@stellasimon83066 күн бұрын
Mungu ni mmoja jamani
@ANGELA-oz1vi6 күн бұрын
Mungu anatutoa mbali sana
@MeckitilidaTushabe-or9hu6 күн бұрын
Mungu azidi kukulinda
@MuhammadHassan-rg7ch3 күн бұрын
Shaaban nijinsky la kiislaamu
@ASALABOYКүн бұрын
Brow Zahir wewe S ulisema uyu jamaa atakaa kwako n kua msaidizi w ujenzi kumbe wewe pia ulimuacha kwenye mitaa
@MuhammadHassan-rg7ch3 күн бұрын
Mboba hukuwa msikutini
@tato89796 күн бұрын
Mungu akubariki sana kaka Zahir
@maximumtvonline6 күн бұрын
Ameen
@ChiliHelman-yv4re6 күн бұрын
Jitahidi kujijenga kiimani usipende kuwa naimani tofautitofauti shikiliya imani moja2 ambayo nimungu huwezi jua pengine nimungu alikupitisha humo ili chema kitokee kwamf. Kama sasa ulivyo
@HanifaOman-oo4pl6 күн бұрын
Chamsingi. Atafutiwe kazi tena aendeshe maisha yake. Na Munguakusimamie uwachane kweri na pombe. Huyo ajalogwa ni inilisitu. Namawaxo ya yule mwanamke alomtenda
@CamillahAdam5 күн бұрын
Nimefurahi kumuona tena huyu mkaka aiseee
@user-uc8og1jx3d6 күн бұрын
Usiludi kwa pombe tena
@user-uc8og1jx3d6 күн бұрын
Mungu alikuacha upite hapo peke yako usimuhukumu . Mshukuru Mungu kwa yote
@omanoman20445 күн бұрын
Kwan nilijuw ni msilim duuh
@kadijahajali39186 күн бұрын
Sauro umerudi kanisani Bass siyo mwislam tena ni kafiri sasa bass haya endeleya na ukafiri wako watu wanatoka kwenywe dini ya ukiristo wewe unarudi hatari umeshapinga muhuri wewe na mungu shida ya umu kiyama😢
@maximumtvonline6 күн бұрын
Kafiri ni mtu wa aina gani!?
@mirnababy50126 күн бұрын
Dada mbona yamekutoka maneno sana ww mm muislam pia sija msema hayo looh pengine we kafri kuliko aliyeenda kwa mchungaji
@mirnababy50126 күн бұрын
Ww uliyeckua muislam mbona hukumsaidia maisha ndio yanasababisha fala ww
@user-fs7xc2bb5d6 күн бұрын
@@maximumtvonlinehilo ni andiko kwenye bibilia Wakristo wameitwa makafiri sio Waislam hawajatoa neno hilo maandiko yapo kwenye bibilia wameitwa makafiri
@user-fs7xc2bb5d6 күн бұрын
@@mirnababy5012soma bibilia ndugu yangu hayo maneno hayajaotoka kichwani mwake ni maandiko kwenye bibilia
@omanoman20445 күн бұрын
Kwan alikuw mkirsto kumbe duuh kwan siku zote hakupata kaz am