SHABANII ALIYEKUWA ANALALA CHINI YA DARAJA LA MANZESE AOKOKA |ASIMULIA MAZITO |UTALIA

  Рет қаралды 2,790

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

8 күн бұрын

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Пікірлер: 54
@rosehaule6765
@rosehaule6765 3 күн бұрын
Kumshukuru Mungu kwa kila jambo.maana unapita kwenye majaribu anakuokoa Maana hata mvua zote hizo azikukuchukua kukusomba kupelekea kifo😢 basi mtumikie Mungu anakupenda sana kwa mapito haya utafuka mbali kaka
@aminajuma1156
@aminajuma1156 3 күн бұрын
AMEEEN Mungu ni mwema barikiwa sana
@TheSalma1999
@TheSalma1999 4 күн бұрын
It is well my brother God is soooooo good tunakuombea kaka yetu
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 2 күн бұрын
Mungu azidi kukubariki🙏🥰
@tato8979
@tato8979 6 күн бұрын
Mungu ukujalie usirud ulikotoka uzidi kwenda mbele na akuinue kimaisha
@user-wv5lk6uz5w
@user-wv5lk6uz5w 3 күн бұрын
Hao mnaokometi kwa kukashifu dini ya kikrsto endeleeni kwa kujiona ninyi ndio bora zaidi ila nawaombea kwa mungu awasamehe
@julieeliah5511
@julieeliah5511 6 күн бұрын
Zahir, you're the best. Mungu akutunze kwa utukufu wake 🙏 🙏 🙏
@maximumtvonline
@maximumtvonline 6 күн бұрын
Amen
@bolelambunda6554
@bolelambunda6554 4 күн бұрын
Mungu ni mwema sana hufanyanjia pasipo na njia
@ANGELA-oz1vi
@ANGELA-oz1vi 6 күн бұрын
Glory to Jesus
@saidaal1679
@saidaal1679 6 күн бұрын
Mungu ni mwema sana
@julieeliah5511
@julieeliah5511 6 күн бұрын
Mungu anawajua walio wake🙏
@khamisikhamisi7225
@khamisikhamisi7225 6 күн бұрын
Mungu iko nawew
@zulekhaponti9353
@zulekhaponti9353 6 күн бұрын
Mungu yupo na wewe !
@stellasimon8306
@stellasimon8306 6 күн бұрын
Mungu ni mmoja jamani
@ANGELA-oz1vi
@ANGELA-oz1vi 6 күн бұрын
Mungu anatutoa mbali sana
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 6 күн бұрын
Mungu azidi kukulinda
@MuhammadHassan-rg7ch
@MuhammadHassan-rg7ch 3 күн бұрын
Shaaban nijinsky la kiislaamu
@ASALABOY
@ASALABOY Күн бұрын
Brow Zahir wewe S ulisema uyu jamaa atakaa kwako n kua msaidizi w ujenzi kumbe wewe pia ulimuacha kwenye mitaa
@MuhammadHassan-rg7ch
@MuhammadHassan-rg7ch 3 күн бұрын
Mboba hukuwa msikutini
@tato8979
@tato8979 6 күн бұрын
Mungu akubariki sana kaka Zahir
@maximumtvonline
@maximumtvonline 6 күн бұрын
Ameen
@ChiliHelman-yv4re
@ChiliHelman-yv4re 6 күн бұрын
Jitahidi kujijenga kiimani usipende kuwa naimani tofautitofauti shikiliya imani moja2 ambayo nimungu huwezi jua pengine nimungu alikupitisha humo ili chema kitokee kwamf. Kama sasa ulivyo
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 күн бұрын
Chamsingi. Atafutiwe kazi tena aendeshe maisha yake. Na Munguakusimamie uwachane kweri na pombe. Huyo ajalogwa ni inilisitu. Namawaxo ya yule mwanamke alomtenda
@CamillahAdam
@CamillahAdam 5 күн бұрын
Nimefurahi kumuona tena huyu mkaka aiseee
@user-uc8og1jx3d
@user-uc8og1jx3d 6 күн бұрын
Usiludi kwa pombe tena
@user-uc8og1jx3d
@user-uc8og1jx3d 6 күн бұрын
Mungu alikuacha upite hapo peke yako usimuhukumu . Mshukuru Mungu kwa yote
@omanoman2044
@omanoman2044 5 күн бұрын
Kwan nilijuw ni msilim duuh
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 6 күн бұрын
Sauro umerudi kanisani Bass siyo mwislam tena ni kafiri sasa bass haya endeleya na ukafiri wako watu wanatoka kwenywe dini ya ukiristo wewe unarudi hatari umeshapinga muhuri wewe na mungu shida ya umu kiyama😢
@maximumtvonline
@maximumtvonline 6 күн бұрын
Kafiri ni mtu wa aina gani!?
@mirnababy5012
@mirnababy5012 6 күн бұрын
Dada mbona yamekutoka maneno sana ww mm muislam pia sija msema hayo looh pengine we kafri kuliko aliyeenda kwa mchungaji
@mirnababy5012
@mirnababy5012 6 күн бұрын
Ww uliyeckua muislam mbona hukumsaidia maisha ndio yanasababisha fala ww
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 6 күн бұрын
​@@maximumtvonlinehilo ni andiko kwenye bibilia Wakristo wameitwa makafiri sio Waislam hawajatoa neno hilo maandiko yapo kwenye bibilia wameitwa makafiri
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 6 күн бұрын
​@@mirnababy5012soma bibilia ndugu yangu hayo maneno hayajaotoka kichwani mwake ni maandiko kwenye bibilia
@omanoman2044
@omanoman2044 5 күн бұрын
Kwan alikuw mkirsto kumbe duuh kwan siku zote hakupata kaz am
@khamisikhamisi7225
@khamisikhamisi7225 6 күн бұрын
!
@user-df6ui9ro8s
@user-df6ui9ro8s 5 күн бұрын
Shabani kaokoka 😂atakaefuata Ramadhani ataokoka atakuja mfungo mosi nae mfungo 3 ataokoka😂
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 20 сағат бұрын
Umepigaje apoo😂😂😂😂
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 20 сағат бұрын
Na Idi je?
@ANGELA-oz1vi
@ANGELA-oz1vi 6 күн бұрын
Mungu anatutoa mbali sana
President William Ruto dissolves Cabinet
11:40
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 89 М.
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 131 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 47 МЛН
KUTANA NA VALENTINE BINTI ANAYEKIMBIZA BIASHARA YA NAFAKA DSM
29:22
Gangana Info Channel
Рет қаралды 10 М.
SIMBA WAFUFUA MIZUKA MISRI/ WALAANI PROPAGANDA ZA AZIZ KUBAKI YANGA
18:05
Maximum Tv Online
Рет қаралды 18 М.
Ronaldo, Mbappe, IshowSpeed, Son 😈🔥 #footballshorts #shorts
0:27
야차룰 2대1  #valetudo #2vs1
0:58
야차클럽
Рет қаралды 14 МЛН
Александр Карелин - путь к олимпу🔥🔥
0:56
Человеческая Мысль
Рет қаралды 2 МЛН
Главный АФЕРИСТ в истории футбола • Карлос Энрике Рапосо #футбол
1:00