Mashaallah Alhamndulilah nakuomba M/Mungu wazidishie kheir watendaji wetu natujaalie Kheir nyigi kwenye timu yetu na wachezaji wetu Inshaallah
@kanyeshahigirimana56862 күн бұрын
Inshaallah
@godlistengodlisten75522 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@aziziabeid60522 күн бұрын
Yaani yanga DOP, CAMERA MAN, MPISHI, MLINZI yaani wote ni watu wenye taaluma ya ukocha,, mkuu wa idara wa digital anachambua kitaalam utadhani KOCHA wa Mashujaaa
@AlexMbagata2 күн бұрын
Msiishie hapo endeleeni vijana naona mkiwezeshwa mnaweza vizuri.
@godlistengodlisten75522 күн бұрын
Safi Sana Vijana Wetu Nyie Ni Mfano Wa Kuigwa Waacheni Wachambuzi Wabaki Kuichambua Yanga Ya Zamani Bila Kujua Imeshabadilika.
@user-rz2dt2cn3p2 күн бұрын
mi napenda muzk sana hasa saut zikipangwa kama hawa jamaa walivyofanya, MUZKI FARAJA
@nimujocentre21732 күн бұрын
Leo wa Kwanza Young African Forever Like zangu Please ❤
@tumainielishayo47402 күн бұрын
❤
@RichardKikungwe2 күн бұрын
Hakuna kipawa ambacho Yanga hatuna
@WilsonCharles-lr1ko2 күн бұрын
Yaani mmewazidi wachambuzi wengi sana....🙏🙏🙏
@user-eh5il7pw2f2 күн бұрын
Mnakaraha nyie vijana 😂😂😂😂❤
@vffvff63172 күн бұрын
Alwatan brother umeuwa sna wallah 💛💚💚💛💚🤍🤍💛💯💥
@5googleuuu7272 күн бұрын
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
@patridabernard91482 күн бұрын
Nyie nyie nyie nyie haaaaaahaaaaaaa Hadi rahaaa nimeipenda big up Azizi na Priva kikubwa ni wanaumia sana ndo Maana maneno mengi kutoka kolo's, na hii IMEENDA
@ShafiiHungo2 күн бұрын
Nasikia simba hawataki mashirikiano na young Africana ari asajiliwe fifa au cafu
@abdul-qadirshaame20242 күн бұрын
CPA ya moto sana 🔥 🔥 🔥
@godyjafari60332 күн бұрын
Safi sana vijana kwa ubunifu huo
@MsumariMdoe-th8gm2 күн бұрын
Mmetisha wanangu
@radhiamussa1629Күн бұрын
🎉🎉🎉🎉tusijekujisahau msimu ujao utakuwa wa ushindani na sio rahisi natumai mtajipanga vyema Kila idara kuhakikisha tunalinda heshima yetu na kutimiza malengo yetu
@DorothyKabika2 күн бұрын
Kumbe mnajua kuimba ivooo woooow😂❤❤😅 Sauti ya kwanza Alwatan ya pili Priva❤🎉❤
@upendoluva20662 күн бұрын
Mpo vizuri Sana wanangu❤
@user-vi1yp4px3t2 күн бұрын
Alo nawapongeza yanga kwa sajili zinazo endelea nikitoka kupata kadi yamwanachama nifanye nini
@Carolina-sm5zt2 күн бұрын
Jamani hongereni kwa shairi zuri🎉🎉🎉🎉🎉
@janesamwel92082 күн бұрын
Hata mimi nahitaji kadi ya uwanachama ni shabiki wa yanga ila sina kadi💚💛💚💛
@jaymakwiro2 күн бұрын
Nicheki nikupe maelekezo ujiunge na TAWI letu
@amaniomar17552 күн бұрын
Duuh hii pacha ni hatari sanah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Maadam Master Gamondi amehusishwa kwenye sajili hiyo nina imani Chama atahusika sana kwenye michezo ya Yanga SC
@kulwampalashimpalashi72242 күн бұрын
Priva safi nilimwacha Malangali High school form five
@jr_mkumbojr2 күн бұрын
Nilimkuta mwaka wa tatu UDOM😅😅😅
@josephmathayo51392 күн бұрын
Shairi ni zuri. Lakini Kuna taarifa zinasambaa kuwa SIMBA S.C imemsajili PACOME je ni kweli? Naomba Ally Kamwe aweke wazi Suala hili.
@kelvinmhenga97642 күн бұрын
Aaaaaah!!!!! Madogo mnaojua kuwakera makolo!!
@user-yu9hn2cq3y2 күн бұрын
😂😂😂vijana wanakera hawa
@CharlesElias-zh5hz2 күн бұрын
Sawa wananch kwaya ya Sant Maria mashahid wa aman namba mnayo. Priver jpil mazabahun
@mimiraia25312 күн бұрын
PALE MBELE AWE MAYELE
@halimamwingu44782 күн бұрын
Hahahaha! Yanga hakuna jambo dogo hata km litagharimu milioni 10.
@aziziabeid60522 күн бұрын
Yanga rahaaa
@errydeo8865Күн бұрын
Yanga is full of talents 😂😂😂
@lukooaugustino94242 күн бұрын
Mmetisha sana
@JudithLusonzo2 күн бұрын
ILA NYIE WAPUMZISHENI KIDOGO MTAWAUA JAMANI😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BensonAswile2 күн бұрын
CPA ni Chama, Pacome na A ni Aziz
@anithqpaul392323 сағат бұрын
Vijana mnatisha mkovizuri sana
@francisnyeriga2 күн бұрын
Daima mbele
@user-ql2hc7zt6b2 күн бұрын
Yanga kun fursa nyingi hakik yanga day inafaaa
@JitihadaRashidi2 күн бұрын
Watu Wa maana Sana nyie
@mgenikhalfan92582 күн бұрын
YANGA OYEEEEEE
@magrethmakauki2352 күн бұрын
CPA imekamilika
@user-hy3en6vk5f2 күн бұрын
Ila Wananchi jamn🤣🤣🤣💚💚💚
@ponsiankashaga42002 күн бұрын
Tupe ukweli kuhusu Azz ky?
@evancemnyiliki4132Күн бұрын
Ss ndo wananchiiii bhnaaaaa😂😂😂
@godfreymakau39322 күн бұрын
Noma sana
@DamarisOsward2 күн бұрын
Hongera sana chama jangwani
@malick_jrzramadhan72982 күн бұрын
Nyie vijana mnabalaaaa😂😂😂😂
@user-hy3en6vk5f2 күн бұрын
Ila Mudathir mtafutieni mbadala wake
@jarufuyahaya33382 күн бұрын
Jamaa mnajua kukera
@FausitnePonera-fq9pj2 күн бұрын
Jamani raha mpka unakeraaaaaaaa
@dinabilemanga17032 күн бұрын
Maxi naye amesahini mkataba
@chisongastephen7299Күн бұрын
Hahahaaaah,mupo vzr
@petermwaja57852 күн бұрын
Wapi leo
@mbarakaally2 күн бұрын
fresh,tu,wananchi
@errydeo8865Күн бұрын
Watu hawajui maana ya DEEP SQUAD! Waacheni wahangaike! Ukisikia mtu yeyote anayehoji ujio wa Chama Yanga,anahofu! Akisikia hizo namba 10 nne,tumbo joto! Man city wameweza ku dominate PL kwa sababu wana deepest squad IN PL! Arsenal wameshindwa kutwaa ubingwa misimu 2 iliyopita kwa SABABU kikosi chao games kama 5 za mwisho walichoka! Man City ,wakawa HAWANA wasiwasi! Wachezaji wote wanatisha! Hakuna 'man city B' yanga tutakua na mechi nyingi sana this coming season,why , WE.WANT TO WIN EVERY TROPHY OUT THERE! Wachambuzi uchwala wanashindwa kuelewa,YANGA TUNAFIKIRIA CAFCL ZAID KULIKO LIGI! CHAMA NI MASTER WA CAFCL!
@rachelsamwel53592 күн бұрын
Yaani nilikua nawaona watu wa maana kumbe mazuzu tu
@errydeo8865Күн бұрын
Yaani waandishi wa habari bongo ndo wapumbavu,wanahoji vitu vya kitoto kisa ulaya😂😂😂ila hawazi kuhoji kwanini huko ulaya HAWANYWI SUPU?! YANG IS AN INDEPENDENT CLUB,WE DO IT OUR WAY!
@deligodeligo33172 күн бұрын
WOW
@moiseszacariasmoisesmoises2 күн бұрын
😅😅 nawapenda sana
@sabrinakassimu2 күн бұрын
💚💚💚💛
@SuhuurFarxaanКүн бұрын
😂😂😂😂ila yanga tunauchokozi baraa
@Shebe_traLove2 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@mbarakasijaona76382 күн бұрын
Mnavituko nyinyi 😂😂😂😂😂😂
@EsterKindoli2 күн бұрын
😂😂😂😂💚🧡🙌🙌🙌
@FiniasBugobola2 күн бұрын
🎉🎉
@JosephMallya-qh6cf2 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@danielbenard90532 күн бұрын
❤❤❤
@happysanga68462 күн бұрын
💚💛💚💛
@user-bw1hs2nd8p2 күн бұрын
Ukisikia kukera basi huku😊😊😊😊😊😊
@mikanolmwano2 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@JaphethTumbu-f6j2 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@maikosamila71872 күн бұрын
Hii mkiifanya sa 3 asbh mtawanyima viewers media zengne
@LindaTimalas2 күн бұрын
Yaan mnajua kukera daah
@user-cu4mk4lp8v2 күн бұрын
😁😁😁😁😁
@chiefnumborecords481916 сағат бұрын
Sisi mashabiki Wa yanga African tunawaomba Joseph Guede abaki jangwani maana hao tunao sikia sikia kuja badala yake Awana uwezo Wa kumfikia huyo mwamba Kwa mfano huyo Jean Baleke Jonasan SOWAH mmmmh awamfikii Guede kivyovyote vile
@amosicommedy69172 күн бұрын
Vijana wa hovyo kabisaaaa😂😂😂😂😂😂
@bigjizee41302 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hakika wa hovyo kabisaa
@happymkasiwa59442 күн бұрын
❤❤❤❤
@user-nf3dc9fb6v2 күн бұрын
💚💚💚💚💚
@ezrayohana35412 күн бұрын
Khaaaaa 😂😂😂😂
@magrethmakauki2352 күн бұрын
Nyie watotoo ni balaaa😂😂😂
@maikosamila71872 күн бұрын
Hilo ndo jambo nlitoa wazo saafi kabsa
@MsumariMdoe-th8gm2 күн бұрын
Duh safiiiiii
@Almas1202 күн бұрын
nyie ni vichaa haki ya mungu😂
@ellyelly90692 күн бұрын
Hiiiiiiii imeendaaaaaaaaaaaaaaaa
@ReginaldAplonary2 күн бұрын
Priva 4 sauti hiyo
@GOLDIANEDRICK-sm6xk2 күн бұрын
Yani nyie mnawakera Sana
@benedictrwotto95772 күн бұрын
Shairi la nguvu
@Pdady-tc8kg2 күн бұрын
😅😅😅😅
@EzidanOmary2 күн бұрын
😂😂😂🙌
@jumamzelela42072 күн бұрын
Hahhaah
@user-kr2zi7du7y2 күн бұрын
Priva una sauti nzr
@user-tn8kw5jq7c2 күн бұрын
😂😂😂💛💛💛💛💚
@asecklukosi31032 күн бұрын
🎉🎉🎉😂😂
@user-lf2zz6wi8f2 күн бұрын
😁😁😁😁
@zakayomaendeleo2 күн бұрын
😅😅😅
@mohdyussah8252 күн бұрын
😂😂💚💚
@vincentdaud99542 күн бұрын
Abdulaziz kumbe unaweza kuimba kwaya za kikatoliki swafi sana jangwani raha?