TUMEONGEA NA SHEIK YUSUF DIWANI KUHUSU WAISLAM KUJIHUSISHA NA MAJINI NA HAPA ALIKUWA ANAFUNGUKA JINSI WANAVYOTUMIKA KUWASAIDIA
Пікірлер: 26
@nassoroyahaya82112 күн бұрын
Hello,Ustadh katika Umma wa kijini ulioishi hapa Duniani zaidi ya miaka 2000 kabla ya kuwepo kwa Mwanadamu,na hao majini walifanya dhambi na kufanya uasi na siku zote chanzo cha uasi ni Shetani je,hao majini Shetani wao ni nani ...anaitwaje na dini inatwamhia nini juu ya hilo
@SIMULIZIZONE12 күн бұрын
Nashukuru kwa hili swali, inshallah tutapata majibu
@Khmediy324112 күн бұрын
Chanson cha uasi cha kwanza ni nafsi shetan wapili nafsi pekee inaweza peleka mtu motoni
@Khmediy324112 күн бұрын
Nafsi imeumbiwa kupenda rakhaa n'a kwenye Raha ndo Zambi ilipo
@HamisAbdallah-cj2sc13 күн бұрын
HUYU SHEIKH DIWANI SIJAWAHI KUMUELEWA HATA SIKU MOJA UNAKUMBUKA ULIWAHI KUMTETE SHEIKH ALHADI MUSA KUHUSU ALELUYA KUWA NI SHAHADA ILA AHEIKH MUHAMEDI BACHU AKAKUKOSOA MWISHO WA SIKI USTAZI SHAFI AKAMALIZA MJADALA KUWA HALELUYA SIO SHAHADA DIWANI NI MFATA UPEPO MBONA WEWE HUWATUMII MAJINI UWE TAJIRI ACHENI UONGO .ALLAH ATAWADHALILISHA.MIAKA YOTE MLIKUWA ANAPINGA KUHUSU KUWATUMIA MAJINI MKIWA MKIWAJIBU WAKIRISTO LEO MNASEMA NI HALALI WAISILAMU TUMEINGILIWA ALLAH TUNUSURU NA HAWA MASHEIKH WAPOTOSHAJI
@safinamaridhawa13 күн бұрын
Nimekuelewa sana sheikh kwa ufafanuzi uliokuwa bora na ufasaha wa hali ya juu
@user-it7ih1it3m13 күн бұрын
Duh kweli naamini sasa dunia imefika ukingoni kabisa 😂😂😂😂 Tunahalalisha kuishi na waasi wa mwenyezi mungu
@shepherd1x8411 күн бұрын
Wenye masikio hawaambiwi sikiza..majini ni mashetani.,ndio mapepo wabaya woooooooote!Hakuna mwema katika mashetani
@zuberkasim715012 күн бұрын
Kunabaadhi yamaswali hayaja jibiwa muandishi ameomba aya au hadithi ya mtume muhammadi ilio sahihi inayo thibitisha kunanguvu inafaa kuliko ya Allah
@savinosalamba917411 күн бұрын
ASANTE KWA KUWAELEZA UKWELI WAISLAMU KWAMBA UISLAM NI DINI YA MAJINI, WAKRISTO SISI MAJIN NI MALAIKA WALIOMUASI MUNGU NA WANASUBIRI MOTO WA JEHANAM
@msemakweli24313 күн бұрын
Waisilam watabisha na kubisha lkn ukweli ni kwamba uisilamu bila majini ni ngumu na bila ya shaka yoyote ndugu wa muisilamu ni muisilamu
@nubianqueen67007 күн бұрын
Mashekhe wa mchongo
@austorb.nyondo270813 күн бұрын
Acha uongo mkubwa huo, hatuna majini yanamuabudu Yesu. Kwanza yalikimbia mbio yakaomba asiyaangamize bali ayaruhusu yawaingie nguruwe tu
@berry472612 күн бұрын
Wakristo ndio wanaokula nguruwe hehehehe mtihani kweli watakuwa na majini wengi wachafu.
@TheAlman13 күн бұрын
Huyunae mjinga kwer sasa huyo alieandika hicho kitabu si mwanadamu sisi tunataka ushahidi wa qurani sio mananeno ya upuuzi
@johnwoshi345913 күн бұрын
We diwani Unakwepa hoja habari ya nyoka unaleta story za uongo
@abdallahcharif825213 күн бұрын
Tuna mpata dje mzee diwani wa pale kigoma?
@baqirmkilindi93693 күн бұрын
Hata wakristo wanayo soma biblia
@nubianqueen67007 күн бұрын
Ahsanta sana simulizi ingawa wewe sio muislamu, unasisitiza sana aya itoke kwenye Qurani, pia sisi hapa waislamu tunataka dalili kutoka kwenye Qurani, lakini hawatatoa kwa sababu hamna.
@TheAlman13 күн бұрын
Hili nalo jinga tu
@shaakirahmussa929113 күн бұрын
Ma sheikh awa hawana muelekezo isipokuwa wanatizama kwenye Kuna maslaha yawo. Hatuna mausiliyano sisi namajini nukta
@StanleyMadinda13 күн бұрын
Bado huna elimu ya dini 😅😅😅
@sulekhan711912 күн бұрын
@@shaakirahmussa9291 Haujui chochote kuhusu majin
@jamilaathumani548113 күн бұрын
Wewe mwandishi wa habari huna jipya unatafuta content tu huna lingine ..mana maswali ni hayohayo Kila wakati unajibiwa maswali vizuli kabisa lakin huelewi kutwa kuuliza maswali ambayo ushapewa majibu Sasa sijui Nia yako ni nini...