@StraightPathDawah #RamadhanKuria kwenye Dawah mitaani akishirikiana na baadhi ya wana Dawah kutoka jijini Nairobi. Tafadhali subscribe..
Пікірлер: 60
@MohamedMeja3 күн бұрын
Mashallah mungu awaongozea wakristoo
@Noorein-ws8wkКүн бұрын
Amiin
@chiefmkalikibz15032 күн бұрын
Hai ipo wazi masheikh zangu, na hata wao kwa wao wadhihirisha kwa kukarangana. ALLAHUMMA TUJAALIE TUFE KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO BALI SIO KATIKA VITANDA VYETU TUKIWA TUMESIBA #MANDIY. #Armie2Palestine #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah
@josemu8702 күн бұрын
Barikiweni sana sana
@azizashiundu57782 күн бұрын
Mashallah
@user-fr6rv2yb4s3 күн бұрын
Sheikh leo kuna shida,munabishana na hawa mkitumiya story na fikra badili ya kuwanyamazisha na maandiko kama kawaida yenu.Kuna aya nyingi ndani ya biblia ya kuthibitisha yesu siyo mungu. Hii ya leo imekuwa story. ALLAH awabariki kwa kazi mzuri
@StraightPathDawah2 күн бұрын
Hakujasomwa vitabu au umetazama nusu na kuhukumu?
@twaine402 күн бұрын
Hawa uelewa wao nifinyu Sana yaani Mtu yuasoma andiko na Bado yuabishana Sub'haana Allah
@fardoshnassor78472 күн бұрын
Mashaallah Allha 💖
@dominicwafula39979 сағат бұрын
Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊
@Mimein-vn7or2 күн бұрын
Allah akujaze kheri ya Dunia na akhira.
@Jingajinga642 күн бұрын
Hao wa leo wamekuja kwa nia ya ushindani na kuharibu muhadhara. Na leo pia utaratibu umeharibiwa na hao jamaa. Musiwakubalie kamwe siku zijazo. Shukran
@user-ng1po1dh4z2 күн бұрын
Huyo Anaejifunika kofia usoni, anaona aibu, kwa ukweli uliomo ktk. Biblia kitabu wanachokiamini. Kubali hamkubali, Yesu si Mungu, yeye alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu.
@seifissa97052 күн бұрын
Yaani hao jamaa mungu awasamehe
@mohamedmaina22792 күн бұрын
Shukuran
@MohammediSemndili2 күн бұрын
Masha allh mungu awabariki nasubir part3 kama itakuwep
@StraightPathDawah2 күн бұрын
insha'Allah
@adanabdi52492 күн бұрын
Sawa
@prettyaysha78922 күн бұрын
Hii kazi haitaki hasira wallah mm ni mwanamke lakini naskia kugonga huyo wa white aki hata ingekua mm ndio nnafanya hii ningekaa na manundu ya uso kwakupigwa😊
@user-fc6uf6be5u5 сағат бұрын
😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa
@hythamhashiem4458Күн бұрын
Hawa niwabishi tu hawana wajuwalo
@hythamhashiem44582 күн бұрын
Tomaso ni chizi! hio ni kali
@SalmanMughal-lq5lt20 сағат бұрын
NimechekaetiTomato.nichizi@🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Adm94642 күн бұрын
Confusion continues. Wakristo hawasikisani.
@hamzamohamed3773 күн бұрын
Bro naona wengine wako na feelings chunga usivamiwe
Yani wamejazwa imani ambayo kwa maandiko hakuna mpaka wanaikataa Bibilia yenyewe...duh! Mtihani kweli na hawa marafiki zetu
@SalmanMughal-lq5lt20 сағат бұрын
SubhanaAllah.
@samxx4112 күн бұрын
Huyu jamaa alovaa kofia hajui hata anasema nini?? ilimradi na yeye aseme.
@zainabhussain41142 күн бұрын
Kweli 😂😂
@namasakajuniorke3886Күн бұрын
Kama nyinyi vidume kweli muweke video yote mnakata mahali niliwagaragaza
@wakeshojana3 күн бұрын
HIYO SI ISHU YA AJABU....HATA WAISLAMU WA MADHEHEBU TOFAUTI HUITILAFIANA JUU YA KORAN.......TAFUTA RUTO AKUPEE KAZI HUNA HOJA.
@abdulJambe2 күн бұрын
Qur'an ni Moja Wacha makasiriko mlaji nguruwe
@StraightPathDawah2 күн бұрын
Sijaomba KAZI labda wewe uje nikuajiri
@softymoha54842 күн бұрын
@@chapchap-oz1ou Quran ni moja dunia yote kwa taarifa yako...then ibada yetu ni moja..dunia kote
@samxx4112 күн бұрын
Hakuna hicho kitu, qurani ulimwengu mzima ni moja tu....labda useme tafsiri inaweza kuwa tofauti kulingana na lugha ya sehemu..lakini qurani ya asili inabaki kuwa ni moja tu.
@mahmudmugarura21752 күн бұрын
@@chapchap-oz1ou mnapotea sababu hamjui maandiko wakristo walio kuepo wangapi wametoa Andiko,,? Chunga usije ukaolewa tena wewe ni mwanaume.mburukenge