SHEIKH:MSELEM BIN ALY HII NDIO HISTORIA KAMILI YA MAISHA YANGU YA GEREZANI

  Рет қаралды 96,002

Adil TV

Adil TV

Күн бұрын

#AdilAbdallah #DarsaLaShekhShahran
Karibu ujiunge nasi Adil TV. Adil TV nikituo kinacho onyesha Video tofauti kama vile Move,Tamthilia,Qaswida,Comedy Clip,Show n.k Ili kujiunga nasi bonyeaza SUBSCRIBE ili kupata video mpya kila tunapo ingiza. Pia weka komenti zako katika video hii. Napia TUNATANGAZA BIASHARA YAKO tupigie 0774 362 246

Пікірлер: 89
@salummajigamajiga2870
@salummajigamajiga2870 2 жыл бұрын
Polen sanaaa shekhe wetu inshallaa Allah akulipeni pepo tena frdausi
@haroubsamir9450
@haroubsamir9450 2 жыл бұрын
Shehe wetu bado tunakuelewa sana ALLAH atatulipia
@shabaniumande
@shabaniumande 11 ай бұрын
Pole sana Sheikh wetu, Kila Mahala Masalafiya jadidah ni mtiani sana
@MohdAbdalla-uq4pe
@MohdAbdalla-uq4pe 3 ай бұрын
Mungu awaoneshe na wao hao walio watia ndan bila ya sababu yyote mungu awaoneshe hapahapa dunian Kila Alie shiriki kufanya hvyo
@YussufHaji-go6tk
@YussufHaji-go6tk Ай бұрын
Allah in shaa Allah atakulipeni
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 11 ай бұрын
Allah akuhifadhi hapa duniyani na akupe pepo ya juu kwa rehema zake
@YussufHaji-go6tk
@YussufHaji-go6tk Ай бұрын
Allah akulipeni
@iddyally7471
@iddyally7471 2 жыл бұрын
Allah akulipe sheh wetu
@salmasalim6055
@salmasalim6055 2 жыл бұрын
Poleni sana masheikh wetu
@selemankishema5780
@selemankishema5780 2 жыл бұрын
Do!!! Yaani uliyokutananayo ndio maisha yetu waislam dunia nzima wallahi hii NI adhabu toka kwa Allah kwa kuwacha dini. Yaani umenipa funzo la kuogopa kushirikiana na muislam ila kwa tahadhari kubwa mno wallahi.
@rukundoibrahim807
@rukundoibrahim807 2 жыл бұрын
الله يحفظكم يافضيلة الشيخ مسليم علي وهكذ المسلمون داءما مختلفون.
@user-nd2ev5hu1m
@user-nd2ev5hu1m 6 ай бұрын
Wape dozi masheikh kula😊😊😊😊😊😊
@zainabzanzibar1518
@zainabzanzibar1518 2 жыл бұрын
Subhana Allah
@user-nd2ev5hu1m
@user-nd2ev5hu1m 6 ай бұрын
Allah akubarik sheikh
@hassanaloisi3643
@hassanaloisi3643 2 жыл бұрын
Hakika dunia ni chumba cha mtihani kwa muumini.Allh atawangaza wetesi kwa waumini.
@user-jh3xm1vu3d
@user-jh3xm1vu3d 5 ай бұрын
Allah (S.W) hamtupi mja wake,hakuna mkamilifu n umetenda uliyojaliwa kadri uwezavyo .Hiyo n Mitihani y hapa Dunia.Na Uislam n Dini inayoongozwa n Kitabu Kitukufu Quraan,matendo yote y Mitume wetu Muhammad (S.W) n Quraan.Hivyo Mitume walipewa Wahyi n walifundishwa Kw kupitia Malika Jibril.
@mustafarashid2484
@mustafarashid2484 5 ай бұрын
Rekebisha hapo bro Mtume wetu ni (S.A.W) sio S.W tafadhali kaka.
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 Жыл бұрын
Asalaam aleikum Sheikh umeeleza vizuri sana lakini ulipotafsir "Ayat kursii" pale hakuna mtu wa kuombea ila. Muombaji apate radhi za Allah SUBHANA WATAALAH, "naomba mniweke sawa. Hapo
@khamismombo
@khamismombo 2 ай бұрын
Allah atakulipa
@user-sy1vv6ej1m
@user-sy1vv6ej1m Жыл бұрын
Pole sana sheikh mselem Allah atakusaidia
@mangeraalbert7982
@mangeraalbert7982 2 жыл бұрын
Allah akulipe mema saidi, akuondolee wabaya woote wauuni.
@rehemasalim4590
@rehemasalim4590 2 жыл бұрын
Amiin
@sakinat2527
@sakinat2527 2 жыл бұрын
Amiin
@iddijumaali7192
@iddijumaali7192 2 жыл бұрын
Shukran
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 2 жыл бұрын
Allah Akbar
@is-hakabinruweikh3833
@is-hakabinruweikh3833 Жыл бұрын
Mashaallah
@user-nd2ev5hu1m
@user-nd2ev5hu1m 6 ай бұрын
Asante sana sheikh
@user-nd2ev5hu1m
@user-nd2ev5hu1m 6 ай бұрын
Asant sana sheikh kwa kusema ukweli
@user-ht8po7un8p
@user-ht8po7un8p 4 ай бұрын
Mimi nikupe pole sana lakini kwa jela sio waislam tu ni mfumo uliopo jela kuna watu wa usalma wanakuepo ktk makundi wana kuwa wafungwa au mahabusu na wakati mwingine hata mkuu wa gereza na askar awajui kwaiyo ni ngumu kufanya jumuia au kitu cha umoja ukiwa jela ila inshallah tumefahamu
@user-kx8ph3ks2k
@user-kx8ph3ks2k 4 ай бұрын
Shari yako ioo dunian ndio her yko akhera na akher ndo itayobakia Allah ukulipe Pepo yote atayasahau Allah akudimishe ktka twaa
@user-jh3xm1vu3d
@user-jh3xm1vu3d 5 ай бұрын
Assalam aleiykum Warahmatullaah Wabarakatul.
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
Ndio tatizo letu waislamu uongo ndio sera zetu.kichwa cha habari umetuambia ni historia kamili.Je ni kweli?
@mim9607
@mim9607 2 жыл бұрын
ATI Kisha tunatarajia nusra
@JabirHaji-vj2nf
@JabirHaji-vj2nf 10 ай бұрын
Muongo weee na baba yako mulo wafunga mashekh wetu allah awakusameheni na akuongozeni
@JabirHaji-vj2nf
@JabirHaji-vj2nf 10 ай бұрын
Huna lolote wewe abuu mjinga
@omarykusah9719
@omarykusah9719 2 жыл бұрын
Eeeeeh mungu tulinde ss waja wko
@user-nd2ev5hu1m
@user-nd2ev5hu1m 6 ай бұрын
Allah akupe malipo mema
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 2 жыл бұрын
Dahhh! hatari sana jamani
@rehemaanyosisye5791
@rehemaanyosisye5791 7 ай бұрын
Asa unasemaje makafiri wew 😢 wakristo sio makafiri boya ww
@rahimmbezi9936
@rahimmbezi9936 2 жыл бұрын
Shukran. Al Akh Adil Abd. Ila mbona sio historia kamili kama tulivyotarajia
@saidmuhsin2446
@saidmuhsin2446 2 жыл бұрын
Vichwa vigumu popote vipo !!ndio maana tunapata shida
@user-sy1vv6ej1m
@user-sy1vv6ej1m Жыл бұрын
Yaa rabbi nisamehe makosa yangu
@aliy3303
@aliy3303 2 жыл бұрын
Sheikh Fareed yuko wp
@xmathematics_
@xmathematics_ 2 жыл бұрын
Shekh Andika Kitabu#
@haifaichongachonga8775
@haifaichongachonga8775 Жыл бұрын
Allah ni mlipaji wa yote
@HdhsHhshd-dc7vt
@HdhsHhshd-dc7vt 8 ай бұрын
Mayokeo
@KhatibMakame-dp1mn
@KhatibMakame-dp1mn Жыл бұрын
❤❤❤
@abdilahimusa3777
@abdilahimusa3777 2 жыл бұрын
Ndo maisha.
@HalimaSamwel-md1uz
@HalimaSamwel-md1uz Жыл бұрын
Danlood
@gyeong5972
@gyeong5972 2 жыл бұрын
ALLAH awavuwe hilii na jengineee
@paqchatygaga7276
@paqchatygaga7276 2 жыл бұрын
Amyn yaarabby😢😢
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 2 жыл бұрын
A alaykum naomba namba ya huyu shekh kwa aliyekuwa nayo japo nimpe pole
@suleimansalum.7816
@suleimansalum.7816 2 жыл бұрын
Oya
@sabraham5308
@sabraham5308 2 жыл бұрын
Tatizo linakuja kwa makundi fulani,kuupinga uongozi Saudi Arabia,na kuupiga vita na kuufitinisha utawala huu kwa waislamu,na hapa ndio mwanzo wa yote hayo,kuna wanaouzulia utawala huo ni wa kiyahudi,na mengine,na hilo Allah analishudia,jee Lina ukweli au Ndo tunamkasirisha Allah,Makka na Madina zipo Saudia,kuimarika kwa miji hiyo kunajionesha wazi,jamani hizi fitna ni za nini waislamu?tujiulize tawal ngapi zimepita,waislamu wanataka mtawala gani??.
@salumkarim69
@salumkarim69 2 жыл бұрын
punguza maandishi kwenye hizi klip boss wangu yanakera wanzio wanaweka neno moja tu au mstari mmoja tu hapo chini ya klipu
@mangeraalbert7982
@mangeraalbert7982 2 жыл бұрын
Sikiza sheikh tu, ndio bora,
@dulaking5474
@dulaking5474 2 жыл бұрын
Zuchu Nyimbo Mpya
@rehemabakari7425
@rehemabakari7425 2 жыл бұрын
Mashehe wetu múngu atawalipa
@user-in2gi6ho3t
@user-in2gi6ho3t 2 жыл бұрын
Yaani kumbe weye hujitambui itikadi yako niyaikhiwaanu msilimiina, inawezekanaje tuungane na mashia napote ambayo yanakwenda kinyume na Ahlu sunnat wal- jamaa?
@taifaglass6239
@taifaglass6239 2 жыл бұрын
Daah Hyyu kumbe mshia?
@zenasaid5607
@zenasaid5607 2 жыл бұрын
kwani mtume hakuunganisha waislamu wadunia nzima....shia no zao LA mgawanyo
@allyabdallahally9637
@allyabdallahally9637 2 жыл бұрын
Wewe chenga
@Abuqayyim157
@Abuqayyim157 Жыл бұрын
Pooole
@JabirHaji-vj2nf
@JabirHaji-vj2nf 10 ай бұрын
Nani mshia weee mhuni sheha mselem ahlu sunna waljamaa
@hosannainternationaloutrea7491
@hosannainternationaloutrea7491 2 жыл бұрын
UNAONGEA VIZUR SHEKHE, LAKINI NAOMBA UNAPOZUNGUMZIA NENO MAKAFIRI HEBU TOFAUTISHA NA KUITAJA DINI YA KIKRISTO , KWA KUWA MAKAFIRI NI WAPO, NA HAO MAKAFIRI SIO WAKRISTO WALA SIO WAISLAMU, kwa sababu ukafiri ni uovu Au ubaya, mbona sisi tunauhrshim uislam?
@hosannainternationaloutrea7491
@hosannainternationaloutrea7491 2 жыл бұрын
NIMEONGEA IVO KWA SABABU UMESEMA MAKAFIRI UKAUTAJA NA UKATOLIKI
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 2 жыл бұрын
Kafiri nikafir2 awe nimkirsto au laa wote nikufaar
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 2 жыл бұрын
Tujitahidi kuitafuta sheria ya alotuumba. Mtu asjihukumu kuwa yeye si kafiri pasi na kuheshimu muongozo wa Mwenyezi Mungu.
@ismailothman8063
@ismailothman8063 2 жыл бұрын
Mahana ya kafika ni mpinzani yani ni mtu yoyote anayepinga manenonya Mwenyezi Mungu ndoanaitwa kafili na kutaka wakilsto ni kuwasifia kwa umoja wao tofauti na waislam wameshindwa kuwa na umoja kama wakatoliki
@JabirHaji-vj2nf
@JabirHaji-vj2nf 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂pole saana
@swaf-wanyahya7657
@swaf-wanyahya7657 2 жыл бұрын
Icho kitu hakiwexekani ata sikuu mojaa sunn hawexi kukaa nashia tena ixo fikira mxiondoshe kabisa fkra za kighawargy
@kitwanaabuu809
@kitwanaabuu809 2 жыл бұрын
Ulishawahi kwenda akhera ukaona huko uliko uko sasa mungu ndo mjuzi zaidi
@user-nd2ev5hu1m
@user-nd2ev5hu1m 6 ай бұрын
Pole sana sheikh
@user-nd2ev5hu1m
@user-nd2ev5hu1m 6 ай бұрын
Pole sana sheikh
@user-nd2ev5hu1m
@user-nd2ev5hu1m 6 ай бұрын
Kweli wasomi wasio na maarifa mazuri wapo
@twahaabrahman-ev8co
@twahaabrahman-ev8co 11 ай бұрын
Dola Haichezewi,
@abusumayyah2338
@abusumayyah2338 2 жыл бұрын
Rudini katika manhaj ya Salafus swaalih acheni fikra za kikhawaarij
@karimulahiabdullahi6816
@karimulahiabdullahi6816 2 жыл бұрын
Kama wale wanaojitoa kwenye uongozi wa Demokrasia Ni Ukhawaariji, na wale wanao jitowa kwenye uongozi wa Kiislamu wanaitwaje? Acha kutia Shubha kwenye Akili za watu. Walioitwa Khawaariij waliitwa kwa kujitoa kwenye uongozi wa Alii na Mua'wiyah ambao walikuwa wakiongoza kwa kitabu na Sunnah. Je hawa viongozi wenu wa nchi wanahukumu kwa kitabu na Sunnah? Mpaka muwaite watu Khawaariij kwa kujitoa kwenye uongozi wao. Kama kujitoa chini ya kiongozi Kafiri haifai, mbona Mtume na Maswahaba walijitoa kwenye uongozi wa Abu jahl Makkah ? Si angebaki Makkah tu? Tatizo lenu hamjalifahamu suala la Utawala na kubaki chini ya watawala katika Uislamu .Mtawala ambaye ukitoka chini ya Utawala wake Mtu huwa Khaarij, Ni Mtawala Muislamu, sio Hawa Makuffaar na Martadiin.
@abuunusaiba7679
@abuunusaiba7679 2 жыл бұрын
Kwa wao Wanavyoambiwa na mashekh zao Tanzania ni nchi ya kislam na wamekubali mashekh wanawafanya Kama mitume hawakosei Wana ushabik mwingi na majivuno kaz yao kubwa ni kuowa na kuacha wanawazazalisha mabinti za watu
@xmathematics_
@xmathematics_ 2 жыл бұрын
@@karimulahiabdullahi6816 umeongea kitaalamu sana#
@abdalaseleman921
@abdalaseleman921 2 ай бұрын
Mayahudi wametuletea masalafi ili kuwagawa waislamu na kwasasa wamefanikiwa kwa hilo.
@deuscylilo6015
@deuscylilo6015 2 жыл бұрын
Watu unawaita kafiri, unauhakika gani kwa mungu Bora ukafungwe Tena ili ujifunze
@allyabdallahally9637
@allyabdallahally9637 2 жыл бұрын
Kafiri inamaana pana wewe unachojua ni mkristo si uache kusikiliza
@hajiameir8688
@hajiameir8688 Жыл бұрын
Ww deus sikulaumu kwani ww huna elimu hata muisilamu anaweza akawa kafiri sio mkristo tu mungu atakufanyia wepesi na ww utaenda jela kama ni vizuri kumtakia mwenzio abaki jela
@maryamerick749
@maryamerick749 Жыл бұрын
😡😡😡😡😡😡
@is-hakabinruweikh3833
@is-hakabinruweikh3833 Жыл бұрын
Huy deus ataka makwaju mshenz uyo
@is-hakabinruweikh3833
@is-hakabinruweikh3833 Жыл бұрын
Sheikh wetu ataka arudshwe tena gerezani we deus mpuuzi nin NENDA ww uko gerezani!! Mshenz ww!!
@IdrisaIsmail-mt3ks
@IdrisaIsmail-mt3ks Жыл бұрын
Allah atakulipa
HISTORIA YA SHEIKH MSLEM HADI KUINGIA GEREZANI
31:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 85 М.
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 37 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 65 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 8 МЛН
MAISHA YA SHEKH MSELEM GEREZANI | TUNASHUKURU HATUNA HATIYA
8:46
Nyanga Online Tv
Рет қаралды 6 М.
SHEIKH ABOUD ROGO: MADA HISTORIA YA MTUME NA JIHAD
55:59
ROGO JR
Рет қаралды 15 М.
KIMETOKEA NINI BAADA YA KUFA HAMZA- SIMBA WAMUNGU - DR SULE
30:12
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 76 М.
SHEKH: MSELEM BIN ALY |KHUTBA YA IJUMAA |DUNIA
41:05
Adil TV
Рет қаралды 82 М.
UJIO WA MTUME MPYA MBAGALA PRO MAZINGE AMCHANA
14:23
arkas online tv
Рет қаралды 15 М.
NINI KINAFATA BAADA YA KUFA? |SHEKH:MSELEM BIN ALY
22:44
Adil TV
Рет қаралды 83 М.