HISTORIA YA SHEIKH MSLEM HADI KUINGIA GEREZANI

  Рет қаралды 85,331

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

10 ай бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 137
@malongoisack5811
@malongoisack5811 10 ай бұрын
Huyu sheikh mselem nakupenda sana kwa ajili ya Allah
@rashidomar2771
@rashidomar2771 10 ай бұрын
Leo shekh rashid umenikosha sana ,,umemleta mtu ambaye nampenda sana kwa ajili ya Allah,,allah akubariki sana
@hamadsuleimaan802
@hamadsuleimaan802 10 ай бұрын
Ktk mashekh nnaowakubali huyu ni namba moja Nampenda sana shekh Msellem Aliy
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 10 ай бұрын
Mashallah Asante sheikh Rashid Allah akulipe kher kwa kutuletea Shekh mselem 😢Dah kwakwel mim siwez kusahau nipo Mdog nasikia tu mama angu kila siku akilia Bas akiwekwa mawaidhsa yake shekh msellem uone askitika jaman Siku izi wanatukosesha darsa za sheikh msellem Yaan Mpaka amenifanya na mimi Nimpende Allah akupe umr mrefu sheikh Msellem akuepushe na shar za binaadam na majini😢🤲🤲
@nasrasalum6298
@nasrasalum6298 9 ай бұрын
Amen
@muhidinsuleiman4315
@muhidinsuleiman4315 10 ай бұрын
Asante sana sh Rashind. Sheikh Msellem nampenda sana na Allah amueke tuzid kusoma kupitia yy inshaallah.
@amirybeka9602
@amirybeka9602 10 ай бұрын
Mashaallah sheikh mselem Allah akuhifadhi, akupe umri mrefu wenyew kher naww.
@cadabra7402
@cadabra7402 9 ай бұрын
Huyu mja wa Allah nampenda snaaaaaaaa , juzi nilienda kupiga picha nikakutana nae harusini anatoa mawaidha kuhusu ndoa Wallah maneno yanakuingia , nilitaman asimalize kuongea , anaongea kwa utulivu , bashasha , Allah amempenda sna ,Allah amdumishe yeye na sisi katika imani thabit. Ya Allah hakika unasikia na unaona chochote kile mwanadamu anachokifnya na hata kile asichokifanya kilichomo tu kwenye nafsi yake , nakuomba mola wangu unipe ucha Mungu mimi na waislamu wengine , na utufufue hali ya kuwa nyuso zetu zina nuru yako Mola wetu mtukufu, Amiin. 10:14
@TunauzaSimu-fn2ff
@TunauzaSimu-fn2ff 26 күн бұрын
Amiin ya Rabbi
@mirajimohamed7606
@mirajimohamed7606 10 ай бұрын
Masha Allah alhamdulillah nakupenda shk Mselem bin Ally kwa aajiri ya Allah napenda ambavyo una present mada zako na hauna upande kama mashekh wengine
@kassimomar7589
@kassimomar7589 10 ай бұрын
Huyu mtu namkubali Sana Allah ampe afya njema
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 10 ай бұрын
Mashaallah Allah akupe pepo ya juu sheikh mselem
@user-ns2br3me2n
@user-ns2br3me2n 9 ай бұрын
Allah akuweke sheikh mselem nakupenda sna kama mtu hakufahamu uyo haelewi popote
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 10 ай бұрын
Mashaallah huyu Sh, Msellem ni mtu muhimu kwenye jamii ana tawadhui kubwa
@stevenmichaelmaganga4828
@stevenmichaelmaganga4828 9 ай бұрын
My favorite shekh watch him everyday
@zanlec7357
@zanlec7357 10 ай бұрын
Masha Allah. Sheikh Mselem ni fundi wa kuongea na Fasaha san hatoki nje ya mada ni mtulivu mno. Allah amhifadhia na husda za mahasidi.
@ustadhisimbula8622
@ustadhisimbula8622 10 ай бұрын
Maa shaa allah shekh langu hili nampenda sana kwaajil ya allah allah aendelee kumlinda na kumuhifadhi
@selemanimlahagwa6942
@selemanimlahagwa6942 4 ай бұрын
Shekhe wng mselem ally nakupenda sana kwaajir ya Allah . Allah hakupe maisha marefu insha'Allah
@user-wy7jl3do3c
@user-wy7jl3do3c 2 ай бұрын
Sheikh Allah akupe afya njema uzidi kutuonesha nuru ya Allah
@JemzMaalim
@JemzMaalim 10 ай бұрын
Maaashllh ALLH SW amhifadhi shekhe wetu
@is-hakaame
@is-hakaame 10 ай бұрын
Mashaallah Allah amjaalie husnil lhatma sheikh Mselem yeye pamoja na sisi🙏
@Allybinamour
@Allybinamour 10 ай бұрын
mashallah mwalim wetu shekh mselem bin ally allah akujalie umri mrefu wenye kheri ili tuzidi kunufaika na elimu yako.allah akulinde na kila shari.
@khamiswapemba9019
@khamiswapemba9019 10 ай бұрын
Alhamdulillah tunashkuru sana Sheikh Rashid hakika tumefarajika sana kupa history ya Sheikh Mselem wengi tulikuwa tunabambanyana juu ya historia yake Allah amzidishie umri mrefu aweze kutuelimisha zaid na pia Tunamuomba Allah aizidishie muangaza alfatah tv iweze kutuletea mazuri zaidi
@solomonadams6337
@solomonadams6337 10 ай бұрын
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu A¿huyu Mzee Allah amemjaalia akili za elimu he's very wise Sheikh I really really love him..💯👌
@ibugharib389
@ibugharib389 10 ай бұрын
MASHAALLAH, JAZZAKALLAH kher.wallah sura yake na bashasha zake anapocheka unajua huyu sheikh yuko vizur Allah akuzidishie ELMU YENYE manufaa. Bega kwa bega mpaka Firdaus
@twahaabrahman-ev8co
@twahaabrahman-ev8co 10 ай бұрын
Bega kwa bega Mpaka firdaus Pole Sana Ndugu
@ibugharib389
@ibugharib389 10 ай бұрын
@@twahaabrahman-ev8co POLE ya nini
@khamishaji-fw1km
@khamishaji-fw1km 10 ай бұрын
Namkubal sana maalim nashukuru sana shehe MUNGU azid kukulinda sana
@binloufy454
@binloufy454 10 ай бұрын
Ma sha allah hii ni hazina ytu katka ulimwengu wetu allah atuekee na azidi kutuekea ktika elimu ya kubwa ya dunia na akhera Tunakupenda sana kipenzi chetu sheikh mselem bin allay
@floramateru
@floramateru 10 ай бұрын
Masha ALLAH maalim yuko vizuri ALLAH SW AMUHIFADHI
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 10 ай бұрын
Allah atuwekee viongozi wetu Hawa wazidi kutuelimisha
@ahmadjuma-xx5nd
@ahmadjuma-xx5nd 10 ай бұрын
Mashaa allah sheh mselem allah azid kukuhifadh
@user-yl1mx8cu1x
@user-yl1mx8cu1x 9 ай бұрын
Mashallah shekh wetu,mungu akupe upeo zaidi wa kuyuongoza
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 10 ай бұрын
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo 17 күн бұрын
Ma sha allah Sheikh msel Allah akuhifadhi
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 10 ай бұрын
Mash Allah Shekhe Mselemo Allah akupe umri wenye wenye manufaa kwetu sote Amiin Rabbil Alaamin.
@fatumahussein6399
@fatumahussein6399 10 ай бұрын
Masha Allah!!! Shk Mselemu Allah amhifadhi. Ni miongoni mwa mashk nnao wakubali Sana.
@zuzadomikano3765
@zuzadomikano3765 10 ай бұрын
SHEIKH MSELEM ,ALLA AKUWEKE PEMA IMANI YANGU WEWE UNARADHI NA UNA KHERI KATIKA UCHAMUNGUWAKO ,WAZAZI WAKO ALLAH AWAVIKE TAJI DUNIANI NA AKHERA ,ULI PATA RADHI ZA MTUME ,SIO KAMA HAWA WANAJIVUNIA VYETI VYAKUJITOA KINYESI WAKOSEFU WA ADABU .
@user-gn2we2tp4c
@user-gn2we2tp4c 10 ай бұрын
Allah akujali heri na uendele kutupa Eli ya ahera
@user-lx2wg4je3t
@user-lx2wg4je3t 2 ай бұрын
Allah. Mjalie kila la kher sheh wetu
@abiiajmi2399
@abiiajmi2399 10 ай бұрын
Mashaallh wewe ni wangu hasa ❤❤❤ mungu amekujalia hekma
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 10 ай бұрын
Namkubali Sana Allahu Akuhifadhi wewe ni Mzanzibari Hasa umechanganya Damu kwa kila Kisiwa 🙏🙏🙏🙏🙏
@profesamakame5179
@profesamakame5179 10 ай бұрын
Asalam Alaykum sheikh Rashid kweli wasomi mara zote c wenye kujisifu hz ndio hekma za sheikh wetu
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 10 ай бұрын
Nampenda sheikh Mselem bin Ally mno wallah allah atuekee mwanazuoni wetu biidhinillah
@binmasoud4150
@binmasoud4150 10 ай бұрын
Mashallah Allah akulinde na kila shari na atukutanishe sote peponi. Najua umejishusha kuhusu elimu lkn mm na jamii ya wengi naamini tunakuchukulia kuwa ni mwenye elimu na muono mpana. Allah akuhifadhi.
@husseynomar9523
@husseynomar9523 3 ай бұрын
MashaAllahu al imaam Sheikh Mselem ❤
@husseinbudaga2953
@husseinbudaga2953 10 ай бұрын
Allah akujaalieni saana..
@hajikhamis6544
@hajikhamis6544 10 ай бұрын
Mashallah Yani shekh elimu alionayo anasema hajasoma sijui engesoma ingekuaje leo Mt anapitia kitabu kimoja anaaza kuandaa mijadala duh
@MaliganyaWilson-ef3pk
@MaliganyaWilson-ef3pk 10 ай бұрын
Nampenda sana huyu sheikh mungu amrahisishie pepo yake.
@asalkhan9168
@asalkhan9168 10 ай бұрын
Kwa ajili ya Allah sheikh nakukubali sana
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 10 ай бұрын
Mashaa الله leo tuna mgeni mkubwa sana. Mashaa الله ...الله akuhifadhi abuyi.
@raiyaaaraiyaa6054
@raiyaaaraiyaa6054 10 ай бұрын
MashaAllah Tabaraka Allah
@ZUHURAKHALFAN-mc8nd
@ZUHURAKHALFAN-mc8nd 10 ай бұрын
Allah akuhifadhi SHEIKH Mselem AKULINDE NA SHARI
@omarmsuya5373
@omarmsuya5373 10 ай бұрын
Maashallah Allah amfanyie shekhe wetu wepesi
@mussamgonola3983
@mussamgonola3983 10 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah Allah akupe umri mrefu ya sheikh
@Amirshamte
@Amirshamte 4 ай бұрын
Mashallah sheikh maelem nakupend sana kwa ajili ya Allah mungu akulinde na kwa pamoja mungu atupe mwisho mwema inshallah
@muhammadiabassi656
@muhammadiabassi656 10 ай бұрын
ماشاء الله الله يحفظك ويبارك فيك
@hajikhamis6544
@hajikhamis6544 10 ай бұрын
Mashallah Allah awajaze kheri mashekh wetu
@asiamohamedy2643
@asiamohamedy2643 9 ай бұрын
Mashallah shekh wetu yaan maneno yako huwa matamu ya hekma na huachi kitu kwenye ukwel unasema hufumbii jicho chochote nikwel semen ukwel japo wapo wtu watakasrka kulingana na ukweli huo lkn unakuwa ushaufikisha ALLAH akupe afya njema shekh wetu
@UkhtySauShamsiaMahonda
@UkhtySauShamsiaMahonda 10 ай бұрын
SH rashid salim #LEO umeikonga nyoyo yangu
@issakhamis9581
@issakhamis9581 10 ай бұрын
Mash ALLAH tupo pamoja
@user-jv8ki9ut2p
@user-jv8ki9ut2p 9 ай бұрын
Mashallah Allah akulinde akuepushe na kila baya nakupenda kwaajil y ALLAH
@muhamadhusein5260
@muhamadhusein5260 10 ай бұрын
Shekh mselem ni kipenzi chetu, Wewe ni adui kwa ccm,adui kwa makafiri na adui kwa masalafi, Allah atakuhifadhi na maadui hao
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 10 ай бұрын
Kipenzi,kumbe unalala nae wewe,kafiri na shoga ni wazazi wako,by the way Mselem your smart guy,may Allah protect you.
@marischidy63
@marischidy63 10 ай бұрын
Masha.alla.tunaomba.sehemu.yapili
@FathimaZubair-jt4cg
@FathimaZubair-jt4cg 9 ай бұрын
مشاءالله ❤️
@firdaus7428
@firdaus7428 10 ай бұрын
‏ما شاء الله
@abdallaomarkhamiskhamis9656
@abdallaomarkhamiskhamis9656 10 ай бұрын
Mashallah
@Abuu_Mundhiri
@Abuu_Mundhiri 10 ай бұрын
Mwendelezo tafadhali
@nasrimswaki4824
@nasrimswaki4824 10 ай бұрын
naam maashallah
@user-pi5sf5qz1j
@user-pi5sf5qz1j 9 ай бұрын
Ishaahla mungu akubariki milele
@user-gs9bb8rs5p
@user-gs9bb8rs5p 9 ай бұрын
Mashaalah best shekh
@jumamkali8307
@jumamkali8307 10 ай бұрын
❤ Masha Allah
@salumchoma8731
@salumchoma8731 9 ай бұрын
Alhamdulillah shekh wetu
@user-ck8xn9md3h
@user-ck8xn9md3h 9 ай бұрын
Mashaallah shekh wangu
@zainabhassan1514
@zainabhassan1514 10 ай бұрын
Tunaomba sehem ya pili inshaalah
@reformerthrone972
@reformerthrone972 10 ай бұрын
Mashaa Allah sheikh hatujuwani Lakini inaonesha no msomi na anajuwa akisemacho... Na kipindi hichi ni Safi Sana tu.. History ni Tamu iwapo itakuwa ya kweli na sh ndio ni mtu wa ukweli
@AbubakarKumbwani-yq5vg
@AbubakarKumbwani-yq5vg 9 ай бұрын
Halafu kuna genge la watawala wahuni wakamzushia kesi ya uongo ya ugaidi,ALLAH awaangamize wahuni wale.
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 10 ай бұрын
POLE SANA SHEIKH,KUHUDHURIA MIKUTANO ISIWE SABABU YA KUWEKWA JELA..ANAESHUKIWA HUFATILIWA muda hadi kuwa na UKWELI NDANI YAKE,kisha kushtakiwa hapo
@UmmuAbdillah-th1ib
@UmmuAbdillah-th1ib 9 ай бұрын
Fatma Huwo gopa wew😂
@UmmuAbdillah-th1ib
@UmmuAbdillah-th1ib 9 ай бұрын
Eti bint ahmed
@AbubakarKumbwani-yq5vg
@AbubakarKumbwani-yq5vg 9 ай бұрын
Sheikh Mselem wewe una elimu kubwa ila hauna vyeti,elimu na vyeti ni vitu viwili tofauti ndio mana kuna watu wana vyeti lakini elimu hawana au elimu yao ndogo haiendani na ukubwa wa vyeti vyao.ALLAH akujaalie umri mrefu na siha njema ili uzidi kutoa elimu.
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y 10 ай бұрын
Me nimesoma comments za watu wengi nimeona bora nitoe Rai alfatah muweke darsa za Tafsiri za sheikh kutoka suratul baqra au muendeleze suratu nisai alipofika pale msikiti wa Radio anour daraja bovu
@ussiamini2868
@ussiamini2868 10 ай бұрын
Mm mwenyewe nakukubalisanaa shehe mselemu
@hamissalum6023
@hamissalum6023 10 ай бұрын
🙏🙏
@user-es9dz2bc2w
@user-es9dz2bc2w Ай бұрын
Kwa majina naitwa Sheikh JUMA RASHIDI maoni yang ni kwamb Sheikh Mselem Bin Ally ni Mwanazuoni wa kizazi chetu aliye na msimamo wa kuigwa kwa waislamu katika nchi hii
@SHEIKHMWAIPOPOTV
@SHEIKHMWAIPOPOTV 10 ай бұрын
Waislamu wengi tunaroho mbaya sana igeni wenzetu wakristo wanamaalifa sana sisi ni mazuzu walahi tupunguze fitna kama alikosea si basi tupunguze unafiki waislamu
@SHEIKHMWAIPOPOTV
@SHEIKHMWAIPOPOTV 10 ай бұрын
Sasa mselemu munamtukana hapo kakosea nini kama alikosea mbona selekali imemachia tunakosea sana huyo ni kiongozi ndio maana tunalanika waislamu kutukana viongozi wa dini ya mungu mselemu kafanya kazi ya mungu inchi hii
@maryammachanoomarymachano951
@maryammachanoomarymachano951 10 ай бұрын
Nime frahi kuskia history ya shekh Mselem
@awadhabed
@awadhabed 10 ай бұрын
Asalamu Alleikum..Nitafurahi na nitashukuru kupata number ya Sheikh Rashid ya Whatsap kwa kufanya kheri zaidi kupitia yeye.Shukran.Allah aitie Qaboul Ujumbe wangu Umfikie.
@alfatahtvonline3374
@alfatahtvonline3374 10 ай бұрын
0777858490 hii ndio namba yangu
@khamiswapemba9019
@khamiswapemba9019 10 ай бұрын
Tunasubiri shehemu ya pili
@abdulhamidjabu6530
@abdulhamidjabu6530 10 ай бұрын
kichwa cha habari tofauti na maelezo
@seifabdulwahid4579
@seifabdulwahid4579 10 ай бұрын
Utafauti wake nn na hy ni Historia yake
@ZaynabSeiph-me5nr
@ZaynabSeiph-me5nr 10 ай бұрын
Allah Akbar nimejifunza kitu,,kusoma sio madgrii na vyeti, mashekh igeni kutoka kwa shekhe uislam sio kuwa mfuas wa kundi fulani
@user-fo1sf4og7f
@user-fo1sf4og7f 10 ай бұрын
Shee mselem naitaji niwe mwanafunzi wako nipo dar unaweza nisaidia
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 10 ай бұрын
Watu wengi waona mumeonewa kumbe sio kweli mulitaka kuonewa mulilinganiwa sana muache vujo lkini mulijikuta wababe kilicho tokea munakijuwa nyinyi Rudi ni ktk haki
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 10 ай бұрын
Makhawariji wa zanzibar( muamsho mulitusababishia maafaa kweli ) hivyo bc mupate funzo dini sio vita dini ni kusoma na kufundisha sw Iko ivyo namuomba allah awaondoshe tabia za ukhawariji murudi ktk mstari wa sawa sawa ammin
@AllyMassud
@AllyMassud 10 ай бұрын
Mafa gani yalio fanywa na mwasho
@saidyussuf2291
@saidyussuf2291 10 ай бұрын
Kawafate uwanusuru ndugu zako watoke , usitake kufungua mdomo wako hapa ujione una elimu kubwa wakati hata kutawadha hujui , sioni kama busara kuanza kuwaambia watu wasojua ataa maana ya khawaarij , tumia njia za kielimu ukamuongoze , maana hapa hutopata faida zaidi ya kufanya izo sifa zako za kipumbavu , NA UWE MAKINI ALLAH ANAJUA KAMA UNATAKA KUTENGENEZA AU UNATAFUTA SIFA KWASABABU ANAJUA DHAMIRA YAKO
@zahormohd
@zahormohd 10 ай бұрын
Wewe punda kama wale wa mwembe makumbi
@adamaliali2206
@adamaliali2206 10 ай бұрын
Kuingizwa gerezani
@cadabra7402
@cadabra7402 9 ай бұрын
Mbona imemaliza fupi?
@salimobeid1470
@salimobeid1470 10 ай бұрын
Huyu ni sh mselem bin Ally ni mkweli na muwazi na hana majibuni ni mtu ambae anajua kua siku baada ya hii leo nayo kutakua na kila neno linahukumiwa
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 10 ай бұрын
Ana akili mpaka nyengine zinapukutika
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 10 ай бұрын
Kama ana akili atengeneze ndege 😎
@user-ey3bk3pl6k
@user-ey3bk3pl6k 9 ай бұрын
Degree sio kitu mbele ya Allah wewe upo juu ya hata mbele ya maprofessa
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 10 ай бұрын
Ukweli waumwa sana nasaha humfa mwenye kuamini hata ukanifokea ukweli ndio huuo
@AllyAbdallah-ug3se
@AllyAbdallah-ug3se 10 ай бұрын
Umeusaidia nini uislam muwahabi ww
@hamissalum6023
@hamissalum6023 10 ай бұрын
Achana nae aongee then atatulia
@alisalum7036
@alisalum7036 10 ай бұрын
Hawa masheikh wa bidaah kweli hawajasoma lkan ukiwa ni mchache wa elimu utadanganyika nao. Tumuombe Allah atuongoze kwenye Haki
@azruntravel4306
@azruntravel4306 10 ай бұрын
Jifunze kutohukumu watu si katika Manhaj yetu
@Waytozanzibar
@Waytozanzibar 10 ай бұрын
Kasome wewe Sasa 😅
@suleimanhamad2396
@suleimanhamad2396 3 ай бұрын
Muogope allah kijan hiki ulichoandik kinahifadhiw kweny kitab chak
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 10 ай бұрын
Hawa walifanya fujo ndio wakafungwa walitaka kuchafua amani ya nchi hawakuonewa Bali ni haki Yao kufungwa na tegemea wamejifunza kitu hawato rejea Tena ,Not heshimu watawala ktk nchi yko usifanye vujo dini sio fujo dini nikusoma
@rashidomar2771
@rashidomar2771 10 ай бұрын
Wewe inaonyesha ni muakilishi wa ibilisi na shetani ,pamoja na wenzenu firiaun na hamana,,Allah azivize fikra zenu inshaallah,akakulipeni mnachostahiki kwa maudhi na mateso mnayoyafanya kwa viumbe wenzenu inshaallah
@zahormohd
@zahormohd 10 ай бұрын
Hawa hawakufanya fujo bali walitumia haki yao ya kikatiba wacha kupotosha jamii
@hamicpina1151
@hamicpina1151 10 ай бұрын
Hili jamaaa nyamwezi ccm nmelishtukizia shoga
@ramadhanimwasi1647
@ramadhanimwasi1647 10 ай бұрын
tunaomba mselem aje huku kwetu Moshi atupe dawa
@twahaabrahman-ev8co
@twahaabrahman-ev8co 10 ай бұрын
Sheikh Msellem kumbe umesoma mpaka kwa MASHIA ndomana unaruhusu dini Mseto
@hashimseif1194
@hashimseif1194 10 ай бұрын
Nadhani pale alipomtaja Abdillahinasir kipindi kile alikuwa bado hajawa shia ,alikuwa kule kwao Mombasa akipinga bidaa na hapa unguja alikuwa Sheikh Nassor Bachu na Darusalama alikuwa Mayunga ,Sheikh Kingaru ,Sheikh Pori, Sheikh Doga.Baadae Mayunga naAbdillahi Nassir wakaingia ushiani.Hivyo alikuwa Abdillahi Nassir alikuwa akija kutoka Mombasa alikuwa akija hata Tanga akipinga maulid ,khitma kunuti na akisema Allah ataonekana akhera,l akini kwa masikitiko baadae waliingia ushiani.
@suleimanhamad2396
@suleimanhamad2396 3 ай бұрын
Muogop allah
@user-tb5mc2wm1z
@user-tb5mc2wm1z 10 ай бұрын
Fundi huyu
@user-tb5mc2wm1z
@user-tb5mc2wm1z 10 ай бұрын
Wewe ni zaidi yahaa walosoma..shule
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 10 ай бұрын
Naam tupate funzo kwamba kupambana na watawala ni jambo ambalo halipo na kufanya maandamano sio Sheria na misingi ya uislamu hivyo basi wezetu wamejifunza kitu kuwa watawala htuwawezi tunatakiwa tuwatii ktk mambo ya kheri na Wala tusiwakhalifu hebu tuwatiie watawala tuone Raha Note dini sio vita na maandamano dini ni kwa kusoma
@hamicpina1151
@hamicpina1151 10 ай бұрын
Uxtuletee uccm mjomb
HISTORIA YA SHEIKH MSELEM HADI KUINGIA GEREZANI (EPISODE 2)
30:52
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 26 М.
HII NDIO DAWA YA MWANAUME MWENYE GUBU (HUBBUL HALAL)
23:22
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 6 М.
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 63 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 21 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 40 МЛН
MAISHA NA HISTORIA YA SHEIKH OTHMAN MAALIM
45:49
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 81 М.
MUME WANGU HANIFANYII HAYA NAUMIA
8:48
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 10 М.
SHEIKH MSELEM AFICHUA YALIOMKUTA JELA
8:16
Hafidh Media
Рет қаралды 39 М.
Kinachofuata baada ya Kufa - Sheikh Mselem Bin Ally
22:40
Islamic Kindness
Рет қаралды 34 М.
HISTORIA YA KANISA ALOLELEWA SH OTHMAN NA KUSALI
7:57
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 3,5 М.
HISTORIA YA SHEIKH SULEIMAN AMRAN KILEMILE
7:57
islamicftz
Рет қаралды 56 М.
Je, Wajuwa?! Historia Fupi ya Uislamu na Waislamu Afrika Mashariki - Makala ya Kwanza.
27:55
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 3,1 М.
MASHEIKH HAWA WAWILI WANAMNASIHI MUHAMMAD BAHERO NASA MZURI MNO
11:27
Sheikh Muhammad Bahero
Рет қаралды 13 М.
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 63 МЛН