Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 137
@malongoisack581110 ай бұрын
Huyu sheikh mselem nakupenda sana kwa ajili ya Allah
@rashidomar277110 ай бұрын
Leo shekh rashid umenikosha sana ,,umemleta mtu ambaye nampenda sana kwa ajili ya Allah,,allah akubariki sana
@hamadsuleimaan80210 ай бұрын
Ktk mashekh nnaowakubali huyu ni namba moja Nampenda sana shekh Msellem Aliy
@bintsalimalbimany28710 ай бұрын
Mashallah Asante sheikh Rashid Allah akulipe kher kwa kutuletea Shekh mselem 😢Dah kwakwel mim siwez kusahau nipo Mdog nasikia tu mama angu kila siku akilia Bas akiwekwa mawaidhsa yake shekh msellem uone askitika jaman Siku izi wanatukosesha darsa za sheikh msellem Yaan Mpaka amenifanya na mimi Nimpende Allah akupe umr mrefu sheikh Msellem akuepushe na shar za binaadam na majini😢🤲🤲
@nasrasalum62989 ай бұрын
Amen
@muhidinsuleiman431510 ай бұрын
Asante sana sh Rashind. Sheikh Msellem nampenda sana na Allah amueke tuzid kusoma kupitia yy inshaallah.
@amirybeka960210 ай бұрын
Mashaallah sheikh mselem Allah akuhifadhi, akupe umri mrefu wenyew kher naww.
@cadabra74029 ай бұрын
Huyu mja wa Allah nampenda snaaaaaaaa , juzi nilienda kupiga picha nikakutana nae harusini anatoa mawaidha kuhusu ndoa Wallah maneno yanakuingia , nilitaman asimalize kuongea , anaongea kwa utulivu , bashasha , Allah amempenda sna ,Allah amdumishe yeye na sisi katika imani thabit. Ya Allah hakika unasikia na unaona chochote kile mwanadamu anachokifnya na hata kile asichokifanya kilichomo tu kwenye nafsi yake , nakuomba mola wangu unipe ucha Mungu mimi na waislamu wengine , na utufufue hali ya kuwa nyuso zetu zina nuru yako Mola wetu mtukufu, Amiin. 10:14
@TunauzaSimu-fn2ff26 күн бұрын
Amiin ya Rabbi
@mirajimohamed760610 ай бұрын
Masha Allah alhamdulillah nakupenda shk Mselem bin Ally kwa aajiri ya Allah napenda ambavyo una present mada zako na hauna upande kama mashekh wengine
@kassimomar758910 ай бұрын
Huyu mtu namkubali Sana Allah ampe afya njema
@jumamohamed480810 ай бұрын
Mashaallah Allah akupe pepo ya juu sheikh mselem
@user-ns2br3me2n9 ай бұрын
Allah akuweke sheikh mselem nakupenda sna kama mtu hakufahamu uyo haelewi popote
@muhammednassor356910 ай бұрын
Mashaallah huyu Sh, Msellem ni mtu muhimu kwenye jamii ana tawadhui kubwa
@stevenmichaelmaganga48289 ай бұрын
My favorite shekh watch him everyday
@zanlec735710 ай бұрын
Masha Allah. Sheikh Mselem ni fundi wa kuongea na Fasaha san hatoki nje ya mada ni mtulivu mno. Allah amhifadhia na husda za mahasidi.
@ustadhisimbula862210 ай бұрын
Maa shaa allah shekh langu hili nampenda sana kwaajil ya allah allah aendelee kumlinda na kumuhifadhi
@selemanimlahagwa69424 ай бұрын
Shekhe wng mselem ally nakupenda sana kwaajir ya Allah . Allah hakupe maisha marefu insha'Allah
@user-wy7jl3do3c2 ай бұрын
Sheikh Allah akupe afya njema uzidi kutuonesha nuru ya Allah
@JemzMaalim10 ай бұрын
Maaashllh ALLH SW amhifadhi shekhe wetu
@is-hakaame10 ай бұрын
Mashaallah Allah amjaalie husnil lhatma sheikh Mselem yeye pamoja na sisi🙏
@Allybinamour10 ай бұрын
mashallah mwalim wetu shekh mselem bin ally allah akujalie umri mrefu wenye kheri ili tuzidi kunufaika na elimu yako.allah akulinde na kila shari.
@khamiswapemba901910 ай бұрын
Alhamdulillah tunashkuru sana Sheikh Rashid hakika tumefarajika sana kupa history ya Sheikh Mselem wengi tulikuwa tunabambanyana juu ya historia yake Allah amzidishie umri mrefu aweze kutuelimisha zaid na pia Tunamuomba Allah aizidishie muangaza alfatah tv iweze kutuletea mazuri zaidi
@solomonadams633710 ай бұрын
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu A¿huyu Mzee Allah amemjaalia akili za elimu he's very wise Sheikh I really really love him..💯👌
@ibugharib38910 ай бұрын
MASHAALLAH, JAZZAKALLAH kher.wallah sura yake na bashasha zake anapocheka unajua huyu sheikh yuko vizur Allah akuzidishie ELMU YENYE manufaa. Bega kwa bega mpaka Firdaus
@twahaabrahman-ev8co10 ай бұрын
Bega kwa bega Mpaka firdaus Pole Sana Ndugu
@ibugharib38910 ай бұрын
@@twahaabrahman-ev8co POLE ya nini
@khamishaji-fw1km10 ай бұрын
Namkubal sana maalim nashukuru sana shehe MUNGU azid kukulinda sana
@binloufy45410 ай бұрын
Ma sha allah hii ni hazina ytu katka ulimwengu wetu allah atuekee na azidi kutuekea ktika elimu ya kubwa ya dunia na akhera Tunakupenda sana kipenzi chetu sheikh mselem bin allay
@floramateru10 ай бұрын
Masha ALLAH maalim yuko vizuri ALLAH SW AMUHIFADHI
@salehsuleiman121810 ай бұрын
Allah atuwekee viongozi wetu Hawa wazidi kutuelimisha
@ahmadjuma-xx5nd10 ай бұрын
Mashaa allah sheh mselem allah azid kukuhifadh
@user-yl1mx8cu1x9 ай бұрын
Mashallah shekh wetu,mungu akupe upeo zaidi wa kuyuongoza
@AndulHida-hs5py10 ай бұрын
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
@GdFf-ik2eo17 күн бұрын
Ma sha allah Sheikh msel Allah akuhifadhi
@nakundwamkubwe782310 ай бұрын
Mash Allah Shekhe Mselemo Allah akupe umri wenye wenye manufaa kwetu sote Amiin Rabbil Alaamin.
@fatumahussein639910 ай бұрын
Masha Allah!!! Shk Mselemu Allah amhifadhi. Ni miongoni mwa mashk nnao wakubali Sana.
@zuzadomikano376510 ай бұрын
SHEIKH MSELEM ,ALLA AKUWEKE PEMA IMANI YANGU WEWE UNARADHI NA UNA KHERI KATIKA UCHAMUNGUWAKO ,WAZAZI WAKO ALLAH AWAVIKE TAJI DUNIANI NA AKHERA ,ULI PATA RADHI ZA MTUME ,SIO KAMA HAWA WANAJIVUNIA VYETI VYAKUJITOA KINYESI WAKOSEFU WA ADABU .
@user-gn2we2tp4c10 ай бұрын
Allah akujali heri na uendele kutupa Eli ya ahera
@user-lx2wg4je3t2 ай бұрын
Allah. Mjalie kila la kher sheh wetu
@abiiajmi239910 ай бұрын
Mashaallh wewe ni wangu hasa ❤❤❤ mungu amekujalia hekma
@AleiHadji-js3ed10 ай бұрын
Namkubali Sana Allahu Akuhifadhi wewe ni Mzanzibari Hasa umechanganya Damu kwa kila Kisiwa 🙏🙏🙏🙏🙏
@profesamakame517910 ай бұрын
Asalam Alaykum sheikh Rashid kweli wasomi mara zote c wenye kujisifu hz ndio hekma za sheikh wetu
@bintqassimidarous163610 ай бұрын
Nampenda sheikh Mselem bin Ally mno wallah allah atuekee mwanazuoni wetu biidhinillah
@binmasoud415010 ай бұрын
Mashallah Allah akulinde na kila shari na atukutanishe sote peponi. Najua umejishusha kuhusu elimu lkn mm na jamii ya wengi naamini tunakuchukulia kuwa ni mwenye elimu na muono mpana. Allah akuhifadhi.
@husseynomar95233 ай бұрын
MashaAllahu al imaam Sheikh Mselem ❤
@husseinbudaga295310 ай бұрын
Allah akujaalieni saana..
@hajikhamis654410 ай бұрын
Mashallah Yani shekh elimu alionayo anasema hajasoma sijui engesoma ingekuaje leo Mt anapitia kitabu kimoja anaaza kuandaa mijadala duh
@MaliganyaWilson-ef3pk10 ай бұрын
Nampenda sana huyu sheikh mungu amrahisishie pepo yake.
@asalkhan916810 ай бұрын
Kwa ajili ya Allah sheikh nakukubali sana
@myunaniniahmad646310 ай бұрын
Mashaa الله leo tuna mgeni mkubwa sana. Mashaa الله ...الله akuhifadhi abuyi.
@raiyaaaraiyaa605410 ай бұрын
MashaAllah Tabaraka Allah
@ZUHURAKHALFAN-mc8nd10 ай бұрын
Allah akuhifadhi SHEIKH Mselem AKULINDE NA SHARI
@omarmsuya537310 ай бұрын
Maashallah Allah amfanyie shekhe wetu wepesi
@mussamgonola398310 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah Allah akupe umri mrefu ya sheikh
@Amirshamte4 ай бұрын
Mashallah sheikh maelem nakupend sana kwa ajili ya Allah mungu akulinde na kwa pamoja mungu atupe mwisho mwema inshallah
@muhammadiabassi65610 ай бұрын
ماشاء الله الله يحفظك ويبارك فيك
@hajikhamis654410 ай бұрын
Mashallah Allah awajaze kheri mashekh wetu
@asiamohamedy26439 ай бұрын
Mashallah shekh wetu yaan maneno yako huwa matamu ya hekma na huachi kitu kwenye ukwel unasema hufumbii jicho chochote nikwel semen ukwel japo wapo wtu watakasrka kulingana na ukweli huo lkn unakuwa ushaufikisha ALLAH akupe afya njema shekh wetu
@UkhtySauShamsiaMahonda10 ай бұрын
SH rashid salim #LEO umeikonga nyoyo yangu
@issakhamis958110 ай бұрын
Mash ALLAH tupo pamoja
@user-jv8ki9ut2p9 ай бұрын
Mashallah Allah akulinde akuepushe na kila baya nakupenda kwaajil y ALLAH
@muhamadhusein526010 ай бұрын
Shekh mselem ni kipenzi chetu, Wewe ni adui kwa ccm,adui kwa makafiri na adui kwa masalafi, Allah atakuhifadhi na maadui hao
@vincentcharles438510 ай бұрын
Kipenzi,kumbe unalala nae wewe,kafiri na shoga ni wazazi wako,by the way Mselem your smart guy,may Allah protect you.
@marischidy6310 ай бұрын
Masha.alla.tunaomba.sehemu.yapili
@FathimaZubair-jt4cg9 ай бұрын
مشاءالله ❤️
@firdaus742810 ай бұрын
ما شاء الله
@abdallaomarkhamiskhamis965610 ай бұрын
Mashallah
@Abuu_Mundhiri10 ай бұрын
Mwendelezo tafadhali
@nasrimswaki482410 ай бұрын
naam maashallah
@user-pi5sf5qz1j9 ай бұрын
Ishaahla mungu akubariki milele
@user-gs9bb8rs5p9 ай бұрын
Mashaalah best shekh
@jumamkali830710 ай бұрын
❤ Masha Allah
@salumchoma87319 ай бұрын
Alhamdulillah shekh wetu
@user-ck8xn9md3h9 ай бұрын
Mashaallah shekh wangu
@zainabhassan151410 ай бұрын
Tunaomba sehem ya pili inshaalah
@reformerthrone97210 ай бұрын
Mashaa Allah sheikh hatujuwani Lakini inaonesha no msomi na anajuwa akisemacho... Na kipindi hichi ni Safi Sana tu.. History ni Tamu iwapo itakuwa ya kweli na sh ndio ni mtu wa ukweli
@AbubakarKumbwani-yq5vg9 ай бұрын
Halafu kuna genge la watawala wahuni wakamzushia kesi ya uongo ya ugaidi,ALLAH awaangamize wahuni wale.
@fatmaahmed863710 ай бұрын
POLE SANA SHEIKH,KUHUDHURIA MIKUTANO ISIWE SABABU YA KUWEKWA JELA..ANAESHUKIWA HUFATILIWA muda hadi kuwa na UKWELI NDANI YAKE,kisha kushtakiwa hapo
@UmmuAbdillah-th1ib9 ай бұрын
Fatma Huwo gopa wew😂
@UmmuAbdillah-th1ib9 ай бұрын
Eti bint ahmed
@AbubakarKumbwani-yq5vg9 ай бұрын
Sheikh Mselem wewe una elimu kubwa ila hauna vyeti,elimu na vyeti ni vitu viwili tofauti ndio mana kuna watu wana vyeti lakini elimu hawana au elimu yao ndogo haiendani na ukubwa wa vyeti vyao.ALLAH akujaalie umri mrefu na siha njema ili uzidi kutoa elimu.
@user-mq6lu2po3y10 ай бұрын
Me nimesoma comments za watu wengi nimeona bora nitoe Rai alfatah muweke darsa za Tafsiri za sheikh kutoka suratul baqra au muendeleze suratu nisai alipofika pale msikiti wa Radio anour daraja bovu
@ussiamini286810 ай бұрын
Mm mwenyewe nakukubalisanaa shehe mselemu
@hamissalum602310 ай бұрын
🙏🙏
@user-es9dz2bc2wАй бұрын
Kwa majina naitwa Sheikh JUMA RASHIDI maoni yang ni kwamb Sheikh Mselem Bin Ally ni Mwanazuoni wa kizazi chetu aliye na msimamo wa kuigwa kwa waislamu katika nchi hii
@SHEIKHMWAIPOPOTV10 ай бұрын
Waislamu wengi tunaroho mbaya sana igeni wenzetu wakristo wanamaalifa sana sisi ni mazuzu walahi tupunguze fitna kama alikosea si basi tupunguze unafiki waislamu
@SHEIKHMWAIPOPOTV10 ай бұрын
Sasa mselemu munamtukana hapo kakosea nini kama alikosea mbona selekali imemachia tunakosea sana huyo ni kiongozi ndio maana tunalanika waislamu kutukana viongozi wa dini ya mungu mselemu kafanya kazi ya mungu inchi hii
@maryammachanoomarymachano95110 ай бұрын
Nime frahi kuskia history ya shekh Mselem
@awadhabed10 ай бұрын
Asalamu Alleikum..Nitafurahi na nitashukuru kupata number ya Sheikh Rashid ya Whatsap kwa kufanya kheri zaidi kupitia yeye.Shukran.Allah aitie Qaboul Ujumbe wangu Umfikie.
@alfatahtvonline337410 ай бұрын
0777858490 hii ndio namba yangu
@khamiswapemba901910 ай бұрын
Tunasubiri shehemu ya pili
@abdulhamidjabu653010 ай бұрын
kichwa cha habari tofauti na maelezo
@seifabdulwahid457910 ай бұрын
Utafauti wake nn na hy ni Historia yake
@ZaynabSeiph-me5nr10 ай бұрын
Allah Akbar nimejifunza kitu,,kusoma sio madgrii na vyeti, mashekh igeni kutoka kwa shekhe uislam sio kuwa mfuas wa kundi fulani
@user-fo1sf4og7f10 ай бұрын
Shee mselem naitaji niwe mwanafunzi wako nipo dar unaweza nisaidia
@Abuumuqbil499410 ай бұрын
Watu wengi waona mumeonewa kumbe sio kweli mulitaka kuonewa mulilinganiwa sana muache vujo lkini mulijikuta wababe kilicho tokea munakijuwa nyinyi Rudi ni ktk haki
@Abuumuqbil499410 ай бұрын
Makhawariji wa zanzibar( muamsho mulitusababishia maafaa kweli ) hivyo bc mupate funzo dini sio vita dini ni kusoma na kufundisha sw Iko ivyo namuomba allah awaondoshe tabia za ukhawariji murudi ktk mstari wa sawa sawa ammin
@AllyMassud10 ай бұрын
Mafa gani yalio fanywa na mwasho
@saidyussuf229110 ай бұрын
Kawafate uwanusuru ndugu zako watoke , usitake kufungua mdomo wako hapa ujione una elimu kubwa wakati hata kutawadha hujui , sioni kama busara kuanza kuwaambia watu wasojua ataa maana ya khawaarij , tumia njia za kielimu ukamuongoze , maana hapa hutopata faida zaidi ya kufanya izo sifa zako za kipumbavu , NA UWE MAKINI ALLAH ANAJUA KAMA UNATAKA KUTENGENEZA AU UNATAFUTA SIFA KWASABABU ANAJUA DHAMIRA YAKO
@zahormohd10 ай бұрын
Wewe punda kama wale wa mwembe makumbi
@adamaliali220610 ай бұрын
Kuingizwa gerezani
@cadabra74029 ай бұрын
Mbona imemaliza fupi?
@salimobeid147010 ай бұрын
Huyu ni sh mselem bin Ally ni mkweli na muwazi na hana majibuni ni mtu ambae anajua kua siku baada ya hii leo nayo kutakua na kila neno linahukumiwa
@pavillioncry524110 ай бұрын
Ana akili mpaka nyengine zinapukutika
@vincentcharles438510 ай бұрын
Kama ana akili atengeneze ndege 😎
@user-ey3bk3pl6k9 ай бұрын
Degree sio kitu mbele ya Allah wewe upo juu ya hata mbele ya maprofessa
@Abuumuqbil499410 ай бұрын
Ukweli waumwa sana nasaha humfa mwenye kuamini hata ukanifokea ukweli ndio huuo
@AllyAbdallah-ug3se10 ай бұрын
Umeusaidia nini uislam muwahabi ww
@hamissalum602310 ай бұрын
Achana nae aongee then atatulia
@alisalum703610 ай бұрын
Hawa masheikh wa bidaah kweli hawajasoma lkan ukiwa ni mchache wa elimu utadanganyika nao. Tumuombe Allah atuongoze kwenye Haki
@azruntravel430610 ай бұрын
Jifunze kutohukumu watu si katika Manhaj yetu
@Waytozanzibar10 ай бұрын
Kasome wewe Sasa 😅
@suleimanhamad23963 ай бұрын
Muogope allah kijan hiki ulichoandik kinahifadhiw kweny kitab chak
@Abuumuqbil499410 ай бұрын
Hawa walifanya fujo ndio wakafungwa walitaka kuchafua amani ya nchi hawakuonewa Bali ni haki Yao kufungwa na tegemea wamejifunza kitu hawato rejea Tena ,Not heshimu watawala ktk nchi yko usifanye vujo dini sio fujo dini nikusoma
@rashidomar277110 ай бұрын
Wewe inaonyesha ni muakilishi wa ibilisi na shetani ,pamoja na wenzenu firiaun na hamana,,Allah azivize fikra zenu inshaallah,akakulipeni mnachostahiki kwa maudhi na mateso mnayoyafanya kwa viumbe wenzenu inshaallah
@zahormohd10 ай бұрын
Hawa hawakufanya fujo bali walitumia haki yao ya kikatiba wacha kupotosha jamii
@hamicpina115110 ай бұрын
Hili jamaaa nyamwezi ccm nmelishtukizia shoga
@ramadhanimwasi164710 ай бұрын
tunaomba mselem aje huku kwetu Moshi atupe dawa
@twahaabrahman-ev8co10 ай бұрын
Sheikh Msellem kumbe umesoma mpaka kwa MASHIA ndomana unaruhusu dini Mseto
@hashimseif119410 ай бұрын
Nadhani pale alipomtaja Abdillahinasir kipindi kile alikuwa bado hajawa shia ,alikuwa kule kwao Mombasa akipinga bidaa na hapa unguja alikuwa Sheikh Nassor Bachu na Darusalama alikuwa Mayunga ,Sheikh Kingaru ,Sheikh Pori, Sheikh Doga.Baadae Mayunga naAbdillahi Nassir wakaingia ushiani.Hivyo alikuwa Abdillahi Nassir alikuwa akija kutoka Mombasa alikuwa akija hata Tanga akipinga maulid ,khitma kunuti na akisema Allah ataonekana akhera,l akini kwa masikitiko baadae waliingia ushiani.
@suleimanhamad23963 ай бұрын
Muogop allah
@user-tb5mc2wm1z10 ай бұрын
Fundi huyu
@user-tb5mc2wm1z10 ай бұрын
Wewe ni zaidi yahaa walosoma..shule
@Abuumuqbil499410 ай бұрын
Naam tupate funzo kwamba kupambana na watawala ni jambo ambalo halipo na kufanya maandamano sio Sheria na misingi ya uislamu hivyo basi wezetu wamejifunza kitu kuwa watawala htuwawezi tunatakiwa tuwatii ktk mambo ya kheri na Wala tusiwakhalifu hebu tuwatiie watawala tuone Raha Note dini sio vita na maandamano dini ni kwa kusoma