Рет қаралды 4,815
Sheikh Othman Maalim - Misingi ya Kuchagua Mke Anayefaa Kuoa
Sheikh Othman Maalim leo amtuletea mawaidha mada ni Mke Anayefaa Kuolewa
Sifa Za Kuchagua Mume Au Mke
Uteuzi wa mwenza katika ndoa ni jambo muhimu sana ambalo linatakiwa lizingatiwe au sivyo tutaingia katika balaa kubwa katika maisha yetu ya hapa duniani.
Ndoa ni jambo ambalo limepatiwa kipaumbele na Uislamu kwa kuwa ni Sunnah ya Manabii na Mitume na watu wema
#SheikhOthmanMaalimMisingiyaKuchaguaMkeAnaefaaKuoa #mamboyakuzingatiakablayakuoa #mamboyakuangaliawakatiwakuchaguamchumba #mkeanayefaakuoa #talakakwenyendoa #edayandoahedayandoa #mawaidhayandoa
Ndoa ni maumbile ambayo mwanadamu amepatiwa na Allah Aliyetukuka. Katika Uislamu hakuna utawa na kujitenga na majukumu ya kimaisha na kujenga jamii. Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:
“Hakika Allah ametubadilishia utawa kwa Uislamu ulionyooka” (al-Bayhaqiy).
Pia amesema: “Nami naoa wake, mwenye kukengeuka na Sunnah yangu basi si katika mimi” (al-Bukhaariy na Muslim).