Ewe mwenyez mungu waondolee adhabu za kabur wawazi wangu na uwangize pepon kwa rehema zako
@HusseinMussa-on8mo2 ай бұрын
Ya allah tusamehe sisi na wazazi wetu na utujaze mapenzi❤
@IslamabuuIslamabuuАй бұрын
Yaa RABBI wajaalie wazazi wangu maisha marefu inshaAllah ili niweze kuwafanyia kila wanachohitaji
@BakarMbokoiАй бұрын
Yarab. Wasamehe wazazi wangu wote na uwaepushe a dhabu ya Kaburi
@user-xk6gm6xn4c9 ай бұрын
Alhamdulillah msneno unayo ongea yakweli yamenigusa yakitokea kwa baba yetu tulikuwa wengi ira nani atajitolea kutowa pesa kumuguza mimi nikajitolea sitaji mchango mpaka kifo chake akuna alie shudia nimimi tu ata alielala nae ospital akumuona nilipofika mimi tu yeye akatoka nje mimi nikampakata bale pale akafa kwenye miguu yangu km alikuwa ananisubili namshukuru mungu
@user-un7wr3ob2z10 ай бұрын
Ewe mwenyezimungu mjalie mam yangu mwishomwema na umjalie afya njema. AMINA
@samiradotto2 ай бұрын
Yaa allah mpe maisha marefu sheikh huyu na mpe wepsi apate elimu zaidi aminii na wajalie wazazi wangu afya njema wote wawili
@taufiqjumanne839023 күн бұрын
Jazakallahu khaira allah akuhifadhi
@omarbanza-dr8wf5 ай бұрын
Mawaidha mazuri sana shukran ustadh Allah akulinde na sharri balaa na husda,na akupe husnul khatima mwisho wa maisha yako na akupe daraja kubwa katika jannatul Firdausi Ameen Ameen
@Zawadi-gp5vyАй бұрын
Allah Wareham wazazi wangu kama walivyo nilea mimi kwa iman na mimi nizidishie imani kwa wazazi wangu na wazazi wa wenzangu na waislam wote kwa jumla
@user-rz5no7us8e10 ай бұрын
Ya Allah warehemu wazazi wangu uwaepushie adhabu za kaburi uyafanye makaburi Yao yawe raudha minraudhati jannahtul firdaus na waislamu wote Kwa jumla Amiin Ya Rabbal Alamiin
@mwanakomborashid70534 ай бұрын
Allahummah aamin kwa sooote In Shaa Allah 🤲
@abdikadirbonaya70353 ай бұрын
Ameen
@halimaguje26492 ай бұрын
Amin amin
@MbarackYusuphАй бұрын
Allahumma aamin
@AbdulNasser-qd8uzАй бұрын
Amin😢
@user-mq9rk9fm4d11 ай бұрын
Ya rabbi wasamehe wazazi wangu na uwarehemu kama walivyonilea na nakuomba umsamehe baba yangu aliyetangulia mbele ya Haki na mjaalie mama yangu kauli thabiti atakaporudi kwako
@RahmaMaulid-de2of11 ай бұрын
🤲
@eichermiss419610 ай бұрын
Amiin ya rabiil Alamiin🤲🤲🏻
@ramahassan55152 ай бұрын
Ameen rabil Allah min
@eshasalim5496 Жыл бұрын
SUBHANA ALLAH! ALLAH Atustiri Ya Rabb. Baaraka Allahu Fiik Wa Jazakah Allahu Kheir. Allahumma Amiin 🤲
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Ewe Allah mjalie mama yng afya njema na umpe maisha mema hapa na kesho akhera na umraham baba angu na Islam jamii
@AlhajiIssa-jb9hr11 ай бұрын
Amiina I
@aishadotto364011 ай бұрын
Amiin ya Rabb 🤲
@saadaali310411 ай бұрын
❤kweli kabisa ďawa nzuri Allah akulipe sheikh
@AminaAtibu10 ай бұрын
Islam jamii
@halimasaid497710 ай бұрын
Aamin
@ShabaniNuludin4 күн бұрын
Tunamshulu Allah kwa uwepo wako umetujalia ukatupa pumzi na ukatupa nguvu za masijidi na tunakuomba usikate Allah tunakuomba mwisho mwema🕋🕋🕋
@ShabaniNuludin4 күн бұрын
❤❤
@aminajuma11 ай бұрын
Allah Akbar 😢 Shukran saana kwa Élim yaa sheikh. Allah akujaze Iman 🤲🏼🤲🏼🤲🏼 Amiiin Amiin
@hassanboru10 ай бұрын
Allahmdulilah mimi nimeodokewa na wazazi wote wawili Allahmdulilah kwa wale wazazi wao wako hai wafanyea wema wakiodoka utakua na uzito kubwa walai ya Rabbi nakuomba wajalie wazazi wetu jannatul fardoz na pia sisi tupe mwisho mwema hapa Duniani na kesho Akheira 🤲 ukweli hakuna mtu hanakupenda kama wazazi wako❤️❤️❤️ Allahmdulilah Allahmdulilah Allahmdulilah 👏
@alexmahundi19784 ай бұрын
Allah awajaalie kauli thabit lakin bado tunalazimika kuwafanyia wema hatakama wametangulia Allah atujaalie tuwakumbuke wazazi wetu
@fatumajane71244 ай бұрын
Amin
@AmourBinuru2 күн бұрын
Mashallah allah akuzidishie umri mrefu wwnye manufaaa na ww aaamiin na atujaaalie husnul khaatima pamoja na wazazi wetu
@user-be7id1fw5e11 ай бұрын
Mashallah Jazakallahu kheyraan mawaitha mazuri Mola awarehemu wazazi wangu na jamii ya islam
@user-jk9ob5nu1k11 ай бұрын
Maa shaa Allah sheikh nakuitikia Ameen Allahhumma Ameen yaraab kwa dua zote ulizoombewa
@aal80414 ай бұрын
Ya allaah .namuombea mama yangu umpumzishe pema peponi na msameee makosa yake na kumfungukiya pepo firdaus iwe makazi yake na nawaombea wazazi wote waliyotangukiya mbele ya khaki allah wapumsihe pema peponi 😢😢🤲🤲🤲
@JumanneHussein-y4r27 күн бұрын
Yaaallah,nijalie niwatunze wazazi wangu wawili.Nijalie mema kupitia vinywa vyao uwape subra juu yangu uniongoze nizidishe wema said ya huu ninaojaribu ya Rabi kuwatendea. Uniepushie Kila dhara na dhira juu Yao uwape pepo.lnsha allah
@Abdulmuheimin-vv3fg4 ай бұрын
Allah wajalie wazazi wangu wa wili pepe
@zaidinakimolo4538 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie elim shekh wangu hakika mawaidha yako ni Zaid ya lulu
@NasirSaid-x3j7 күн бұрын
Yaa Allah tunakuomba Kwa Barak zako n uwez wako wajaalie kil la kher wazazi Wang mrehm baba yng akher alipo ameen na uniwekee mam umjaalie afy njem pia umpe leny khr leny Shar muepushie Allah hum ameen
@user-ti9jw1to5t7 ай бұрын
Ahsante Kwa somo zur naomba Allah awajaalie wazaz wangu waliopo mbele ya haki awajaalie pepo
@omarylukhoso2 ай бұрын
Ewe Allah mjalia mama maisha marefu hapa dunian na kesho akhera.
@skajskakka89183 ай бұрын
Subhanllah Allah awalaze wazazi 😢 wangu mahala pema peponi uwakabidhi vitab vyao kwa mkono wakulia
@butoyiamidu5686 Жыл бұрын
MashaAllah Tabarakallah mwenyezi Mungu Akuhifadhi Sheikh wetu 💓💖❤️💓💞💯
@AubinNijimbere2 ай бұрын
Ewe Allah uwape wazazi wangu maisha marefu na uwakinge na maradhi uwape mwosho mwema nitazidi kuwafuraisha wazazi wote 2 nawapenda sana
@rahmahty702611 ай бұрын
Allah akuhifadhi, akuongoze na akuridhie Muhammad. Atupe nasi watoto wema. Amiin kwa dua yako
@SaumMashasha3 ай бұрын
Mawaidha mazuri Allah awajalie wazazi wangu Rehema leo na kesho akhera
@SAIDATISSA-jk1dj2 күн бұрын
Yarrab mjaalie mama yangu aishi maisha marefu na Baba yangu muepushie adhabu za kabuli na umuweke mahali pema peponi
@AllyAhmad-zg2yp Жыл бұрын
Wema kwa wazazi wawili ni ibada kubwa zaidi
@KhadijaRajabu-hr6ts11 ай бұрын
Kweli shekh. Tuombe radhi sana kwa wazazi wetu na tuwapende zaid.
Mungu akujaaliye mema she wangu nawaisilam masomo haya tuyafanyie kazi inshaal
@user-oy1pq4zb5r11 ай бұрын
Allahuma wajaalie wazazi wangu afya njema na kheri nyingi hapa dunia na kesho kesho akhera Inshaallah
@shalemu4 ай бұрын
Alihamndulilah rabila allamin sheikh Mohammed bahero ulipo kuja singida nilifurah sanaaaaa nilipo jaliwa kuusikiliza maneno yako yatakuwa ni yenye kuendelea kila siku huwa narudia kila wakat mawaiza
@abdallahhamesa974611 ай бұрын
Mashallah khutba nzuri yenye mafunzo mema
@IlhamuKipenda15 күн бұрын
Yalabi tusamehe sisi wajawako sisi hatujuituyafanyo kwa wazizi wetu walahatuna malipo kwao😢😢❤
@asmahasanirashid505911 ай бұрын
Maashallh mafundisho mazuri sana mwenyezi mungu akuripe ustadhi wetu
@adamcarsoundandaccessories8176 сағат бұрын
Mwenyezi wahufilie dhambi wazazi wangu na ndugu waliotangulia mbele ya haki
@farjallahubeydabdulrahman4845 Жыл бұрын
shukran sheikh jazakallaahu kheyr Allah Akuzidishie umri mrefu yenye baraka
@FongoMzazi2 күн бұрын
Allah niwezesh niwez kuwafurahish wazaz Wang na umpatiy umri mref she wet
@zulekhamalambu62122 ай бұрын
Yaa Allah wape utulivu wazaza wangu kwenye makaburi yao na ujaalie majirani zao wawe ni malaika wema na waja wema walotangulia. Alla akuhifadhi uzidi kutufungua na kututoa katika giza lilotuzunguka
@NassoroMakamla3 ай бұрын
Jazaq llahu khayraa Allah akulipe sheikh Muhammad kwa ukumbusho mnzuri Allah akujaalie mwisho mwema kwa uu ukumbusho🎉
@SheikhAbdull-ys2fdАй бұрын
Allah amjlie baba yngu noor ktka kaburi lake na ampe maisha marf na amraham mumngu mzaz alieslia hai
Ewe Allah bless my mom and my dad and my aunt and help my aunt to recover in his sickness amin
@bashirbaristo7294 Жыл бұрын
MashaAllah Ajaab walahi may Allah swt reward you abundantly Sheikh MBS
@saudamohamed7208 Жыл бұрын
MashaAllah barakaAllah fik.
@fathiahaji18911 ай бұрын
Allah akulipe kheir na akufanyie wepesi katika maisha yako amiin umesema maneno makubwa sana
@roseatienoogutu76412 ай бұрын
Allah akuifadhi ustadh fill dunia walakhera akujaze kwa kila hal na sisi atuogozee wanawetu wawekaa wewe yarrabh❤❤❤
@ahmedseif175411 ай бұрын
Mashaa Allah, Maneno mazito na nasaha ya busara nyingi.Mwenyezi Mungu awatiye fikira hawa watoto wa leo na watukuze wazazi wao
@MahirJuma-es7lg2 ай бұрын
Ewe Allah 😢 wajaalie wazazi wetu waliopo hapa duniani na waliokwisha tangulia mbele ya haki 🤲🤲amiin.. nawapend san wazazi wang🥰,, Allah wape furah wazazi wang popote walipo inshaallah
@ZeinabuKassa-xp2mm11 ай бұрын
Allahu Akbar walillahil hamd, shukran jazillan brother. May Almighty Allah make it easy for us.
@rahmahsaidomar911110 ай бұрын
JazakaAllahu khyran wa barakaAllahu feek. Allah anijaalie wanangu wawe kama ulivo na zaidi kwa dini. Ameen.
@bahatiomar52973 ай бұрын
Mashaallah tarakaallah ya Allah wajaliwe na uwarehemu wazazi wetu Inshallah 🙏🙏
@SheikhAbdull-ys2fd11 ай бұрын
Allah amjlie na kmurhm mum yngu Khadija ampe maixha marfu hpa dunian na imjlie janatul fatdoos atkpopndwa zaid n Allah..
Masha Allah shukrani sheikh Allah akulipe kher 🤲❤️
@user-ku1ok9cr7j10 ай бұрын
Maasha Allah. Allah akulipe malipo stahiki kwa kuumbusha umma. Nacc atuzidishie Imani na uwezo wa kumtiiaaaaaa yy na wazazi wetu
@mwajumayusuph80943 ай бұрын
Ewe mola wang wa khaki mjaalie mama angu kila lenye kher na umuondoshe na kila la shari na utujalie mwisho mwema wa maisha yetu ya dunian inshallah
@FahmiAl-mauly3 ай бұрын
MashaAllh allh akuzidishie ilmu na uwape watu wengine amin
@dokaramathan63694 ай бұрын
Asante sana kwa masomeso nzuri sana. .mullah wetu akulipe inn Sha Allah
@hawaismail5060 Жыл бұрын
hakika ilah barky shekhe allah akuhifadhi na atujalie sote kwa vizazi vyetu viwe vinyoofu biidhinlah karim aminy aminy
@sinawsinaw620111 ай бұрын
Maashaallaah allaah atuzidishie mapenzi kwa wazazi in shaallaah na kware waliotangulia mbele ya khaki bas allaah awarehemu nas tuwazidishie duwa in shaallaah
@fatmahassan48293 ай бұрын
Ya rabi mola wape pepo wazazi wangu uwaondoshee adhabu za kaburi uwaghufirie madhambi yao uwasamehe wazee wangu
@LilianAchieng-yl7ms11 күн бұрын
Yaallah wajalie wazazi wangu Maisha marefu na uwajaze afya njema
Kwa kweli kabisa shekh wangu umesema kweli kabisa kwani ndio mambo yalivo kwani wengi wetu uwa twakosea Sana wazi wetu
@MwajumaAli-b4u3 күн бұрын
ربنا غفرلي ولوالدي وللمؤمنين يوم يقوم الحساب ..امين 🤲🤲
@MizeSheba2 ай бұрын
Allah akupe umri,na baraka uzidi kutupa mawaidha.Allah atupe hurma Kwa wazazi wetu .
@NairatKhalfan3 ай бұрын
Masha Allah. Shukran ustadh kwa mawaidha . Allah akulipe ujira usio n mwisho . N atujaalie tupate radhi kw wazazi wetu . Amiin
@khamismohd62312 ай бұрын
Nitumie no yako
@FahmiAl-mauly3 ай бұрын
Shekh Allah akikupa umri mrefu basi kila baadae yamda mawaidha haya yarejee Allah akulipe kheri zaidi
@AliihajiAlii3 ай бұрын
yah allah nijalie niwatii wazazi wngu,na wape wazazi wangu maisha mema ya Dunia na akhira
@fatumajane71244 ай бұрын
Asant mwalimu kwa mawaida yako mungu miepushe mama na adabu zakaburi kisha afuguliwe mulango wa peooni amiini
@-tokyo3112 Жыл бұрын
بارك الله فيك شيخنا الفضيل وجزاك خير جزاء
@eichermiss419610 ай бұрын
Aaa😂😂 honorable shikh is shikh muhammad baroooo
@user-fq1gg8rj9i3 ай бұрын
As-salam alaykum,, shukuran kwa ukumbusho,,,enyi mnaodharau wazazi mutubu kabla ya umaut
@halimaali1042 Жыл бұрын
ASLAM Alekm: shukran Sheik kwamawaitha mzuri ALLAH akujalie kilalakheri
@user-qj2tg1qw7h11 ай бұрын
Allah Akbar shukran saan kwa elim ya sheikh Allah akujaze iman
@Mohammedjuma-pg8qz3 ай бұрын
Yaa Allah warehemu wazazi wangu wote wawili na uwajalie afya bora InshaAllah 🤲🏼
@halimaguje26492 ай бұрын
Allah awajalie wazazi wangu Jannaht Firdos, amin amin
@roseatienoogutu76412 ай бұрын
innalilah wainnaillah rajun wallah yasikitisha sana. Allah atuongoze watoto wetu mitiani.mikubwaa wallah masikitisho wallah
@mwanashamohamed48818 ай бұрын
Ya Allah,,mrehemu mmangu na umsamehe makosa yke yarab,,na umpe shufaa y haraka bbangu kwa ugonjwa alionao yarab
@user-es1ks9fp1v11 ай бұрын
Mungu akuzidishiye elmu na Mimi anifahamishe amin
@fatmaali93053 ай бұрын
Ewe Allah nipe maskizano na wazee wangu tuondolee misukosuko ya familia tupe amani nyumbani yaa Allah🤲 😢
@ChingeMustapha-wz4lf3 ай бұрын
Alhamdulillah maneno mazuri sana ila sheikh. Kunamazingila yanakuwa magum sana ila naomba niulize swali
@avpbigsam34333 ай бұрын
Ya allah mpe maman yangu maisha mema na mazuri. Aishi vizuri na umpe mwisho mwema ...
@elsimaniga6 ай бұрын
Ewe Allah Umujali mama maisha mema apa duniani na kesho ahera Na umu rumiye kama vile ulikuwa ukini rumiya utotoni ya rabbi
@zainabumartin952010 ай бұрын
Allah amulekhem baba yangu😢😢 kabaki mama yangu. Alhamdulillah. Nikiwa nacho hua nampa hata kama hajaniomba najiongeza namtumia nimemtibia baba yangu mpaka katuondokea mikononi mwetu innalilah wainallh rajiun
@yussufmwinyi46042 ай бұрын
Yaa Raab, wenye wazazi hawajui thamani,mie nnalia kwa kuwakosa. Yaani pepo mie siipati kwa bonus ya bir ul walidein😭 pepo chini ya nyayo ya mama nmeikosa. Yaarabi wahifadhi makazi mema palipo na wema, unikutanishe nao katika pepo yako Ya Allah
@user-gc5wj5tm3p11 ай бұрын
Mashallahu ALLAH Akuzidishie ILMU ZAID
@user-sb5ef1nv1f7 ай бұрын
Allah wajalie wazazi wangu afya njema na nguvu ili niendelee kuwaangalia mungu atulinde inshallah.
@Amirshamte4 ай бұрын
Ewe Allah wajalie wazaz wng maixh mema hapa dunian na akhera wajalie mwxh mwem amiin
@AlhajiIssa-jb9hr11 ай бұрын
الله يفتح قلبك ويزيد علمك ويستفيد غيرك. اللهم امين يا ربي.
@ashashaban648411 ай бұрын
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH ALLAH ATUJAALIE TUWE NIWENYE KUWAPENDA WAZAZI WETU INSHALLAH NA MWISHO MWEMA INSHALLAH❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-xm1ot1dz7n11 ай бұрын
aslm alkm maashallah mungu akulinde na kila shari yote ulio ongea hyo ni ya kweli sheikh wangu
@SafiaAbdulrazack2 ай бұрын
Shukran sheikh Allah awape umri mrefu
@yusufasman97184 ай бұрын
Allah mpe mamangu afya na umri na mwisho mwema
@FahmiAl-mauly3 ай бұрын
Shekh Allah akulipe kila lakheri akupe umri na hekma zaidi
@fahadhilal16113 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah my brother Mungu akupe afya na elimu Zaidi
@hajiisimbulah73193 ай бұрын
Allah wajalie afya njema wazazi wangu na waingize peponi Kwa rehma zako