KATIKA KUANGALIA NGUVU YA PETE, HAPA DR SULLE AMETOA ELIMU JINSI MAJINI WANAVYOWEZA KUKUNYANG'ANYA UTAJIRI WAKO
Пікірлер: 58
@saidimdoe52468 күн бұрын
Allah ukuhifadhi ww sulemani wa pili uendelee kutupa elimu
@BrillyMontana8 күн бұрын
Tatizo wanaosema dr ni mshirikina ni wale watu wasiokuwa na elimu
@FatwimaZahrau8 күн бұрын
MashaLLAH DR ALLAH AKULIPE KHERI❤
@KHADIJANDABABISA5 күн бұрын
Kaka yetu sulley ALLAH akuhifadhi sanaaaaa inshaallah
@rezikomer95525 күн бұрын
Haya watu wa coments ningependa nanyinyi mutengeneze vidio zenu mseme muyajuwayo yawe ya ukweli wacheni zakuharibu mambo ya wenzenu basi mumezidi
@osamkabura97747 күн бұрын
Allah akuzidishie kheri
@allycux12215 күн бұрын
Uyu jama anailimukubwasan yani alafu history anaijuwa Sana Allah amwihifazi
@HaydarKiroboto8 күн бұрын
Mungu nimwema tumuombe khel katka khel zake.
@WilsonWacira7 күн бұрын
uisilamu na uganga ni kitu moja utajiri wa kweli unatoka Kwa Mungu .mambo ya Pete ni ushirikina
@azzanassor348223 сағат бұрын
Suleiman aliomba huo ufalme kwa Allah nasangaa unavosema kapata ufalme kwa hiyo pete
@pammymoraamoraa67028 күн бұрын
Huyo maneno , maandishi ya mungu ndio yapi , atutajie,
@myself41283 күн бұрын
Hadithi za Sungura na Fisi😂😂😂 kwaiyo Jini kabeba Pete na Mungu akaruhusu Jini abebe Utawala Wa suleman na Unabii wake😂😂😂 na majini wenzake hawakushituka😂😂
@HaydarKiroboto8 күн бұрын
Inshallah
@yasinazam1164 күн бұрын
SULE WACHA BANGI HAKUNA HATA DALILI KISA KIMETOKA WAPI TUMESOMA ULIPOSOMA NA TUKASOMA AMBAPO HUJASOMA VISA VYAKO NI KATIKA VITABU VYA MAYAHUDI
@BURUNDIB6 күн бұрын
Hakuna dini hapa kabisa
@muagirjose66708 күн бұрын
Inshallh i from Mocambique
@abishafiqabishafiq60656 күн бұрын
Mozambique unapatikana wapi tujuane
@pammymoraamoraa67028 күн бұрын
Muandishi ukiwa na sule mbona unakosaanga maswali kama wale wengingi wenye wanatoa prove zote kutoka kwa vitabu kubwa, huyuniwakuchanga watu akili akiwafundisha njia za ushirikina
@hamadmhchande56338 күн бұрын
Suleiman kama Suleiman master.
@user-mb2ex7qu6x3 күн бұрын
Sasa wewe sule sasa wewe unamfuataaa nabii suleimani au nabii Muhammad i
@osmundmtavangu7 күн бұрын
Haya yooote yapo kwenye Quran ila Dr. Sule akiyaongea mashekhe uchwala wanaanza kumpinga. Binafsi nampongeza sana Sule kwa kutudhihirisha na kutuonyesha wazi ni namna gani majini na Uislamu vilivyoungana pamoja.
@binseif22167 күн бұрын
Ndio sababu majini pia waliumbwa ili wamuabudu Mungu lkn wengne waliukubali uislamu nawengne waliasi nakutangaza vita na Mungu
@osmundmtavangu7 күн бұрын
Jidanganye Ivo Ivo toka huko kwenye majini ndugu yangu hakuna kitu km hicho hizo ni hadithi tu. Majini wote ni malaika walioasi(mashetani) na ndio chanzo cha uchawi na mateso mbalimbali duniani.
@amissiradjabu65616 күн бұрын
soûle anaongeya maneno yake kwa akili yake sababu hajatoa andika hata moja la coran sasa hakuna huisiano wa binadam n'a jini ..... sule ni njaaa ya ki maicha atafute kazi afanye apate ugali n'a sio jini sababu jini wana ulimwengu wao n'a sisi wa nadamu tunaulimwengu wetu acha chuki n'a roho mbaya tafuta elimu .....
@amissiradjabu65616 күн бұрын
@@osmundmtavangushetani ni jini wala sio malaika malaika hakoseyi anamti mungu ila jinni kaais kaitwa shetani mana shetani ni sifaaa kicha mwanadamu akiaswi naye anaitwa shetani
@abdallahhanafi69635 күн бұрын
Hayo yapo ndio ndani ya quraan,lakin ni mambo maalum kwa mtu,hiyo pete ilikuwa ni maalum kwa nabii suleiman sio kwa kila muislam,hapo ndipo wanapompinga dr sule
Aki huyu mtu niwahadithi tu alisikia wapi hiyo stori yote imeandikwa wapi?? Atuoneshee hiyo stori , story teller huju utafikiri alikua hapo, mchongo tu
@user-tz8zu2gt6u7 күн бұрын
katika makanisa tuna washirikina wakuu wanatumia vitambaa mafuta navmiujiza za kishetani pia waisilamu Wana madoctor na mashehe washirina kweli hizi ni nyakati za mwisho yesu okoa hiki kizazi
@ramadhanihudhaifani43762 күн бұрын
Yesu aokoe kizazi kipi tena wakati mnasema dhambi zenu Yesu kafa nazo??? Dah...😅😅😅
Yani Mimi namkubali Sana uyu sheee namfatilia Kila kipindi
@user-tc3vb8pm5v7 күн бұрын
Niricho gunduwa mashehe weengi erimu ni ndogo sana hongora sure
@DakorTrony12 сағат бұрын
Swali; Uislamu uko na version ngapi? Dr. Ako na elimu yake , wengine waislamu wako na elimu yao. Sasa nani ako sahii. Waislamu wanafwata Quran ama kila muislamu ako na elimu yake tofauti
@facebkmulatya267422 сағат бұрын
Suleiman na pete?? Inamaanisha aliabudu shetani sio Mungu. Huu ni uongo kabisa
@WilsonWacira7 күн бұрын
Koran ni kama hadithi za abunuasi
@vinny.morales8 күн бұрын
Uislamu na uchawi ni dugu moja😂
@binseif22167 күн бұрын
Mtihani kubishana nawewe
@user-mb2ex7qu6x3 күн бұрын
Huyuu jamaaa nilishaaamtoaaa kwenye list yangu kabisaaa
@ismailsoud36346 күн бұрын
Sio Kweli , hayo ni mambo ya uzushi. Sheikh unamfitini Mwenyezi Mungu uweza wake.. Hayo si Kweli.
@MassaweFrank3 күн бұрын
Nambie uwelewa wako
@nabiimgongolwa87287 күн бұрын
TUSIDANGANYANE....JAMANI SHIKENI AMRI KUMI ZA MUNGU HAYO MENGINE NI UONGO MTUPU......VINGINEVYO WAJINGA NDIO WALIWAO.
@mussaissa67965 күн бұрын
NYIE MNAPOLISHWA NYASI NA KUNYESHWA JIK KAMA BARAKA HUWA NINI KWENU?? MPUUZI WEWE NYIE KWENU WANAWAKE HADI WANANYONYESHWA MBOO NA WACHUNGAJI ILI WAKOJOLEWE BARAKA HALAFU WEWE UNABWEGA NINI HAPA.
@edwardmugendi-hb1tj7 күн бұрын
hizi stori za kinga sijui huwa mnazitoa wapi yani haya majamaa maongo haya
@pammymoraamoraa67028 күн бұрын
Jamanini suleiman ati alikua Muslam??? Weeee umeshinda , sule hapo niuongo mtupu tupu
@canamass52056 күн бұрын
Yona hakuwai Dili na majini kabisa na yona sio yunis wala YESU si issa
@user-bj3sv3mr3gКүн бұрын
unalaana wewe sasa ninani
@stephensena71958 күн бұрын
Huyu mtu ni muongo sana
@KHADIJANDABABISA5 күн бұрын
Mjinga ww elimu huna kaa pembeni cc tule gombo adimu