DR SULLE ASIMULIA PETE YA UTAJIRI ILIVYOCHUKULIWA NA MAJINI NA KURUDISHWA KWA MFALME SULEIMAN

  Рет қаралды 12,113

SIMULIZI ZONE

SIMULIZI ZONE

9 күн бұрын

KATIKA KUANGALIA NGUVU YA PETE, HAPA DR SULLE AMETOA ELIMU JINSI MAJINI WANAVYOWEZA KUKUNYANG'ANYA UTAJIRI WAKO

Пікірлер: 58
@saidimdoe5246
@saidimdoe5246 8 күн бұрын
Allah ukuhifadhi ww sulemani wa pili uendelee kutupa elimu
@BrillyMontana
@BrillyMontana 8 күн бұрын
Tatizo wanaosema dr ni mshirikina ni wale watu wasiokuwa na elimu
@FatwimaZahrau
@FatwimaZahrau 8 күн бұрын
MashaLLAH DR ALLAH AKULIPE KHERI❤
@KHADIJANDABABISA
@KHADIJANDABABISA 5 күн бұрын
Kaka yetu sulley ALLAH akuhifadhi sanaaaaa inshaallah
@rezikomer9552
@rezikomer9552 5 күн бұрын
Haya watu wa coments ningependa nanyinyi mutengeneze vidio zenu mseme muyajuwayo yawe ya ukweli wacheni zakuharibu mambo ya wenzenu basi mumezidi
@osamkabura9774
@osamkabura9774 7 күн бұрын
Allah akuzidishie kheri
@allycux1221
@allycux1221 5 күн бұрын
Uyu jama anailimukubwasan yani alafu history anaijuwa Sana Allah amwihifazi
@HaydarKiroboto
@HaydarKiroboto 8 күн бұрын
Mungu nimwema tumuombe khel katka khel zake.
@WilsonWacira
@WilsonWacira 7 күн бұрын
uisilamu na uganga ni kitu moja utajiri wa kweli unatoka Kwa Mungu .mambo ya Pete ni ushirikina
@azzanassor3482
@azzanassor3482 23 сағат бұрын
Suleiman aliomba huo ufalme kwa Allah nasangaa unavosema kapata ufalme kwa hiyo pete
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 8 күн бұрын
Huyo maneno , maandishi ya mungu ndio yapi , atutajie,
@myself4128
@myself4128 3 күн бұрын
Hadithi za Sungura na Fisi😂😂😂 kwaiyo Jini kabeba Pete na Mungu akaruhusu Jini abebe Utawala Wa suleman na Unabii wake😂😂😂 na majini wenzake hawakushituka😂😂
@HaydarKiroboto
@HaydarKiroboto 8 күн бұрын
Inshallah
@yasinazam116
@yasinazam116 4 күн бұрын
SULE WACHA BANGI HAKUNA HATA DALILI KISA KIMETOKA WAPI TUMESOMA ULIPOSOMA NA TUKASOMA AMBAPO HUJASOMA VISA VYAKO NI KATIKA VITABU VYA MAYAHUDI
@BURUNDIB
@BURUNDIB 6 күн бұрын
Hakuna dini hapa kabisa
@muagirjose6670
@muagirjose6670 8 күн бұрын
Inshallh i from Mocambique
@abishafiqabishafiq6065
@abishafiqabishafiq6065 6 күн бұрын
Mozambique unapatikana wapi tujuane
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 8 күн бұрын
Muandishi ukiwa na sule mbona unakosaanga maswali kama wale wengingi wenye wanatoa prove zote kutoka kwa vitabu kubwa, huyuniwakuchanga watu akili akiwafundisha njia za ushirikina
@hamadmhchande5633
@hamadmhchande5633 8 күн бұрын
Suleiman kama Suleiman master.
@user-mb2ex7qu6x
@user-mb2ex7qu6x 3 күн бұрын
Sasa wewe sule sasa wewe unamfuataaa nabii suleimani au nabii Muhammad i
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu 7 күн бұрын
Haya yooote yapo kwenye Quran ila Dr. Sule akiyaongea mashekhe uchwala wanaanza kumpinga. Binafsi nampongeza sana Sule kwa kutudhihirisha na kutuonyesha wazi ni namna gani majini na Uislamu vilivyoungana pamoja.
@binseif2216
@binseif2216 7 күн бұрын
Ndio sababu majini pia waliumbwa ili wamuabudu Mungu lkn wengne waliukubali uislamu nawengne waliasi nakutangaza vita na Mungu
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu 7 күн бұрын
Jidanganye Ivo Ivo toka huko kwenye majini ndugu yangu hakuna kitu km hicho hizo ni hadithi tu. Majini wote ni malaika walioasi(mashetani) na ndio chanzo cha uchawi na mateso mbalimbali duniani.
@amissiradjabu6561
@amissiradjabu6561 6 күн бұрын
soûle anaongeya maneno yake kwa akili yake sababu hajatoa andika hata moja la coran sasa hakuna huisiano wa binadam n'a jini ..... sule ni njaaa ya ki maicha atafute kazi afanye apate ugali n'a sio jini sababu jini wana ulimwengu wao n'a sisi wa nadamu tunaulimwengu wetu acha chuki n'a roho mbaya tafuta elimu .....
@amissiradjabu6561
@amissiradjabu6561 6 күн бұрын
​@@osmundmtavangushetani ni jini wala sio malaika malaika hakoseyi anamti mungu ila jinni kaais kaitwa shetani mana shetani ni sifaaa kicha mwanadamu akiaswi naye anaitwa shetani
@abdallahhanafi6963
@abdallahhanafi6963 5 күн бұрын
Hayo yapo ndio ndani ya quraan,lakin ni mambo maalum kwa mtu,hiyo pete ilikuwa ni maalum kwa nabii suleiman sio kwa kila muislam,hapo ndipo wanapompinga dr sule
@BakarShabani-jt2hl
@BakarShabani-jt2hl 3 күн бұрын
Ukimtetea sule nawewe mushiki mpeninasahatu asizidikunanganya
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 8 күн бұрын
Aki huyu mtu niwahadithi tu alisikia wapi hiyo stori yote imeandikwa wapi?? Atuoneshee hiyo stori , story teller huju utafikiri alikua hapo, mchongo tu
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 7 күн бұрын
katika makanisa tuna washirikina wakuu wanatumia vitambaa mafuta navmiujiza za kishetani pia waisilamu Wana madoctor na mashehe washirina kweli hizi ni nyakati za mwisho yesu okoa hiki kizazi
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 2 күн бұрын
Yesu aokoe kizazi kipi tena wakati mnasema dhambi zenu Yesu kafa nazo??? Dah...😅😅😅
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 күн бұрын
@@ramadhanihudhaifani4376 Haya nimafumbo kakangu kaa huna Roho mtakatifu nikaa kumpikia mbuzi gitaa hataelewa chochote
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 7 күн бұрын
Aya basi yunusi.mfuate na yunusi.
@dangotemtotojr2418
@dangotemtotojr2418 7 күн бұрын
Yani Mimi namkubali Sana uyu sheee namfatilia Kila kipindi
@user-tc3vb8pm5v
@user-tc3vb8pm5v 7 күн бұрын
Niricho gunduwa mashehe weengi erimu ni ndogo sana hongora sure
@DakorTrony
@DakorTrony 12 сағат бұрын
Swali; Uislamu uko na version ngapi? Dr. Ako na elimu yake , wengine waislamu wako na elimu yao. Sasa nani ako sahii. Waislamu wanafwata Quran ama kila muislamu ako na elimu yake tofauti
@facebkmulatya2674
@facebkmulatya2674 22 сағат бұрын
Suleiman na pete?? Inamaanisha aliabudu shetani sio Mungu. Huu ni uongo kabisa
@WilsonWacira
@WilsonWacira 7 күн бұрын
Koran ni kama hadithi za abunuasi
@vinny.morales
@vinny.morales 8 күн бұрын
Uislamu na uchawi ni dugu moja😂
@binseif2216
@binseif2216 7 күн бұрын
Mtihani kubishana nawewe
@user-mb2ex7qu6x
@user-mb2ex7qu6x 3 күн бұрын
Huyuu jamaaa nilishaaamtoaaa kwenye list yangu kabisaaa
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 6 күн бұрын
Sio Kweli , hayo ni mambo ya uzushi. Sheikh unamfitini Mwenyezi Mungu uweza wake.. Hayo si Kweli.
@MassaweFrank
@MassaweFrank 3 күн бұрын
Nambie uwelewa wako
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 7 күн бұрын
TUSIDANGANYANE....JAMANI SHIKENI AMRI KUMI ZA MUNGU HAYO MENGINE NI UONGO MTUPU......VINGINEVYO WAJINGA NDIO WALIWAO.
@mussaissa6796
@mussaissa6796 5 күн бұрын
NYIE MNAPOLISHWA NYASI NA KUNYESHWA JIK KAMA BARAKA HUWA NINI KWENU?? MPUUZI WEWE NYIE KWENU WANAWAKE HADI WANANYONYESHWA MBOO NA WACHUNGAJI ILI WAKOJOLEWE BARAKA HALAFU WEWE UNABWEGA NINI HAPA.
@edwardmugendi-hb1tj
@edwardmugendi-hb1tj 7 күн бұрын
hizi stori za kinga sijui huwa mnazitoa wapi yani haya majamaa maongo haya
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 8 күн бұрын
Jamanini suleiman ati alikua Muslam??? Weeee umeshinda , sule hapo niuongo mtupu tupu
@canamass5205
@canamass5205 6 күн бұрын
Yona hakuwai Dili na majini kabisa na yona sio yunis wala YESU si issa
@user-bj3sv3mr3g
@user-bj3sv3mr3g Күн бұрын
unalaana wewe sasa ninani
@stephensena7195
@stephensena7195 8 күн бұрын
Huyu mtu ni muongo sana
@KHADIJANDABABISA
@KHADIJANDABABISA 5 күн бұрын
Mjinga ww elimu huna kaa pembeni cc tule gombo adimu
@KHADIJANDABABISA
@KHADIJANDABABISA 5 күн бұрын
Acha chuki kafiri ww
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
00:19
Kate Brush
Рет қаралды 8 МЛН
She ruined my dominos! 😭 Cool train tool helps me #gadget
00:40
Go Gizmo!
Рет қаралды 62 МЛН
KIMETOKEA NINI BAADA YA KUFA HAMZA- SIMBA WAMUNGU - DR SULE
30:12
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 43 М.
🔴LIVE :DR.SULLE MWANADAMU WA KWANZA ALIKUA MWEUSI SIYO MWEUPE/HISTORIA
59:53
DAKIKA 19 ZILIZOMUANGUSHA SULE NA WAPIGA RAMLI WENZIWE || Muhammad Bachu.
19:15
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 38 М.
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41