Yani we ungekaa kimya tu... Unazidi kujiharibia. Maana kila aliyemsikiliza abuu idd kamuelewa vzuri. . Ushauri kaa chini ushahadie upya
@elishachanzi60743 жыл бұрын
Ppp
@sherrysalim503 жыл бұрын
Yaani anazidi kukosea sanaaaaaaaaa
@jaliakamote54853 жыл бұрын
Kabisaaa
@shabanihussein1713 жыл бұрын
Njaa itakupeleka Motoni wewe mjinga.
@shabanihussein1713 жыл бұрын
Yaani wewe, Alhad ni muhuni sana.
@naushadally22723 жыл бұрын
Sheikh Muhammad Iddi Allah akuzidishie ilmu na hikma ili uwaongoze hawa wanafiki
@mussabuhe18323 жыл бұрын
Liangalie Kwanza huna lolote toka unatu malizia mb zetu akuna shehe apo kwani wewe na ponda Nani kakosea unazidi kutia watu asila
@yaskidesaid50943 жыл бұрын
Huyu ana elemu kait0lewa wp mashkhe wa mjini hawa hawana elemu wanakua wanapenda sifa tuu wana0na wamefika hpa dunian
@mohdkhatib2232 жыл бұрын
Yeye mwenyewe pia ni mnafik, hao wote ni wapotoshaji na ni mashekh maslah.
@abulghareebzimbawy7903 жыл бұрын
Mohd IDD yuko sawa wacha uchafu wa Roho
@yusha1093 жыл бұрын
sheikh hii ni din sio taarab muogope Allah ukilekekebishwa kubali
@mohdkhatib2232 жыл бұрын
Ndo inaonyesha wote hao ni maslah
@naswidiaabdulkarim50053 жыл бұрын
Wallahi allah kwa jambo hili atahukumu kwa hukkmu ya waz waz tusubiri tuone maan haya ni madhra makubwa mm bnafs nahuzuni kwa uhasama huu maan UISLAAM UNATUACHA
@hajimaduka52243 жыл бұрын
Duh kwa kwel bakwata kwa hili la juz hadi sasa sina imani nayo na lazma itatupoteza waislamu tusipokua makini ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA
@mgoiink47393 жыл бұрын
Jamani mimi sina elimu sana ya dini ila ni muislamu,naumia sana kuona waislam,wanalumbana,kwa dharau,nyodo,ila naomba niulize ktk majibu ya mufti,hakuna kitu kinachoitwa RIA?
@myunaniniahmad64633 жыл бұрын
Bakwata hamna kitu.
@ibrahimually11963 жыл бұрын
WEWE ALHAADI NI MNYOO HUNA ELIMU YA KUTOSHA
@chandlerbrooks8763 жыл бұрын
Pro trick: watch movies at Flixzone. Been using it for watching lots of of movies recently.
@jeffreyfrank69983 жыл бұрын
@Chandler Brooks Yup, I've been using Flixzone for months myself :)
@salimali54573 жыл бұрын
Nimesoma comments za wengi hapa na inaonyesha wazi sheikh wa Yesu kristo Una mengi ya kujibu kuliko ya kujibiwa.
Hivi mbona mnatukatisha tamaa yamani acheni mambo ya kijinga Sasa mmesoma nn maneno ya kijinga Sana hayo mnajiazilisha Sana
@twahambowe440 Жыл бұрын
Aamiin
@fundibombazanzbar5717 Жыл бұрын
Yametimia
@abuujureyjkhaniy.55203 жыл бұрын
USHINDE KWA JINA LA ALLAH NA UPOROMOKE CHINI HUO UHUNI WAKO MIMI NILIZANI UTAOMBA RAZI KUMBE UMEZIDI TAKA ZA UJINGAA
@Gamba1773 жыл бұрын
Huyu kichaa mvuta bangi
@abowsudes2103 жыл бұрын
We alihad mm ninayo clip unayomsifu makonda kuwa nizaid ya mtume nizaidi ya Allah ninayo anayoitaka 0653326771 what's up nimtumie kwaio tushakuzoea
@sheikhasalim11903 жыл бұрын
Hajielewi
@selemanimohamed90343 жыл бұрын
@@abowsudes210 nitumie mwalimu
@fakihmohammed39233 жыл бұрын
@@abowsudes210 subuhanallah,, kumbe eee 🤔
@yusuphahmedymngombe37063 жыл бұрын
Nimegundua kuwa Shekhe wa mkoa wa Dar anamapungufu makubwa na nahisi sio mwislam halisi
@sherrysalim503 жыл бұрын
Kabisaaaaaaa huyu maslahi
@hamidmussa8383 жыл бұрын
Ww Mbabashaji Mtu wa dili
@dallenhamidu70843 жыл бұрын
Huyu kachangany dini na siasa ndio kosa na kwakuwa anapata maslahi huko CCM ndio kibri anachokipata
@mohamedrashidy293 жыл бұрын
mshenz huyo
@seremenikibwene86333 жыл бұрын
Huyu c ktk waislam
@cutegirlallyally49573 жыл бұрын
M.mungu atupe mwisho mwema na atupe amani ndani ya dini yetu
@jidahtururu28533 жыл бұрын
Sasa huo ni ubea
@mahembeathumani35523 жыл бұрын
Muogope mungu
@jazeerajuma5014 Жыл бұрын
Amenn
@twahambowe440 Жыл бұрын
Aamiin
@twahambowe440 Жыл бұрын
Aamiin
@sabraham53083 жыл бұрын
Huyu kijana ana kibri mpaka anamkufuru Allah.
@mrishongwikwi64483 жыл бұрын
Shekh Alhad ametumia maneno makali sana yasiyokuwa na unyenyekevu katika imani ya kiislamu, hakuna sababu ya kumshambulia muislamu kwa maneno ya matusi na jazba. Allah isimamishe hakhi katika jambo hili viumbe hawa wanakiuka maamrisho mema ya Mtume wetu Muhammad (S.A.W).
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Sasa wewe kama ni shekhe unaejielewa kwanini unakua huna subira unamjibu jeuri mwenzako sio vizuri
@fakihmohammed39233 жыл бұрын
Hajielewi huyo,, allah amsamehe
@Gamba1773 жыл бұрын
Huyu kichaa alikuwa akiuza Bangi huku Tandika
@yahyahamad18023 жыл бұрын
@@Gamba177 hahaha
@aidaabdallah28743 жыл бұрын
DUUU HUYU HAFAU JAMN HATA KAMA WAMEPATANA HUYU SIYO.AIBU TUUUUUUUU
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Apo mnamtetea nani uyo Abu idi pia ni mbabaishaji wote njaa kali Abu idi hana busara hata moja yupo kama chizi
@muhammadmuhammad50433 жыл бұрын
Muogope Mungu Usione Damu Inatembea Ukajiona Mwamba Ipo Siku Yako
@kaimumonero28773 жыл бұрын
Yaan ukijifanya sheikh alaf ukiwa muhuni Allah atakuumbuwa...ndio ww
@yusuphkibacha30633 жыл бұрын
Subhanalah, hizi siasa za kidunia zisitufarakishe. Nyie na viongozi wetu, baba zetu,walezi wetu Wa kiimani ni vyema makakaa na kumaliza tofauti zenu ndani kwa ndani bila kurushiana maneno makali mbele ya waumini. Sisi maamuma tutakuwa katika hali gani. Hii ni kuwapa nafasi maadui Wa uislamu. Mwenyezi Mungu awateremshie rehema muone njia sahihi ya wajibu wenu. As-laam alyekumu.
@aliyalwatan31683 жыл бұрын
Subhanallah hii dini imekuwa ya majungu Allaha atuhifadhi kwa kila jambo lakini daaah hiii sjuw niseme ni kukosa hekma au vp SUBHANA ALLAH
@abuukauthary37063 жыл бұрын
Maneno unayoongea inamaanisha dhahit ww sio kiongozi muadilifu unajitapa sana kuliko kuelimisha
@sophiamgaza38003 жыл бұрын
Filimasne
@sophiamgaza38003 жыл бұрын
Filimasne
@sophiamgaza38003 жыл бұрын
Ni Kweli umezaa na dada hukutemeke
@sophiamgaza38003 жыл бұрын
Bakwata ni vibarska
@hamidharunsaid16663 жыл бұрын
Wallahy anajifakhiri sana
@samiahassan62083 жыл бұрын
Yaani apa chanzo ni ccm allah atuepushe na ili janga huu sio usilaam alituachia mtume wetu
@jumafaki16973 жыл бұрын
Dada wacha habari yaccm amekosolewa kuhusu dua aliyoomba kwa jina la yesu isa Almasih nimakosa muislamu kuomba kwa jina la yesu
@Silay10343 жыл бұрын
Huyu syo shekh ni kibaraka na jabbar bc kibri kimemjaa wafikiri weye cheo chako kitakufaa nn mbele ya Allaah kwanza ulicgaguliwa na nan twajua waz kuwa nikibaraka wa makafiri na serikali tubia ww Alhad
@hassanally4453 жыл бұрын
ALLAH AMREHEMU SHEIKH WETU MUHAMMAD IBN AYOUB
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Haya yote ya nini? Muhimu umekosea omba msamaha kwa allah na uombe radhi kwa uislam hakuna haja malumbano alhad umekosea usijifanye msomi sana na unajua sana kwa hili ulikosea
@adamsalumu79183 жыл бұрын
Sasa alhadi cc hatuhitaji michambo hapa tetea hoja,hakuna dua kwa jina la yesu
@farhatrashid20633 жыл бұрын
Michambo voo🙄
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Lkn kweli Abuu idi mwehu
@abubakarallawi19893 жыл бұрын
Alhamdulillah kwaupande wangu Shkh Mohd ni hodari sana
@ghulamjuma2883 Жыл бұрын
Kwa upande wako kwa upande wa dini je?
@jaliabahat1520 Жыл бұрын
lazima ucheke kwakweli
@abdallahrajabu44013 жыл бұрын
Yani kweli imedhihiri kule kuto like eana aibu kurumbana ktk mitandao ya kijamii mwenye elmu anajua kuwa hatuna mashekh Allah atuhifadhi
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
masheikh haifai kulumbana kwenye mitandao. kutaneni na mmalize tofauti zenu bila kupitia kwenye mitandao
@sameramwajdu90293 жыл бұрын
Wacha walumbane awa mashekhe saivi hawapo kwa ajili ya ALLAH kila mmoja ajikumbizia kwake hawaangalii maisha ya watu wa angaliya matumbo yao tuu
@shabanmalange96583 жыл бұрын
Omary alikuwepo shehe pitia vzr hadith omary ndo alirud nyuma na kusema Abu bakar mm siwez kuwa amir wkt ww upo
@shabanmalange96583 жыл бұрын
Iyo serekal unayoiweka kipaombele juu ina mwisho wko shehe. Hii n dini ya Allah sio ccm serekal
Me nahisi huyu ni mkristo kapandikizwa kwenye uislam
@fredichaki48683 жыл бұрын
Kweliiiiiiiiiiiiii kabisa huyu ni mkristu
@mohamedabdallahmellah43703 жыл бұрын
Ume chemka shekhe acha kuongea....
@michaelthobias99673 жыл бұрын
Huna akili kwahiyo mkigombana mkristu ndio kawakosanisha huu ni upuzi kbsa na uzandiki kbsa poor kbsa
@malaikakassim85393 жыл бұрын
Ombaa radhiiii *SHEITWANIIIIIII WEWEE*
@muhammadmuhammad50433 жыл бұрын
Subhallah Akhera Kutakuwa Nakazi Jamani Na Sihoja Aalim Nahisi Wao Ndio Watakuwa Kuni
@faridahalwaily853 жыл бұрын
Waaislamuh swamahenaneni muwee kitu kimojaaa na kuwa kitu kimojaaa.
@kiri58073 жыл бұрын
Huyu njaa jamaa hana elmu tangu lini sheikh wa mkoa akachaguliwe na raisi tena mkiristo?
@abishafiqabishafiq60653 жыл бұрын
Huyu muache achanwe maana m'bishi haelewi pia hafai kua sheykh wa mkoa
@hassanandnabil72433 жыл бұрын
Ww sheikh acha porojo, hapa hoja umekosea na umeukachifu usilamu na kuwakafichu waislam, what we want to hear apologies toward your fellow faith. By the way ww unaonesha una beef na huyu Muhammad, mbona hujamtaja Sheikh Sharif ambae nae hajakubaliana na ww. Listen I am listening to you and all I can acknowledging from you that hunahekima wala huna maadili ya dini, mcha Mungu waukweli hawezi kutuma lugha hii nakuaza kumita msha cjuwi unavuta bangi, just prove a point and treat your fellow Muslim with respect cos no one is above the law of God will.
@halimamohd51323 жыл бұрын
wallah we shekh ni mtafta tonge tu kwa jina la ushekh hata kama utaipata kwa kharam
@kiri58073 жыл бұрын
Huyu jamaa haikuhusu kuwataja watu wengine , km aligombana nao yeye imekuwa anaita wenziwe washamba yeye umji gani alonao? Kuvunja nyumba za wanaume wenzake . Mnafiq na huyo mufti pia kibaraka
@abdalllahmwinyi81853 жыл бұрын
Toa hoja
@kiri58073 жыл бұрын
Kwani yeye kaja na hoja? Huyu jamaa mpotoshaji na kaekwa makusudi kuwapotoa waislamu. Ni mnafiq yeye jana alikuja kwenye media kutoa kashfa tele za mwenziwe ikisha alipokwisha wamekutana na kusameheana . Kutafuta kiki tu , huyu sheikh wa mkoa choko basi hana elmu hiyo
@samiahassan62083 жыл бұрын
😭😭😭😭 huu ni msiba ata ww mbona umeshindwa kumsitili mwenzio ata we pia ufai kuwa shehe wa mkoa
@kiri58073 жыл бұрын
Fitna wewe unayeleta habari hizi za kina kishki . Mufti gani? Mshenzi huyo naye mufti akachaguliwe na Magu ?
@abulqadirellajmy4313 жыл бұрын
MBONA KWENYE MAANDIKO ALLAH ANATWAMBIA MKITAKA KUOMBA MUOMBENI ALLAH NA MKITAKA MSAADA TAKENI KWA ALLAH WW DUA YAKIPEKEE UMEIPATA WAPI KWA HADITHI AU ULAAMAA,YYTE WW HUNA ISHU TOA JIBU
@abulqadirellajmy4313 жыл бұрын
Ww ktka UISLAM kosa halisubiri MTU maalum ndio akataze ktka khadithi Mtume (s.w.a ) anasema yeyote ataeona kosa aondoe kwa mikono yake au alisemee au achukie nahapo alipokukaribisha ilikua hujalewa madaraka sasaivi umelewa madaraka umekufuru Tamka shahada huna Uislam
@abulqadirellajmy4313 жыл бұрын
Na Shekh Mohammed Iddi usishughulike kua na Msimamo huohuo ukiliona kosa LISEMEE USISUBIRI ASEME FULANI
@abdulsalim50813 жыл бұрын
Huyu hamna kitu asee elimu uchwara
@herculesthepower15443 жыл бұрын
mbona hujibu uchaguzi ulifanyika lini na wapi? unazunguka mbuyu.
@kiri58073 жыл бұрын
Kachaguliwa na Magu ndio linaburuzwa kuchunga unga wake . Mnafiq wewe umefika kusema kuwa Magu ana sifa za Mungu .
@abubakarbarakaty42413 жыл бұрын
Hamna ktu apo uyo alhad ni msaka tonge tu! #rudia mawaidha ya sheikh ilunga Allah amrehem
@zahirallyzorro3940 Жыл бұрын
Allah Azza Ajaalla, Azidi kukupa Upeo na Maono Utuongoze Waislamu Wenzio. Sisi tulio Maamuma tunaona Jukhdi na Vita zinazo elekezwa kwenu. Laakin Allah ndie Mlinzi wa Kweli. Amen Thumma Amen!
@kidiginonbabu59353 жыл бұрын
Asante Hadi kwakumpa makavu,amebebeshwa mavitabu hajui ndani yananini
@ramangadu64513 жыл бұрын
Wewe Nahuyo msemaji Akili Zipo Sawa. Akili Kubwa Haishindani naakili ndogo
@muhammadmuhammad50433 жыл бұрын
Subhallah Allah Istustiriy
@fahadfaraj18223 жыл бұрын
Kuonyesha hatumkubali shekhe huyu weka like ili aone hatukonae , na hana heshima hata kidogo mbele yetu waumini
@allyiddy12633 жыл бұрын
Sheikh unajikweza
@abuumaabadi71253 жыл бұрын
Uyu shekh hamna ktu jaman dooh
@abuumaabadi71253 жыл бұрын
Shekhe anajisifia kuwa yeye ndokamleta mjini Shekhe iddi hamna ktu apa
@khamissalum54563 жыл бұрын
Kwa huko tunako kwendea waislam
@khamissalum54563 жыл бұрын
Tukiambiwa munapeana mipasho kama taraab jaman tunajisahau na dunia
@salminisalehe94173 жыл бұрын
Wallah Nazidi Kukushusha Thamani Shekh Wa Mkoa Yani Kulijibu Hili Nazidi Kukudharau Umefanya Makosa Jarib Kukubali Umekosea. Kenge Wewe Jitathmini Ujiuzulu
@georgematahimba5242 Жыл бұрын
Mimi ni mkristo lakini nampenda sana huyu shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam. Watu wanaotaka kumchafua huyu shekhe wangu Wananiudhi sana. Huyu ni mhimili mkubwa sana katika nchi hii. Ana busara sana huyu shekhe. Sipendi watu wamchafue nitawachukia sana.
@abdulhafidhi843 жыл бұрын
Dah shekhe gan ww unatukana km malaya
@mohamedayubu80213 жыл бұрын
Kwahiyo ufanye upumbavu watu wanyamaze tu eti sio wasemaji
@husenikilala4213 жыл бұрын
Shekh unajibu mapigo
@husenikilala4213 жыл бұрын
Unapo taja aibu yamwenzako kumbuka yakwako hivi huoni aibu shekh
@husenikilala4213 жыл бұрын
Tumekujua wewe nimamluki Wala sigo shekh
@abishafiqabishafiq60653 жыл бұрын
Huyu shehe au mganga? 🤣🤣🤣
@ssjuma3 жыл бұрын
Kuburi kimemjaa, dah
@barathmfaume5103 жыл бұрын
Daaah ! SubhanaLLAH,SubhanaLLAH.Yarabb twaomba khusnur khatma.Waislam hii ndiyo khatma ya kibri,Allah atunusuru.
@mbarakalwahebi4094 Жыл бұрын
Bismilahi Rahmani Rahim namshukuru mungu mpaka sasa alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwengine zaidi yake Amin Amin yaaraab Amin duuu kibri Kwa Muslim ni mbaya na kiongozi mungu anakuonaa shekhe wa mkoa mnaafki Sana subhaanaalhaah mtihani mkubwa subhaanaalhaah
@saidiiddi95913 жыл бұрын
Senge Wewe Hivi Mufti hamuoni Huyu Baba Atolewe Kwenye Ushekhe Wa Mkowa ,, Anatuchanganya Bana
@amnehajji34603 жыл бұрын
Ao walio mchagua wote ni usalama wa taifa
@mwidausaid57013 жыл бұрын
Hawez kumtoa ni mkwewe
@yaskidesaid50943 жыл бұрын
Shekhe gani huyu hafai hata kuadhini kwa fatua yangu mm hyu anataka maslahi tu lkn subr mwka uishe uta0na nn
@abulghareebzimbawy7903 жыл бұрын
Allah pekee ndio ana nafasi ya simulizi kwa waja wake ...sio wewe kutaja kumsaidia Sheikh IDd
@babusobakari78823 жыл бұрын
Viongozi wa dini ondoeni tofauti zenu tushikamane ktk kamba ya lailaha ila lhaaaa Muhammad rasululhaa vinyongo na husda havina nafasi katka dini
@aminimushi69452 жыл бұрын
Allah,mrehemu sana muft Hemed bin Juma bin Hemed,aliunganisha waislam,Leo hii ni mtihani.
@ahmedomar8043 жыл бұрын
Kuna kitabu kina hadithi 40 hebu angalia hadithi ya 36-37 je Hawa wanasifa ya kuwa ndugu KATIKA uislam
@sultankitamo38783 жыл бұрын
al imam nnawawiy
@salumnassor12153 жыл бұрын
Babdeo nakuomba usije ukasababisha watu tu unsubscribe tafadhali!!!HUU UPUMBAVU WENU NA MASHEKHE UNAOCHUKUWA CLIP ZAO ATHARI NI MBAYA KULIKO MAFIKIRIO YAKO! NAKUOMBA NAKUOMBA!TUTAZUNGUMZA NA KUWAVUNJIA HESHIMA YAO HAO MASHEKHE AMBAO TUNA HISTORIA NAO NJEMA!AMBAYO UNAIHARIBU!!!
@saidmbarouk3553 Жыл бұрын
ASSALAMU ALAIKUM NDUGU ZANGU WA KISLAMU HIVI KWANINI HAWA MASHEKHE WETU WA TANZANIA WANATUCHANGANYA SANA MASHEKHE BAZI YAO WANALUMBANA WALA HAKUNA SABABU ZA MSINGI MUNATUCHANGANYA SANA SISI WAUMINI WA KISLAMU HEBU UNGANENI MUTANGAZE YA ALLAH ILI TUPATE FAIDA SIO KUBISHANA MITANDAONI ALLAH HAPENDI HIVYO
@muhsinsalum80092 жыл бұрын
WEWE SHEIKH WA MKOA HUNA ZAIDI YA KIBURI. ABUU EID ANAKUOSHA MBALI TU KIELIMU
@rozekiabdullah63 жыл бұрын
Sisi hatutaki kujua mambo yenu binafsi, Allah tu anatosha, tusiwaone tena KZfaq
@alfeshhassan41813 жыл бұрын
N.ww.hutoshi ata kuwa sheee wa nyumba puuuzi kbw sna .... Ww unafaa kuw askofu tu 😳🤔🤔🤔
@ummylawheen87313 жыл бұрын
sio wa nyumba...hawezi hata kua sheikh wa kujiongoza yeye mwenyewe mjinga huyu
@alfeshhassan41813 жыл бұрын
@@ummylawheen8731 anjtia ana akili.alf hyo kumbe akli wnywe kazkalia.hyo na nyngn zp tmbni asbriwa apew tart tu na.mgfuli aende akaongoze kwaya hya kanisani kwa mama yao mariya😄😄😄😄😄
@ummylawheen87313 жыл бұрын
@@alfeshhassan4181 🤣🤣🤣🤣🤣hawa ndo wanatuletea corona nchini
@alfeshhassan41813 жыл бұрын
@@ummylawheen8731 tena hee si mchz yani tan antletea corona kw jna la yesu wke 😄😄😄😄😄
@kishrakhan93512 жыл бұрын
Allah huakbar Imani yetu ya kislamu watu unaenda wapi😭😭😭😭😭
@aminachaulaya278 Жыл бұрын
Yani wow shekhe katika siku uliyonichefua leo unamtusi mwenzio wakati yy hajakutusi kwa kifupi hufai kuwa shekhe wa mkoa wa dar jamani huyu shekhe hafai hana hekima hata kidogo masiba huu kwa waislamu
@sidal68913 жыл бұрын
Unamsaidia Mtu unamsimanga Daah wewe Mwisho Mufti Yaan unatukana Muumin hatukani...
@ummyhawaaweis38673 жыл бұрын
Astaghfirullah
@suhaylasultan68203 жыл бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuun Shekh kuwa na hikma ukizungumza.
@mdaomasalimu3 жыл бұрын
Ww mwehu umekosea kusema dua maalum afu kwa jina la yesu ww mshenz sana ttz lenu mnachahuliwa na serikali
@ahmedomar8043 жыл бұрын
Alokupa cheo cha sheikh alipotea njia
@fakihmohammed39233 жыл бұрын
Kama ulimsaidia ulivyofika Dar kwahiyo Leo ndo unamtangaza duuuh subuhanallah Tenda wema nenda zako au Ulitaka akulipe
@nourzahoro31783 жыл бұрын
Mambo unayozungumza hayafai maneno hayo yanahusu nn mbona tangu mwanzo hukuyazungumza aibu kubwa shekhe kwa unayoyasema.
@fakihmohammed39233 жыл бұрын
@@nourzahoro3178 anazuga huyo,, aongelee jambo alilolifanya nasio kutangaza madhaifu ya watu
@kiri58073 жыл бұрын
@@nourzahoro3178ni kweli hizi ni fitna tu , uislamu unatwambia ukitoa kwa mkono wa kulia hata mkono wa kushoto usijue . Sasa yeye kaja kuyaanika kwenye media kuwa alimsaidia halafu anajiita sheikh. Ama kweli usheikh wake huyu una mashaka
@kiri58073 жыл бұрын
@@fakihmohammed3923 huyu jamaa hana hoja yamsingi maana aloyafanya ni makubwa anashindwa hata kujitetea . Kabaki kusema mambo yasomuhusu. Hata km yalitokea matatizo na hao kina kishki hakuwa yeye msemaji na hayakuhusu kuyaleta hapa .
@kiri58073 жыл бұрын
Alichohoji ni wewe , jibu uliloulizwa . Hivi watu wakisema huyu jamaa msenge kumbe kweli . Alikuja kwa sababu hiyo ni kazi yako wewe si ndio sheikh wa mkoa?
@salumsaid65723 жыл бұрын
ALLAH akuongoze ujue baya na zuri akupe husnulkhatima
@hajimnubi45813 жыл бұрын
Masheikh mnatuaibisha acheni...
@muddiesmart3 жыл бұрын
Alhad muogope allah, kumbuka sisi mnaotuongoza tuna akili pia, usitutoe akili.. Majibu yako hayapo ktk hoja ya msingi.. Una mshambulia Shekh badala ya kushambulia hoja zake..
@nourzahoro31783 жыл бұрын
Shekhe hayo majigambo ati Mohammed mshamba,wewe ndio ume.leta mjini, yanahusu nn. Unatangaza aibu na msaada uliotoa kwake,hii ni desturi ya uislam?maneno hatafai mitandaoni kwani uongozi hakuna?shekhe maneno yako yako yamepita kiwango hayana hekima na busara jamii inajifundisha nn kutoka kwako shekh alhad (kumbe hata mashekhe ni mabingwa wa mipasho)lahaulaaa
@nourzahoro31783 жыл бұрын
Unawataja mashekhe wengine ili iweje wakuunge mkono au tena unataja mpaka siri za marehem,inahusiana nn huna siri, kwa maneno yako shekhe alhad unatatizo kweli shekhe tena wa mkoa unazungumza maneno kama haya,alhamdulilah,wewe ndie haswa kwa maneno uliyozungumza umekosea, kwa kuzungumza na kuwataja baadhi ya mashekhe mbona hapo mwanzo hukuzungumza?
@abdulwalidali45673 жыл бұрын
Mie aniongoze pumba huyu huyu elmu hana na hakuna mnafiq kama wewe na bakwata ni genge tu ccm
@muddiesmart3 жыл бұрын
@@nourzahoro3178 Yaani mara mia angenyaza, hayo majibu ya Sasa kazidi kutuudhi na kutukera .. Halafu anasema kabisa kuwa kuna watu wakiwemo na mashekh mbalimbali wamemwambia asijibu, anashindwa kuelewa kuwa wana maana au busara gani kwa kumshauri hivyo,, Kwa akili yake mbovu anajua wapo pamoja nae ku support upumbavu wake, Halafu anataja mashekh wengine ili apate utetezi wao, kwa kuwa wao waliwahi pia kukosolewa, Yaani Sasa linatengeneza fitna za kimji, Huyu jamaa nina hakika kapumbaa akili, ana matatizo ya kichwa sio bure
@fakihmohammed39233 жыл бұрын
@@nourzahoro3178 sheikh wa mkoa Ana laana huyo, ndomana anataka hata siri za marehemu Subuhanallah
@fakihmohammed39233 жыл бұрын
Sheikh wa mkoa wa Dsm hata uongee vipi hatuwezi kukuelewa Fanya towba bado mapema acha kutangaza madhaifu ya wenzako
@sevenofficial4463 жыл бұрын
Inna lillah wainna ilaihi rajiun. Wewe hufai kua shekh wa mkoa coz huna hekma wala busara,shkh Iddy hakukutukana wala kukudhihaki ila wewe ulimi wako umeshindwa kuulinda
@jumakubili1512 Жыл бұрын
Mimi ninavyojua wenye elmu na hekma wanapotofautiana Huwa wanaitana na kukaa kuyamaliza. Mazali mmeingiza dini katika mtandao maneno mnayoongea na kuchafuana imekuwa kama mipasho. ALLAH awanusulu maana amuelimishani bali mnachafuana.
@abburakkaan56943 жыл бұрын
Wallah Wallah Wallah mazungunzo yako hayaendani na title yako. Unaonesha dhahir kwenye macho yako na sura hujui kujiekeza unaongelea chuki tu hapa sio kuelimisha. Nakuomba rudi kwa muumba wako haraka sana before to let. Please sura zako jamiil ila ninashaka na Imani yako. Pole sana kama nimekukwaza, ila nakuonea huruma juu ya dhamana yako kama hujaitendea haki itakudhuru duniani,wakati wa sakarat lmaut,kaburini na siku ya hisabu, ila nakuhakikishi bado unao wakati wa kujisafisha. Tafadhali fanya hivyo
@mwatanohmakuka37802 жыл бұрын
Musikashifiane mnawapa nafasi maadui zegu
@zainabumwagiroabdallamwagi973 жыл бұрын
Huyu sheikh wa mkoa anapotosha duwa yoyote lazima iwe na mwenendo unaoendana na sunna ya mtume.na huwezi omba kwa jina LA yesu wala mtu yeyote .mungu amesema msiombe kwa jina lingine isipokua yeye Allah.
@harunahashim94633 жыл бұрын
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh, mimi binafsi nnaona kwamba viongozi wetu wote wanatupoteza!!! Sababu ya wao kulumbana na kukosana kwa sababu ya #siasa na hata hakuna maslahi na uislamu. Je,mgogoro huu umeanzishwa na nani? Je, tatizo ni nini? Ni nani wa kutu unganisha tena? ALLAH UNUSURU UISLAMU NA WAISLAMU TANZANIA MAANA TWENDA ANGAMIA.
@rahmasaleh19843 жыл бұрын
Jaman huyu shekh ni mzima kweli? Hana quality za ushekh hatà chembe
@hijjafakky5693 жыл бұрын
Ww hufai hata kuongoza mbuz huna ushekh na muislam unatakiwa umstiri aibu yke na ww utastiriw 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@jumahory30693 жыл бұрын
hivi Zama zamtume sw swahaba yupi alijibizana wezake
@Gamba1773 жыл бұрын
Shehe wetu wa mkoa inaelekea alikuwa muimbaji taarabu
@abdulhafidhi843 жыл бұрын
Hyu alhad c msomi ni mjingaa
@desultansaid36473 жыл бұрын
Subhanalllah tumefikia Huku kweli qiyama chatuijia
Km nyiny wenyew mnagombana kw kutetea ugal wenu hamna lolote lengo nikutangaza din y Allah mbora wetu ni mchaj
@jafarinahonyo73493 жыл бұрын
Mashekhe mm nawaomba sana sana mukitofautiana kwa makosa yeyote yale nawaomba muitane nakukaa kwa sili muyazungumze muyamalize musiwe munaongea ktk mitandao kuanikana matatizo yenu hiyo siyo kweli mungu katufundisha mufanyenn pindi mukitofautiana sio kuanikana hazaran munashusha heshima na uthaman wadiniyetu huwa hatupendi sisi mnachokifanya tunachukia sana ila tunashindwatu uwezo wakuwafikishia kutokana na tunakoishi ni mbali na nivijijin .naomba fuateni kitabu na sunna ilikutatua migogoroyenu acheni kutatuamigogor kwa akilizenu munaharibu na munabomoa mafundisho allah muogopen mungunyie walimuwetu
@farajichilumba51142 жыл бұрын
Hili kosa lilifanywa hadharani watu tukashikwa na butwaa tungejuaje kuwa haifai kama si kosa kubainishwa hadharani
@Auf-uh3jq2 жыл бұрын
Safi kabisa
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
Tumsalie mtume mashekhe wetu.ningewaomba zitumike sana busara kumaliza hili.tusipo kuwa na subira na umakini.tutaufedhehesha uislaam.hembu tumuogopeni allah.
Dawa imekuingia vizuri subiri vijana wakumalizie dozi yako mpaka upowe huwo unafik wako ww ni mchumia tumbo kwa kudhalilishwa dini yetu tu
@ibrahimmussa36733 жыл бұрын
Daaaah anamwita mwenzie mshamba. Elim yako Alhad ni ndogo sana. Ona mambo yako ni ya kichawi
@saidimamu38943 жыл бұрын
Www kaaaakimya umekosea kiri kosa ww mpenda wajane unawadanganya kuwaoa halafu unawachezea unawaaacha
@ghulamjuma28833 жыл бұрын
Una ushahidi wa kiislamu tungu yangu ni mbaya sana thana mbele ya Mwenyezi Mungu
@abulghareebzimbawy7903 жыл бұрын
Aqidah ndio ina kataa dua yako silazma baraza liseme ...
@shaban66443 жыл бұрын
Wallahu Aalam 🙏🙏
@yusufumbwene68453 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu humpa hikma amtakae , na mwenyekupewa hikma basi kapewa kitu kikubwa zaidi .
@ahmadkhatib61443 жыл бұрын
Huyu sheikh kuna kipindi tuliambiwa kuwa kaolewa , leo naanza kuyakubali yale maneno. Acha usenge ALHADI mrejee mola wako.
@uledihassan60653 жыл бұрын
Umeongea maneno makali sana acha matusi
@ahmadkhatib61443 жыл бұрын
@@uledihassan6065 sawa nimekuelewa allaah atuongoze ila huyu sheikh anatia hasira wakati mwengine. Mi naona avuliwe hiyo nafasi aliyonayo.
@barakaamani8657 Жыл бұрын
Tutaona MENGI YOTE HAYA KWANINI YANAJITOKEZA KATIKA VIPINDI HIVI VYA SERIKALI HIZ
@haruniaisha5905 Жыл бұрын
Mafarisayo ndo hawa sasa
@faju4real8003 жыл бұрын
Mashekh wengne wa Dar bwana bora Mlevi wa Zanzibar
@ramadhanimganza6958 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@kibwanasuleiman263Ай бұрын
Mambo ya hovyo kabisa mambo ya kijaahil ya kshamba kabisaa,mambo ya ki ibliiis,
@yassirhemed33933 жыл бұрын
Lkn tambu ewe haadi mm sikwiti shekhe al hadi coz hustahiki bora mlevi alokua hajui kuliko ww unaejua kisha unakufuru kwaiyo tambua ya kwamba Allah anasema إن الله يحبط كيد الكافرين hakika Allah huviangusha vtimbi vya makafiri ao unaowakumbatia wakakupa pesa mbuzi
@saidisaidi94353 жыл бұрын
Dini inatufunza, unapoona uovu ondoa kwa mikono yako, ukishinda ondoa kwa mikono, yako na ukishinda chukia ila ni umchache wa Imani Abuu Iddi katimiza wajibu.
@abdalahaby36583 жыл бұрын
Sheikh anaeleta mipasho ya taarabu tena subhanallah.. sasa huyu atanipa nasaha gani ya kufata subhanallah.. halafu eti ni sheikh wa mkoa duuuh 🤣🤣🤣 Masheikh wameingia kwenye mipasho. Huyu sheikh vile vile nae ni mkosa. Sheikh mzima huwezi kuongea au kutupiana madongo mitandaoni... maneno anayozungumza anatufundisha nini??? Wallah hawa masheikh wamekuwa vichaa. Wema ulioufanya unautangaza dini gani hiyo.. eti sheikh. Bila shaka nae huyu atakuwa anavuta bangi vilevile. Yani huyu sheikh wa mkoa wenu kanichefua kweli. Najuta hata kutazama hiyo clip. Masheikh wanatupiana maneno utasema watoto wakike. Jinga kabisa
@Gamba1773 жыл бұрын
Hafai huyu shehe Alhad maana baada ya kuongea point ya maana anaongea ushuzi ushuzi kama wale vichaa
@alfeshhassan41813 жыл бұрын
Nend uko wee umepew psa ww ...wcha kuiuza dini yako kwa hela ww 😳😳😳😳😳😳😳😳😳 Unaanglia tmbo lako na wla huangliii dini yko🤔
@salumsaburi50493 жыл бұрын
Nenda mjinga ww jibu hoja
@salumsaburi50493 жыл бұрын
Jibu hoja hakuna hata shehe mmoja tena wanazuon waliomba dua wakasema kwa jina la yesu mjinga mkubwa ww au ww una elimu kuliko wao
@salumsaburi50493 жыл бұрын
Hata enz za mtume saw walikuwepo watu kama ww walikuwa wanajifanya kumpenda mtume kumbe ni wanafiki
@salumsaburi50493 жыл бұрын
Mbumbumbu ww sio viongozi mukishakuchaguliwa munafata matakwa yenu umekosea ni lazima akukosea sio kukusema vizur kipind hicho sawa ww mjinga
@salumsaburi50493 жыл бұрын
Shehe gan alieomba dua kwa jina la yesu Mshenz ww mbwa mkubwa nguruwe nitajie shehe mmoja tu alieomba dua kwa jina la yesu m mungu akuongoze ww mjinga
@zainabumwagiroabdallamwagi973 жыл бұрын
HUYU SHEIKH WA MKOA ANAMAJIVUNO SANA NA YAONEKANA ANATUMIWA NA MAKAFIRI KUIHUJUMU UMOJA WA WAISLAA,SHEIKH MUHAMAD IDI NIMTU MUHIMU MWENYE KUSAWAZISHA MAMBO.
@rehemarajabu22213 жыл бұрын
MAKUBWA!!! KUMBE MNAROGANA! SUBHANNALLAH!!! UMEJIVUA NGUO NA KUJIDHALILISHA. MNAITUMIA QUR'AN VIBAYA. DAAH! YAANI AFADHALI NINYAMAZE NISIJEFANANA NA WEEWE,NAPATA HASIRA TU NA HII MINENO YAKO.
@hamadrashid51403 жыл бұрын
Kibri kibaya sana.. Allah atuepushe
@abubilal43193 жыл бұрын
Ana kibri kibaya sana huyu Shekhe.....Allah SWT amuongoze..
@abishafiqabishafiq60653 жыл бұрын
Wallahi kweli
@oman77103 жыл бұрын
Allahumma amiiin yarab
@mirajisalehe7423 жыл бұрын
Wewe sheikh ndio maana hata uso wako unanga'ra unamfahamu Mungu wa kweli,kumtaja Bwana Yesu Sasa kuna ubaya gani?kama mwenyezi Mungu alimtuma ulimwenguni akamtakasa ,akampa Injili, sisi watu tu nani tusimtaje? Jambo hili nalijulikane ya kuwa asiyempenda Bwana Yesu hamwabudu Mungu Mkuu muumbaji wa mbingu na Dunia na vyote vizijazavyo ,wanamwabudu shetani bila kujua yaani Quran imtaje Nabii Issa yeye achukie, huo ndio ukafiri kamili. sheikh Mkuu wewe sio mnafiki,maana Kama angetokea Nabii Muhammad akamsikiliza maneno yake angemfunza upya maana yake, hayaelewi maandiko Wala Ukuu wa Mungu.
@meshacknyandongo577 Жыл бұрын
Yani mambo ya dini mnaanza kuongeleana maneno magum kiasi hicho kweli ndivyo Mwenyezi Mungu anaelekeza
@aminamwinyi55283 жыл бұрын
Kauli hizi zimetuumiza sana.si sahihi hasa kwa kiongozi kutoa kashfa,kudhalilisha,kujinaki,hii ni hatari kubwa. Allah amesikia na kibri joho lake
@abdullahsaidi80093 жыл бұрын
Sheikh musa kubali kosa, umekosea, sheikh Mohammed Iddi ajakosea
@musayahya7023 жыл бұрын
Shehe wa mkoa jitathimini mbona kila unapotoa clip hakuna anayekuunga mkono kwenye comment,
@MtuSafi Жыл бұрын
Mashekhe mnataka trending sasa hv daah..
@shakilaramadhani98662 жыл бұрын
Subhanallah
@salumhamza39223 жыл бұрын
Ww huna lolote kumbe na hufai hata kuitwa sheikh km umeshamuhifadh muislam mwenzako kw nn unamtolea aibu zak nje Yan ww ndo huna lolote kumbe upo kw mas lah ya maisha yk tu na sio kw ajil y Allah na unajipendekeza kwa makuful tu ww.