HAYA NDIO MATUKIO YA ALHAD MUSSA KABLA AJATUMBULIWA AKIGOMBONA NA SHEIKH MOHAMMED IDDI

  Рет қаралды 35,452

Swahili Tv

Swahili Tv

Жыл бұрын

Пікірлер: 108
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Al marhum sheikh Muhammad bin Ayyub ambaye keshakufa ana baraka gani tena za kukunufaisha wewe uliyehai?
@AbidhusseinJiwaji
@AbidhusseinJiwaji 29 күн бұрын
😂😂😂😂
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Жыл бұрын
Ila Alhad inabidi afanye toba sana bado kijana mungu atamsamehe vinginevyo ni msiba mkubwa kwake
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Eee Allah ajaalie ha wa masheke kumaliza hizi to fauti zao hee hii kila siku Ina zidi yajana tutafika wapi yailahi tusimamie waja wako
@adrianorichard1709
@adrianorichard1709 Жыл бұрын
Yesu ni jina kubwa lipitalo majina yotee, Amen
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 Жыл бұрын
Ndio maana akaitwa Jehova El gibbon,Nisi,Shama,El Olam n k Majina yote maxuri ni ya Yesu💯👍🥰
@wanyooshetv9987
@wanyooshetv9987 Жыл бұрын
Makafiri mna utindio wa ubongo jina yesu lenyewe ni feki
@fatumatandika6220
@fatumatandika6220 Жыл бұрын
Huyu kweli ni HASIDI anapenda kuitafuta shari subhanna Allah
@nancyjohnson6620
@nancyjohnson6620 Жыл бұрын
Waislam wenyewe kwa wenyewe hawaelewan Wakristo nao hvo hvo hawaelewan kimaro kasimamishwa ... hz nyakati tulizo nazo hz tuombe Mungu sana
@ramadhanibundala580
@ramadhanibundala580 Жыл бұрын
Alhad sio mwislam kafili alieiva na hataki kukosolewa
@mustafapandu5189
@mustafapandu5189 Жыл бұрын
mna matatizo sana nyote hamueleweki nyote mumekuwa masheikh dili kila mmoja anatetea unafiki wake kwa vikundi vyake
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 Жыл бұрын
Ila musa salim umezid Sisi waislam tulikuwa tunachukizwa namambo yako mpaka tulijua labda Umeungana na wakiristo mara kwenye mwezi hata kama umeandama unawafuraisha watu flani tu unatangaza siku utikayo Nimefurahi sana kuondolewa Nafasi yako Wallah.
@omaryiddi7454
@omaryiddi7454 Жыл бұрын
SWADAKTA SWADAKTA SHEIKH
@mussakamando2678
@mussakamando2678 Жыл бұрын
Huyu sheikh alikuwa anautia aibu sana Uislam duniani.
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Sh Mohd Iddi hapa upo sawa. Lakini kuwatetea MASHIA umeharibu sana
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Жыл бұрын
Ubinafsi tu ndio unaowasumbua kwani kutaja jina la Yesu kuna shida gani? Mbona michango ya watu wa hao wa dini nyingine mnaipokea na misikiti wanawajengea na mnaswali sasa tabu iko wapi jamani Afrika hii hatuna dini hivi ni vitu vya kuletewa tu visitutenganishe .
@sama-_8368
@sama-_8368 Жыл бұрын
HUJUI
@swabahasaidi8590
@swabahasaidi8590 Жыл бұрын
Asalamu Alekum Shekh lakini Nikitambo anaonesha kwa Upande wa Mashia iko wazi takumbele shekh
@muhibbualii4580
@muhibbualii4580 Жыл бұрын
Mnapenda uchonganishi nyinyi wabongo kwenye channel zenyu,haya mambo yalikwisha zamani.
@JabirJuma
@JabirJuma Жыл бұрын
Sheikh kakosea Sana anauchezea uisilam
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Pamoja na kwamba Sheikh Mohammed Idi ni mtu wa hovyo lakini hapa yupo sahihi sana tena sana.
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 Жыл бұрын
Uso wake waonyesha majini makali mno🤣
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 Жыл бұрын
Wewe Eliza ni kaafir Allah akuongoze kuijua haki na kuufuata uislamu
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
@@hassanmfaume4522 kaka maneno ya kumkaribisha mtu kwenye Uislam yanatakiwa yawe laini.
@nassibdoma5408
@nassibdoma5408 Жыл бұрын
Alihadi ni shekhe wamchongo anapenda sifa nawatu wa siasa
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 Жыл бұрын
kwanza unamhneno machafu kupitiliza Unatukana ma sheykh wenzako huna lolote tulikuchoka wallah kama Allah katuskia Tunavo lalamika .
@isaacvtv547
@isaacvtv547 Жыл бұрын
Ninachompendea Mungu sote tutakufa. Na mbere ndipo tutajua ila hapa duniani.
@omarikibao9427
@omarikibao9427 Жыл бұрын
Hii ndio Dunia na waja Wake Mimi nashauri Tusameheane tu
@jumbemkilla9556
@jumbemkilla9556 Жыл бұрын
Sheikh Alhadi badala ya kujibu hoja yeye anamshambulia Sheikh Idd Mohamed Idd naona bado anazidi kuchafua tu. Suala sio kumshambulia suala ni kujibu HOJA.
@Grand_Ayatollah_Hussein_Parmar
@Grand_Ayatollah_Hussein_Parmar Жыл бұрын
Sheikh Alhadi Musa had argument with Sheikh Mohammed Iddy, and they refuted each other in separate media and not being together and Sheikh Alhadi Musa called Sheikh Mohammed Iddy a hypocrite and a person of bringing conflict, but all are Shafi Sunni Muslims but they differed in views, and all are hired by the Government in the preachers in the Bakwata the preachers appointed by the Government, but they did not hit each other as Nigerians or South Africans or others or Pakistanis or Indians stabbing each other, but then they reconciled but even if they did not still they can meet each other and greet each other.
@abdulqadirjuma7495
@abdulqadirjuma7495 Жыл бұрын
Nabila kuanfalia au kusubilia ametenguliwa au ametolewa ktk wadhifa alionao ndio kumkosowa mtu.anatakiwa kukosolewa pindi tu anapokosea.
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 Жыл бұрын
KIONGOZI KUTUKANWA SIAIBU ,BALI KIONGOZI KURUDISHA MATUSI NI KOSA KUBWA SAAANA NA NI AIBU KUBWA KABISA, KIONGOZI NI WA WOTE WAZURI NA WABAYA LAZIMA AWE MSTAHAMILIVU SANA.
@abrahamanalliy2115
@abrahamanalliy2115 Жыл бұрын
MFITI UMEFANYA JAMBO KUBWA SANAA KUTOLEA MZIGO HUO. ALISHALEWA MADARAKA AKAACHA DINI
@fatumamisinga6211
@fatumamisinga6211 Жыл бұрын
Mbona umetetea mashiha
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 Жыл бұрын
Uwiiiiiiiiiiii kimeumana
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Жыл бұрын
Huyu Sheikh akiritadi siwezi kushanga maana naona nyenendo zake zina hasira Ya kuondolewa ktk cheo. Ila kwa kweli japo sina elimu kubwa ila hatuna utamaduni wakutumia duwa kwa jina la kiumbe yoyote zaidi Ya Allah.
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Жыл бұрын
Kama Yesu ni kiumbe,Kwanini mpaka Leo hajafa yupo hai???
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Жыл бұрын
@@davidmnyela2459 Kwani wapi umesikiya nikisema ni mnyama?
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Жыл бұрын
@@sonnyr1899 kwani mnyama si kiumbe???
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Жыл бұрын
@@davidmnyela2459 Wote sisi ni viumbe wake Mola, binaadam, minyama, miti, mbingu na ardhi, mabahari na maziwa vyote vilivyomo duniani ni viumbe vya Mungu kwani wewe unasemaje? Minyama imeumbwa na nani?
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Жыл бұрын
@@sonnyr1899 Kama Yesu ni kiumbe kwanini alikuwepo kabla ya Muhammad kuwepo na bado yupo mpaka Leo huko mbinguni??? Na manabii wote kabla ya mohammad walishakufa,kwanini Yesu yupo hai mpaka Leo???
@anawa4326
@anawa4326 Жыл бұрын
Really sad indeed 😢😢😢
@soloboysolo8872
@soloboysolo8872 Жыл бұрын
Watanzania washamba sana
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Жыл бұрын
Waislamu wanaogopa sana jina la Yesu na hapo bado qiyama hajarudi kuhukumu ulimwengu
@allycomm1553
@allycomm1553 Жыл бұрын
ACHA ukafir ww kipind bado unaneema ya uhai
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Жыл бұрын
@@allycomm1553 kafiri(mpingaji)ni mimi au wewe ambaye hutaki kutumia jina la Yesu???
@allycomm1553
@allycomm1553 Жыл бұрын
@@davidmnyela2459 Utakuja kuelew sku ukifa mm sina meng
@allycomm1553
@allycomm1553 Жыл бұрын
Kw sbb anaemuongoz mja ktk njia yahaqi n ALLAH pekee
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Жыл бұрын
@@allycomm1553 ukishakufa na lako halipo Hesabu ni hapa hapa duniani ili uijue njia ya Mungu muumbaji,nini maana ya jina YESU??? Na nini maana ya jina ALLAH???
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
hii ni.ya zamani tu msimlaumu shekh Muhammad, huyu mwenye media ndio.ameamua kuiweka tena ni.ya zamani tangu.alhad hajatumbuliwa
@salehmkandala1170
@salehmkandala1170 Жыл бұрын
Unatakiwa kujibu hoja nasiyo kumshambulia mtoa hoja hii haipendezi
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Жыл бұрын
Muacheniiii shekh Musa,hanaga ubaguxi wa dini.Wivuuuu
@charlesmbaga6115
@charlesmbaga6115 Жыл бұрын
JE kama angesema Kwa jina la Isla jee ingeswihi
@sama-_8368
@sama-_8368 Жыл бұрын
Haiswii pia.
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 Жыл бұрын
Anza kila kitu kwa jina la MUNGU NA SIO KWAJINA MWINGINE, ukisoma biblia inasema Mvbariki vitu kwa jina la BWANA.
@ameokichaka9456
@ameokichaka9456 Жыл бұрын
Duuu
@mwanaishakatuli5707
@mwanaishakatuli5707 Жыл бұрын
Alafu hajibu hoja sasa njaa ataijua
@saidishalako
@saidishalako Жыл бұрын
Abuu Idd vs Al Hadi nani zaidi kiufahamu(SI kielmu). Naona shida pande zote Mimi ila Abuu Idd Kiitakadi ana afadhali.
@yaizfamily6615
@yaizfamily6615 Жыл бұрын
Hii ni clip ya zamani chunguzeni kabla ya kuanza kutukana watu wenye elimu.
@nero7941
@nero7941 Жыл бұрын
WAISLAM ACHENI UNAFIKI ULITAKIWA USEME SIKUILEILE KUWA AMEKOSEA huo ni unafiki
@sharifuhusseinally542
@sharifuhusseinally542 10 ай бұрын
Yani umemuomba mungu akufanyie dahili ulimi wako uweze kuongea maneno fasaha yenye kueleweka je maneno yenyewe ndo hayo?
@seiflugendo7141
@seiflugendo7141 Жыл бұрын
Media acheni unafiki nyie ndio wafitinishaji wa dini namba moja
@sulyshaaban9392
@sulyshaaban9392 Жыл бұрын
kajamaa kameanza kero muda mrefu..elimu
@hidayahassan7473
@hidayahassan7473 Жыл бұрын
Kujisifu kujikweza sio sifa ya muisilam zaidi kiomgozi!!!!
@hidayahassan7473
@hidayahassan7473 Жыл бұрын
Wote mna shiida na ufahari jitathmini. Mnaaibisha uisilam viongozi wenye elimu ya kutosha lakini mnachezea dini. Jiulizeni kuwa muongozo wa mtume wetu ndivyo ulivyo??
@mwanaishakatuli5707
@mwanaishakatuli5707 Жыл бұрын
Hii cilp ya mwaka juzi ila imewekwa tena ili huyu shekhe alhadi ajitathmin kuwa yeye alijiona amefika
@saidsalim4524
@saidsalim4524 Жыл бұрын
Kibiri kimekuponza tafuta buyu ukunee ulijisahau Sanaa ukaniona wewe Kama mungu mtu haya Sasa ushatumbukiwa Dr mwaka hachezewi mbwa wewee maneno yavusara hunaaa
@ayabukingshashu8018
@ayabukingshashu8018 Жыл бұрын
Kweli hafai huyoo
@HamadHamduni
@HamadHamduni 26 күн бұрын
Huyo alihadi ni kafiri
@mohamedsaid1804
@mohamedsaid1804 Жыл бұрын
Kimsingi mashekhe wengi wana maradhi ya BT
@zuwenahumoudy3198
@zuwenahumoudy3198 Жыл бұрын
Jamani basi Tena jamani kwani nyie hamna makosa jamani mbona hivyo
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 Жыл бұрын
mbona apo mwanzo ulishindwa kumkosoa umesbr alipofukuzwa ndo unamrudi.
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Жыл бұрын
Alimkosoa miaka mingi,wakagombana na wakapatanishwa..Hii sio ya leo
@djaffarsabiti4925
@djaffarsabiti4925 Жыл бұрын
Amelifanya hili tangu week hio hio. Labda wewe haukufuata tu.
@alhamdulillahalhamdulillah7529
@alhamdulillahalhamdulillah7529 Жыл бұрын
Yalikwisha pita kitambo ni. Biashara tu kupitia mitandao yetu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Nawe pia unayako hatunajinsitu hatukuitaji. Niwote bakwata hatuwataki mnachaguanatu wenyewekwa wenyewe
@mbut3437
@mbut3437 Жыл бұрын
Acha zako wewe
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 Жыл бұрын
Sheikh Mohammed Idd. Umesema ukweli sasa viongozi wa Uislam nchini upo? Je unafanya nini? Je muda wote mtu anafanya kazi anakosea WANAMUOGOPA HUYO
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Acha ujinga viongozi wetu wadini hatutaki kuwakashfu hatakama wanamapungufu hayo yalishapita wewe afrika shwahili acha uchonganishi sisi tunajua aliteleza
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Жыл бұрын
Tulieni nyie wafata upepo dawa iwaingie.
@fatumamisinga6211
@fatumamisinga6211 Жыл бұрын
Hueleweki nuzi tu umemtetea leo unamruka 🤣
@mariamhamza3673
@mariamhamza3673 Жыл бұрын
Wacha ubishi kijana
@alphansamwi4158
@alphansamwi4158 Жыл бұрын
Walozungumza na wewe kwa adabu ni wanafiki ka wewe tu huna lolote wewe pia dar sio yako chunga ulimi ww,
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Жыл бұрын
Mbona hukusena wakati yupo madarakani Leo hayupo ndio unayona unafiki .huo
@nevermind4789
@nevermind4789 Жыл бұрын
Hii ni video ya zamani Alhad akiwa madarakan
@ayoubbilal3319
@ayoubbilal3319 Жыл бұрын
Mtalaka wa bakwata anatoa vijembe tu hajibu hoja 😆😆
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Makusudio yenu wewe na nani?
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Makusudio yenu wewe na nani. Kuomba kwa jina la yesu??Usituchefue
@nully123
@nully123 Жыл бұрын
Sheikh al had Mussa tokea nilivooba alivonsema Buu idd namna hii alishuka daraja kwangu..Hata kama amekukosea mtu kidini sidhani kama unaambiwa umchambe mtu hivi..wewe ylikuwa sheikh wa mkoa kama kuonge ujuwe vha kuongea alikuwa anaongea kama mvuta bangi maneno hayafai kama sheikh wa mkoa kuongea yaani alikuwa mtu hajiheshimu hana hekma kabisa...yeye anahangaika kujibu kusuta watu utasema ana undugu na khadija kopa...Kama abu Idd kakosea basi yeye kama sheikh wa mkoa angetumia hikma na changua maneno ya kuongea sio hivii mdomo umepinda hujakoma wewe hasidi basi hii taarab
@hiarijuma2684
@hiarijuma2684 Жыл бұрын
Mliwahi kukwazana MSAMEHE
@hiarijuma2684
@hiarijuma2684 Жыл бұрын
Mnatuchanganya.MSAHAFU MNAUFUATA au mnajumuia nyengi ne ?!!!!Bora mnyamaze
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 Жыл бұрын
Nimekaona kachawa kake kapo nyuma,kumbe kameanza muda mrefu.
@abdulqadirjuma7495
@abdulqadirjuma7495 Жыл бұрын
Wewe ndio wa kwanza shekher kutokuwa na busara kwanini yote haya hukuyasema wakati shekher yupo madarakani?mpaka unasubilia mpaka mtu atumbuliwe au atolewe madarakani?huoni kama wewe ni mpuuzi wa kwanza shekher wangu?
@yaizfamily6615
@yaizfamily6615 Жыл бұрын
Hii ni clip ya zamani sio ya sasa muislam mwenzangu.
@minnahhers7437
@minnahhers7437 Жыл бұрын
Hii ya zamani jamani
@minnahhers7437
@minnahhers7437 Жыл бұрын
Ni ya kitambo hii si ya sasa enyi waja wa Allaah
@hiarijuma2684
@hiarijuma2684 Жыл бұрын
Hakuna mkamilifu mbona wengine huwasemi ?
@hiarijuma2684
@hiarijuma2684 Жыл бұрын
HII DINI HAIKOPWI KARIBUNI MTAFAHAM subirieni !!!!
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 36 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 31 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 34 МЛН
MISIMAMO YA MASHEIKH  DHIDI YA USHIA KUNAKO MANENO YA SHEIKH MZIWANDA
28:05
Kisa cha Habari ya Panya na Ngamia - Sheikh Walid Alhad
49:56
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
Kalamutz
Рет қаралды 88 М.