Ni mchambuzi wa soka Zuberi akitoa mtazamo wake kuhusu vuguvugu linaloendelea katika klabu ya Simba
Пікірлер: 9
@costantinestephen2594Ай бұрын
Tabu iko pale pale
@peterchande957Ай бұрын
Umeongea vzr sana
@SalmaChamy-tg4boАй бұрын
Kwa ubingwa simba wasahau jwa maka hii ijayo nadhani hii club ingefutwa tu basi
@user-hu4el2rx2uАй бұрын
Mo ndio sababu
@silvanuskisinza4303Ай бұрын
Ili tutafute suluhu lazima tutofautiane, baadae tutapata muafaka. Hata wakibaki hawa viongozi hawezi kuwa naufanisi wa mafanikio. Wengi ni watu wenye masilahi binafsi.
@peterchande957Ай бұрын
Shida kubwa Mo na mfumo mbovu pia katiba mbovu
@jonamnyone8014Ай бұрын
Idara ya ufundi Ina matatizo ndio au hapana. Miaka mitano iliyopita Simba ilikuwa Bora sana tatizo lilianza pale wachezaji walipoondoka either Kwa viwango kushuka au kuchukuliwa na timu kubwa. Simba ilishindwa kupata replacement Bora au sawa na wale walipoondoka. Najiuliza idara ya ufundi Ile iliyokuwapo miaka mitano iliyopita Iko wapi? Kinachoshangaza Simba na Yanga zinashiriki kwenye michezo ya CAF wachezaji bora mbalimbali wa timu pinzani wamekuja Benjamin Mkapa tumewaona, je iweje mpaka Sasa Simba haijaainisha wachezaji wa kusajili Toka timu hizo za nje zilizocheza na Simba na Yanga?