SHILOLE AFUNGUKA KUMLETEA DIAMOND MCHUMBA ALINISUMBUA SANA ZAWADI HIZI ZA MAMILIONI KAMLETEA DIAMOND
Пікірлер: 93
@Michael-ig6oi Жыл бұрын
Shishi usije Ludia Taifa letu lina mwangaliya msani wetu sikumpeleka kienyeji ungewasiliana na Nasibu, muombe msamaha brother wa taifa
@FatmaAli-oy7yu3 жыл бұрын
Mbona nasib km hajafurahi
@user-he9rs9yq8i6 ай бұрын
Ameshaonwa n wengi mno😅
@azizasaid52553 жыл бұрын
Nakupenda sana shishi. Nakiona kama mwanangu.
@azizambaira25543 жыл бұрын
🤔🤔🤔
@mwansaflorence68623 жыл бұрын
Huyu nae nikama hazitoshi, hivi unaweza kupeleka mtu kumuona huyo mtu mkubwa bila hata appointment, unamwamini vipi kama katumwa ? Uhuru wake na Diamond anatumia vibaya huyu.
@zaggyization3 жыл бұрын
ndio tatizo la kuchukuliana poa,inabidi amwombe msamaha,amenisikitisha sana
@hemedykiboko26503 жыл бұрын
Fact
@texastexas25453 жыл бұрын
Hili demu huwa n lijinga Sana n mlopokaj na anapenda sifa za kijinga
@leonardpeter63853 жыл бұрын
Huna Akili Ulitaka kumkuwadia
@noelamadadi57313 жыл бұрын
Shilole hapo umefeli haki, ukamwangusha chibu, kiufupi namsapoti mama Diamond 💯💯💯
@naamohamed10423 жыл бұрын
Shilole kujitoa ufahamu tu unaweza
@lindahjoseph83603 жыл бұрын
Yaan kwa hili namuunga mkono mama mond kwa %110 thoo nampenda shishi
@kassimrajabu78053 жыл бұрын
Angalia jicho la babu tale😂😂😂😂😂
@sheilalolila22333 жыл бұрын
Dunia ina mambo mungu tusaidie
@PeterWafula-vr1gx3 ай бұрын
Diamond platinumz aifai amwowe zuchu malisafi apo
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
Dada ongea tu Lugha yk nzuri iliyojulikana na kueleweka,si kuwa lazima kugha za wenzetu,Watangazaji 😢zawadi haijaelezwa umbeya gani iutaka UTANGAZE ameletewa zwd!
@ruttykibonge40933 жыл бұрын
Ata daimond happy ajapenda kabisa usiamini mtuu aya olewako hizo pafyumu ziwe sumu zimuafeti daimond ata babutale kashangaa sanaaaa uoniaibu leo nimekushusha kweliii
@aishasalum46013 жыл бұрын
Aibu zingine hizi🤣🤣🤣
@athumanmarekano24543 жыл бұрын
Uyo mdada shilole ni malaya ndio maana na chamoto amekiona
@florahjeremiah75963 жыл бұрын
Vizur mwaya
@halimanamrihaji40623 жыл бұрын
Njoooo nkustir shishi ovo
@Sppah6973 жыл бұрын
Queen Darking kapowaaa! Kapwaayaaa! Yani Zuchu anaonekana ana bafasi kuliko Queen Darling!
@aishaomar18453 жыл бұрын
Hahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 we Kenyanys are having fun 😂😅😅😅😅we don't CARE who Diamond marries that's he choice and Allah ❤️❤️❤️❤️❤️bit we wish him the best
@keenanmiles8433 жыл бұрын
i know Im pretty off topic but does anybody know of a good place to watch new tv shows online?
@RajatSharma-uq7pz3 жыл бұрын
Shishi usirudie tena kitendo ulicho fanya utajiharibia mpaka kazi zako
@ruttykibonge40933 жыл бұрын
Shilole utumie hakili haya hizo pafyumu zikiwa nisumu zikamuasili daimond naunajua kabisa daimond wanawake wengi kawaacha aya jekama wamemtuma ebu tumieni akili jamaniiii
@emmakipalula90973 жыл бұрын
Duuuu sijui Ila naona aibu
@franklinmganga7363 жыл бұрын
hana akili huyu demu utakuja kumpoteza mond wetu
@jackilinemwanja65963 жыл бұрын
Hahahahahaaaaa yaaaniiiii shiiishiiiiiiiiii kama chiiiziii vileeee,ndo maana uchebee anakubutuaa bwegee wewe,hujuii mondi kama mume wa zarii,wengn hao ni wapita njia,wew shishi food Gani unamletea mond muuuuzoooo huoooo,zari ndo chakula bora kwa diamond.
@zuweinaalhabsya87733 жыл бұрын
Hhhhh ila WCB wamekukomesha kweli umezidi kujipendekeza Sana duu nimefurahi Sana Adabu yako. Hapo ulifikiri unakaidisha wasanii wengi. Duu Maskin vizuri Sana wamekukomesha
@taifafitina65473 жыл бұрын
Mond anaeehimu kila mtu nngekua Mimi kode ningevunga
@aishaaboud44063 жыл бұрын
Hehehe mama D akutafuta utakoma Shishi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chantalmulasi56633 жыл бұрын
Mnafki sana wewe shishi siuna jifanya una mpenda zari?
@misanamohamedi84383 жыл бұрын
Shishi mwehu,eti paaariiss msuuuu
@josephkomba643 жыл бұрын
Shishi ww ni balaaaa nakukubali xana unajiamini yani
@joevang46853 жыл бұрын
jamani shishi anajua k
@littlecute99203 жыл бұрын
Eti savahaa shishi bwana😂
@yasintajames15243 жыл бұрын
Yani watu wanatok Paris uku wengn tupo tz tunampendaa kinyamaa💋💋
@lucyjoseph51783 жыл бұрын
Hahahahaha mtokee sasa
@faustermathiasfaustet53623 жыл бұрын
Mmmh! Makubwa aibu zingine Hahahaaaaa!!
@ummymsangi12043 жыл бұрын
Hahaaa nimecheka jamn wadada tunatabu sie
@zumamarande32423 жыл бұрын
Kiki hizo mlikuwa kimya sana tupo na Tembo kajara
@stivepeter80543 жыл бұрын
Hivi vijamaa vinamtengaga lavalava
@aaa64sa133 жыл бұрын
Lava ako busy maana na yeye anajambo lake kubwa week ijayo. Sasa kumuona sio rahisi hivyo nadhani ni 27/3/21. Wcb Nlm 4life.
@zamdachiguru20543 жыл бұрын
Pafyum zina mambo
@faroukrashid55073 жыл бұрын
Zawadi inatakiwa hazarani? Watangazaji mtakua wa Songwe.
@jameskahasa22473 жыл бұрын
Which which which
@jumacharles28703 жыл бұрын
😂
@albertbunyinyiga75813 жыл бұрын
Dishi ili
@yousirsports74823 жыл бұрын
isiwe kaleta corona we jichanganye
@wandishaomani83923 жыл бұрын
Mbona sasa haja pokea zawadi yake jamani sio poa ana dharau sana diamond.ila msimraum sana shishi mashabiki ndivyo tulivyo sio kwa huyu dada tu kutamani kuonana na mwanamzi.kila mtu huwa anatamani kuonana na msaini anae mpenda hivyo tuacheni unafiki wa mitandaoni.ingekuwa kweli huyu dada anamtaka kimapezi domo.shishi anayo namba ya diamond ange mchana tu.shishi sio taila kama mnovyo zani😏😏👌
@pheobemaina83433 жыл бұрын
Aiiiii mwambie a kwenda na hizo perfumes zake uwezi jua ni nini anataka
@suma6433 жыл бұрын
Mnacomplain nn kipi cha ajabu hapo alikuwa anapendwa michael jakson hadi na wachumba za watu sembuse huyu aaah wa Tz sisi kaaah
@yakaramayaka14563 жыл бұрын
Shuleeeee
@jumarocky95443 жыл бұрын
acha ukuwadi
@123228793 жыл бұрын
Mlinzi anapokea zawadi anatembea nayo,kama ni bomu je?
Jiga ww uwezi muamini mtu kwa muda mfupi ata umjuwi vizuli namuuga mkono mama dagote
@fantamohamedi85643 жыл бұрын
Hizo pafyum asizipake alikwambia diamond anataka mke
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Shilole ; Leo umeonyesha uwezo wako FINYU wa kupambanua jambo. USIRUDIE
@maureenmwende35153 жыл бұрын
Jamani mbona wameepa huyo dada
@bestinarajabu343 жыл бұрын
6
@jeyshillyjack44703 жыл бұрын
Dar,mbona mnawaangalia dada Kwa dharau?
@josephatjordan55603 жыл бұрын
Which which wchich Gift😂😂😂😂
@safariamani5543 жыл бұрын
😂😂😂
@andulilemwakihabha20483 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nyamburalemis73413 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@florencerose8593 жыл бұрын
🇹🇿 umbeya muko juu
@myfetty19603 жыл бұрын
Chizi ww mxuyuuu umeuona yule muza maandazi kama ww
@Kwazulu13 жыл бұрын
Shishi mnafiki. Day Light Robbery. Zarina anakuamini alafu unamugeuka??. Shame on you
@mauwabijoux69663 жыл бұрын
Sasa makasiriko ya nini kwani zari si ana king bae wake hamjampokea pole ama nivile munajua moyo wa zee upo kwa dai
@Kwazulu13 жыл бұрын
@@mauwabijoux6966 hatakama ivo Mauwa lakini Shishi ni ndumila kuwili badala ya kumushauri Diamond a settle na mwanamke mmoja yeye anazidi kumuletea wanawake wengine na yeye ni mwanamuke , Uchebe angetafutiwa mwanamuke na Zarina angefurahi? NDO maana Uchebe alimpigwa.
@jcrackcrack16693 жыл бұрын
Zari ame move on
@mauwabijoux69663 жыл бұрын
@@Kwazulu1 si rahisi ki binadam ila dai sio mutu waivo angekua ni mwenye nia ya kutaka kua na mutu kwani wanawake wangapi wamempita mikonono utasema wote wabaya ndio ivo dada dai sio muowaji
@Kwazulu13 жыл бұрын
@@mauwabijoux6966 kweli nakubaliana na wewe Mauwa. Ulishaona wapi Mauwa mpaka mama yake amuchagulie . Akatubu ili aowe.
@ummiissaabdulissaabdul81173 жыл бұрын
Shilole mpuzi sana wataka sifa za kijinga yani mtu atoke uko akwambie yuataka kumuona mtu na umchukue umpeleke subhanallah je kama amekuja na nia mbaya
@lucyjoseph51783 жыл бұрын
Ety ni muungwana yaan sijui lini wadada tutabadilika kwahyo mwanaume akiwa star fresh tu mh aibuuuu
@pettyjongera12953 жыл бұрын
Hii aibu kubwa jmn,,,,Mondi mwenyewe kashangaa wala hajawaelewa vzr hata zawadi hajapokea