MashaaLLAAH...Huyu bwana mkubwa sie ndy njia yetu kwenda kwa ALLAAH. ALLAAH akuhifadhi Mzee wetu.
@AllyNgale9 ай бұрын
Jazaka llahu khayran huku nilipo Mawahabi Sasahivi vilevindowano vyao vilivyomo kwenye myoyo yao vimeondoka Kwasababu ya Mawaidha na Darsa zako Sasahivi wameyakubali Maulidi nawanayasoma Maulidi Nawao wamechukizwa saana na kitendo cha Bacho Cha kutupa Barzanji
@hajikatanje59618 ай бұрын
Bacho yupo sahihi ktk mafundisho ya dini ya kiislamu hakuna sikuku ya maulidi nakama ulimsikiza vizuri aliyasoma na yaliomo katika hicho kitabu ni ya uzushi ndio maana hadi leo hayupo aliokuja kuthibitisha yale yaliopo ktkt kitabu cha maulidi Mashekh wa kibidaa wote hadi sasa wameshindwa kuthibitisha yapo au hayapo nakama yapo mtume au maswahaba au wale Mashekh wa4 wameyasimulia ktk vitabu gani kwa hiyo maulidi hadi leo yamesha julikana kuwa ni uzushi
@SwalehAbdallah-vq4ny9 ай бұрын
Mashaallah unawafundisha umma kwa hekma na kwa upole na Allah azidi kukufungulia na huyo hasidi Allah atamshinda
@salimmbarouk59469 ай бұрын
MashaaLLAAH hii ndo elimu inavofundishwa kwa hoja na elimu mungu amzidishie
@ustadhisampakatema38129 ай бұрын
Maashaallah... Allah akujaalie umri mrefu na afya njema sheikh Samiir
Majibu ya kielimu hayo kwa hicho kilicho zungumzwa na huyo shekh
@abbaspaziaog21887 ай бұрын
@@mdoekibai5063 msaambaa anaeshekherekea maulid hawezi kua salama hata kidogo lazma awe wazimu
@uthaymaanashshiraaziyy24139 ай бұрын
Maa Shaa Allah Tupe raha, Tupe ilmu,
@mohammedalghannami31509 ай бұрын
Umefahamika sana Sheikh Samir
@Nily-kz3db9 ай бұрын
MashaAllah,Allah Azd kukuongoza uzd kutuelmshaa, Hao wanopotosha Watajua Wenyewe Nafs Zao ,Kumcfu Mtume na Kumswalia Mtume N Muhmu Na Allah kasema Anae Mswalia Mtume Atapata Ujra uliobora ,Tumpende Allah Iksha Anafataa Mtume Tumpende na Tufate Matendo Yke Yote, Mtume Muhammad Amefutiwa Mazmb Yke Yote , MashaAllah Kw Nn Tucmfate Mtume N Neema Tuloletewa Na Allah Kwn N Umma Bora Huu🙏
@AliSalim-yu4mo7 ай бұрын
Inaonesha unafuata ushabiki WA watu Kwa faida zao!hakuna Muislamu hata mmoja anayekataa kimswalia Mtume usipotoshe mada hii! Kwa ushabiki!hapa tatizo ni vipi Mtume anaswaliwa!ivi haiwatoshi alivyotufundisha Allah nanna ya kumsifia Mtume?au hamuisimi Qur aan na tafsiri yake?
@AliSalim-yu4mo7 ай бұрын
Hapa ni MAF huum Tu yamewapitia upande labda Kwa pilau na halua za bure nadhani ni hicho Tu kinachowasumbuwa!
@usseneandurabe97339 ай бұрын
Al majaazi na nduguyake al munkar wamesababisha matatizo makubua sana wasingemchokoza mtoto wa bachu manake watu wanahama maulidi
@salimasalim4059 ай бұрын
Muogope Mola wako ww usiseme uongo kama hula kusema bora kukaa kimya
@ruzatuntajadin12749 ай бұрын
Sijaona watu wengi Mawlidini kama mwaka huu na Zefee ndefu kama Mwaka huu shukran shekh Bachu
@SaidAbdallah-sm1ft9 ай бұрын
Acheni ujinga fuwateni mafunzo ya MTUME sio uzushi
@fadhilimusa97329 ай бұрын
Wahabi watu wamatusi kizazi kilicholaaniwa kutoka najidi
@SaidAbdallah-sm1ft9 ай бұрын
@@fadhilimusa9732 neno fedhuli sio tu bas kama sio tusi tufanye babako ni fedhuli je unakubali neno Hilo asifie babako
@hajiomari81989 ай бұрын
Maa Shaa Allah
@makinibwika14279 ай бұрын
Toeni dalili wapi mtume kasoma Maulidi na wapi kasema watu wasome Maulidi. Mukinielezatu na dalili ama Aya ama hadidhi mm kesho nasoma Maulidi na twari litapigwa mpaka zipasuke
@abubakarymaulidy56818 ай бұрын
Na wewe toa dalili wapi mtume aliamrisha kukusanya qur ani.. ??
😢sheikh ujazungumza manemo ya faida wewe nikashfa KWA ndungu bachu lakini sheikh bachu hanatunyesha URONGO wa kitabu Cha barzanji kinacho somwa maulidin hiyo ndiyo HAKI tumehiyona
@omaraliomar16719 ай бұрын
Yaani ww na Bachu nyote ni wapuuzi.
@user-bd7xm6sm3o9 ай бұрын
Kiswahili tu kimekushinda kuandika kwa ufasaha wake .....haya zungumza wewe 😮
@ahmadmadaai13579 ай бұрын
Eelimu. Muhiimu wach ujing ni fedhulli kwll sabb anapotosha umma imekuw haatunn raha kw uupuuuzi. Wake elimu hana htt kuaandik hajui aanatia aibu
@tollyngoloko9 ай бұрын
Kama badoo hujaelewa hutoo elewa tena kabisa
@HanifaOman-oo4pl9 ай бұрын
Subuhanallah. Eti fezuri. Shehewewe lntakillah
@AndulHida-hs5py9 ай бұрын
Jazzak Allah kheri
@davidruhasha96709 ай бұрын
Mtoto wa bachu anawasumbuwa sana elimu hamna nyinyi mmeshikilia mila za babu zenu dini ya mungu inajitenga kaabisa na maulidi ndio mana ushahidi wenu wakuonganisha onganisha ili mpate ushahidi 😅😅😅
@jakuabdull349 ай бұрын
Busara hekma ni kitu cha msingi dini haiendeshwi kwa ushabiki mwambieni na huyo bachu msitukorege kama muko kimaslahi wekeni sawa
@harithally22649 ай бұрын
Mwenye elmu hana tabia kama yako
@abbaspaziaog21889 ай бұрын
Mukifika kwenye niqaashi Uhl bidaah hamna hoja
@zainabusadi64699 ай бұрын
Sasa kaomba msamaha wa nini kama alikuwa sahihi
@mikidadivindi43649 ай бұрын
Wewe mjinga kweli yani unaweza kumdhihirishia asie amini kuwa kuna mungu bila kuunganisha ushahidi
@kivatirokitojo6579 ай бұрын
Chaka la simba languruma maashallah Allah ampe shekh letu umri
@HassanSalum-pg9yu9 ай бұрын
nyinyi hamjielewi ndio tatizo maaana nyinyi mna njaaa sana na kupenda pesa sisi mtume tuna mfahamu sana ila hatupendi shirki zenu😊
@user-fy4op1sw2f9 ай бұрын
Rudi darasani
@salimasalim4059 ай бұрын
Hamna mnachokijua zaidi ya kukata kanzu hem tafuteni elimu kwanza ndio mvae kanzu fupi😂😂😂😂😂
Mumeelewa jamani.watu wasome kwanza ndio wabishane,Sio kubwabwaja tu na kupotasha watu.Allah akuhifadhi sheikh wetu na akuzidishie kila la kheri.
@SaidAbdallah-sm1ft9 ай бұрын
Sasa hapo ndo kazungumza Nini huyo jaahil wa twariqa
@jakuabdull349 ай бұрын
Kuwana heshma yawezekana jahil mwenyewe au hujui
@letuslearn75489 ай бұрын
اللهم يا لطيف صل دايما ابدا على محمد وعلى آل محمد كما صليتم علي ابراهيم و علي ال ابراهيم و بارك على محمد وعلى آل محمد كما باركت علي ابراهيم و علي آل ابراهيم انك حميد مجيد عدد كمال الله و كما يليق بكماله من يوم خلقت الدنيا الي يوم التلاق
@zanzibarfin57899 ай бұрын
Safi sana shehe wangu ila nashauri imefikia wakati sasa watoto wetu wapewe elimu ya maarifa ya maulidi pamoja na tafsiri ya maulidi.maana sasa hawa mabachu watatuharibia watoto wetu. Mii naomba watoto wafundishwe tafsiri ya maulidi.
@sahraqaalib9029 ай бұрын
Ndugu yangu Tafsiri ipi unayoitaka? Kama Quran na Sunnah na maswaha waliotangulia ambao wao wanampenda na kumfuata Mtume wetu kipenzi chetu Mtume Muhammad swalaLlaahu Alayhi wasallaam hawakufanya kwa nini na wewe na familia yako mfike huko tafuta Madaris ambayo yanafuata Quran +Sunnah ili siku ya akhera uwe salama ndugu yangu kwani kaburini utaenda peke yako hakuna mtu atakufuata ni hilo tu nakupa nasiha
@HanifaOman-oo4pl9 ай бұрын
@@sahraqaalib902maashaallah. Umemwambiakweri. Kwani wengiwao ushabikitu hawajuilolote Allah atuongoze ss na familiarizetu tuifate sauna na Quru,an
@abdilahihassan66039 ай бұрын
Mungu atupe ufahamu tujuee bidaa nizipi
@AliSalim-yu4mo9 ай бұрын
Wakiwapa watoto tafsiri ya Barzanji ndio utakuwa mwisho wa hayo Maulidi
@AliSalim-yu4mo9 ай бұрын
Jambo la ajabu Hawa watu wa Maulid wanayajali maandiko ya Barzanji kuliko hata Qur aan!maana Allah amesema ktk Qur AAN:HAKIKA HUYU MJUMBE WAKE KUWA NI KIGEZO CHEMA KWENU"sasa tuwaulize hawa Makhulaffi!Mtume (saw)alikuwa akisherehekea kuzaliwa kwake siku ya Jumatatu kila wiki Kwa kufunga na huu ni ujumbe tosha Kwa mwenye akili timamu:sasa hii ya mwezi 12 na mfunguo sita wameipata wapi?
@usseneandurabe97339 ай бұрын
Mi nazani fedhuli ni yule asiyetosheka na yale aliyeleta mtume
@HanifaOman-oo4pl9 ай бұрын
Sana
@Mariam99-ld4gw9 ай бұрын
Mashall ah ❤❤❤❤
@user-ws7fb8ph9q9 ай бұрын
Wazushi washirikina allah anawahona
@hafswanaaman29119 ай бұрын
A alkm shkrn Sana sheikh. mpe ukweli
@AbdillahHabibu-sx3mi9 ай бұрын
Masshaalla
@user-vb6vm6hc6g9 ай бұрын
Hivi aya matusi ndio sunna? Mfano mm ninaepiga maulidi nakosea ivi aya matusi ndio unanilingania nirudi kwenye mstari au?
@jakuabdull349 ай бұрын
We hata usivyorudi kila mmoja anailingania nafsi yake mm nawashangaa mnapata shida
@abdulykahera42739 ай бұрын
Acha kuwadanganya watu shekhe bachu yupo sahihi kama unajua kutetea ingia uwanjani
@hilalkhalfan14529 ай бұрын
Mikojo alotoka MAMBRUI haijamtosha?
@madrassatulihyaa-ilislaami29119 ай бұрын
Huyu ni Shkh mkubwa na hana wakati huo
@MtandaKibari-zm4bj9 ай бұрын
Mawahabi dini haifundishi kutukana matusi ndugu zangu سباب المسلم فسوق ndugu zangu tunakwenda wapi? Hivi hamjielewi? Subhanallah wallah wallah wallah wallah tumepotea sana
@husseinazizi12759 ай бұрын
قال الإمام آبو بكر الطرطوشيء رحمه الله مذهب الصوفية بطالة وجهالة وضلالة وما الإسلام إلا كتاب الله وسنة رسول الله صلى الله عليه وسلم
@mobilespecialschool42169 ай бұрын
Wakristo Christmas = waislam maulidi (mpya imeigwa) Wakristo gospal= waislam kaswida (mpya wameiga) Wakristo nyimbo kusindikiza jeneza= waislam takbira kusindikiza jeneza (mpya wameiga) Wakristo upako na manabii = waislam masharifu na dua za majini na nuksi( mpya wameiga) Hawa mashekhe hawa Allah atawalipa. Wallah mwanangu itabidi asome dini Asianguke kwa hawa wanaoita watu katika upotevu
@eddieeddie27559 ай бұрын
Umesema kweli kabisa, hawa watu wa maulidi ni kiburi tu lkn haki iko mbele ya macho yao.
@abdulgadiralahdal9019 ай бұрын
Mayahudi walifunga ashura na wewe unafunga.
@mobilespecialschool42169 ай бұрын
@@abdulgadiralahdal901 Mimi nafunga kwa sababu **mtume** alifunga sio kwa sababu mayahudi walifunga, rudi darasani kasome dini acha kuokota mambo, na mtume asingefunga ashura na mimi nisingefunga pia.
@eddieeddie27559 ай бұрын
@@abdulgadiralahdal901 😅😅😅 kweli maulidi yamewaharibu akili hawa watu, sasa mayahudi wakifunga ?? Ndio nini? Wao ndio walio anzisha? Hamna njia za kuitetea bidaa ya maulidi hata moja.
@abdallhabinmkasibayyat66579 ай бұрын
Kuna siku kuadhimisha sheikh wenu wahabiii ipo siku mnasherekea nyinyi ndio wakriso mnamtukuza mtu kama wakristo
@Safinatulshifaa9 ай бұрын
Msiba mkubwa Allah tuongeze
@MtandaKibari-zm4bj9 ай бұрын
Nilichokigundua hapa ni ushabiki mtupu kama wasimba na yanga
@mafiatv54799 ай бұрын
Wewe ndo wajua ushabiki wa yanga na simba, vila sisi twasema mambo ya dini
@user-xn3kz4mc4v9 ай бұрын
Ewe Alllah mpe umri wa wenye kheir
@AbdillahSOthman9 ай бұрын
Sasa kma ni sira ya Mtume basi mlitakiwa muwafundishe vijana madrasa huko sio kukusanyika siku ya Mwez wa mfungo sita mkasema mnasoma sira..
@hilalkhalfan14529 ай бұрын
Bila kuwafunza darsa wangejuaje kusoma tukikutana?
@Nily-kz3db9 ай бұрын
Unaweza ukafanya Ktu kiwe Cha Kher Hta kma Mtume Hakufanya , kna kua Chemaa kw Allah
@fatmasuleiman27108 ай бұрын
Hamumuezi yule kijana simba kasomaa ilmu pale kwao,Allah atuekee simba wetu bachuu
@abubakarymaulidy56818 ай бұрын
Wewe nawe akiki zako matope . mtu mwenye jicho moja mbele ya vipofu anaonekana mfalme wao
@abubakarymaulidy56818 ай бұрын
Bachu ana elimu gani
@mnolamanyendi49569 ай бұрын
Mtume hajafundisha mauridi njooni msome Saudi Arabia
@abuuwandi13549 ай бұрын
Mtume kwani alifanya mashindano y kuruan mbona mnahoji maulidi tuu je mashindano y kuruani nayo mtume kafanya kama hajafanya nao ni bidaaa
@saidalhinai11319 ай бұрын
Mauridi au maulidi saudia hakuna elimu kuna upotoshadi ea hata hata masheikh wengi wamefungwa na wengine wameuwawa
@muqadam-mk5st9 ай бұрын
Lete Dali watu wakosme saudia Aya Hadith
@mafiatv54799 ай бұрын
basi sote motoni, ikiwa wasubiri kila kitu akifanyacho mtume km sasa wewe wafanya mengi mtume hajayafanya, ila mmeona maulid tu?.... ila jiangieni, mawahabi, ahlu twarika wamesoma, nyie mmekarieishwa tu maulid bidaa, mwezi wa kimataifa, khitma haifai huyo sheikh abdul kadri kakake kishki, asema maulid hayana neno, na yeye kasoma wapi? na ni sheikh wa kiwahabi, huyu kasoma hajachapia
@taurehassan73999 ай бұрын
Wewe ulosoma saudia waambie waarabu wako hyaitwi maurid waambie wakasome au wakakusomeshe tena
@MwamvuaJafari-fq4ku9 ай бұрын
Apotatizo nielimu mtu yoyote anaepinga maulidi ajetumsomeshe ataelewa inshallah
@AminaAmina-pc5ke9 ай бұрын
😂
@aymanmangube40927 ай бұрын
sawa, nyie somesheni maulid na sisi tusomeshe Tawhiid halafu mwisho tutajua nani anahalalisha kuwaomba mait
@khamisali99079 ай бұрын
Wallahi nimefurahi sanaaaah kwakweli huyo mtoto wa kutia vibao
@SaidAbdallah-sm1ft9 ай бұрын
Subir kesho muvuliwe Tena box
@bwagizoselemani84349 ай бұрын
Kafundisha wap toen dalili bas mbn maneno tu
@abdurahimabdulkadir39269 ай бұрын
Watu Bado wako katika mabono asilimia 90% Tanga ilkua Majazi tukaseka Kenya waskilizaji watapata elimu nayo ikabakia Munkar sasa hivi watu wengi wako kwa mabano jee hadithi ikiwa Munkar yafaa kutumika ust said ilkua atueleze sababu yy anasapot lkni amenyima watu elimu
@KambiRamadhan-gu4ko9 ай бұрын
Mwalim wangu munkar inafaa ndio maana bachu kagoma kujibu kwa sababu kanuni za hadithi zinaruhusu hivyo.
@KambiRamadhan-gu4ko9 ай бұрын
Mwalim wangu munkar inafaa ndio maana bachu kagoma kujibu kwa sababu kanuni za hadithi zinaruhusu hivyo.
@abdurahimabdulkadir39269 ай бұрын
@@KambiRamadhan-gu4ko wee swali la ust said halikua eti kutumia hadithi dhaifu yafaa au haifai swali lake lilikua wazi aliuliza watu wa hadithi walisema wapi mtu alitumia hadithi dhaifu anaitwa mrongo? Na bachu alijibu kwa uwazi kabisa ya kuwa kama angekuwa mwandishi wa barzanji nimpokezi wa hadithi tungemjadili lkni yy simpokezi wa hadithi Soo sheria haturuhusu kumjadili bali twaijadili hyo hadithi na hapo ndio ilkua yafaa ust said ailimishe watu aseme skiza bachu hii hadithi yafaa kutumika kulingana na kitabu flani au mwanachuoni flani amesema hivi katika kitabu chake sasa hapo bachu aseme na yy lkni ust said alikosesha watu elimu watu walkua wametega maskio kuskia wanyama waliongea jee ni kwely?wacha kuhepesha
@KambiRamadhan-gu4ko9 ай бұрын
@@abdurahimabdulkadir3926 Nalifahamu hilo swali. Ila kumbuka swali hilo ni lapili swali la kwnza ni pale saidi aligoma kutetea kutamka kwa wanyama kwa kumtaka she bachu alete hoja kwa nini barzanje aitwe muongo au maneno ya kwenye barzanji yawe ya uongo. Kwa sababu wamekubaliana munaqasha wa kielimu kwa maana lisemwalo liegemezwe kwenye hoja
@abdurahimabdulkadir39269 ай бұрын
@@KambiRamadhan-gu4komaelewano yalikuwa wazi kabisaa hapa twajadili maneno ya barzanji hatumjadili mtu hapa aliandika barzanji ni maneno aliyatoa mahali kivyake anajua yakona ushahidi ndio maana akayatumia mpka watu wa maulidi wayatumia sasa ilkua ni jukumu la ust said aseme wanyama walitamka kwa ushahidi huu hapa kitabu kma huna hiki hapa na yafaa kutumia hii hadithi lkni yy aliuliza swali inje ya topic na hivyo hivyo ukaelezwa mwenye barzanji simpokeaji hadithi ilkua yy ust said afaidishe umma uliokua umetega maskio kuskiza lkni kila wakiskiza ni hapo tu inje ya mada swali liko pale pale jee wanyama walitamka kwely? hilo ndio swali la kwanza sasa angezama kwa vitabu aki watu wangefaidika hivi 90%washaskia hadithi ni Munkar jee yafaa kutumia au haifai kutumia Bado watu wako kwa mabano
@pavillioncry52415 ай бұрын
Muongo Uyooo bwana. BArzanji Atwambie wapi kapata ,kwamba wakati mimba ya bwana mtume ilipotunga wanyama wot baharini na ardhini walisema
@ShaibmbaroukHemed-mi5rf9 ай бұрын
Ama kwelii bachu amewatia wazimu kila mpenda maulidi awe mkubwa awe mdogo hawana mjadala wanamjadili bachutuu. Heee mnaishikilia bidaa utafikiri nihaki mtume muhammad SAW hataki mauludii kama yanafaa wengefanya masabawake kwanza musituletee paukwa pakawa naona bachu kawashikaaaa hamuna tabasamutena mukipewa ukweli wakali kama pilipili bachu watakusema sanaaa watakulanisanaaa usijali tetea haki batili itaangukatu Allah atakulinda na maadui wako
@salimasalim4059 ай бұрын
Bdo hujaongea mangapi hayakufanywa na Mtume wala maswahaba saii yanafanyika nilichogundua mm sio kwamba kila ambacho hakikikufanya na Mtume wala maswahaba kwenu ni Bidaa , ispokua yale msiyoytaka ndio bidaa kwenu mnayoyataka sio bidaa kwenu mnankaa kimmyaa, hya tuambie quran inaelekeza vp khc mayatima na nyinyi mnafanyaje mumekua mabolozi wakubwa wa kujenga mabweni ya kuatia watoto mayatima kma kuku wa mayai jmbo amblo halikufanyika kwa lengo 2 la maslahi ya matumbo yenu eti mwawalea hawana ma jamaaa hawa 😆😆😆😆😆😆😆
@mansurabubakar39069 ай бұрын
Mbwaww
@salimasalim4059 ай бұрын
Inanonekana wazi hujasoma hata Arshadu nenda kasome kwanza alafu ndio uje uzungumze khc maulidi na si maulid 2 inaoneka hata kutia udhu hujui coment ya wa somi zinajuulikana🤣🤣
@hajikatanje59618 ай бұрын
Mim navyo juwa ktk mafundisho ya haki mwenyeezimungu na mtume hajaweka mafumbo shekh bacho yeye ameweka wazi maswali yake na nyinyi kama mnajuwa kuyatetea leteni hoja yenye mashiko na ndio maana leo mmedhihirisha wazushi ilaa kyam saa
@SaidAbdallah-sm1ft9 ай бұрын
Hili jamaa kumbe zuzu nalo Yani aongea utumbo
@user-me2vi8mg2h9 ай бұрын
Kama kaongea utumbo ww mwache na utumbo wake ww Baki kinyesi chako
@mafiatv54799 ай бұрын
utumbo babk na mamako
@SaidAbdallah-sm1ft9 ай бұрын
@@mafiatv5479 na wewe Kuma la mamako na mama wa mamako na bibi wa bibiako na kizaz chako chote Cha kike ومن نزل Ngundu wa babako na baba wa babako ومن على Mshenzi shoga mkubwa we naona unafuwatilia comment zangu sana wataka rungu au mwanamke unashoboka shuboka tu كلب الأسود
@jambiajambia59699 ай бұрын
Tafuta elimu bro, elimu ya dini haihitaji ushabiki, inahitaji utulivu na tafakur. Sikiliza kisha tafakari na nenda katafute elimu ya dini.
@sahraqaalib9029 ай бұрын
Watu wa Maulidi wamekoseshwa usingizi na kijana mdogo Allaah amuhifadhi Sheikh Bachu
@hemedimbwambo46749 ай бұрын
Ktk maulud kuna neno Amezaliwa Makka kwahiyo hajazaliwa Makka,,,au kazaliwa kwenuuu,
@user-jn2us3oo2c9 ай бұрын
We ABUU shaka kua na adabu kutukana mashekhe we hauja funzwa na babako na mamako pumbavu Nazi we
@faridahmed62968 ай бұрын
Mafunzo ya Mtume Amesema mtukufu wa daraja asema nifwateni hakusema wala hato Sema. Nisifuni
@MohamedAhmed-yi1yf9 ай бұрын
Jee masshaba walifanya maulidi?
@jumafaki28919 ай бұрын
Wauliza masahaba mtume Hadith ya bibi Aysha isemayo mtume alikua akimuekea membari hasani bin thabiti akawa anasimama kwenye hiyo membar akimsifu mtume
@abuuamourmuhamed19349 ай бұрын
Hawaja fanya maulid
@pavillioncry52419 ай бұрын
Hatutaki porojo Maulidi ni haramu
@jakuabdull349 ай бұрын
Harama mwenyewe
@MohaMody-jf1zh9 ай бұрын
Munampenda mtume na mwachukizwa akitajwa ama akihuishwa hapa kwa maulid wengi wafaidika haswa kutokana na seirah ya mtume nna hakika hapo ulipo hata huwajui watoto wake
@IjumaaIjumaa9 ай бұрын
Jibu wanyama walisema kuwa mtume kazaliwa nani anasipitisha je mkusanyeko huo swahaba Gani kasoma maulidi
@faridahmed62968 ай бұрын
Maulidi ni dini
@DivNg279 ай бұрын
Mawahabi wamekuja kuvuruga Dini,hawajui wanapinga niini!!utasikia Mtume S.A.W hakufanya... lakini wao wanafanya visivyofanywa na Mtume S.A.W
@hemedimbwambo46749 ай бұрын
Mawahabi wanafanya kazi za Mayahudi hawajijiwi watendalo
@MtandaKibari-zm4bj9 ай бұрын
Hivi anaesoma maulid c umuache asome? Yann umshambulie ? Kama Mimi nawewe hatuyataki c tuwaache? Mm ni muhabi lkn Sina habar na maulid Yao acha wafanye watakavyo lkn cyo kumtusi muislam mwenzie
@user-wi1cn2pc4p9 ай бұрын
Bado kaka ujajitambua, ingekua akili kama hii basi hata nabii ibrahimu asingevunja masanamu maana yalikuwa hayamuhusu
Udume wake ajifunze heshima.huyo baba yke hakufanya anayoyafanya yeye.ende akaufunze mdomo wake kwanza alafu aje katika membar
@idihsingano-kq2sy9 ай бұрын
Mbona kakimbia ku le kenyaa??
@iddimohamed2549 ай бұрын
Bachu anefungua watu maskio zamani hatukujua hi barzanji na uovu wake lakin sa hi tushaelewa uku Kenya bachu tunamkubali 100%
@Iddymaryam089 ай бұрын
Huu ubishi woteee ni sabb ya uchache wa elimu tuliyonayo. Pili ni kukosa exposure yaan unazaliwa tz unazeeka tz ni changamoto. Ila kama umefika nchi tofauti zenye kufuata medhehebu tofauti2 basi tulipunguza ubishi. 1. East africa (wengi imam shafii) 2. Sudan na turkey (wengi malikiya) 3. Saudia (hanafiyah) 4. Misri (wengi hambaliya) N.K ni mfuano wenye uhalisia mkubwa Ukifika huko kuna vitendo unaweza kuona waislam wakifanya ukabaki kuduwaaa
@usseneandurabe97339 ай бұрын
Wewe unakusudiya nini unaposema mtu anzeekea Tanzânia?
@AlhajiIssa-jb9hr9 ай бұрын
@@usseneandurabe9733Soma.
@musamohamed58309 ай бұрын
Tisa kumi Allah awahifadhi hao maimamu wanne ila hamna hata mmoja wao alifanya maulidi 😅😅😅
@user-us7tk5nd9e9 ай бұрын
Waabudu makaburi nyinyi
@abusalmadangaadam7089 ай бұрын
Sheikh ulikua tanga kipindi dogo yuko tanga ila wenzenu walilaumu kuwa walimipa taalfa ila hamjakuja limekaa je hilo
@idihsingano-kq2sy9 ай бұрын
Achauongo shekhe samili alikua hayupotanga alikua Yuko kenya
@abuushakiraddausiy86669 ай бұрын
Oneni videvu vya masuufi eti watu wa twariika!!!!! Twariika ipi!??? Mtume wenu alikua na ndevu nyingi nyinyi mmenyoa ndevuu sas mwajifananisha na mtume yupi??
@muqadam-mk5st9 ай бұрын
Wewe jaheli kwani Kila mwenye ndevu ndio mtu wasunnah
@muqadam-mk5st9 ай бұрын
Naje kila ambae hana ndevu SI mtu wa sunah ?
@alhilaltvonline9 ай бұрын
Kweli watu hawajulikani wanachopinga, maana hawajulikani wanapinga Maulid, nasheed au ndevu....
@abuushakiraddausiy86669 ай бұрын
@@muqadam-mk5st sio kwa makhurafii....mko hovyoo Allah kawaruzuku ndevuu ila sababutuu ya waogopa watu wenu mwanyoa mtume yupi kafundisha kunyoa ndevuu
@eddieeddie27559 ай бұрын
Alhamdulillah kwa kuacha upumbavu huu wa Maulidi.
@imamually19269 ай бұрын
Ww sheikh unawapoteza watu Omar r,a ni miongoni mwa maswahaba walio pewa uhuru na Mtume s,a,w kwamba Omar abbakar othumani ally hawa wakifanya jambo wafuateni mbona wadanganya watu ww sheikh muogope Allah.
@mwanakheri28809 ай бұрын
Bachu ni adui wa Mtumi s.a.w
@HanifaOman-oo4pl9 ай бұрын
Intakillah. Kupinga maulidi nasikuwaAdui wa mtume. Muhammad swalalahu alahiwasalam kinacho angelica hapo ni uzushi hautakiwi
@mohamedrashid78649 ай бұрын
Utawauliza siku ya kiama hao maswahaba .hamna swahaba hapa atakaekujibu swali lako
@user-dq1xt2dd6l8 ай бұрын
Ndii fedhuli maana hajielewi bach
@salimalharrasi39439 ай бұрын
SAIDI ALIKUA AKIJIZIMA DATA MAJIBU ILIKUA USEME UONGO AU KWELI
@mody-guyngido27929 ай бұрын
Dollar million moja hiyo atakae toa hadithi kua Mtume Swalallahu Aleihi Wasalam au Maswahaba zake wamesherehekea Maulid.
@harunaramadhanimzule9 ай бұрын
Dollar milion moja ukileta katazo lahayo maulidi
@mody-guyngido27929 ай бұрын
@@harunaramadhanimzule maulidi ni uzushi,na wenye kuzusha kwenye Dini unajua adhabu yao
@hididube92529 ай бұрын
😂😂😂😂 wamerikani wametumia mamillioni ya Dollar kunga kuanzisha uwahabi chanzo Cha wahabi ni wazungu walianzisha kwa kutaka kugawa waislamu Tafadhali tafuteni historia ya wahabi utapinga maulidi kwa chuki zenu tu halafu Bingwa wenu tulishuhudia yye Hana elimu swali moja ilimtoa jasho na kwehepa
@jambiajambia59699 ай бұрын
@@mody-guyngido2792simu unayoitumia ni haramu, tupe hadith mtume alitumia simu au swahaba alitumia simu na tv. Vyote hivyo ni bidaa na ni haramu.
@mody-guyngido27929 ай бұрын
@@jambiajambia5969 Hakutumia alisema itakuja zama,watu wataongea na kupeana taarifa wakiwa masafa marefu,wakati mtu MTUME Akionyeshwa vita kama kwenye TV huku akielezea watu unajua ilikua ishara ya nini.,hadithi za Maulidi huzioni utaona za TV na simu kweli?
@faridahmed62968 ай бұрын
Tangu kusoma maulidi natija ni nini na ni thawabu ngapi wapata ukisoma
sheikh sikuhizi hadi viono mna nengua bana. nyie wanaume mnafanya mambo ya maajabu. wacheni uzushi
@mswakisaid23209 ай бұрын
Bila kuwa na Elimu hapa hutaelewa kitu 😀Labda waleee watu maalum. Nao ni wachache sana. Tusomeni.Elimu ya Dini yetu. Tusiwe Kama mafundi saa😀
@hajikatanje59618 ай бұрын
Kwenye dini ya Mungu hakuna mafumbo na wala hajaileta dini ya kiislamu iliwatu wapate shida ya kuielewa mtume ameipokea HII dini sio kwa mafumbo ukiona Mashekh wanao jiamini na maulidi yao wanashindwa kuyatetea kwa maandiko maana yake wamefeli hawana maandiko thabiti kwa hiyo wamebaki na uganga na mila za mababu sio din
@fahmymasoud36539 ай бұрын
Huyo baba yake hakua fedhuli kama yy,,, Hana tuu adabu hiki kitoto
@JRN26129 ай бұрын
Nyinyi mnaboa sana kwa kweli. Mimi nimesoma maulid utoto wangu wote mpaka nimekuwa mtu mzima, na daima nilikuwa nachukia mawahabi wakisema maulid hayafai, lakini nilikuwa sijakaa nikawaskiliza. Baada ya kuwasikiliza hoja zao nikatamani atokee mtu aje kuzipinga kwa kutumia hoja; mtu aje aseme kuwa "haya wanayoyadai hawa mawahabi ni ya uongo, kwa sababu 1, 2, 3". Badala yake imekuwaje? Kila mukija kutetea maulidi munalalamika tu na kuleta porojo, bila ya kuleta hoja za msingi. Hivi munategemea mtu aliepewa neema ya akili kama mimi (Alhamdulillah) anaweza kumfuata mtu kwa poroja lake bila ya dalili? Basi hiyo akili itakuwa na faida gani kupewa?. Uislamu hautufundishi kufata porojo za watu bila ya kujali ni nani anaeleta porojo hilo. Uislamu unatufubdisha tutumie akili kupambanua dalili na kisha kufata dalili za wazi. Kwa kifupi hamuna hoja musipotezee watu time zao. Mimi ni ibadhi na siwapendi mawahabi kwa sababu wanatuita makafiri, lakini katika hili la maulidi basi wapo sawa kwa asilimia 💯 %. Wacheni bidaa na uzushi musioweza kuutetea, ukaidi tu😅😅😅😅
@salmanmagwe26129 ай бұрын
Kaka ktk taratibu za kisheria ni kuwa yule apingae ndio huombwa dalili kwani asli ya vitu ni halali hadi ije hoja au dalili ya kukataza. Sio useme tu hayapo na Mtume a.s hakuyafanya. Kuna vitu vingi mtume hakufanya au alivikataza na sisi tunavifanya: 1.Kuswali Tarawehe jamaa na Mtume as alikataza. 2.kuswali tarawehe rakaa 23 wakati Mtume wetu as aliswali 11 kwa ujumla wake. 3.Talaka 3 mahali moja na hili Mtume hakulifanya. 4.swalatu kheirun minna nnaum,hata hii haikuwepo. 5.makongamano 6.kutoa vyeti ktk Madrasa zetu n.k Je una dalili ya kuwa Mtume as aliyaruhusu au aliwaruhusu Maswahaba wayazushe na wabadilishe hukmu za dini?
@JRN26129 ай бұрын
@@salmanmagwe2612 Usikariri sana, sio kila jambo mpingaji ndio atoe dalili. Mimi nikisema kuoa wake wanne haifai utaniambia mimi nitoe dalili kwa sababu napinga, au ni wewe ndio utanipa dalili? Bila ya shaka ni wewe ndio utanipa dalili kuwa inafaa kuoa waki wanne. Lakini hata hivyo unavyotaka, mawahabi wametoa dalili katika kila madai yao, na watu wa maulid kazi yao ni porojo tu. Kusema maneno ya Barazanji ni uongo hiyo ni akili ya kawaida tu. Yaani mimi ukiniambia ati wanayama wamesema, kikawaida kawaida siwezi kukuamini. Ni lazma utetee hoja yako kuwa ni ukweli wanyama wamesema, tena ulete dalili. Sasa huyu bishoo wa Mombasa kwanza anataka mimi ninaesema kuwa ni uwongo wanyama walisema ndio nitoe dalili, kuwa ni uongo. Dalili ni kuwa wanyama hatujawahi kuwasikia wakisema na sio katika vitu wanavyofanya. Ili tuamini kama ni kweli walisema lazima wewe sasa ndio utoe dalili. Kama vile waliposema wakati wa nabii Suleiman, ushahidi Qur-an. Sasa hawa mabwana wanakuja na kihadithi dhaifu na pia wanashindwa kutaja masnad ya hadithi hiyo. Mie ambae sio msomi nikiona unashindwa kutaja masnadi ya hadithi nitakuwa nawaza kuwa inawezekana kuna jitu jiongo pengine katika huo mtiririko wa wapokezi ndio maana unaogopa kuwataja. Yaani kiufupi Bachu kawagaragisha.
@JRN26129 ай бұрын
@@salmanmagwe2612 halafu mifano yako yote 5 ukitoa huo wa 6 ambao hauna kichwa wala miguu basi inaonyesha ni matendo ya ibada. Nikipinga hayo ni lazma nitoe dalili. Ama kusema kuwa wanyama waliongea, hilo si tendo la ibada, bali ni story ambazo zimetungwa.
@mhusinigau32319 ай бұрын
We kweli mjinga jifunze ewe kijana ujinga ni aibu hakuna anayeridhia ujinga ila punda
@JRN26129 ай бұрын
@@mhusinigau3231 toeni hoja, wacheni porojo na kuplay victim😅😅
@SlimShariff9 ай бұрын
Mtoto wa backu pigania kwanza wazungu wanatembea zanzibar . Hauna adabu
@salumnuhu90669 ай бұрын
Zungumzeni mambo kielimu mbona mnababanya bambanya tu
@user-ze8rk9ye6r9 ай бұрын
Sheikh hayo maneno mbona nimengi tu usilaumu mtu kwa maneno matupu ebu tetea maulidi kwa dalili sahihi,tetea kwa hoja,na kama pia sheikh waona simsomi ebu muite kwa munakasha kisha hapo atajulikana yuajua ama hajui
@user-ib7kx9dc5m9 ай бұрын
Abushak naona sasa ushabiki umekushika he nawale wapo zaliwa mpaka wazeheha hawana ndevu vp hao acha ujinga kabisa nyie ndoo mmefanya mpaka leo yupo hapa kwa iung'ang'ani vitu vya hovyo
@user-ze8rk9ye6r9 ай бұрын
Mwenzenu yuatumia dalili nyinyi atakae simama ni story na maneno mengi tuuuuuuuuu hamueleweki watu wanasikikiza tu lakini mwenye akikili yuajua hawa hawana chochote cha mxingi
@fahmymasoud36539 ай бұрын
Nyny ni kundi la mayahudi hamujielewi tuu, Kuna siku mutajua tuu,,,, Nyny muna mabalaa ya ushirikina ila hamujioni tuu
@fahmymasoud36539 ай бұрын
Mungu kakaa, Mungu anamiguu, Ana macho, anashuka, upuuzi mtupu... Eti sio miguu km munayoijua nyny, basi sio viungo hivyo