#TemuTV #harmonize #chidbenzi Live Chid Benzi Ataka Kumfua Harmonize Mbele Ya Polisi Na Bodyguard "Hamniwezi"
Пікірлер: 375
@awadhiismail31544 жыл бұрын
Harmonize kweli kawa mtu mkubwa yaan kaanza mziki 2014 Leo hii anamlipa cheed benzi wa miaka ya nyuma Sana daaah jamani embu gonga like hapo
@hkmeme54374 жыл бұрын
Chid benzi ni tejja
@boazmasinde27644 жыл бұрын
Chid benzi mbumbavu tuuu ngoma hana
@yakoboilomo55664 жыл бұрын
Ndo maana wana hasira nae
@beninternationaltv31364 жыл бұрын
Sema nshukuruni diamond alie mtowa
@kamaakamaa17954 жыл бұрын
Awadhi Ismail subscriber channel yangu
@sadikhanboy5 ай бұрын
Namkubali jeshi Konde boy for everybody 💯🙏💪🔥💥🎤Jeeshi all the way!! Sadikhan boy from KENYA
@tobaramadhani71394 жыл бұрын
Jeshi anajitahidi sana kuwabeba ila mijitu bangi haibebeki mbona kiuchifu katulia na maisha mazuri tu yanaenda
@muhambeKalubala4 ай бұрын
ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man❤ 9:40
@lulanatty84744 жыл бұрын
Teja ataka shindana na king harmo jeshiii mtu mwema 😍😘
@ImamshiraziMwidau2 ай бұрын
Its all about creativity mambo na Ubunifu..
@meshacksamson10084 жыл бұрын
Kama unamkubal harmonize gonga like hapa maana namkubal mbaka naumwa yaan
@user-wv2ur5sh2b4 ай бұрын
Jamaa namkubali san
@danieljems78103 жыл бұрын
Harmonize noma sana Kweri we ni jeshi
@titobernard3834 жыл бұрын
Hizi story zinatokea wapi !? Jamani hebu tusizenguane hapa !
@mussajacob83464 жыл бұрын
Teja afadhiliki ashazoea maisha ya uteja chidy afadhiliki
@user-xz6qb5cb1y6 ай бұрын
Kumamako
@Favour-keys4 жыл бұрын
You got it men 👊
@lucaswalogwa38214 жыл бұрын
Chid Benz amenivuruga sijaona alichofanya zaidi ya mambo ya kitoto kabisa
@jwasafiog54164 жыл бұрын
Duh kaaibishwa mdogo wangu
@alicetowo36454 жыл бұрын
Sjui alitak apewe sh ngp?? Binadamu bhnaa hatulizikii, angekaa tu hiy el angeipt wap Sasa, !!!,
@muhambeKalubala4 ай бұрын
ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man❤
@flightclubtanzania16384 жыл бұрын
Laki 3 hela ndogo kwa maisha haya na mziki hiiii ya zamani chid come on banaaa
@sammysammy20014 жыл бұрын
Hamonaz Big up
@halimapatricia58824 жыл бұрын
Sahii walipwa na madogo na ww uliokomaa kwa mziki hahah unga hauachi mtu salama
@omarimtoro584 жыл бұрын
bro chid unalipwa laki 3 na madogo mlio wa inspire. unga haujawahi kumuacha mtu salama. @chidbenz na tid.
@bishoomapicha2044 жыл бұрын
Omari Mtoro sdguyreh
@IqbaraAzizi3 ай бұрын
Nmemuona h baba
@user-kv6ik2sr9x6 ай бұрын
fire❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-mq5in3fi5y4 жыл бұрын
Uyo chid benz analake tu kwa konde man km kishajua atapewa lak3 kwnn ackatae boya tu uyo ss mbn kakubal na pes kachua kwa mzik gn alokua nao mpk alew milion naend uk
@zenamadhan25174 жыл бұрын
Uyo konde anahaja nae nn asingemuita atakuja muazirisha bure..teja hana amani
@tekonmwangi42324 жыл бұрын
Me I love you harmonice
@maligeltabatholomeo81284 жыл бұрын
Kwani kama kaona laki 3 ndogo si angekataa!!!! Kwani kashikiwa bakola au? Konde mbele kwa mbele aturudi nyuma
@ramadhanyusuph79864 жыл бұрын
Kweli angekataa tato unga haumuachi mutu salama
@mohamedchalamila36374 жыл бұрын
Ngada c mchezo
@danmsafi23833 жыл бұрын
Sio bure konde atakuwa anakutomba wew🇹🇿🇹🇿
@maligeltabatholomeo81283 жыл бұрын
@@danmsafi2383 si alianzia kwako ndo maana unajua
@juliasitemba44104 жыл бұрын
Chaka yes
@omelausufu6024 жыл бұрын
Bro chidi benz sio mzima ule ni msenge tu
@monalisalucas60784 жыл бұрын
Watu kama woteee
@alimairakoze37844 жыл бұрын
Jeshii
@bonnysureolkokolaboy43424 жыл бұрын
Huyu chalii anajiskia sana sa ndio ilikua anajiandaa mda wote huo kwenye kosta, acha ujinga mmakonde wew
@susanmwalili43654 жыл бұрын
My son loves You KONDE boy
@yasinitwalika15654 ай бұрын
Chid kichwa chake kishapagawa unapomuita sehem utegemee lolote kutokea, Mm nimeckia mc kasema mimi masi yeye kasikia chid benzi
@hansmkomwa8137 Жыл бұрын
Hi
@tariqkassim1444 жыл бұрын
Nice
@deusdeodavid53604 жыл бұрын
Laki 3 hela ndogo hasa kwa msanii mkubwa kama benzi japo 5 basi
@mptv25494 жыл бұрын
Good job harmo, keep up with the good job. And can someone tell ray to start thinking of his next step na achane ni baba yao harmo kabisa
@kaitaramadan63404 жыл бұрын
Duh
@shillaedmund4 жыл бұрын
Tishaa sanaaa Konde BoY🔥🔥
@geofreyniyonkuru57244 жыл бұрын
😱😱😲😲🥴🥴😸😸😸😂😂😂chid haki nushabiki wangu na wewe kwisha umezingua laki tatu sikidogo
@user-gu7kg3vt3w4 ай бұрын
Ukiwa mteja sehemu yoyote lazima uzarauliwe
@fredychambu29094 жыл бұрын
Good
@user-qm6lq7ud9p5 ай бұрын
LAKI 3 YA TANZANIA 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@raheemyusuph56944 жыл бұрын
chid anazngua sanaa yan kiukwel daaah chid anazngua,..
@hameesmohamed92364 жыл бұрын
Bange bwana 😂😂😂😂😂😂
@benjaminfataki68984 жыл бұрын
si angataa kwanini kakubali kupiga show chid chiz mkorofi.
@henryd.rcongo22874 жыл бұрын
Ili li bwana chid Benz pesa zote atauza dawa ya kulevya na iyo ma unga.konde boy fire
@sirijoseph6554 жыл бұрын
Chidy benz wew fara ungeji tambua mapema usinge kuwa hapa
@sideboy31644 жыл бұрын
Madawa noma aiseee
@ericbeston14234 жыл бұрын
Nakukubar sana
@asmaphilipo70044 жыл бұрын
make one home boy
@asiamwangxx34134 жыл бұрын
Love you konde boy
@faidamakoye77353 жыл бұрын
H nakupenda kama nini yan tembo OG yani
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
Haha haha huhuhuhu hahahaha dunia wadaa ulimwengu shujaaa
@inoskingreskape84763 жыл бұрын
Harmonize jeshi king
@pendokenneth87294 жыл бұрын
Show😂😂😂😂😂😂
@nizeyemanarachid90924 жыл бұрын
🤗
@user-xp5pb5qh9o5 ай бұрын
Jamani uyo si h baba alie mtusi konde boy
@browntiger48494 жыл бұрын
Chidi kashachizika
@jacksonmichiel60574 жыл бұрын
Jeeexh
@williamtarama45894 жыл бұрын
Nashangaa watu wanavyoropoka km huyo chiz mwnzao chid! Laki tatu kapewa kasaidiwa tu kafanya kaz gani ya maajabu hapo!? Kpewa ya kula ck kadhaa tu! Kuliko angepewa bila kufanya chochote, angejishtukia kupokea 😂
@feyramsozclass40154 жыл бұрын
Tatizo wanafata akiwa tayali kashakula vitu vyake
@ndevundavo77984 жыл бұрын
William Tarama ata apewe milioni ishilini yote atakula unga
@user-ph2sd5jp6z6 ай бұрын
Chid aache bang
@saeedmassoud2564 жыл бұрын
Play back c mzuka izo ni show mbovu
@osmanmussa65964 ай бұрын
Namuona h baba hapo mlangoni amempisha njia konde boy mziki sio uadui
@joshuajoshua70924 жыл бұрын
Mtt wasimba huyu anawanyosha saf chid alitaka nn
@fadyshaby83204 жыл бұрын
Nadhan Kama pesa aliolipwa ni tofaut na makubaliano alitakiwa kufuata utaratibu kudai haki yake,.....alichofany n kudhalilisha tamasha na aliempa dili.......mbn kunawakati wasanii walikua wanafany shoo kwa kupewa nauli tuu....chidy atafany watu wapate hofu kumpa shoo zao........
@mrishodaudi22434 жыл бұрын
Nanyie mnalichukuaga lanini hilo limazalilisha buludani muwe mnaliacha limtu mnalisaidia ila halieleweki lanini
@boazmtilege1464 жыл бұрын
😂😂😂😂😛😛😛Chidbenzi
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Wakati mwingine ukimsaidia mwenzio nae ingalau apate chochote kitu,matokeo yake ni kulaumiwa na matusi,ni bora usimsaidie mtu ili uepushe nongwa.
@officialmrtop10184 жыл бұрын
We boya kweli laki tatu kwa msani kamsaidia nini? Chizi
@kamaakamaa17954 жыл бұрын
Mariam Fritsi subscriber channel yangu apo
@seifdisail30074 жыл бұрын
@@officialmrtop1018 mla unga unataka apewe ngapi?!
@UzalendoNaUtu4 жыл бұрын
@@officialmrtop1018 laki 3 kwa dakika 10 alizoperform ni ndogo? Hapo kalipa watu wangapi na yeye kaingiza ngapi?
@mxofmfk84064 жыл бұрын
@@officialmrtop1018 swali ni kama laiki 3 ni ndogo mbona kapanda jukwaani kuperform, mi nilijua angekataa kupanda jukwaani na ansingekuja kwenye hiyo show
@ismailmajala28024 жыл бұрын
Kichwa cha habari cha kutafutia viewers 😆😆😆🤦🏽♂️
@brightonchedego81004 жыл бұрын
Mbona hata na yy hajatumia gharama ya kutafuta hata wa kuwalipa sasa laki3 inakuwaje ndogo wakat kuperform kwenyewe hakufk hata dk10 pia alikuwa peke yake,akiwa anapotezewa anaanza kulalamika kuwa hakumbukwi,,usipokuwa makini Chidy kila msanii mkubwa atakuogopa kukuita ksha urud kwenye kuperform kwenye mabaa na kupewa elfu20 kama miaka kadhaa iliyopta 😃😃😃
@imascodallas30984 жыл бұрын
daaaaaaa
@ifgodsayyes.nobodycansayno17964 жыл бұрын
NILIKUWA NAMPENDA ILA ALICHEMSHA MDOMO AWACHIE WANA WAKE NA MAUNGA HAYAMUACHI MTU SAWA ...
@indiaboytz57314 жыл бұрын
Kweli asee uyu mshkaji ata mm amentoka kabisa nilikua fans wake mkubwa ila kafanya ungese fala uyu ana maana teja abebeki
@hassansalumu9324 жыл бұрын
We aunaakil
@nicehamis24484 жыл бұрын
Hahahaha 😀
@afterfull-time13484 жыл бұрын
Hakika hela ndo kila kitu laki tatu zinaenda kukusumbua na ulegendary wako!!
@abastansanga72564 жыл бұрын
😂😂😂😂
@pgabbermusic54234 жыл бұрын
Ukiwa huna akili huo ukubwa wako unakua haina mana amelipwa laki tatu ila hajalazimishwa so hapo utaona upeo wa mtu kama yuko sawa au la
@saidijuma93864 жыл бұрын
Chidi ashakuwa hater ana chuki za wazi wzi km ktu hutk ni bora useme tu kulko chuki za kijinga hvy punguza chuki haisaidii
@mwajujomba77824 жыл бұрын
Huyu hampendi harmonize si aliwahi kumponda sasa ndo hiyo anafanya laki 3 nyingi sana kwa yeye na anaimba nini sauti lishakufa
@mwasoprince34594 жыл бұрын
Mabaunsa nafikir wako vzr
@muhambeKalubala4 ай бұрын
pôle sana kwak chid kabisa ina leta ahubu 😢
@dennismusilamulwa15263 жыл бұрын
Uhuu
@danielmwangonda83804 жыл бұрын
Kuwa makin na kazi mbona hakuna alicho fanya chid kwa konde
@kingrasdee4454 жыл бұрын
Flag sana kw Konde boy, sem2 chid madawa yalmfanya kaarb na kutaka kumshusha!!
@yudadaniel48674 жыл бұрын
mijitu kama hii ndio maana inaachwaga tu yeye alikuwa anataka million 10?
@kamaakamaa17954 жыл бұрын
Yuda Daniel subscriber channel yangu
@UzalendoNaUtu4 жыл бұрын
Alivoona kumejaa alidhan ye ndo kajaza hahah
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Tatizo ndio hivyo unapomsaidia mwenzio ingalao apate kitu,matokeo ni kulaumiwa,bora usisaidie kuepusha lawama.
@costantinejoseph49074 жыл бұрын
anazngua kamma ndogo kwa nini alipanda jukwaani? sio ustaarabu
@dbashhussain87114 жыл бұрын
😁😁
@dancerschanel86823 жыл бұрын
tisha mbaya mwanang konde gang😂
@6VEVONEWS6 ай бұрын
Chid benzi ni chizi tuu huyo
@benhorta51214 жыл бұрын
Kweli leo ndio nimeshtuka chid bez kumbe anaakili za kitoto kbs.. Kwan hata angefanya bure kwani amelazimishwa kuja pia sisi inatuhusu nini kama mashabiki, Dogo jinga kbs shoo yenywe ya bure akuna kingilio chochote sasa laki 3 kwa dakika 15 mbona pesa nyingi sana.. Oya temu mm shabiki yako since before 5000 subscriber ..
@muhambeKalubala4 ай бұрын
ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man
@cadeyvassir11324 жыл бұрын
Hbaba ni bodyguard wa harmonize lol🙆♂️🤣
@ndevundavo77984 жыл бұрын
Sidhani kama kuna tatizo kama anazipata pesa
@stevewanga9574 жыл бұрын
Chidi nae Sai anazeeka vibaya.....
@ameeraaljassim41384 жыл бұрын
Kwani alilazimishwa iyo kitu alikua akitumia bado inamtatiza awepole
Hata aropoke vipi.... atajijua mwenyewe.... tunasepa mbele... huyo Chizi tulishamsahau... hana jipya. Konde Boy to the World.🤣🤣🤣🤣🤣
@nassorbakar65604 жыл бұрын
Uhakika
@babayussfa39504 жыл бұрын
Umeona eeeh mteja anatav
@samiramadenge9534 жыл бұрын
Unga bwana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kamaakamaa17954 жыл бұрын
Diana Samson subscriber channel yangu
@dastaniguni55994 жыл бұрын
Huyo maza na mjezi wa utopolo tumbo km Molinga
@NR-ll4sr3 жыл бұрын
Kumbe wenyewe hamjui kilichomkera, mbona head lines mnasema kulipwa laki tatu
@wardamakame16524 жыл бұрын
Rayyvan ft diamound
@cassianowaeast11084 жыл бұрын
Hivi unavaaje jacket kwenye joto mmakonde mwenzangu unaniangusha 😂😂 KONDE MTOTO
@AbdulGermany2104 жыл бұрын
Kweli hatari shoo haina backstage
@rabaonetv4 жыл бұрын
Jamani baada ya kumwona chuma Basi twendeni tukajifunze uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za viwandani huku kwenye channel yetu RABAONE TV Mafunzo ni BURE KABISAAA Tunafundisha uzalishaji wa bidhaa mbali mbali kama vile sabuni aina zote, lotion, cream, mifuko na zinginezo nyingi.