Ambao bado tunaitizama hii nwaka huu 2024 gonga like👍
@sondalasalumu54236 ай бұрын
Tupo
@jacksonutulivu96866 ай бұрын
Hata Mimi Bado naitizama
@rajabutangale14026 ай бұрын
🎉
@mosesmpesa96 ай бұрын
🎉
@mwombekiheriety72285 ай бұрын
Namesake 😂 we are together
@HanifaIssah2 ай бұрын
Hivi ni mimi tu mchozi unanitoka kwa furaha au na wengine 🥰jaman Mwana Falsafa apewe maua yake anajua huyu kaka Jaman alaf yuko very humble ❤❤❤
@alicksalehe7073Ай бұрын
Ametisha
@cathymama4010Ай бұрын
Hata me machozi yamenitoka aisee😂
@Suleimanmohamed-y4k26 күн бұрын
So ww tuh ata mm .Machoz yanenitoka
@evalema495619 күн бұрын
Tupo weng
@issalangula40610 күн бұрын
Mh.. !!Anajua sana.
@vennyblack37662 ай бұрын
Kila nkija KZfaq lazima ñifike hapa, nataman mtu a like tu Ili niludi Tena na tena
@goodluckuronu67597 ай бұрын
Nilichokipenda zaidi ni kitendo cha mheshimiwa kumpa lina zawadi alizopewa, big up sana mheshimiwa
@HusseinBakari-d9x17 күн бұрын
Yan huu mzik ukiuskiliza unajiskia Raha mpka kwa moyo mwez wa 8 talehe 10 MWA 2024 ❤. Like hapa
@fadhymtangaАй бұрын
Ni mwaka 2024 nimerudi kutazama tena. Kuna kiwango cha heshima alichoonesha Linah (heshima ya Kikinga hasa) na kuna kiwango cha utu alichoonesha Mwana FA. Mungu azidi kuwatunza.
@winiemajengo16798 ай бұрын
❤Nano anaangalia na mimi leo hapa kabla ya kuaga mwaka hahahahaa my favourate song ever my brother napenda sana kazi yakoooooooooo....Happy new coming year everyone
@mr.samfacts59753 ай бұрын
Ambao mnaangalia mda huu like hapa
@joelmasano315711 ай бұрын
asee nmejikuta natabasam kuanzia mwanzo mpaka mwisho.... ni chemistry ni fire sana
@lilianlaizer90678 ай бұрын
Mm mpaka 😭😭
@scholahmwelange14066 ай бұрын
Hivi ni mimi mwenyew nacheka cheka ka fala au tupo wengi 😂😂😂
@cathymama4010Ай бұрын
Hata mimi dyaadyaa me nimecheka kwa furaha hadi machozi et😅😅
@ThabitiKondo12 күн бұрын
Tupo weng😂😂😂🤣🤣🤣😂
@ussihadji224810 ай бұрын
Really appreciate uchaguz huu wa Mh. Rais kwa naibu waziri pmj na waziri wa MICHEZO wanafanya kaz nzur sana kwa kwl ni watu wa watu 💜❤️
@SALEHSALEH-lk5jr8 ай бұрын
Profesa Jay,Mwana FA na NIKI WA PILI nawakubali sana
@nassoromussa24238 ай бұрын
Dah! Yaani Mwana- fa asingepanda stejini angemuangusha sana Linah, na ndio watu wajifunze hapa kuhusu maisha...!
@HusseinBakari-d9xАй бұрын
Yan linah alivyoomba jamaa aje stejin
@manasemlimbila990610 ай бұрын
Nimependa FA alipopotea Maokoto then akambarikia Linah 🎉❤
@chingjr17417 ай бұрын
Ivi ni mm pekeang naerudiarudia kuangalia... 2/1/2024 apa still watching
@josephdionis44747 ай бұрын
Sio pekeako bro😊
@HitamiIbrahimu7 ай бұрын
Hiii ikopw sana
@user-le4kh4ew2y6 ай бұрын
Aisee hata mie bado naipenda hii ngoma love mtt wa kitanga ❤❤❤
@scholahmwelange14066 ай бұрын
Tupo wengi😅
@yegedegede30036 ай бұрын
Niko hapa pia
@user-jw7yu8tp3i7 ай бұрын
Amemsitiri kwa kumpatia maokoto, what a gentleman!
@vennyblack37663 ай бұрын
Ntarudi 2025 mtu aki like comment yangu ❤
@anordgerase33722 ай бұрын
😂😂
@user-ui1qs9yl1n2 ай бұрын
MIMI NTARUDI 2050
@faudhiasalum727923 күн бұрын
Mimi 😂😂😂201000
@honekisebwa22618 күн бұрын
🤣😜
@andrew050211 ай бұрын
Nimependa bureee, it was a good moment! Linah ft Mwana FA
@aminaheri259010 ай бұрын
Nimependa apo mweshimiwa alivyochukua maiki.kizazi Sana god bless you wazuri unapenda ukitabasam .
@user-yi1qp6qu4n6 ай бұрын
Sana yani
@kimpalambapj9 ай бұрын
You're my sunshine, my moonlight and everything I dream about, Linah let's go...
@BerthaKadaso8 ай бұрын
Kwa wanaojua muziki mzuri
@kadengekitsao388511 ай бұрын
uzuri wa kujiandikia mistari ni huu hata uamshwe saangapi usiku, you just flow... Fa so humble ❤️,,,, sio kuandikiwa halafu ujidai
@tigejuma986511 ай бұрын
Alivyo kua kwnye kiti amekaa alikua ndio mbunge...alivyoshika Mike ata mwendo ulibadilika...ukawa mwendo wq wana F.A.
@florencejames-jo1cz7 ай бұрын
Naibu waziri sio mbunge
@Zayrish927 ай бұрын
@@florencejames-jo1czni mbunge pia wa muheza Tanga
@florencejames-jo1cz7 ай бұрын
Inawezekanaje mtu mmoja kushika nyazifa mbili kwa wakati mmoja labda ilikua siku za nyuma
@halimarichard73237 ай бұрын
Inawezekana, huwez kua wazir mpk uwe mbunge. Mfano Ummy mwalimu ni wazir wa afya na ni mbunge wa Tanga. Mwana FA ni mbunge wa kwetu muheza
@halimarichard73237 ай бұрын
@ florencejames
@evewangenye77745 ай бұрын
My favourite...natabasamu watching this. More love from Kenya 🇰🇪
@abdallahmwanga579210 ай бұрын
PURE TALENT...🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💚💛💚💛💚
@user-ms4cg6cg5j11 күн бұрын
The minute Mwana FA alipanda stage, Linah glowed and just blew kabisa.......power of chemistry in music
@Ramadhani-k2j25 күн бұрын
Apo brother Kaka kafikishwa Mtu na fani yake hongela dam yangu
@Willo_911 Жыл бұрын
This is on fire. Love from Papua New Guinea ❤️🇵🇬🎼🎶🕺💃
@chrissameri4657 ай бұрын
NILICHOKIPENDA PESA KAMWACHIA LINNAH, GENTLENESS
@user-xs8qf4hl3n8 ай бұрын
Nimeishiwa maneno.kikubwa zaidi upendo upo ❤
@user-dd9rh5ij9h5 ай бұрын
From thika ngoingwa KIAMBU COUNTY in Kenya bigup this song bado kwangu naipenda Sana
@youngweezy38469 ай бұрын
Dah kuna wanamuziki alafu kuna wasanii 🙌🙌linah❤
@user-vo7oq3gz9c4 ай бұрын
Safi mwana FA mheshimiwa nzur sana kuitazama hata mara mia rais kaona mbali ikimpendeza uwe boss wa hiyo wizara mungu akubariki sana
@alimasha70178 ай бұрын
I like where you gave the money to Lina.. you've supported her.. love you❤
@user-hp2yh7fq9d3 ай бұрын
Mwana FA be alive 100 yrs brother Like you from Louisville Kentucky USA 🇱🇷🇱🇷
@bakarimatanomwachakure509021 күн бұрын
It's really a good show of love to music mwana FA salute, Linah salute, uliotea kweli jamani@ watch ing all the way from IS
@vennyblack37665 ай бұрын
Hako ka heshima kusema thank you bro na magoti kidogo jaman❤❤
@amoskagika88843 ай бұрын
Hadi rahaaaa❤❤❤
@nassoromussa24238 ай бұрын
Linah anaposema "Niliotea!" Ni kama kusema kwamba "nashukuru kukuheshimu na kuishi vizuri na wewe." Somo: tujitahidi kuishi na watu vizuri mana huijui kesho ya mtu!
@jomedia-rx9zh4 ай бұрын
Nice kila mara naangalia hii video mwana FA ana utu sana
@PhilipAndrew-et3nq7 ай бұрын
Nawaombea linah na fa ingieni studio mtoe Ngoma nyingine bado tunahitaji kitu kizur Toka kwenu love you fun
@MahengeFredyАй бұрын
They can
@rashidsalim70789 ай бұрын
Ikiwa mungu itampendeza namuombea aje kua raisi
@abubakarmohamed984511 ай бұрын
Pure talent nakubali waziri❤❤
@christinewomanoffaith54798 ай бұрын
Kwa hiyo play back ? Angeimba live
@fuadaladawi12556 ай бұрын
I love this song.well seng
@stanleynombwe486510 ай бұрын
Hivinipo siku ntsjipsta namimi hafra zahivyo niwe napata frusa za kuhuzulia jamani 😢😢😢😢 ❤❤❤❤
@MagdalenaHoja-jh9qg8 ай бұрын
Mungu nimwema ipo siku amini ata mbuyu ulianza kama mchicha,ipo siku tu utafanikiwa 6:38
@stanleynombwe48658 ай бұрын
@@MagdalenaHoja-jh9qg 🙏🙏🙏
@mubezibuberwa92498 ай бұрын
Ooow
@user-bz9fs7zy5b18 сағат бұрын
Big up Mheshimiwa wetu sambaza upendo ❤
@aloycesteven599813 күн бұрын
this how leader should be to be humble and kind even if he was an artist back then,he waited a little to take some action
@malombemunyithya93418 ай бұрын
Safi sana naibi waziri umeonyesha mapenzi Kwa dada ako linnah
@AllyMwita-ox2sx Жыл бұрын
Nilichopenda mm sana sana mwana fa aluvyompa pesa linna ni kama amemsapot good naibu wazir wa Michezo na utamaduni
@InnocentTesha11 ай бұрын
Sure
@Almansoureldenomy7 ай бұрын
Hakika inapendeza sana kwa muheshimiwa kufanya vilee❤❤