Maashaalla ukweli unamweka mtu kuwa huru sema tuu sheikh usichoke
@habibbusengojaffer49384 ай бұрын
Sheik ana sema ukweli ❤
@mohamedsalimsuleiman70144 ай бұрын
Mashallah Shekh wangu Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe, unaongea ukweli mtupu na asiekuelewa wewe hamuelewi mtu mwingine tena, kwa sababu unamfahamishabmtu mpaka kwa mifano
@bagalucha4 ай бұрын
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
@omytifa64034 ай бұрын
MashaALLAH sheikh ❤
@thuweinmassoud90624 ай бұрын
uko sahihi sheikh
@kimeajuma32674 ай бұрын
Sheikh wangu nakuelewa sana
@user-hj2ff9zt6m4 ай бұрын
ALLAH AKUBARIK SHEIKH IZUDDIN
@waziriboy99414 ай бұрын
Kwa point ya Saudia,, sheikh wangu nakusapoti mara 100000%
@bagalucha4 ай бұрын
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
@abdullahmasakata1704 ай бұрын
Kati ya mashekh ninao jivunia mafundisho yake mmoja wapo ni huyu ,Allah amzidishie elimu zaidi tuzidi kufaidika zaidi na kunufaika kwa elimu na mawaidha yake.
@aliabdalla92974 ай бұрын
Amiin
@user-st3re4uw9u4 ай бұрын
Umepotea basi kabisa kabisa
@abdullahmasakata1704 ай бұрын
@@user-st3re4uw9u Mashetani ndio walio potea na wao hujiona ndio wako sahihi siku zote na wao ndio walikuwa wanamwita mtume MUHAMMAD S. A. W kuwa mchawi na mtu alie potea MUNGU aepushe dhana hizo mbaya. Siku Allah akikujalia neema ya uislam sahihi na ukawa muuni utaacha chuki na dharau na kejeli kwa itikadi zisizo na faida kesho kiama.
@mabablaz1234 ай бұрын
Siku hizi unasema haki tupu..mashallah
@ngorweurongo82763 ай бұрын
mashaalah. allah akutie nguvu. sema kweli mungu na ss waumin tu pamoja nawe
Asante sana sheikh kwa kutufungua masikio nimekuelewe vizuri mwenyezi mungu akujalie sana sheikh
@patkrinsliy73894 ай бұрын
Saudia hali mbaya kwa maana ya mamlaka ni mtihani kwa waislam.. Kuna vijana wengi walioslimu na waislam kutoka Marekani na Ulaya hufunga safari ya ndoto yao kwenye uislam kwenda Saudia kushuhudia uitimilifu kwenye uislam na watu wake lakini wanayoyakuta Saudia ni ya kushangaza kwenye uovu timilifu ndani ya uislam. Moja ya kijana alikwaruzana kidogo na kijana mwenzake kutokana na kugombania nafasi ya kusalia msikiti ulikuwa umejaa na nikiwa karibu nae na akiwa ndani ya malalamiko kijana aliyerudi kutoka Saudia akamwambia wewe hujaona kitu bado Saudia hali mbaya zaidi. Moja ya vijana hao amesilimu wiki mbili zilizopita. Kuna wimbi kubwa la Wamerekani kusilimu hivi sasa na kwakuwa uwezo upo ndoto yao kubwa kwenda Saudia na si Maka tu na madina hutamani kuona mazingira ya nje ya miji hiyo mitukufu miwili pia
Kama saudia Wana ungana na mayahudi kuipiga parestina utawamini vipi sio parestina tu lrack ribia silia afughanistan
@user-po9wi5lh1o4 ай бұрын
Mambo mengi kibao tu wanahalibu lbada ya hija lmekua biashala lnayo lipa
@sports007tv44 ай бұрын
@@UmmuHaneefahChikomeleAcha upumbavu ww uliona wap muislam akasaidiwa na mmarekan mumelala sna kwakumezeshwa ujinga wenzenu wanalipwa nyie mmekalia ubish tu ukielezwa una dalili na hata hiyo dalili ukipewa pia hujui mnacho jua nikutukana watu nakukataa ukwel saudia ni wayahudi wanaovaa vazi la kiislam yan Saudia na America tofaut yake ni ile miji mitukufu tu ila uongoz wke na America ni ule ule mwez washauandaa miaka mitatu mbele ww ukisubiria eid bwna wako Saudi 🇸🇦 angalie mwez yeye anasubir tarehe zke zifike atangaze
@jumaomari38424 ай бұрын
Miezi shehe ni mingi duu nimefurahi sana
@mwambamkombozi46724 ай бұрын
Alhamdulilah Sisi tupo ulaya miaka mingi sana na hatufuati Saudia kabisa na tupo kwa maelfu ambao hatufuati Saudia.
@sammarley14134 ай бұрын
Msifate kabisa brother hawa saudians niwapotofu kabisa hawana kabisa uhusiano na dini
@UmmuHaneefahChikomele4 ай бұрын
@@sammarley1413 Mche Allah maneno yako yanaandikwa
@abdallahdataguy4 ай бұрын
Unaichukia Saudia umejikalia zako nchi za kikafiri huko Europe kwenye ndoa za jinsia moja jnaangalia nyuchi tu 😂😂😂
@achangomaitambae12293 ай бұрын
anayo yaongea sheikh mengi ni ya uongo.mimi niko saudia miaka mingi sana
@user-lc1dl3qs4w4 ай бұрын
Mashaalah piga ukwl ukwl nilikua siyajuy haya
@babuuosama87524 ай бұрын
Ukweli wauma wafwatao saudia hole wenu. Sio wazee usingizi wanakosa ni wakukesha Madisco vilabuni ndani ya miji ya Saudia . Leo wewe Huko Kenya wafwata calenda ya saudia bandala ya Mwandamo wa Mwezi . Sheik wetu uko sawa ❤.
@jumachilundajr48534 ай бұрын
Wangi wao hatuna ilmu ya kidini nimelewa sana Shekhe IZIDDUN
@Ali-nl2du4 ай бұрын
Mimi naamini kila nchi ifuate mwezi wake. Hapa nilipo europe mwezi hauonekani. Sasa tufate wapi? Naomba kuelimishwa sheikh wangu.
@Tv-dl4qj4 ай бұрын
Mko ulaya kama mwezi hamu uoni dini inasema kamilisheni siku 30 mwezi wa sha'bani.
@user-st3re4uw9u4 ай бұрын
@@Tv-dl4qjhiyo Shaban atajuaje Ni 30 wakati hainekanwi bro tuache kilafu kWa Dini yetu
@latif154 ай бұрын
Sheikh zungumza dini ndio kazi yako sio siasa za nchi au badilisha mkondo na abdulsamad.
@bizimanamasachi57214 ай бұрын
Mashaalla wape ukwe vibaraka
@ramlajuma53174 ай бұрын
Alhamdulillah Maa shaa Allah tabaaraka llah hakika mungu akuzidishie unasema maneno ya kweli
@mahammadanhag44454 ай бұрын
Warabu wajnga cwakubal aswa asa wasaudia wabaguz sana wezao Gaza ata Maj hawapelek
@shabanisaid21714 ай бұрын
Allh Akbar umenizindua maalim nilikuwa mjinga sana
Huyu ni muongo sana,kwa mfano anasema adhana ya alfajiri imekatazwa saudia" Subhaanallah kilicho katazwa ni kutumia spika za nje tu wakati wa kuswalisha,na siyo adhana NI UONGO WA HALI YA JUU HUU YANI UONGO PLUS
@salehmussa93714 ай бұрын
@user-jl9sl2gb9w Sasa nduguyangu ktk Iimani ikiwa Sheikh nimuongo lkn umekiri kuwa Spika za nje zimekatazwa na mengine aliosema huja comment, inamaanisha 90% ya alichosema nikweli. OK tubaki kwenye spika zanje zilizokatazwa! Nihoja gani ya msingi iliosababisha spika za nje zikatazwe? Ni muislam gani mwenye imani yasawasawa anaekerwa na Quran ikisomwa? Wagonjwa wanatakiwa kusomewa Quran wao wanakataza kwa msingi upi? Tuache kufuru, Kua muarabu au mzungu au muhindi au muafrika (mweusi)au mchina nikwaajili yakujuana tu. Na haimaanishi kuwa watu wa Saudiarabia hawana dhambi. Mwakajana tu kunakijana kauwa na yeye kachinjwa ,hii niushahd nawao wanakufuru kubwa wanafanya. Namengi mengi tunayajua. Endelea kuwatetea lkn kufuruzao zipo waziwazi , Allah awasamekh wao nasisisi pia lkn wao baadhi niwashenzi km watu wengine.
@user-wl8cq2rn8z4 ай бұрын
Sheikh mm nakukubali km Saudi Arabia ingekuwa nchi ya kiislam icnge karibisha Mpira jambo la kishetani na kutumia pesa nyingi kwa ajil ya Mpira.
@abdoulamisi51794 ай бұрын
Jamanini tuskilize kwa umakini
@ahmedkhator39684 ай бұрын
Mashallah
@MohdJuma-ex2zw4 ай бұрын
Masha Allah mungu akuweke uzidi kutuzindua shehe
@seifrashid20644 ай бұрын
Allah atukubalie swaumu zetu
@FatumaMuya4 ай бұрын
Amiin
@mrok2844 ай бұрын
Shekhe upo vizuri. Allah akupe afya njema
@jumaomari38424 ай бұрын
Huyu she Yuko vizuri amesoma dini anaijua huyu
@madrassatulihyaa-ilislaami29114 ай бұрын
Umeonaeee❤❤❤
@user-tg3fy3yh5m4 ай бұрын
Jamaica unkujuwa ami
@bagalucha4 ай бұрын
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
@madrassatulihyaa-ilislaami29114 ай бұрын
@@bagalucha Wew ushafika saudia??
@bagalucha4 ай бұрын
@@madrassatulihyaa-ilislaami2911Suala zuri sana,Allah ni Shahidi kwa hili nimeshafika,na sio Saudia tu,kwa kadara ya Allah ulimwengu nilijaliwa kuuzunguka ulimwengu kwa zaidi ya nchi 50,na nauzunguka mpaka sasa,hapa nilipo nipo nje ya Tanzania,umri wangu ni mkubwa,na hizo safari siziwezi tena,narudia tena chungeni ndimi zenu,mengi yanayosemwa hayana ukweli,na uwe na tahadhari unapokuwa Saudia,sheria za kiislamu bado zimesimama,hizo media na propaganda za kidini zisikupotoshe,hukumu ya kukatwa vichwa na mikono bado vinaendelea,na maduka huwachwa wazi hadi Leo,wakaenda kuswali,mimi sipo makka kwa sasa,lakini mdogo wangu yupo huko,na futari zinaliwa msikitini ni bure kwa kila mtu,ni sadaka za iftari kila mwahali,tena kila siku,muazini kila mwahala,usisikilize upotoshaji,hao masheikh wanaozua wasiyoyajua Wallah wanachukua dhima,tena dhima kubwa.
@hafidhramadhni9344 ай бұрын
habibi alhamdulillah umeweka wazi kila kitu asie helewa achimbe shimo ajifukie tu
@AhmedSaid-hy4vp4 ай бұрын
Mashallah shekhe
@musarashid78734 ай бұрын
Allah akubarik sheikh umeeleweka vzr
@musr9314 ай бұрын
Khurafi is at his best!
@user-ip4hn8un7m4 ай бұрын
Asante
@ramadhanibahati28294 ай бұрын
Good Shekh❤
@LemkiHamadi4 ай бұрын
Huyu shekhe anaongea ukweli ulio waziwazi sasa kama utakuwa na ushabiki wa kumkejeli ni hiari yako
@nasirirashidi43504 ай бұрын
Umetufungua Ufaham sheikh shukran
@user-jl9sl2gb9w4 ай бұрын
Hapana ndugu yangu,amekutia uongo mwingi sana,saudia hawaja kataza adhana na kama wamekataza adhana mimi namuomba Allah aniangamize kwa namna yoyote mbaya.
@rayisadesigns26464 ай бұрын
@@user-jl9sl2gb9wusitetee usalafi, nyuma ya usalafi kuna ukafiri unasapoti harakati zao.
@yes_yes13104 ай бұрын
Sheikh Umeeeleweka vya kutosha 🥺Allah akuhifadhi.
@machintangachibwena59224 ай бұрын
Sio Serekali ya kioslamu kabisa manake Hata kina Rihana wana tumbuiza siku hizi Concert kwenda mbela
@shukurually87694 ай бұрын
Kiukweli hawa wazee wa saudia wanazingua wakifunga wafunge ila wasitutangazie
@MustafaSambala4 ай бұрын
Sheikh .. wangu upo sahihi ..
@user-uq4dm5sd9i3 ай бұрын
Hiyo saudia iliyokataza adhana kwa spika nje ni saudia ya Kenya au saudia ipi maana huku adhana twaziskia vzr misikiti yote saudia
@huseintajo81134 ай бұрын
Mwezi wanatangaza sawa makosa ya mtawala usiyalinganishe na muandamo wa mwezi kuwa muadilifu
@Abdulcareem20244 ай бұрын
Sheikh Ako na umakinifu wa akili CONSCIOUS
@user-it3ee7zq2y4 ай бұрын
Hata misri siku hizi mpaka sudia itangaze
@AbdullahiSheba4 ай бұрын
Sh. izzudin masha allah
@AliKibwana-hs5dv4 ай бұрын
Mashallah sheikh
@suuahmed714 ай бұрын
Maneno kuntuu ya ukweli .wameelewa hawataki tuuu kufuata
Ndio hali ilivyo nduguu kama hujui yule kiumbe mwenye jicho moja ni yeye asilimia zote@@mohammedmohsin3186
@babazungu31804 ай бұрын
Shekh nimekupata vizur ila elewa pia wapo wasaudia watakao ingia moton maana wao ni binadamu
@mjaweathman65194 ай бұрын
Ungesema kuna wasaudi watakao ingia peponi Kwa sababu wamotoni nikama wote pumbavu zao 😂😂😂😂
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@mjaweathman6519😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-rn1xk1yr5j4 ай бұрын
Huwezi kushindana na daula TAWHEED
@sulehassanshall61404 ай бұрын
Somalia ndio Dola yatauheed sio Suudia. Endeni Somalia mukaone Waislam haswa wanawake wakiislam wote Wanavaa majalibib . .Kama nisuudia Hakuna uislam huko.. wakishika Dini niwachache Sana ..Dini iko Afrika ..
@mjaweathman65194 ай бұрын
@@sulehassanshall6140kweli kabisa wanao ijua Saudi vizuri ni kama Sisi mashagala lakini wengine wataitetea tu hakuna uislam huku ni wayahudi
@Rmkh884 ай бұрын
Saudia ni dola la kikafiri
@zamyabubakar8544 ай бұрын
Dola ya tawheed ya kikafiri saudia kabisa sheikh
@MohdJuma-ex2zw4 ай бұрын
Mola mpe umri mrefu shehe wetu azidi kuwazindua walio kosea
@hemedjackson22614 ай бұрын
😂😂😂😂 unajua nafurahi kitu kimoja, Ktk nchi zenye viongozi w kinafiki ni saudia Arabia dini imepew kichogo kabis na ujinga mkubw zaid huwatumia hao hao maulamaa kin sheikh Sudais na kuwalazamish kutoa fatwa na maelekez mengin ya kidini , na Qatar na EAU huwafuat, kuwaogop na kuwaheshim san Saudia. Hiz ni nchi ambazo siasa zao na mamb Yao ya ndan Marekani ndie anaeamuwa ndug zang ndug zang tusifuat mikumbo tufuatilie hizi nchi siasa zak na serekali zake sio km hakuna waisalamu tuelewan ila viongoz wao sio wanaofuat uislamu na unafiki mkubwa uko ktk hizi nchi tufuatilie na tuzisome hizi nchi za ukanda ule wa middle east pan maoza oza pale makubwa na kiongozi wa yote ni saudia Arabia
@halidmauga964 ай бұрын
Swali langu ni kwamba je kama kila mji na mwezi wake sasa kwanini waseme tumekubaliana kenya, Zanzibar na Tanzania bara kuwa mwezi ukionekana tunajumuika pamoja?
@jumasalum36844 ай бұрын
Acha ujinga we mwisilamu,
@ibra.mstudingfile85844 ай бұрын
Msikiliz kwa makin yy hakatai ufate uko lkn je uko unako data ni sahih
@AhmedmohamedNur-cr7su4 ай бұрын
Walio funga na saudia wanachooooo
@user-bf8km3dv4p4 ай бұрын
Wallah nahisi wahabi wanatatizo kubwa LA kiakili, yani wameshindwa kumuelewa izzudi Wallah
@mohammedmohsin31864 ай бұрын
Wewe ndio una matatizo sababu hujakaa kusoma dini yako.
@UmmuHaneefahChikomele4 ай бұрын
Kwani yeye ni nani hadi kila asemacho kiaminiwe..?
@abduwahabi70194 ай бұрын
Suudia mtu akiiba anakatwa mkono akiua na yeye anauliwa akizini anapigwa mawe ebu nitajie ktk nchi ulizo sema za Kenya na nyinginezo niipi inampiga mawe mzinifu!! Ni ipi mwizi anakatwa mkono?? Izudani mjinga sana anachuki na nchi inayo simamia sheria ya allah
Ww ni mwehu na hufaham kwn yy kasema izo nchi ni za kiislam? Au kasema ni afadhali kuliko iyo inayosemwa ni ya kiislam? Mbona ww ni mwehu na mjinga
@salehmussa93714 ай бұрын
@@HemedSerious Endelea kutema povu na matusi hicho ndiokipimo cha uelewa na akilizako,ndiojibu sahihi na naelewa wewe nimuelewa kiasi gani.
@issahabdallah90184 ай бұрын
Tuongeeni na raisi wetu atuchapishie misahafu kutoka kenya. Maana wanatuheshimu sana waislam.
@abdul-rahmanfakijuma18794 ай бұрын
Maa Shaa Allwah
@user-uq4dm5sd9i3 ай бұрын
Saudia haiheshim dini hii misikiti inajengwa na wakoloni au? Mbona unabweka tu utamdanganya nani zama hizi
@user-zx2gj4dh1g4 ай бұрын
Shekh anakwama
@MohdAliHaji4 ай бұрын
Mche Allah
@rayisadesigns26464 ай бұрын
Usitetee usalafi
@nurdiniuledi484 ай бұрын
Mashaallah
@dj_ha17-ux6st4 ай бұрын
Kuna sehemu umezungumza ukweli na sehemu umezungumza kwa ushabiki kwa maneno ya mtaani na tuhuma zisizo na mashiko ..NI NYIE NYIE SAUDIA ILIPOKUWA INAFANYA VIZURI MWANZO BADO MLIKUWA MNAIPONDA ,,Huwezi fananisha Saudia na Jamaica hata kama kuna maasi kwenye baadhi ya miji ya wageni kama Jeddah au Riyad lakini bado Saudia ina kheri nyingi kuliko miji yote ..Shida ni baadhi ya Viongozi wanataka kuibadili ili nchi kwenda kimagharibi ...UADILIFU kitu kigumu sana
@AthumaniAmiri-fv5zp4 ай бұрын
Sasa umekataa nn unakubal nn😅😅😅
@UmmuHaneefahChikomele4 ай бұрын
@@AthumaniAmiri-fv5zp Mbona kapambanua vizuri wewe tu ndo haujamuelewa tatizo la hao masheikh zenu ni kutaja mabaya yaliyo machache kwa uwingi na wakakosa uadilifu wa kuyasema mema ya Saudi ili kuwafurahisha mashia watoe michele kwenye maulidi zao
Wew nawe uwe msikivu hajamaanisha jamaica ila pale tu ukapokuona kua ni sahihi mi mkristo ila nimemuelewa palipo na haki ndipo upafuate kaka
@harunichambo46584 ай бұрын
Hapa tatizo watu wanatetea sehemu, kwa kuwa inaitwa saudia bhac watu wanadhan hayawez kutendeka maovu, ni hivi fateni uislamu unavosema na wala sio kuangalia sehemu, au mtu juu ya kile anachofanya, Mwanadamu kagewa akili ili aweze kuchanganua mwenyew kati ya njia mbaya au nzuri, TUFATE SHERIA NA MISINGI YA UISLAMU NA WALA SIO SEHEMU AU MTU!!!!
@UmmuHaneefahChikomele4 ай бұрын
Labda ungemtaja anayetetea saudia kama nchi na sio dini...?
@abduwahabi70194 ай бұрын
Je ktk inchi zote izo ulizozitaja au nchi zote unazozijua niselikari gani au mfalme gani amewai kumnyonga mtoto wake kwa ajili ya kutekeleza hukumu ya dini?? Nyinyi mnachuki na suudia kwa kuwa wao niwatu was tauheedi.mtawazulia mengitu nabado
@user-sb6gy6dx1m4 ай бұрын
Chuki gani shekhe na wakati wametangaza wazi miji ya kidini ni makka na madina, kwingine ruksa kufanya unachotaka bila kujali mipaka ya uisilamu. Kwenye lazima ukubali sio kuleta kichwa kigumu Kama ndugu zetu wasiokuwa waisilamu wanabisha wakati haki hiko wap.
@islamseyffden77234 ай бұрын
😂😂suudia kubw jinga abu jahal lahab😂😂
@suheilbalian75464 ай бұрын
Shekhe ni kiongozi gani anaeongo hata kwa sheria moja tu ya kiislm
@highhigh74764 ай бұрын
Afadhali Kenya 👍
@shmohd114 ай бұрын
Sheikh Serikali ya Saudia ya lini? Serikali ya Saudia Zama zote? Sema wazi Serikali ya sasa ya Saudia
@osmanmanbile93274 ай бұрын
Serekali ya saudia ya sahii
@YusufuThegreat4 ай бұрын
Sheikh ongeya mambo ya ki ELIMU SIYO uhaduyi maneno Yako unaleta uwaduyi wewe mwenyewe ujuwi niwanani?
@Happy-be8hh4 ай бұрын
Mwana falakia wa Saudia anasema kwa miaka 65 kuna Hali 38 kwamba unatangazwa mwezi bila ya kuwepo
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui4 ай бұрын
❤
@machintangachibwena59224 ай бұрын
Huko Saudi-Arabien siku hizi ufedhuli mwingi tuu mungu atusimamie na hiyo Macca yetu tuu na Madina Inshallah 🙏🙏
@UmmuHaneefahChikomele4 ай бұрын
Mnajazwa chuki mno angalieni mashia washasema makka yao Karbala mtajazwa hadi mtageuza kibra
@machintangachibwena59224 ай бұрын
@@UmmuHaneefahChikomele hatariii
@osmanmanbile93274 ай бұрын
Sisi saudia tunaupenda ni nchi ya waislamu na nchi ya dini lkn tunasema wenye wako mamalakini saudia sahii n vibarka wa america wala hawafai kufutwa wanaistahili kutolewa mamalknai
@abduwahabi70194 ай бұрын
Wewe hujui kuwa mashia wa Yemeni walituma mabomu kuipiga alkaaba!! Je muislaam anaweza kuipiga alkaaba!!!
@SalamaKhamis-un8vn4 ай бұрын
Swadaqta
@jumaqmussa30014 ай бұрын
tatizo kuna wa2 wana commment kwa jazba cjui shekh kasema kutoka na na aya hajasema ukahij jamaica jaman sikilizen mpaka mwisho ndo ukoment acha jazba
@HemedSerious4 ай бұрын
Wanachanganya mambo Kwa jazba na sio km hawaelewi
@jamalkishangu4 ай бұрын
Saudia ni nchi iliyo na matatizo makubwa katika maendeleo ya Uislamu, ipo kwa ajili ya dunia zaidi. Wakuu wa serikali, ukoo unao tawala ni kikwazo kikuu, wamesilimu lakini hawajaamini.
@mjaweathman65194 ай бұрын
Kweli kabisa
@abduwahabi70194 ай бұрын
Wewe nchi yako inasimamia sheria ipi ktk sheria za Allah mpaka uanze kuilaumu suudia? Tutajie apa
@idrisaabdallahmadenge31554 ай бұрын
Huyu anachuki binafsi
@HemedSerious4 ай бұрын
Ww una chuki Zaid
@Worldunite4 ай бұрын
Kweli kabisa SAUDIA YA MASALLAF HIYO, sasa walivyokuwa na nyenyekevu halafu wanaanza kuodoa adhaana, live tareweeh, wanasappot Israel, nk UISLAMU WA SAUDIA unaendeshwa na mfalume,sio misingi ya kidini
@alihirbo38754 ай бұрын
Nabwana kilamwaka nyinyi mnafata saudia kwa sikuya 2
@user-dc8bu2mf9v4 ай бұрын
Shekh kuwa makin katika kusems
@user-fi6hb3lp5y4 ай бұрын
Awe makini vipi anyamaze au? Si yuasema ukweli Tena awemakini vipi? Mwamtisha au
@babuuosama87524 ай бұрын
Nikipi wenzetu wakenya wenye kuwa na haraka ya kufunga siku ya ishirini na tisa kutokamilisha Thalathini ? ETI saudia Wametangaza Wewe uko 🇰🇪.
@adamjutto58494 ай бұрын
Sasa nyie masheikh ambao ni vibaraka wa wamisri nataka nkwambieni,hakuna nchi yyte saivi ya kiarabu mnayoijua nyinyi ina fuata uislamu wa sawa,angalau hao suudi wajitahidi,tembeeni muyaone,hao wamisri na masheikh wa az-har ambao miaka nenda miaka rudi wajitia kuikosoa saudia,nchi yao wao wenyewe imeathiriwa na umagharibu kwa kias cha juu saana,kiasi ilifika hatua walipagana wao kwa wao kwa kutohitaji uongozi wa kidini,nchi za kiarabu zote saiv zimeingia katk ma mipira,miziikiii,udanguurooo,kubusishwa na mabishara atarishi,sasa msitake kuionea saudia kwa sbbu ya tofauti za kiitikaadiii,hakuna hata nchi moja ya kiarabu unayoijua weweee ina ukamili,fanyeni wlau inswaaf mnapokua mnaizungumzia saudia
@alihumaid34924 ай бұрын
Lubuva WEWE UNASEMA OMAN MAIBADHI WATU WA BIDAA..... JE.... UNAWEZA KUWEKA HOJA ZAKO HAPA YA HIZO BIDAA UNAZO ZUNGUMZIA????? NAOMBA UTUFAHAMISHE AU VINGINEVYO UTAENDA KUMJIBU ALLAH KWA MANENO YAKO HAYA POTOFU!!!!!
@SirlemNasir4 ай бұрын
Maneno mengine ni sawa na mengine ni siasa na chuki. Mfano kama kuhusu flag ya Saudi 🇸🇦, wachezaji mchezo aina yoyote, wakati wanaingia chooni, ni sawa kuingia na kalima hiyo.. Mtume Muhammad Pete yake alikua akiivua kwa sababu gani wakati akiingia kwa haja ?? Ni sawa hiyo flag ibadilishwe, iwe ya heshima na kuwepo ya sirikali. Bila ya neno la Tawhid.
@babanusayba36004 ай бұрын
Mnasapotiana ujinga
@user-es6db6gk4w4 ай бұрын
Kwakweli muna chuki sana na saudia mpaka unaifananisha na Jamaica nendeni mkahiji uko uko Jamaica tuwaone kweli na chuki zenu mbona nchi zenu izi zimearibika vibaya zaidi hamsemi kazi kuisema vibaya saudia kwakuwa kuwa wapo tofauti na mitazamo yenu
@UmmuHaneefahChikomele4 ай бұрын
Ni wajinga wanaobebeshwa chuki na makafiri wa kishia na manaswara
@selemanijafari92254 ай бұрын
Kwani tunafata mwenzi au tunafata tabia za nchi mana hamna nchi ya kiisilamu kote hali tete mm npo zanzbar lakn afazali na apo daa wat wanakaula na ukionekana daa vp tusifunge
@user-zx2gj4dh1g4 ай бұрын
Shekh anakwama ubovu serekali hauwez kushusha hadhi mahali ilipossisiwa dini
@user-lm9wz2ix8g4 ай бұрын
Facts 100% ndio Wana tutesa huku ju hata hawa jui sunnah ya mtume wetu MUHAMMAD S.A.W very bad people subhannallah hata na hii Ramadan hawa huruma kabisa
@kazinaimwishehe-ec3xu4 ай бұрын
shehe inasemekana kiongozi wa saud anahasiri ya uyaud ndomana wameungana tushituke
@UmmuHaneefahChikomele4 ай бұрын
Tumia kichwa kufikilia....
@huseintajo81134 ай бұрын
Fuaata jamaika na ukitaka kuhiji nenda huko jamaika ukahiji.