Sijawahi Kusema, Ninao Maadui Mtume Mwamposa

  Рет қаралды 54,912

Chomoza Tv

Chomoza Tv

4 жыл бұрын

Kuendelea kupata mafundsho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
KZfaq : kzfaq.info?su...
#ChomozaTv#Mwamposa#UwezaWaMungu.

Пікірлер: 130
@jacklinebirusha292
@jacklinebirusha292 2 жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana hayachoshi kusikiliza asifiwe Mungu aliyekuleta Duniani kwa jina la Yesu Kristo
@matridaignas8255
@matridaignas8255 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,unamafundisho mazuri! Kupitia maombi yako nimefunguliwa na nimepona! Uishi miaka mingi
@anordsakaya9852
@anordsakaya9852 4 жыл бұрын
Eeeh Mungu naomba nikitoka kwenye Siku ya kwanza unipaishe mpaka Siku ya tatu maana Siku ya pili inakatisha tamaa.Amen. @HATARI YA SIKU YA PILI.
@user-qv6fe2qt5r
@user-qv6fe2qt5r 3 күн бұрын
Yaan mtumishi una hekimaa wewe ndo màana sichoki kusikiliza mahubili yako🙏🙏
@willymfilima9936
@willymfilima9936 2 жыл бұрын
Mtume uko vizuri,ufanikiwe sana...!
@banguha
@banguha Жыл бұрын
Asante mtumishi kwa kweli mim nimekuwa nikiomba na kufunga lkin kazin kwangu ndo kwanza bos anazidisha chuki leo umenipa somo kumbe niko siku ya pili hakika leo nimeamka nimekata tamaa Mungu anisaidie na anisamehe kwa kukata tamaa kwangu
@rehemashaban6858
@rehemashaban6858 4 жыл бұрын
Asante sana baba wengi wetu tupo siku ya pili mungu atutie nguvu kweli
@dorotheawilliam2982
@dorotheawilliam2982 2 жыл бұрын
Amina nimepokea nimepona na nimeshinda kabla ya kushinda pia Mungu naomba univushe haraka siku ya pili
@gracepaulo7354
@gracepaulo7354 3 жыл бұрын
Nabarikiwa sana mtume..nakupenda pia baba wa iman ubarikiwe sana
@kenethkayuni8658
@kenethkayuni8658 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi waMungu uishi miaka 100
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
Manung'uniko ni dhambi,yanaongeza uharibifu🙏
@emmymatigula4870
@emmymatigula4870 3 жыл бұрын
Asante MUNGU ALIYEHAI,nimepokea kupitia kinywa cha Mtumishi wako.Amina
@WinWilly4162
@WinWilly4162 4 жыл бұрын
Ahsante Apostle,nimejifunza kitu kikubwa sanaa
@aleckkinyoa6571
@aleckkinyoa6571 3 жыл бұрын
Ameen baba Neno hili limegusa full maisha yangu niombee nivuke salama siku hii ya pili
@rehemaiyanga5334
@rehemaiyanga5334 2 жыл бұрын
Apostle namuelewa sana hakika kaletwa na Mungu haleluya
@HelenaTembo-dz4pr
@HelenaTembo-dz4pr Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Kwa Kaz njema hata yesu wakuu wa makuhani wali msulubisha tupo pamoja
@graceasukile7029
@graceasukile7029 2 жыл бұрын
Namuelewa sana huyu Mtumishi..hakika Mungu,azidi kukutumia..japo ni ngumu sana kueleweka na walio wengi..
@ameniameni617
@ameniameni617 3 жыл бұрын
Amen mtumishi kitabu cha nguvu yakuona kimenisaidia kuwa na Imani kubwa pia mafundisho yako yamenijenga mpaka sasa siogopi chochote .Mungu azidi kukuinua
@zainatoji1965
@zainatoji1965 3 жыл бұрын
Asante mtume nimepona magonjwa mengi kupitia mungu wa mwamposa ndoa yangu inapona mungu azidi kukupa maono
@hongeradulle1553
@hongeradulle1553 3 жыл бұрын
Aminaa naamini Nani nitapona kwa jina la yesu aminaa
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 жыл бұрын
Safi sana,Bwana ana watu I jus love this revelation!🙏Yesu ni Mungu, hallelujah
@senimsangi677
@senimsangi677 Жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa wangungu nimejifunza mengi na nimebarikiwa sana
@mukembanyikalinda8908
@mukembanyikalinda8908 Жыл бұрын
Mimi nayapenda saana
@mbassa5070
@mbassa5070 Жыл бұрын
Baba anahekima sana
@user-nf9nw7xd6y
@user-nf9nw7xd6y 7 ай бұрын
Mtumishi wangu pendwa Mwamposa amenipa amani na kuijua kweli
@julianlaurent2107
@julianlaurent2107 3 жыл бұрын
Yaani mtume baba wa Imani wengi wamepona kupitia maombi yako
@gladnessjoseph9847
@gladnessjoseph9847 Жыл бұрын
Mungu akutunzeee babaaa naponaaa kwa mafundisho tu
@zulfafengu3783
@zulfafengu3783 5 ай бұрын
Mbona Sasa hivi chomoza mwamposa atumuon chomoza
@elinemsuya8651
@elinemsuya8651 2 жыл бұрын
Duuh I like this man of God
@jengatech_tanzania
@jengatech_tanzania 4 жыл бұрын
Amen apostle
@stelladomani4429
@stelladomani4429 4 жыл бұрын
Apostle nahitaji hicho kitabu.nguvu ya kuona ninacho kizuri sana. Mungu akubariki sana.
@prijoseph4665
@prijoseph4665 5 ай бұрын
Habari Mpendwa
@sarahmgaiwa8808
@sarahmgaiwa8808 2 жыл бұрын
Barikiwaa mtumishi wa MUNGU
@AshuraYasini
@AshuraYasini 8 ай бұрын
Ameen mafundsho haya nimeyaelewa mungu akubariki mtumishi
@mberwasevelian7406
@mberwasevelian7406 8 ай бұрын
Mungu wa madhabau ya rise and shine bariki kazi ya mikono yangu nyota yangu ingae Kila niendako nipendwe nakila mtu nizidiwe mafanikio makubwa nimiliki pesa na Mali Kila nifanyalo lifanikiwe niwe tajili mkubwa ninuke nakuangaz Kila Kona nipendwe mpk nizidiwe
@JanethAmosi-i1f
@JanethAmosi-i1f 10 күн бұрын
Mungu akuweke mtume
@vujadonald2244
@vujadonald2244 6 ай бұрын
Bonge la mafundisho barikiwa mtumishi
@graysonkewe1004
@graysonkewe1004 2 жыл бұрын
Amen Baba, Asee am never the same
@mukembanyikalinda8908
@mukembanyikalinda8908 Жыл бұрын
Ubarikiwe saana
@dianamwakitega6111
@dianamwakitega6111 3 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu
@carenhilary8067
@carenhilary8067 9 ай бұрын
Haleluya, nimepata kitu zaidi ya Madini.
@jeressjohn9105
@jeressjohn9105 3 жыл бұрын
Barikiwa sana 🙏🙏
@MWAMASIMBI_TV
@MWAMASIMBI_TV 2 жыл бұрын
This is deep Major
@odethadeodatus5906
@odethadeodatus5906 4 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi kwa mafundisho yako mazuri ya kutufundisha lmani .
@lavianaalbert9006
@lavianaalbert9006 3 жыл бұрын
Kiukweli umenivusha sana sku pili nimekua jasri siogopi wala stajibizana na watesi
@aleckkinyoa6571
@aleckkinyoa6571 3 жыл бұрын
Ameen ndimi mrs Aleck
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 3 жыл бұрын
Watesi wangu wa siku ya pili wajiandae kunishuhudia nikila Bata mbele yao siku ya tatu imekaribia
@aloycekibiki9618
@aloycekibiki9618 8 ай бұрын
Songa mbele mtumishi wa Mungu
@rainfalling103
@rainfalling103 3 жыл бұрын
Ameni!
@nzumimawa9853
@nzumimawa9853 Жыл бұрын
Kwa kweli Akili aliyonayo Apostle Mwamposa kama ni degree za duniani sijui zingekuwa ni ngapi. Naomba Mtumishi atutoletee hicho kitabu cha siku ya pili uchambuzi wake umenishangaza sana kwani si rahisi kama mtu wa kawaida anavyoweza kufikiri, cha nguvu ya kuona chenyewe kinanitoa jasho, I sometimes fail to read between the lines and keep on repiting.
@pastorgodsonjohn8562
@pastorgodsonjohn8562 3 жыл бұрын
Kitabu kinapatikanaje hicho
@johnnjau2028
@johnnjau2028 11 ай бұрын
Dah kiukweli nimejifunza sana
@Jasinthaamon
@Jasinthaamon 7 ай бұрын
Jamani SoMo zurii mnoooo
@elizabethmgimba
@elizabethmgimba Жыл бұрын
Amna
@amokizzymc705
@amokizzymc705 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtume mungu akuweke miaka mingi sana
@wordoffaithanddeliverencem4365
@wordoffaithanddeliverencem4365 2 жыл бұрын
Neno la kweli kabsa
@edykiwele878
@edykiwele878 2 жыл бұрын
Duh una mawe yakujenga na kuokoa we noma
@pauloalex5152
@pauloalex5152 2 жыл бұрын
Amna mtumishi
@lilyrose7983
@lilyrose7983 4 жыл бұрын
Ameen mbarikiwe sana
@pastorgodsonjohn8562
@pastorgodsonjohn8562 3 жыл бұрын
Mwambie dr sam akanyage chini ananinginia kwa kiti sjui haumii😂😂😂
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 9 ай бұрын
Ameeeni nimepokea
@paskalmagiri4466
@paskalmagiri4466 3 жыл бұрын
Bwana mwenyewe ana maadui ufu 12;7_20
@madatapeter2218
@madatapeter2218 3 жыл бұрын
Amini kua ukiona unapata madui ndio utapa mafanikio kumbe nilikua sijui kumbee ukiwana maono nilazima upte madui ameni nashukuru Sana kwa kujua hii 🙏🙏🙏🙏ameni
@simonielisha9041
@simonielisha9041 3 жыл бұрын
Naelewa Sana Hapa unachokosema mtume
@Rodahpaschal
@Rodahpaschal 11 ай бұрын
Anaongea point
@Jasinthaamon
@Jasinthaamon 7 ай бұрын
Ameeeeeeeeen 👏👏👏👏
@yasinijuma6646
@yasinijuma6646 Жыл бұрын
absalute mr. mwamposa
@kyaruzitz4994
@kyaruzitz4994 4 жыл бұрын
MUNGU AWABARIKI SANA
@matridaignas8255
@matridaignas8255 3 жыл бұрын
Ameeeeeen
@tezrantangeki5845
@tezrantangeki5845 3 жыл бұрын
Amen! Barikiwa mtume! Unafundisha kwa umakini mkubwa,mno!
@semakogamtende3929
@semakogamtende3929 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@elizabethkambi5221
@elizabethkambi5221 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 жыл бұрын
Kazi nzuri wapendwa, ila ficheni hizo transmitor za mic
@atanito1327
@atanito1327 3 жыл бұрын
udat iyooo aninga'ng'nie
@yohanayohana888
@yohanayohana888 2 жыл бұрын
Amen
@johnnjau2028
@johnnjau2028 11 ай бұрын
Amen halelluhy
@atanito1327
@atanito1327 3 жыл бұрын
aleluyaaa naomba bos wangu aniogope hata kuniomba hesabu yake na kila anae nidai aniogope kwa jina la yesu amen
@joycechaz2840
@joycechaz2840 3 жыл бұрын
Lipa madeni ya watu huko!! wakuogope nini wakati ulikopa
@joycechaz2840
@joycechaz2840 3 жыл бұрын
Boss asikuombe hesabu kweli? Ungekuwa wewe ndo boss ungejiskiaje?
@jonathanmnyone4003
@jonathanmnyone4003 2 жыл бұрын
Nadhani unamuelewa vibaya Apostle. Hakuwa anamaanisha usiwajibike. Ni wajibu wako kulipwa deni na kutimiza kazi ulizopewa na boss wako.
@jonathanmnyone4003
@jonathanmnyone4003 2 жыл бұрын
Kulipwa= kulipa
@archkeels3753
@archkeels3753 Жыл бұрын
Nataka nisikuelewe lakin najikuta ovias
@lovenessmwamengo7090
@lovenessmwamengo7090 2 жыл бұрын
Jamani tunaitaji kitabu hicho
@daudisaba7808
@daudisaba7808 2 жыл бұрын
Hapa ktv tanzania
@adarashidi8178
@adarashidi8178 2 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@roselugendo6943
@roselugendo6943 3 жыл бұрын
Asante baba kwa somo zuri
@amashalwijajo5698
@amashalwijajo5698 Жыл бұрын
mafundisho mzr sana
@happinessakim2679
@happinessakim2679 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 9 ай бұрын
Unapoinuka au inuliwa adui au maadui lazima
@user-nf9nw7xd6y
@user-nf9nw7xd6y 7 ай бұрын
Mtangazaji unachekacheka tulia usikilize nn mtumishi anaongea
@pastorsthenksrojaskapunga6843
@pastorsthenksrojaskapunga6843 11 ай бұрын
Akili inaitajika hekika kweli kuishi na ndugu hekika
@analucas7606
@analucas7606 Жыл бұрын
Amém
@naikenjau1686
@naikenjau1686 Жыл бұрын
Kweli kabisa bila maadui hufikiii mafanikio yako
@paulmassawe1591
@paulmassawe1591 2 жыл бұрын
Mwandishi anamawenge kweli kweli wanaume weupe Ndio kawaida yao
@seniorprophetmaxmbise737
@seniorprophetmaxmbise737 2 жыл бұрын
✋✋✋👏
@RaphaelGerald-ip4vs
@RaphaelGerald-ip4vs Ай бұрын
Hatali yacku yapili
@albertomsolansimbi1512
@albertomsolansimbi1512 Жыл бұрын
So inspirational!
@leonardmtweve
@leonardmtweve Жыл бұрын
Wewe Ni Mtume wa kweli kutoka kwa MUNGU hakika mapenzi ya MUNGU yaendelee kutimizwa kwenye maisha yetu sisi wanadamu wote Katika Jina la YESU KRISTO AMEEN . MUNGU akulinde zaidi Mtume wetu Boniface Mwamposa ❤️❤️❤️
@janetmwasokwa4016
@janetmwasokwa4016 Жыл бұрын
Nivushe siku ya pili leo baba na niupushe na madui
@seebs1156
@seebs1156 3 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kuhusu siku ya pili
@user-wz8xc6gz5q
@user-wz8xc6gz5q 7 ай бұрын
Kiki tka hcho kitabu cha mateso sku ya pili mtangaze
@shadrack1425
@shadrack1425 Жыл бұрын
Mwamba huyo
@yohanayohana888
@yohanayohana888 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🤣🤣
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 жыл бұрын
Mutume mwpoosa mungu awe na wewe siku zte tumepona kupitia wewe
@jastinshukabwanakatikatiya7230
@jastinshukabwanakatikatiya7230 3 жыл бұрын
Amina mtumishi nimebarikiwa sana na mafundisho yako
@omarikereda2888
@omarikereda2888 3 жыл бұрын
Ubatikiwe Sana mtume,nimefunguliwa,nimepokea,nimezidishiwa imani
@hongeradulle1553
@hongeradulle1553 3 жыл бұрын
Namimi naamini nitatembea kwa uwezo wa mwenyezi mungu amina
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 3 жыл бұрын
Watu waliomfata Yesu awaombee walisema shida zao hawakuzificha kama unaumwa sema naumwa usisemw siumwi kama hauumwi unahitaji maombi ya nini, wogonjwa ndio wanaomfata Daktari si wazima, halafu Yesu alisema nimekuja kwa ajilinya wenye dhambi na wale wenye ndambi walimpokea hawakukana kwamba hawana dhambi,batimayo alipoulizwa unataka nini batimayo alijua yeye ni kipofu na akamwambia Yesu ninataka kuona hivi Batimayo angeficha tatizo lake je angeponywa? Utakuta mtu anakataa eti haumwi wakati unamwoma anakwenda hospitali au anakwenda kuombewa wakati kasema haumwi duh inachanganya sana
@yasinijuma6646
@yasinijuma6646 Жыл бұрын
J
@charlesjamesmwandusa
@charlesjamesmwandusa Жыл бұрын
Mtumishi unanipa somo kubwa
@phinaisaya3953
@phinaisaya3953 3 жыл бұрын
Huyu ndo baba yangu wa kiroho, wachape neno baba hapo watatafutana hao
@davidwilliam1189
@davidwilliam1189 3 жыл бұрын
Jamani hivi mmesahau huyu ndio alisababisha Yale mauaji ya moshi pale
@lavianaalbert9006
@lavianaalbert9006 3 жыл бұрын
Hujatushawishi kwa uongo wako watu tushapona tunarojua hirotu uongo peleka huko
@davidwilliam1189
@davidwilliam1189 3 жыл бұрын
Wewe ni mtume wa kuua watu mwamposa
@rehemaconeriocostance9011
@rehemaconeriocostance9011 3 жыл бұрын
Usiukumu usijr ukaukumiwa, unaushahdi gani juu ya hilo
@rehemaconeriocostance9011
@rehemaconeriocostance9011 3 жыл бұрын
Usiukumu usijr ukaukumiwa, unaushahdi gani juu ya hilo
@ameniameni617
@ameniameni617 3 жыл бұрын
David William mwamposa kwani aliwangonga au aliwapa Sumu au aliwapiga Risasi Moshi mbona waislamu wakienda kuiji maka wanakufa nawatu awaachi kwenda tena
@lavianaalbert9006
@lavianaalbert9006 3 жыл бұрын
Wivu nikidonda farisayo kaumia na huyu mungu ahusike na kinywa chako akufundishe
@abeidonesmo8373
@abeidonesmo8373 3 жыл бұрын
Mwampossa baba lao
@kenethkayuni8658
@kenethkayuni8658 2 жыл бұрын
Nimekuelewa sana mtumishiwa Mungu tuendelee mbele
@GreatCalmtz
@GreatCalmtz 3 жыл бұрын
Amen
@sekelagatusekelege9325
@sekelagatusekelege9325 Жыл бұрын
Majibu yanayojitosheleza
@elizabetty-rt7py
@elizabetty-rt7py 3 ай бұрын
Amen
@RaphaelRoyal-yb3bg
@RaphaelRoyal-yb3bg Жыл бұрын
Amen
Urithi Kwenye Vitu Vya Ulimwengu Wa Roho (Part 1) - Pastor Sunbella
25:48
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 19 МЛН
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 30 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
MY WIFE LEFT ME WITHOUT NOTICE- PK KARITEI
1:19:01
JEFF KURIA
Рет қаралды 36 М.
Mwanga Wa Akili (Intelligence) Dr.Elie V.D Waminian.
34:13
Chomoza Tv
Рет қаралды 19 М.
SELASINI AMLIPUA MWAMPOSA BUNGENI - "YULE ROHO MTAKA VITU, NI UTAPELI TU"
10:59
Mwanga Wa Akili (Intelligence) Dr.Elie V.D Waminian.
43:40
Chomoza Tv
Рет қаралды 28 М.
Majibu ( Response ) Dr. Ellie VD. Waminian. No 19
33:00
Chomoza Tv
Рет қаралды 9 М.
Playing hide and seek with my dog 🐶
0:25
Zach King
Рет қаралды 28 МЛН
tom and Jerry 😱🆕 #trending
0:23
Nemi Shorts
Рет қаралды 18 МЛН