SIKU NNE ZA KUTOKOMEZA UDUMAVU MKOA WA IRINGA

  Рет қаралды 225

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa

Ай бұрын

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe.Peter Serukamba amewataka Wazazi na walezi Mkoani Iringa kujitokeza Kwa wingi kuwapeleka watoto wenye umri wa mwaka 0 mpaka miaka 5 ili kupima hali ya udumavu na kutambua ni eneo lipi lina changamoto zaidi ili kukabiliana na kutokomeza changamoto hiyo
Mhe Serukamba ameyasemwa hayo leo Juni 10 ,2024 ofisini kwake wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema ili kuhakikisha changamoto ya udumavu inamalizika, Mkoa umeanzisha kampeni ya siku nne kwa lengo la kutathimini na kujua maeneo yanayokabiliwa zaidi na changamoto ya udumavu ili nguvu ya ziada iwekezwe kuweza kuukabili udumavu.
Kwa hatua nyingine Mhe Serukamba ameeleza kuwa mpaka sasa kiwango cha udumavu Mkoani Iringa ni kikubwa huku ikishika namba moja nchini kwa asilimia 56.9
kwa sensa iliyofanyikia 2022 ambapo kati ya Watoto 56 - 57 kati ya 100 wana udumavu.
Hata hivyo Mhe Serukamba ameongezea kwa kusema kuwa Serikali ya Mkoa wa Iringa imeagiza kila Halmashauri kutenga kiasi cha shilingi elfu 1000 kwa kila mtoto mashuleni lengo likiwa ni kutokomeza udumavu.

Пікірлер
IRINGA FESTIVAL, KULETA MAPINDUZI YA KIMAENDELEO IRINGA.
25:06
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa
Рет қаралды 264
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 12 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 45 МЛН
MABEYO RASMI SASA NI MKUU WA CHUO KIKUU CHA IRINGA
11:13
Wasafi Media
Рет қаралды 1,2 М.
RC SERUKAMBA: ASHIRIKI HAFLA YA KUMUAGA PROF. URIO
23:04
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa
Рет қаралды 48
RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY
7:24
INFORMATIVE TV
Рет қаралды 4,6 М.
RC SERUKAMBA: ATOA SOMO KWA TRA NA JWT
29:47
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa
Рет қаралды 107
Bill Gates on "Face the Nation with Margaret Brennan" | full interview
22:27
KAMPENI YA UPIMAJI HALI YA LISHE KWA WATOTO YAZINDULIWA.
19:45
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa
Рет қаралды 74
Shughuli za kiuchumi katika mji mdogo wa  Ilula Iringa.
32:40
ITV Tanzania
Рет қаралды 5 М.
RAIS SAMIA AMEWEKA MAZINGIRA MAZURI KWA WAWEKEZAJI-RC SERUKAMBA
3:54
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa
Рет қаралды 162