''NKURUNZINZA'' WA IRINGA BALAA KATAPELI NUSU YA KIJIJI, APIGIWA SIMU

  Рет қаралды 267,295

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameendelea na Ziara yake Mkoani Iringa na Hapa amefika katika kijiji cha Nduli na Kuongea na Wananchi wa Kijiji hiko na kupokea na kero mbalimbali kutoka kwa wenyeji wa Kijiji hicho hapa amekutana na Nkurunzinza wa Iringa unaambiwa ametapeli nusu ya kijiji.

Пікірлер: 175
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Nahata wewe milad ayo tunakushukru kwa kutuletea habar lazima tukufikishiye shukran zetu kwa taarifa hizi
@zainaramadhan7769
@zainaramadhan7769 4 жыл бұрын
kwakweli miladi ayo ndio mkombozi wa w2
@steralyoto4236
@steralyoto4236 3 жыл бұрын
@@zainaramadhan7769 "gyy
@rehemamalley9557
@rehemamalley9557 2 жыл бұрын
Milad tunaaimini sana chanel yako...keep on trust plz
@Chazyassenga
@Chazyassenga 17 күн бұрын
Jaman watu wa iringa nkurunzinza manake ni nin?
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Safi sana kwahii kazi ndugu yangu mkuu wa mkoa ally hapi mungu atakulinda naataendelea kukulinda
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 жыл бұрын
Muheshimiwa Mchapa Kazi Barikiwa Sana, Endelea Kutetea Wanyonge.
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 жыл бұрын
Ally Happy God bless you a lot unafanya vyema!!!! Zao la Magu hili nimelipenda hakika
@bonifacepatrick6679
@bonifacepatrick6679 2 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana maana unaupiga mwingi viongozi wenye Welidi mkubwa na baba na wewe Mungu akupiganie sana kwenye kazi yako hiy
@mcrootsav7712
@mcrootsav7712 4 жыл бұрын
Hii changamoto inaonekana kuota mizizi hapo ulipo...yaani mwenyenzi mungu akujaalie kibali zaidi na zaidi Mh mkuu wa mkoa...kazi uifanyao ni ngumu na nzitoo mmno
@edwindaniel7306
@edwindaniel7306 2 жыл бұрын
Miladihayo kazi yako inakubalika kwa waandishi wa habali kwa tanzania ww ni namba 1 maana hutoi habali za uongo nikiona kitu umepost ww huwa naamini asilimia 💯
@datiabdallah6012
@datiabdallah6012 4 жыл бұрын
Napendaga kusikiliza kesi za iringa🤣
@hasnasaif1075
@hasnasaif1075 4 жыл бұрын
Kama mm hahaaa
@mujahidinaathumani9751
@mujahidinaathumani9751 3 жыл бұрын
Fanya kazi yakuwatetea nakuwakomboa nakurudidua haki zawanyonge, Amini utapewa daraja na kivuli Cha Arshi siku ambayo hakitakuwa nakivuli
@mujahidinaathumani9751
@mujahidinaathumani9751 3 жыл бұрын
Kiongozi mwadilifu atapata neema ya kivuri Cha Arshi siku hiyo ngumu isiyokuwa nakivuri, Mungu akupe maisha marefu, Nimekuamini kiongozi, heshima kubwa kwako
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 жыл бұрын
Wewe nkirunzinza wewe, mbona hatari Sana hii , wee nkirunzinza wee Ni nomaa sanaa
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Mkuu wa mkoa usitoke ilinga unyooshe watu .nakupenda bule baba kazi nzuri
@denismabubu291
@denismabubu291 4 жыл бұрын
Hongera mkuu wa mkoa unajali watu wako h sana
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 4 жыл бұрын
Wallahi ata sichokagi kutazama izi habari maana kuna kuchekesha babu koti lake jamaa anataka akapigie deki jamaa anazarau kinyama
@ezekielevarest9215
@ezekielevarest9215 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@Boaz22
@Boaz22 4 жыл бұрын
Huyu David mwisa ni corona kabisa🤣🤣😂😂
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
kabinywa pumbu mpaka kawalipa
@esterelias8189
@esterelias8189 4 жыл бұрын
Haha haha haha haha
@zephaniajosia1077
@zephaniajosia1077 4 жыл бұрын
mamaee devd mwisa kiboko ya wahehe ......alijuaa wahehe ukiwazurumu wanaenda kujinyonga😂😂😂😂😂😂
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
😂😂😂 nkurunzinza
@pendobaharia6922
@pendobaharia6922 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣hatujinyongi now day's
@zephaniajosia1077
@zephaniajosia1077 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 жыл бұрын
Huyo kwisa ni mchawiii,matapeli ŵengi huwa wachawi.anawarubuni watu kwa njia ya nguvu za giza
@ndinagweandendekisye3722
@ndinagweandendekisye3722 4 жыл бұрын
Huyo David nahisi ni mchawi sio bure! Ubabe gani huo?
@neemampiluka9267
@neemampiluka9267 3 жыл бұрын
Safi mkuu wakoa wairinga nakupenda unajiamini Sana inapendeza sana
@fredyjohn8548
@fredyjohn8548 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa uko vizur Sana
@justinemahondo9396
@justinemahondo9396 4 жыл бұрын
Asante. Mkuu
@safari5774
@safari5774 Жыл бұрын
Mungu amusaidie uendelee na kazi nzuri
@nurunzisabila9
@nurunzisabila9 2 ай бұрын
Kumbe waku wa mikoa wanaweza kufanya kazi nzuli kama hizi kwa wananchi wao Mungu wa mbinguni awabariki
@veronicamchilo8552
@veronicamchilo8552 4 жыл бұрын
Nkurunzinza mungu anakuona 😂😂
@georgiaruhinda1704
@georgiaruhinda1704 2 жыл бұрын
Namshukulu Mungu wa Ally Happy akulinde akutunze tunakuhitaji ktk ngazi ya juu zaidi
@mustafamandindi6434
@mustafamandindi6434 2 ай бұрын
Nakukubali muheshimiwa kwangu mm nakuita mwamba ALLY HAPI
@mcrootsav7712
@mcrootsav7712 4 жыл бұрын
Vile nakuombea mwenyenzi mungu azidi kukujaalia afya njema na kukubalika zaidi na zaidi mbele ya wananchi wako.na wengine pia....huwa sitamani kupishana na hizi video za kazi zako...unaibua sana changamoto za wananchi wa jimbo lako.
@alumonkisinda4574
@alumonkisinda4574 4 жыл бұрын
Mkuu Wa mkoa mchapa kazi nakukubali sana bwana hapy hapo tatizo ni police rushwa nyingi
@nuratkalinga581
@nuratkalinga581 4 жыл бұрын
Mwizi huyo shenzi taipu likatwe
@alumonkisinda4574
@alumonkisinda4574 4 жыл бұрын
@@nuratkalinga581 taifisha Mali zake zote wape wanaodai
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 жыл бұрын
Wa Kwanza , hongera Sana kwa taarifa
@hamidahamida1473
@hamidahamida1473 4 жыл бұрын
Atapatataaabu
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 5 ай бұрын
magu hakupita tuu kaacha alama zake na nnchi hii inao vijana makini watenda haki nà wapiga kazi makini,mungu hawezi kumuacha magu aende tuu
@user-xq7bk5fq6t
@user-xq7bk5fq6t 5 ай бұрын
Hapo angepatkana na Ally hapi hapo pangenoga maana wanamuoneya raisi wetu makonda na Hali hapi nawapa big up
@user-xq7bk5fq6t
@user-xq7bk5fq6t 5 ай бұрын
Mama ssh ikikupendeza umludishe Ally kwenye Baraza la mawaziri Tena kitengo Cha aridhi
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 9 ай бұрын
Ningekuwa iringa, ningejikuta nmdai namimi😂😂😂
@rajabmshengeli1624
@rajabmshengeli1624 4 жыл бұрын
Part 2 plzzz tumsikie na David Mwisa
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Haswaa
@mohamedschaeublin7374
@mohamedschaeublin7374 2 жыл бұрын
Ndugu Muheshimiwa Mungu atakuepusha na Mitihani ya Dunia na Wenye dhuluma kwa watu Duni kiuwezo, watokee viongozi mfano wako kwa kila Mkoa na Idara kutakua na maendeleo Bora yakijamii, nakila kiongozi na mlanguzi atachunga maisha, Ahsante Ndugu Ally Wewe unaenda na mamlaka ya Mola Kisheria na Dini zinavyo ruhusu 😍🙏🙏🙏
@shukrimohamed2324
@shukrimohamed2324 4 жыл бұрын
Mkurunziza n jipu akiii... High 5 milard ayo...
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Gud saana
@microssadamu7556
@microssadamu7556 4 жыл бұрын
Naona kama movie yani!! Hivi haya mambo bado yapo Tanzania??
@reginaosward6170
@reginaosward6170 3 жыл бұрын
Mungu akubariki kiongozi,viongozi mnaona shida za wananchi msipoenda mtajuaje shida zao
@DenisRamadhani-mg1gu
@DenisRamadhani-mg1gu 3 ай бұрын
kuna wasio juwa hata kusoma mambo ya polisi wanaogopa maana hawajui hata kusema lolote wanaona tu bora wanyamaze lakini wanaugulia maumivu ya kunyanyaswa na hao watu wabaya wasio kuwa hata na hofu ya MUNGU " nawapenda sana viongozi wanao jitambua wasiokuwa na tamaa
@frankdeogratius881
@frankdeogratius881 4 жыл бұрын
Huyu mwisa🙌🙌🙌🙌🙌
@hamzabagilente2118
@hamzabagilente2118 2 жыл бұрын
Ali hapi mtetezi wa wanyonge mungu akujalie Kila laheli
@ntegrity277
@ntegrity277 2 жыл бұрын
Ndugu Ally kwakweli uko vizuri Sana Kama wakuu wote wa mikoa wangefanya kazi kama wewe duh! Tanzania ungekuwa mbali
@fredyjohn8548
@fredyjohn8548 4 жыл бұрын
Tunataka viongozi Kama hawa
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 2 жыл бұрын
Hao police wanajuana na Nkurunzinza🏃🏃🏃🏃🏃
@andrewlugome6514
@andrewlugome6514 4 жыл бұрын
Mkuu tunaomba wapo wengi waliotapeliwa wakifika wasikilize walikata taama anatishia anasilsha
@nyamangaking6608
@nyamangaking6608 3 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa ni jembe,kweli JPM ameacha muongozo sahihi,watu waliona JPM alivyopendwa na wananchi kwa kazi yake njema.baadhi wanapita mle mle kwenye njia ya JPM
@alvinsafi2733
@alvinsafi2733 4 жыл бұрын
Daudi Mwisa. ..huyu anaonyesha anatisha kama corona huko Iringa. .mjukuu wa mkwawa nini au anatokea familia za chief ? Mbona hivi huyu jamaa haogopi kifungo
@nyangehassan902
@nyangehassan902 4 жыл бұрын
Duh! Jamaa ana dharau anaomba koti apigie deki
@nyangehassan902
@nyangehassan902 4 жыл бұрын
Wahehe, watani zangu mnakwama wapi?
@sasatv1484
@sasatv1484 4 жыл бұрын
Sijui namimi namdai nkurunziza? Ngoja nikumbuke
@hasnasaif1075
@hasnasaif1075 4 жыл бұрын
Hahaaaaa kumbuka happy bado yupo
@allykiyanga5402
@allykiyanga5402 4 жыл бұрын
Dodo hapi upombali na tapeli mmoja urambo ni shidaa kweli
@kevinkimaninaphtal1498
@kevinkimaninaphtal1498 2 жыл бұрын
Akika alikuwa rais wa marais mungu akailaze roho yake mahali pema peponi
@issabakari1916
@issabakari1916 4 жыл бұрын
Hahahaha hata deki lako naomba nipigie deki, nimelipenda naomba nipigie deki, hahahahahaha dah hakiamungu wallah tuhurumie waja wako inshaallah
@sharoombay8997
@sharoombay8997 4 жыл бұрын
Anyanganywe kwanza bunduki.
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 4 жыл бұрын
Wallah nme cheka sana koti lako amelipenda apigie deki
@gracemima5234
@gracemima5234 4 жыл бұрын
Zamani watu kama hawa walikuwa ni wengi.
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 жыл бұрын
Jamani
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Ally Happy tunakuombea Mungu akupe ulinzi wake
@dianakakala3779
@dianakakala3779 Жыл бұрын
Barikiwa baba
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Nampenda mkuu wa mkoa mimi jamani .anafanya kazi kwa weledi kabisa
@domimasawe8674
@domimasawe8674 Жыл бұрын
Ndugu mkuu wa mkoa kagombee urausi kura yangu chukua wewe na magufuli ni kitu kimaja
@domimasawe8674
@domimasawe8674 Жыл бұрын
💯
@JOSEPHMwakibinga
@JOSEPHMwakibinga 5 күн бұрын
Haya sasa munajiita haki za binadam. Hapo mko wapi? Unajua ninyi haki za binadam.mimi siwaelewi.wananchi wanaonewa wananyang'anywa mali zao mko kimya. Halafu anatokea kiongozi mtenda haki. Mnajitokeza na pale anapo tumbuliwa kiongozi mwunezi kwa wananchi. Mnajitokeza na kusema tunalaani kitendo hiki. Aise mimi mlaaniwe wenyewe. Haki za binadam gani watu wanstekwa. Wanapotea. Hatusikii tamko lolote mkitoa. Kama mnalipwa mishahara kiukweli mnakula pesa zawananchi bule. Ningemuomba raisi afute tu kitengo hiki
@francismakuno8643
@francismakuno8643 3 ай бұрын
Nkuruziza mgemtenda anachotenda ngombe zenu kumchinja😂😂
@paulomartini6005
@paulomartini6005 4 жыл бұрын
Kazi ipo kweli hapo cyo mchezo
@yolakahmathews6913
@yolakahmathews6913 4 жыл бұрын
<a href="#" class="seekto" data-time="186">3:06</a> Acha kuchokonoa pua wewe Coronavirus ishatua bongo!
@DenisRamadhani-mg1gu
@DenisRamadhani-mg1gu 3 ай бұрын
MUNGU mkubwa " viongozi kama huyu ndio wanahitajika " nchi yenye furaha inajengwa na hawa " nawapongeza na kuwashauri wasiogope kufa watupambanie hadi tone la mwisho la damu kuwatetea wanyonge "
@andrewlugome6514
@andrewlugome6514 4 жыл бұрын
Mkuu Wa mkoa nakupa up kwa kufanyakazi macho yetu yako kwako
@gracemima5234
@gracemima5234 4 жыл бұрын
Korona ikiingia Tanzania tumekwisha. Watu wanajichokonowa mapuwa. Pengine mikutano isimamishwe mpaka Huu ugonjwa upite.
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
Anayesema Magufuli ni mkandamizaji,sijui ana akili gani!!!hii ni kama ndoto TZ,zamani hakuna hii....migogoro ya miaka 10 zinatatuliwa kwa masaa!! JPM you are a redeemer..tukumbuke ni miaka 5 tu madarakani...give credit where due..wachache wanamuangusha rais ila wengi wanafanya kazi..tuache ushabiki wa kijinga tumshukuru na kumuombea JPM,hii kazi yake si mchezo,kila nikija nyumbani,nashangaa TZ inavyobadilika..naishi Uingereza..naelewa nisemacho...namshukuru pia rais kwa kuwaamini vijana ka wakina Hapi na wengine,Tanzania ijayo itashangaza dunia..kiongozi mzuri ni yule aachaye viongozi wazuri ...Mw.JK Nyerere...
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 жыл бұрын
Mungu pia akubariki na ambaye umeweza kuyaona haya,,,,ni kama Watanzania wamefumbwa macho but tatizo kubwa ni ushabiki
@tindokamuti8142
@tindokamuti8142 4 жыл бұрын
koti nikapigie deki hahaha kiburi cha hali ya juu
@reemangoko2550
@reemangoko2550 4 жыл бұрын
Hee jamani David kashindikana hataree ni mchawi huyooooo
@ConfusedBirdNest-np2vn
@ConfusedBirdNest-np2vn 5 ай бұрын
ALLY HP CHAPAKAZI BABA
@user-pe8hj3ze4y
@user-pe8hj3ze4y 5 ай бұрын
Huyu mkuu wa mkoa nakubar sana anachapakazi isee
@malayikanepo788
@malayikanepo788 3 жыл бұрын
Nkurunziza wa Burundi kkkkkkk
@hamadiathumani5018
@hamadiathumani5018 4 жыл бұрын
Jamani watu zaidi ya mia moja kijijini apo uyo david ni nini.????
@leahavyarimana3731
@leahavyarimana3731 4 жыл бұрын
Kwahio rais wa burundi nkurunzinza ndo mbaze
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 жыл бұрын
camera iko vzr sana milardayo.salout.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
I Know right 👌👍👍
@davidwambura5915
@davidwambura5915 4 жыл бұрын
Huyo jamaa anachafua Jina la David mbona akina DAVID hatupo hivo.
@cristerfelly933
@cristerfelly933 4 жыл бұрын
Hahahaaaa pole akina David otee
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 жыл бұрын
Huyo Devi ni mtu wa Aina gani mpotezeni piga Shaba aondoke kwenye uso dunia atawasumbua Sana wananchi Kwanza ni mchawi huyo huyo mbabe wenu
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 Жыл бұрын
Anayemuita mwenzie mapengo nayeye ana mapengo🤣🤣🤣kweli watu wenye kasoro ndo huwa mstari wa mbele kupigia kelele kasoro za wenzie
@rajabumgogwe5312
@rajabumgogwe5312 3 жыл бұрын
Umesha pewa chako
@erickmatius6703
@erickmatius6703 4 жыл бұрын
David Mwisa
@deshuaniton698
@deshuaniton698 4 жыл бұрын
Mutende aki asisumbuwe watu wakose laa kwasabu yako jaman asitese wtu
@mussaboazi7782
@mussaboazi7782 Жыл бұрын
mird nakubar sana bg
@azizaz1628
@azizaz1628 4 жыл бұрын
We baba umechanganyikiwa maana ya nkurunziza ni ubabe! 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 жыл бұрын
Watu hawaogopi dhambi ya dhulma
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 жыл бұрын
piga uyoooo
@esterelias8189
@esterelias8189 4 жыл бұрын
Mapengo...
@jeofreyshega7139
@jeofreyshega7139 2 жыл бұрын
Mgu akujarie mheshimiwa
@eliaskahory7116
@eliaskahory7116 5 ай бұрын
Huyo jamaaa Duuu ni hatali saana.
@woteonlinetv644
@woteonlinetv644 4 жыл бұрын
njaa tup yani
@winfridmsindo984
@winfridmsindo984 4 жыл бұрын
Huyo devi ni tatizo kubwa sn
@hamisimkumba10
@hamisimkumba10 4 жыл бұрын
Pwani akuna kitu
@happyalex2904
@happyalex2904 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa hy aje agombee urais
@hamismponzi5320
@hamismponzi5320 2 жыл бұрын
Mkuu pambana nakuandaliakukuchukuria fom2025uwnyoshemataperi
@paulondiek1345
@paulondiek1345 4 жыл бұрын
This is really atrue leader.
@lukaseliasobwolo7498
@lukaseliasobwolo7498 3 жыл бұрын
Duuu kiongozi wasaidie hao wanyonge
@mariamariam9239
@mariamariam9239 4 жыл бұрын
Tapeli hyooo
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 9 ай бұрын
Jamani huyu mkuu wamkoa tumtoe copy asambazwe mikoa yote.
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Huyo devi jamani
@gedionmwenga6180
@gedionmwenga6180 2 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa anafaa kuwa Rais wa Tanzania kabisa
@frankjeremia7435
@frankjeremia7435 2 жыл бұрын
wakuuu wamikoa kama huyu anafaa atakupewa ungoz mkubwa zaid jamn wanatetea watu masikini
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 Жыл бұрын
Hivi mama anawaza nini kuhusu huyu jamaa? Yan anaweza kazi yake mnoo
''PENGO'' AKIONA CHA MOTO, ''LETA HIYO BARUA HAPA''
24:49
Millard Ayo
Рет қаралды 99 М.
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 25 МЛН
RC HAPI APIGA SIMU: ''KWANINI HUJAJA KWENYE MKUTANO WANGU''
5:00
Millard Ayo
Рет қаралды 144 М.
Mtazame Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi akila kiapo
2:09
Usiku wa Kuamkia Leo RC Hapi amuweka Ndani Diwani CHADEMA, KISA?
25:35
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 725 М.
RC HAPI KAMVAA HAKIMU ALIODAIWA KUCHUKUA RUSHWA YA MIL 2
8:48
Millard Ayo
Рет қаралды 395 М.
LIVE: WANANCHI IRINGA WAKIFUNGUKA KERO ZAO MBELE YA RC HAPI
1:01:24
MAOMBI YA KIHEHE YALIYO LETA MATOKEO HAPO HAPO
2:45
Brown mhadisa
Рет қаралды 16 М.
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 25 МЛН