No video

SIMULIZI YA KUSISIMUA YA MZUNGU ALIEKIMBIA UINGEREZA KUFUATA PENZI KIMBIJI, NI MUIMBAJI

  Рет қаралды 84,010

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Leo nakukutanisha na na Victoria David na Mumewe ambapo wanatusimulia simulizi ya maisha yao mpaka walipokutana na Mumewe, na Mumewe anatusimulia ilikuaje akaacha kuishi England na kuhamia Tanzania

Пікірлер: 273
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
huyu ni yule dada wa kitumbua alikua akitoa makala ya mahusiano kitambo wanaomjua likes🤗🤗🤗🤗🤗
@salimaahamad2323
@salimaahamad2323 2 жыл бұрын
Kabisa niyeye
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 2 жыл бұрын
Namfaham pia victory David (dada wa kitumbua)
@themembinga3996
@themembinga3996 2 жыл бұрын
Dada wa kitumbua jaman
@azizahmwimbe8548
@azizahmwimbe8548 2 жыл бұрын
Dada wa kitumbua
@misschagga8042
@misschagga8042 2 жыл бұрын
Namkumbuka mpaka akawa anazungumzia jinsi ua kufika kileleni 🤣🤣nampenda sana
@danielgillard7795
@danielgillard7795 2 жыл бұрын
I used to work with Dave at our university in Phnom Penh, Cambodia - you couldn't ask for a nicer person to work with, and call a great friend, alongside his wife Vicky and their son Dylan. All of us at the University of Puthisastra are delighted to see Dave and his family contributing to Tanzanian life and culture so positively. We always knew Dave could never stand still - he's always working, living life to the full and loving every minute of it! His love of music is immense. Cambodia's loss has been Tanzania's gain :-)
@winniemwasenga
@winniemwasenga 2 жыл бұрын
Asante kwa taarifa
@santieljohn3765
@santieljohn3765 2 жыл бұрын
Waoo dada wa kitumbua original, nimefurahi sana kusikia kuwa now upo Tanzania natamani kuwaona ninyi watu jamani!!!!
@benevolentkajuru7221
@benevolentkajuru7221 2 жыл бұрын
So proud to have a such woman 👩 She is so beautiful this woman
@Kokafamil
@Kokafamil 2 жыл бұрын
I remember the day I meet this couple in Cambodia Phnom Penh street 172 restaurant ya wa congo Victoria do you remember?! I miss you guys nafurahi umerudi nyumbani karibu nyumbani
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 жыл бұрын
Limshangazi Fulani hivii,,,nzuri mnoo na uzuri zaidi Fuso imefunikwa turubai lakini mzigo nyuma unaonekana,,,kama anakalia Hamira!!💞💞😇😇
@richardjuma8601
@richardjuma8601 2 жыл бұрын
😂🤣🤣🤣🙌🙌
@lavieestbelle3263
@lavieestbelle3263 2 жыл бұрын
Ha ha ha ha
@misschagga8042
@misschagga8042 2 жыл бұрын
Namkumbuka huyu dada story yake nilisikiliza kwenye you tube yake mda mrefu sanaaa.Hongera sanaa dada
@fideahyera2599
@fideahyera2599 2 жыл бұрын
Mie pia
@Jal210
@Jal210 2 жыл бұрын
Tanzania is beautiful and it is also a paradise
@nilansaid2927
@nilansaid2927 2 жыл бұрын
Tanzania yetu nzuri sana kiukweli, ni paradise
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Kuzuri umeona view ya Kimbiji?!
@mannabu9333
@mannabu9333 2 жыл бұрын
Ukitoka nje ya TZ ndio utajua hii nchi ni nzuri sana asikwambie mtu bonge la nchi ila uwongzi mbovu sana
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 2 жыл бұрын
Ni kweli, kuna muda nilisafiri nje ya nchi hapo ndo nikajua Tanzania ni nchi nzuri sana!, Mungu kaibarki kwa namna yake!.
@kennethngoleka517
@kennethngoleka517 2 жыл бұрын
Nchi yetu ni mzuri na yenye sifa ambazo zinachafuliwa na viongozi wetu,marehemu alijaribu kuiweka vizuri lkn watu wachache wachafuzi walishapotosha yale yote mazuri aliyoyafanya, baadhi ya viongozi wa nchi hii ni wabovu saaana.
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 2 жыл бұрын
Kwelii serikari ndio ovyo
@mako331
@mako331 2 жыл бұрын
Beautiful couple, huyu dada mpare ana confidence sana, just love her
@upendomdingi8028
@upendomdingi8028 2 жыл бұрын
Hongera mpare mwenzangu mwenyezi mungu awabariki safi sana
@gagedamoursarusaru8079
@gagedamoursarusaru8079 2 жыл бұрын
Millard Ayo mnawapenda sana ❤️your fan from Canada 🇨🇦
@pilikhamis2924
@pilikhamis2924 2 жыл бұрын
Jamani dada wa kitumbua nimekumiss kweli kumbe upo tz.saiv maashaallaah mungu akupe maisha marefu
@shijalameckmpemba4529
@shijalameckmpemba4529 2 жыл бұрын
Good thing our sister you did , continue to handle proper that our shemeji . And make sure you follow things that present in our culture ie follow our culture.
@monicachris5833
@monicachris5833 Жыл бұрын
Daaah dada Vick Mungu akubariki sana long time my dareda vtc babati nyunguu Leo nakuona hukuuu Aya dada umepambana
@dodabaraka9258
@dodabaraka9258 2 жыл бұрын
Safi sana dada ake never give up ipo ck wtaelewa nin unachokifanya
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Asante mdogo wangu.....
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Victoria nimekujaaaa It was nice to have Ayo Tv kimbiji....... Nakupenda Baby by S David inapatikana BOOMPLAY sikiliza na uburudike
@mwanadamtz1298
@mwanadamtz1298 2 жыл бұрын
KZfaq hamjaiweka
@lavieestbelle3263
@lavieestbelle3263 2 жыл бұрын
Kumbe umesha hamia tz ....karibu sana huJatuwekea kwenye Chanel yetu ya dada wa kitumbua.
@cielolawrence441
@cielolawrence441 2 жыл бұрын
dada wa kitumbua origional
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
@@lavieestbelle3263 hii ilikuwa kwa ajili ya Ayo Tv Dear....Mimi naweka kazi za Shemeji yenu sawa zikiisha zote zitakuwa KZfaq.... Nawapenda
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 2 жыл бұрын
Kimbiji hipo kigamboni?
@Emmamusiccmb
@Emmamusiccmb 2 жыл бұрын
*Nakupenda ni wimbo maalum kwa wapenzi waliopo kwenye mahaba mazito sana, huu ni wimbo mpya toka kwangu bofya picha pembeni 👈🙏👈🙏👈👈 kuutazama naamini utaupendaaa*
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 2 жыл бұрын
He earned a beautiful woman out of his colour and perceived richness
@winnieakarro5398
@winnieakarro5398 2 жыл бұрын
Asante dada vick nimejifunza kitu ubarikiwe sana
@yussufkansela8118
@yussufkansela8118 2 жыл бұрын
asjali shemeji yetu....akaze tu tutampa kmpny maana hakuna tena wasanii wanao weza tunga mashairi.wapo tuu kazi kununu magari badala ya mziki
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 2 жыл бұрын
so LOVELY....
@missmoona4497
@missmoona4497 Жыл бұрын
Woooooh nishawah kufika kimbiji kuzur mnoooo maashallah
@eugeniakadonya117
@eugeniakadonya117 2 жыл бұрын
Hongera kwa investment na future nzuri ya mtoto wene Dylen💪Naplan kuanza Holidays nitakuwa Zanzibar ila pia ningependa kutembelea beach yenu naomba maelekezo
@asiajuma8342
@asiajuma8342 2 жыл бұрын
Nice
@caslidajosephat8912
@caslidajosephat8912 2 жыл бұрын
Waandishi wengine mnafeli wapi mbona hujamuuliza kama wanawatoto?
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 2 жыл бұрын
Wana mtoto mmoja Kijana
@prettynesspastory3111
@prettynesspastory3111 2 жыл бұрын
Wanao wawili kwa Sasa , wa kwanza Dellan mwingine nimemsahau
@rukkysayid6613
@rukkysayid6613 2 жыл бұрын
@@prettynesspastory3111 mmmh mmoja bhanaaaaa chumvi za nini😁
@prettynesspastory3111
@prettynesspastory3111 2 жыл бұрын
@@rukkysayid6613 Malik wewe jamani😂😂sio chumvi video ya mwisho aliyowekag u tube channel yake alisema mwenyewe kuwa wamepata mtoto wa pili uliza kwingine utaambiwa ninachokwambia
@rukkysayid6613
@rukkysayid6613 2 жыл бұрын
@@prettynesspastory3111 🤣🤣🤣ni mmoja tu yule yule kijana wake
@alphoncehanura3255
@alphoncehanura3255 2 жыл бұрын
Dada wa Kitumbua....kitabu chako toa tena au endeleza ulipoishia....kazi iendelee....
@macharosandra9467
@macharosandra9467 2 жыл бұрын
Dada Vicky, mbona kipindi cha kitumbua sikioni tena?
@masamabinhuse4599
@masamabinhuse4599 2 жыл бұрын
Watu wanakuaga serious sana kweny mapenzi
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
ndio vizur
@browskymuba6923
@browskymuba6923 2 жыл бұрын
Very beatiful women lucky man
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 2 жыл бұрын
Victoria a k a Dada wa kitumbua alikuwa na You tube yako kitambo sana sijakuona jamani kumbe umehamia Tz.
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Ndio Niko Tanzania Sasa.....karibu kimbiji
@abdallahkamilagwa9655
@abdallahkamilagwa9655 2 жыл бұрын
Namkumbuka huyu Dada wa KITUMBUA, alikuwa na RASTA Naona Sasa amebadili style ya nywele zake.
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mashallah
@amongodfrey7266
@amongodfrey7266 2 жыл бұрын
Dada ludisha basi kile kipindi chako binafsi nilijifunza mengi kwenye kipindi chako
@selemanimmeswa3556
@selemanimmeswa3556 2 жыл бұрын
Safi sana
@chalulumanyenga1151
@chalulumanyenga1151 2 жыл бұрын
nyama za Africa ni tamu zina joto joto na zimoto na sio baridi
@anitajohnsson102
@anitajohnsson102 Жыл бұрын
❤❤❤
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 2 жыл бұрын
Hawa ujana wao wautumia huko uzee ndio wanamalizia kwetu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 жыл бұрын
Kabisa kazeeka anatafuta pa kujipenyeza abebishwe na domo lake kama sukuna
@rubenprince8990
@rubenprince8990 2 жыл бұрын
@@rukiaiddyyahaya9506 kumbe nyinyi maishi ya wazungu huku ulaya hamuyajuw hata kidogo ni hiv wazungu wanawaza kutafuta hela kwanza ndo maana umesikia akisema maishi yake yote amekuwa akifanya kaz huku ulaya kuna watu wakitoka nyumban sa9 usiku wanarud nyumban sa3 ya usiku huku watu wako bize na kutafuta hela kuliko jambo lolote hapa dunian wazungu mambo ya mapenz hawayawaz sana kama ss waafrika mpaka tukiachana tunakosa radha ya chakula ikiwemo kuwaza kujiuwa huku ukitaka kutiana nijambo dogo sana huku hawaolew ovyo ovyo wala hawaowan ovyo ovyo na wala hawazai ovyo ovyo wanawake wanatumia uzaz wa mpango tangu siku ya kwanza waliwaza kutolewa bikira kisa hawapend kuzaa watoto kama hawajafanikiwa kimaisha rukia karibu kwetu Brisbane Queensland Australia
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 2 жыл бұрын
@@rukiaiddyyahaya9506 🤣🤣🤣🤣🤣
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 2 жыл бұрын
@@rukiaiddyyahaya9506 na ss tunajiona tumepataa tukipata mzee anatafutia pakumalizikia🤣
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 2 жыл бұрын
@@rubenprince8990 jmn ss huko kazini kwetu tunatembelewa na wazungu sana vijana na anakwambia ana mume na mtoto inamaana mumewe mzeee??? Ukiniambia hawazai hovyo sawa lkn wanakuwa na wake au wachumba vizuri sana
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 2 жыл бұрын
Ukiwa nje nchi unagundua thanani ya kuishi nje ya mji lkn km hukusafir unaona nje ya mji ni mbali hakuna mpango
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
sana kaka mimi nimekupenda huko kimbiji sijui nitapataje eneo
@mwajumahamisi2006
@mwajumahamisi2006 2 жыл бұрын
Mm watu weupe sijui nawaonaje 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️ Napita tu
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Жыл бұрын
Mi ndo siwaelew kbsa
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 2 жыл бұрын
Vee kumbe umeludi bongo 👏👏👏
@sembulimsangi2603
@sembulimsangi2603 2 жыл бұрын
Inapendeza is
@kaboytz8090
@kaboytz8090 2 жыл бұрын
Mi nimesikia tu nakupendo nakupendo
@NOORMOHAMED-sg9lo
@NOORMOHAMED-sg9lo Жыл бұрын
Mhhhhh ķwa mtindo huo utajaza habari mpaka watachoka kusikia maana kila nyumba ina historia Poleni
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 2 жыл бұрын
Mnaolewa na wazee sababu ya hela tuu
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 11 ай бұрын
😮
@makenzimoto9885
@makenzimoto9885 2 жыл бұрын
Safi Sana dada" hujajikweza Sana kwenye uzungu.kama vile wengine mpaka ujidai kukisahau kiswahili
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Anajitambua
@juliusmkenda3105
@juliusmkenda3105 2 жыл бұрын
Good
@salminasalim5630
@salminasalim5630 2 жыл бұрын
Jamani Victoria wetu dada wa kitumbua nimefurahi kukusikia tena vipi mtoto jamani MMungu akubariki sana awape maisha marefu yenye furaha
@angelageofrey9756
@angelageofrey9756 2 жыл бұрын
Wanae
@nuruworldinsight2957
@nuruworldinsight2957 2 жыл бұрын
1. NYIMBO (songs) - PLURAL (wingi) I. e NYIMBO hizi , NYINBO hizo 2. WIMBO (song)- SINGULAR (moja) I. e WIMBO huu , WIMBO huo Ni makosa kusema NYIMBO HIYO, NYIMBO HII .. ... Badala ya HIZO, HIZI
@danieldm92
@danieldm92 2 жыл бұрын
Hakika,
@jamesvmusic2677
@jamesvmusic2677 2 жыл бұрын
♥️♥️
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 жыл бұрын
Dada keshatoka kimaisha asaidie na wengne t tena apo maan maisha aya yanapanda na kushuka ajiwekeze kbsa na istoshe apa ni ugenini t mda wote wote unaondka
@MohamedAli-ho5fq
@MohamedAli-ho5fq 2 жыл бұрын
British old man Many of them like young Africa teen to mareage
@pendomarco8928
@pendomarco8928 2 жыл бұрын
Wazee ndio wanakuja kupenda TZ lakini vijana Kama kina Justine biber hakuna haaaa! ni Kama yale mahindi zee yanayosumbua sisi kina dada messenger yanapiga sim hatari lakini vijana kama shahrakhan na mithun hawapigi
@nangukidasu8040
@nangukidasu8040 2 жыл бұрын
Mpare ana akili Sana huyu.
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Asante Sana.....
@itiamekimbui722
@itiamekimbui722 2 жыл бұрын
😂Napenda venye anasema tafdhali
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 2 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@edgamwakyembe8674
@edgamwakyembe8674 2 жыл бұрын
Well done David mtunze dada yetu👍
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Ananitunza mno..... asante
@magrethmanintveld5477
@magrethmanintveld5477 2 жыл бұрын
@@Dylangamer762 Usijari dear maisha ni maisha tu bora kuheshimiana umri ni number tu
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 2 жыл бұрын
My next destination Portugal, ndo huko tunataka twende kuishi,after 🇺🇸. Na hipo karibu na africa pia.Ambapo tutakuwa tunakuja kwetu Mbutu beach kigambon
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Safi Sana sie tutaenda kutembea tu... Nyumbani kumenogaaaa
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Karibu kimbiji Dear
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 2 жыл бұрын
@@Dylangamer762,hipo kigamboni??
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 2 жыл бұрын
Pazuri sana akuna kulipa tax uko watu wanamajumba mie pia
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 2 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty ,Sijawahi kwenda lakin mr yeye mpenda adventure kote alikotembea alipende sana Portugal, alisema culture wise kutatufaa,na madhari pia mazuri na since ni Europe itatufaa kwa watoto kuweza maliza shule huko ,medical pia nzuri na ni safe,lakin tunaconsinder nxt yr kwenda vacation mimi nikapacheck before kuhamia.
@gladnesswaziri2727
@gladnesswaziri2727 2 жыл бұрын
👍
@estermathias8354
@estermathias8354 2 жыл бұрын
Hivi kwnn huwa ni wazee tu😢😢😢
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 2 жыл бұрын
Wametulia hawana mikiki sana
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 2 жыл бұрын
Umeona eee
@estermathias8354
@estermathias8354 2 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 ooh sawa.ila mm wazee sijui nawaonaje
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Kwa sababu wameshamaliza Mambo mengi.....wanakuwa hawana parapara na sisi wanawake wengine tuna Damu ya kupendwa na Wazee tu...yaani hatuwezi kuchomoa
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
@@estermathias8354 Kuna muda unaweza ukawaona kama baba wakwe...Kuna muda.....wazeee.....Kuna muda Wazee Babu na Kuna muda Baby.....au Mtoto.....Ila Ukipenda ndio utajua unawaonaje
@mwajumaroya7404
@mwajumaroya7404 2 жыл бұрын
Je wamebahatika kupata watot?
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 2 жыл бұрын
Yes wanamtoto mmoja wakiume
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Yes
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
kwani hamumjui huyu dada alikua anaitwa dada wa kitumbua anatoa makala KZfaq ya mahusiano
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303Mie nimemkumbuka aisee,saafi sana amerudi nyumbani
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 2 жыл бұрын
Tena mtoto wao mzuriiii
@getrudemushi1334
@getrudemushi1334 2 жыл бұрын
kila la heri Vicky & David
@mariamika2834
@mariamika2834 2 жыл бұрын
Dada wa kitumbua Dylan yuko wapi ?
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 2 жыл бұрын
Mwanamke anampenda Sana Mzungu Ila mwanaume Kama ajali vile
@magdalenek.5990
@magdalenek.5990 2 жыл бұрын
Si kweli
@macamezunguzungu5584
@macamezunguzungu5584 2 жыл бұрын
Ongera 😲
@jonaspatrick2871
@jonaspatrick2871 2 жыл бұрын
Hakuna kitu huku UK, kazi na stress zisizoisha, ukizeeka mwili haufai.
@tifundinzeberi1379
@tifundinzeberi1379 2 жыл бұрын
Jonas uko nchi gani, nikweli. Mimi pia naona
@jonaspatrick2871
@jonaspatrick2871 2 жыл бұрын
@@tifundinzeberi1379 Atherstone, United Kingdoms
@tifundinzeberi1379
@tifundinzeberi1379 2 жыл бұрын
@@jonaspatrick2871 Karibu Ujeruman stress mwanzo mwisho
@jonaspatrick2871
@jonaspatrick2871 2 жыл бұрын
@@tifundinzeberi1379 Thanks but no thanks, nikitoka UK home no more Europe.
@tifundinzeberi1379
@tifundinzeberi1379 2 жыл бұрын
@@jonaspatrick2871 mimi pia aisee
@stamelistameli8461
@stamelistameli8461 Жыл бұрын
Kumbe umeludi tnz dada wa kitumbua
@MishiPapalan
@MishiPapalan 2 жыл бұрын
Watoto wenu wako wapi
@sandrandai6180
@sandrandai6180 2 жыл бұрын
Hawa wamefulia tena wamefulia mno
@upendoluv7197
@upendoluv7197 2 жыл бұрын
Masikini asingekata tamaa bwa shemeji
@aristideskessy540
@aristideskessy540 2 жыл бұрын
Dada wa kitumbua
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Nipo Dada mwenye Kitumbua Originalee
@brigidmua2548
@brigidmua2548 2 жыл бұрын
Jambo jambo mzungu
@Simulizinafilamu
@Simulizinafilamu 2 жыл бұрын
Hiyo coras katunga frola
@issaissah8832
@issaissah8832 2 жыл бұрын
Wana semaga mwana mke Hana dini wala kabila mzee aji andae kumwagwa
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Acha mawazo hasi.
@babukatyatya6838
@babukatyatya6838 2 жыл бұрын
Okloovy
@prettyh7509
@prettyh7509 2 жыл бұрын
😅😅😅tafdhaaali , mashallah
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 2 жыл бұрын
kumbe kuishi nje kunafungua upeo?
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 2 жыл бұрын
Tena sana
@mariammbughi2702
@mariammbughi2702 2 жыл бұрын
Doh
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 2 жыл бұрын
Mtoto wao yuko wapi?
@sampartick2235
@sampartick2235 2 жыл бұрын
Limeshazeeka ilo babu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 жыл бұрын
Waoo nakupendo, nakupendo sana baby, Hahaha
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Umesikia akiimba wimbo wenyewe dear?! Au umesoma hiyo translation hapo?!
@rachelmuhehe2593
@rachelmuhehe2593 2 жыл бұрын
🤣😂🤣 mbona nakupendo🤣
@ruuh5149
@ruuh5149 2 жыл бұрын
Wajina naomb na ss tukatafut mzung beach napend sn yn wazung
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 жыл бұрын
@@ruuh5149 hahahha aiii mume bana kama riziki nyingine mungu akipanga tutapata ila kama hakupanga tutachukua wazungu ambao hawana tabia njema tunaishia kuteseka
@ruuh5149
@ruuh5149 2 жыл бұрын
@@rukiaiddyyahaya9506 kbx yn
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 2 жыл бұрын
Dada wa kitumbua kumbe umerudi bongo 😂😂😂
@karrpapay4070
@karrpapay4070 2 жыл бұрын
Sauti ya uyu dada Kama Irene uwoya
@happynelson1136
@happynelson1136 2 жыл бұрын
Huyu dada ana bahati sababu mimi naishi huku majuu na huku wazungu wanapenda wanawake wa kiafrica ambao wenye rangi ya shombe shombe
@tifundinzeberi1379
@tifundinzeberi1379 2 жыл бұрын
Happy uko nchi gani tuongee
@happynelson1136
@happynelson1136 2 жыл бұрын
@@tifundinzeberi1379 nipo denmark
@tifundinzeberi1379
@tifundinzeberi1379 2 жыл бұрын
@@happynelson1136 karibu Ujeruman
@happynelson1136
@happynelson1136 2 жыл бұрын
@@tifundinzeberi1379 asante
@happynelson1136
@happynelson1136 2 жыл бұрын
Diamond platnumz anakuja Denmark tarehe 4 mwezi wa saba
@cielolawrence441
@cielolawrence441 2 жыл бұрын
dada wa kitumbua
@eliaslukumayemanuel7929
@eliaslukumayemanuel7929 2 жыл бұрын
Miaka stini na nane ni mdogo sana
@graceramadan5583
@graceramadan5583 2 жыл бұрын
😳😳😳😱🤣🤣😂
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Bado sanaa yaani
@verdianabanabi5943
@verdianabanabi5943 2 жыл бұрын
Hata.akiwa na miaka 1000 haijalushi bora kuelewana.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Dada wa kitumbua jmn😍😍😍
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 2 жыл бұрын
Mpale tena apo ni pesa mbele.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Жыл бұрын
Kama kawa
@abdulwahababdulkadir9965
@abdulwahababdulkadir9965 2 жыл бұрын
Nami najitahidi kutafuta hela wasije kunikimbia hawa watoto wanilee
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 2 жыл бұрын
Hila dada wa kitumbu mbona Kama umezeeka sasa hv jaman kale kasura kako ka chocolate color sikaoni tena
@mussaisaac
@mussaisaac 2 жыл бұрын
Mzungu mzee
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
Ndio dear....nimempenda na Uzee wake
@mussaisaac
@mussaisaac 2 жыл бұрын
Sababu ya 💰
@Dylangamer762
@Dylangamer762 2 жыл бұрын
@@mussaisaac hela zenyewe Hana dear..... Tunapambana tu...hivyo hivyo
@ashalaurent2465
@ashalaurent2465 2 жыл бұрын
Victoria nilifuatilia historia yako hadi mwisho
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@hamisikingakachu1259
@hamisikingakachu1259 2 жыл бұрын
Madem wakiswahili wakipata wanaume wakizungu uwa wanalinga wanaona wamepata wazungu wenye wanaolingia babu zao wakiondoka wanaacha
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 жыл бұрын
Wadada wa kibongo ao kafuatia Hela tu apo hana jengne chzea wanawake ww
@consolataaloycemgumba3735
@consolataaloycemgumba3735 2 жыл бұрын
Hiiiii vix
@nadegeuw.5703
@nadegeuw.5703 2 жыл бұрын
Dunga imekoleya
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Mtoto wao yupo wap?
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 28 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 40 МЛН
TULIKUTANA AFRO | JINSI WATU WANAIBIWA KWA KUTAKA KUPEWA WENZA
26:27
Official Dating Assistance
Рет қаралды 7 М.
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
BABA YANGU KIPOFU Full episode /28/ #love
45:53
BabaJoan
Рет қаралды 218 М.