Arusha Diapers Instagram - www.instagram.... Vyombo vya Neema Instagram - / vyombo_vya_neema Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.co...
Пікірлер: 26
@annamnyari71276 ай бұрын
Nimefurahi sana kumuona Neema, nimesoma naye Neema shule ya msingi Makole, Namshukuru Mungu sana kumuona, Hongera sana Neema, mimi ni Anna .
@ZainabJolie6 ай бұрын
Nmempenda sn huyu dada mkarimu sn mashallah. Allah azidi kunfungulia milango ya barka Ameen . ❤
@aminarashidi56496 ай бұрын
Thank you,neeema na Sky kwa interview nzuri ya kuelimisha na nimejifunza kitu🙏
@nicasmtei17496 ай бұрын
Hongera sana young Sis Ney. Endelea Kubarikiwa.
@evaemil8565 ай бұрын
Ushauri mzuri, Sana. Ukianguka futa vumbi, jipanguse, endelea. Mtegemee Mungu, bila Mungu hutoboi. Fanya kazi kwa bidii, kuwa mwaminifu na mteja ni zaidi Ya mfalme. Neema, you can be a Pastor too.
@marymkonyi59226 ай бұрын
Well done Neema. Vyombo vyako vizuri sana. Mimi ni mteja wako
@mariamdullazy81666 ай бұрын
❤nimejifinza Asante nami siku moja nitakuja hapo kuhamasisha kama neema Insha'Allah 😊
@theoriginals32406 ай бұрын
Hongora boss wangu neema. Nakumbuka ulinipa kazi ya kupendezesha nyumba yako kwa kuweka baluster❤🎉
@nicasmtei17496 ай бұрын
nimewatch yote. am inspired na hatua za Neema. Keep it on my dada
@hadijagere6 ай бұрын
Me to
@evaemil8565 ай бұрын
Hongera Sana Neema. Pia umefanya interview nzuri sana you hit to the business and inspire others. I like that you did not talk politics, mama anapiga mwingi, Asante Sana mama etc. Wao wameshatoa, elimu umepata now ni sisi kujiongeza na wengine wajifunze. Asante pia sns sky.
@kakawamashariki89786 ай бұрын
Mungu kwanza katika mambo yote,nimeipenda hiyo pongezi kwako dada kwa sala na kazi.
@peninahkajura90835 ай бұрын
Nimekupenda Bure🙏
@nicasmtei17496 ай бұрын
Habakuk 2:2-3 SUV BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.
@salviuseva6 ай бұрын
Mimi wa kwanza naomba likes zangu
@mwajumabinwa6046 ай бұрын
😂
@halimasanga38305 ай бұрын
Dada hongera sanaaa.
@yama_virginhairthequeen10656 ай бұрын
Na follow now very humble😮
@user-ts6yb7zt8n6 ай бұрын
Nice
@hellenmassawe72846 ай бұрын
Na mimi ninaomba kuwa kwenye grp jaman
@vom846 ай бұрын
Wanawake wa hiv wanakuwaga na akili, ni wajanja sana.
@asmahhamis94165 ай бұрын
Hivi tunawapataje kuna simu au email
@user-uv5tj4nu8o6 ай бұрын
Big up ney,,,lkn kuna kitu nime notice kwako,unaiba mawazo ya watu wako wa karibu maana idea zote mbili hazikua zako,n za rfk zako...watu kama wew ndio hufanya watu wasishee idea zao za biashara kwa watu wao wa karibu
@Mwananchii6 ай бұрын
Kwamba na hao rafiki zake wao ndo wakwanza kufanya hizo biashara!? Riziki anatoa Mungu so chill. Na by the way rafiki zake walikua okay kushare!!
@marymkonyi59226 ай бұрын
Umemwelewa tofauti, rafiki yake alikuwa anaiza brand yake? Rafiki kununua kuna ubaya gani? Hata kama angechukua haiziii rafiki zake kuendeleza biashara zao. Wateja ni wengi unahitaji mbinu kuwa pata au kuwa maintain
@MagrethKessy-fj1ul6 ай бұрын
Nikisikia mtu anaitwa somebody Mosha moja kwa moja ninamuonaga ni ndugu yanguwakin mosha tupo wachache sana