No video

KENYA: MUUAJI akamatwa baada ya MIILI 9 kutupwa kwenye DAMPO, akiri kuua WANAWAKE 42 akiwemo MKEWE

  Рет қаралды 22,232

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 218
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 Ай бұрын
Huyu sio muuaji wakenya mnadanganywa
@SharaMan-yn9px
@SharaMan-yn9px Ай бұрын
Muuaji wewe basi
@odenmasebo9777
@odenmasebo9777 Ай бұрын
Hakika uyu siyo muuwaji amepangwa uyu,acheni uzuzu makenya masenge
@SalhaIradukunda
@SalhaIradukunda Ай бұрын
Wana danganya nini ao ni ww😅😅
@daizzmwangi4634
@daizzmwangi4634 Ай бұрын
Tusha juwa tunadanganywa 😂😂 walijichanganya
@daizzmwangi4634
@daizzmwangi4634 Ай бұрын
@@odenmasebo9777weee Ebu koma tungekuwa waginga finance bill ingepitishwa na hatungejuwa Kama ilivyo pitiahwa kwenu na hata sasaivi hamjui funga mdomo
@user-yp9el7xp8g
@user-yp9el7xp8g Ай бұрын
Uy nimfungwa alikwa amefungwa maisha jela,, serikali wanamtumia kutudangaya ukiangalia hizo pant ziko mpya azijawai valiwa
@user-vy2bc6xg3i
@user-vy2bc6xg3i Ай бұрын
Jamani poleni mungu yupo atatenda haki inshallah
@saivellybrutally2994
@saivellybrutally2994 Ай бұрын
@@user-yp9el7xp8g tangu muda huwo hote mpaka Leo yeye halikua na umri gani
@azadinsweddy9471
@azadinsweddy9471 Ай бұрын
Huyu sio mhusika ila serikali inaficha siri hii yenyewe ndio inaohusika
@user-hx2if3ep2m
@user-hx2if3ep2m Ай бұрын
SKY WAKENYA hawaamini HIZI habari.
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f Ай бұрын
pengine kama ni muislam eza ambiwa gaidi lkn akiuwa mkiristo anambiwa amepitiwa na shetani
@christopherwami2006
@christopherwami2006 Ай бұрын
Achaa upuuzii
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar Ай бұрын
​@@christopherwami2006 upuuzi upi anasema ukweli
@ProsperUlungi
@ProsperUlungi Ай бұрын
Akiri za waislam za kijinga sana
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr Ай бұрын
Akili za kikafiri.​@@ProsperUlungi
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr Ай бұрын
​@@ProsperUlungiAmesema kweli.
@zayumar2955
@zayumar2955 Ай бұрын
Nyieee mpaka naanza kuwaogopa binaadam wenzangu looh 😢😢😢🙌🙌🙌
@juliuskitomari3057
@juliuskitomari3057 Ай бұрын
Nakataa kabisa huyu siyo Muuaji,hawezi kuuwa watu wote hao,huyu katengenezwa ili kuuwa soo
@LucyMutinda
@LucyMutinda Ай бұрын
Hyu sio muuwaji ruto yuafucha ukweli wa mauaji ya githurai45
@RandB_Channel
@RandB_Channel Ай бұрын
Kenya kuko mauwaji yachini chini sana wakifanya uchunguzi watakamata wengi tu
@queenlinda255
@queenlinda255 Ай бұрын
Poleni kenya poleni sana
@abuukajembe-to6sd
@abuukajembe-to6sd Ай бұрын
Sio kweli
@kdloon2030
@kdloon2030 Ай бұрын
Hii sio kweli,huezi ukaua watu then ukabakisha ushahidi kama hizo chupi chupi na sim zao!Hilo ni chenga la macho
@shahamtindo
@shahamtindo Ай бұрын
Ubaya ni kwamba waafrika hatuamini kuhusu SERIAL KILLERS, kila anayepotea tunaamini kapotezwa na serikali. Na hiyo inawasaidia sana hawa psycho kuuankwa miaka mingi.
@gonanzaro5580
@gonanzaro5580 Ай бұрын
Mchezo huo bro Hollywood ya Rambo
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp Ай бұрын
😂😂😂
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Ай бұрын
Niko upande wako
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Ай бұрын
Subhanallah 😢😢😢jaman kijana mdogo lakin ana mambo makubwa yakutisha tena
@Rukiakadzo
@Rukiakadzo Ай бұрын
Kenya yetu tunaifahamu vizuri....huyu ni SCAPE GOAT tu ili tufumbwe macho tu....huyu mtu inasemekana ameanza hiyo kazi tangia 2022...swali ni MDA WOTE HUO ANAUWA WATU NA SERIKALI HAIJUI?? DAMPO LIPO KARIBU NA KITUO CHA POLISI NA POLISI HAWAFAHAMU TU??
@saivellybrutally2994
@saivellybrutally2994 Ай бұрын
@@Rukiakadzo muda huwo halikua na umri gani
@sifatiiman
@sifatiiman Ай бұрын
​@@saivellybrutally2994kwani 2022 ni miaka mingapi imepita had Leo?
@hasanimkamba8377
@hasanimkamba8377 Ай бұрын
Kenya ni taifa lenye maisha ya jabu sana
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Ай бұрын
Kwao muhimu ni kuongea kizungu tu mengine nobody don’t cares😂
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Ай бұрын
Mbona walisema kuna miili adi ya wanaume ? Mbona wamempata haraka sana? lakini ata hafananii na hayo ukute wamemtoa kafala 😢😢
@paulntalima6998
@paulntalima6998 Ай бұрын
Binadamu wamekuwa wanyama ndugu
@shahamtindo
@shahamtindo Ай бұрын
Kaanza kuua mwaka 2020, na serial killer hana muonekano wa ajabu, wengi wanakuwa wa kawaida na ndio maana wanaua kwa miaka mingi sana.
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Ай бұрын
@@shahamtindo duh aiseee sasa kama tangu 2020 ao alio waua mwanzo aliwazika au ?!
@shahamtindo
@shahamtindo Ай бұрын
@@ashurajengela3926 wote aliwakatakata, kila serial killer anakuwa na pattern yake ya mauaji, yaani kuanzia anapowinda, anapokamata, kuua, mabaki ya vitu vya muhanga, mpaka namna ya kutelekeza mwili.. shida ni kwamba AFRICA hatuna uchunguzi wa kutosha kuhusu mauaji. Tunamaliza mambo mapema sana hivyo wauaji wanachukua hiyo advantage.. Ukweli ni kwamba hao watu wapo, na wanaua bila sababu. Ni tatizo la akili so kila sehemu wapo
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 Ай бұрын
Unasema hafanani kwani muuaji ana alama? Tuwe makini watu wna roho za ajabu huwezi kumjua yupi ni yupi
@salumsalum5712
@salumsalum5712 Ай бұрын
Canga la macho ilo🙄🙄🙄Gen Z muskubali ujinga
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 Ай бұрын
Kivipi?
@Ryannkae
@Ryannkae Ай бұрын
@@zanzibarboyzanzibar509 amelipwa ili akubali huyu kaka sio Muuwaji mimi nasomea siasa marekani huyu sio mnachezewa akili
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 Ай бұрын
@@Ryannkae Hakuna kitu kama hichi ata ukisoma wapi it’s not big deal inamana Serikali ya kenya haina Akili Mbaka kufikissha kitu kikubwa kama hichi kwenye Medid?
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk Ай бұрын
Hii si kweli mtu mmoja auwe watu wote hao bila kukamatwa miaka yote hiyo...😂😂
@NurudinZuberi
@NurudinZuberi Ай бұрын
Changa la macho hizo mmepigwa 😂😂😂
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Ай бұрын
Kila kitu changa la macho jamani😢😢😢😢😢😢 tupeni ukweli basi . Binadamu sis kila kitu tunapinga tuu
@MursalLusinde
@MursalLusinde Ай бұрын
​@@ilakozasembumende1975akili za kuambiwa changanya na zako si kila unacho ambiwa ukubali moja kwa moja kua ni kweli bali kabla ya kukubali ipe nafasi akili yako ya kuchambua jambo hilo kwa umakini mkubwa.. haiwezekani mtu aanze kuua toka zamani halafu ghafla apatikane leo tena baada ya miili kuonwa na wananchi labda angekamatwa halafu yeye ndo akaongoza polisi kuonyesha hiyo miili hapo kdg tungeamini... ila watu ni wajanja na wanajua kucheza na akili za watu ndani muda ila kuna vitu vingi vya kutilia shaka kama huyu ndo muhusika wa mauaji shem on u
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Ай бұрын
😂😂😂😂​@@ilakozasembumende1975
@YasreArafat-kk9en
@YasreArafat-kk9en Ай бұрын
Haka kamchezo bado kanaendelea Wakenya SS wabongo tushaona hako kamchezo Ila serikali inambinu adimu Sana Haya wakenya Kazi kwenu 😊😊😊
@issachibangu6075
@issachibangu6075 Ай бұрын
Politic iyo
@fetychina3969
@fetychina3969 Ай бұрын
Heee!😢
@felicianfrancis9895
@felicianfrancis9895 Ай бұрын
Dah, inasikitisha sana.
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi Ай бұрын
Mamaeee na mm saiz mwaume akiniacha au akinikataaa ni mapanga tu 😂😂
@SalhaIradukunda
@SalhaIradukunda Ай бұрын
Eeeeh tu saidie kwa kweli uku minilipo uyo ange uwawa ata yeye 😢😢😢😢😢
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k Ай бұрын
Subhanallah hivi nguvu yaku uwua binadamu kama wewe unayitoa wapi mungu tujariye mwisho mwema😢😢😢
@wambuageorgemutua1930
@wambuageorgemutua1930 Ай бұрын
Sio kweli,usiami unachoskia,serikali yetu ndio wauwaji na wezi
@shahamtindo
@shahamtindo Ай бұрын
@@wambuageorgemutua1930 mawazo haya ndio yanafanya Serial killer wengi kwenye nchi za kiafrika wasikamatwe coz wa advantage ya imani ya wananchi kuwa mauaji yote ya kimyakimya wanaohusika ni serikali. Ila hawa wauji wa hivi wapo na tunaishi nao na wanaua tena bila sababu.
@wambuageorgemutua1930
@wambuageorgemutua1930 Ай бұрын
@@shahamtindo huyu jamaa amekua mahakamani leo amesema alilazimishwa kusema yeyee ni muuaji, serikali imeomba radhi...Kenya sio nchi
@shahamtindo
@shahamtindo Ай бұрын
@@wambuageorgemutua1930 hiyo ni kawaida kwa wauaji mbona
@gonanzaro5580
@gonanzaro5580 Ай бұрын
Nairobi kwa slams Kuna title
@AwaziRajab
@AwaziRajab Ай бұрын
Mbona Polisi Wa Kenya Wanachekesha Sana Mpaka Mtu Anauwa Watu Wengi Ivo Sasa Kama Raisi Ndio Mkuu Wa Kenya Basi Achukue Maamuzi Asikali Waludishe Mishahara Yote Waliopokea Kuanzia Mwezi Na Mwaka Yalipoanza Ayo Mauwaji Kama Kweli Ruto Uko Kenya Kwasababu Ya Wakenya Basi Asikali Hao Waludishe Mishahara Yao Wameshindwa Kazi Inamana Kenya Iko Uchi Inalindwa Na Mungu2
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
Angelikuwa mwislam wangesema ni gaidi😂 ila huyo anaitwa muhang wakisaikorojia nyie watu!
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 Ай бұрын
Hahahahahah 😂
@officialkamdudu
@officialkamdudu Ай бұрын
kama wote ni wanawake sawa,ila kama ni jinsia zote basi itakua changa la macho hili
@maryamm7765
@maryamm7765 Ай бұрын
Dah 😢😢
@user-px3po9lt8g
@user-px3po9lt8g Ай бұрын
Duuh mwanzo wa movie star kafia kwenye garden ndio hii Sasa
@emanueluroki6160
@emanueluroki6160 Ай бұрын
Hatar
@halimaabdalla5149
@halimaabdalla5149 Ай бұрын
Kaeni mukijua fanyeni yenu bt kwa mungu mutaenda kujibu maswali
@Dachibu
@Dachibu Ай бұрын
Mchezo wa kuigiza huu kenya niyetu twaijua uyu so muuaji twafubwa macho ila kyakidani yanaona
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh Ай бұрын
Sound
@shahamtindo
@shahamtindo Ай бұрын
Ubaya ni kwamba waafrika hatuamini kuhusu SERIAL KILLERS, kila anayepotea tunaamini kapotezwa na serikali. Na hiyo inawasaidia sana hawa psycho kuua kwa miaka mingi.
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Ай бұрын
Siyo kweli ni uwongo haiwezekani asionekane hâta Siku moja Nani alikuwa wanamsaidia ile KAZI si ya mtu mmoja hii imetengenezwa😢
@user-tt3dt9hj4j
@user-tt3dt9hj4j Ай бұрын
Hayo maojiano mlimhoji wapi mbona haongei?kama ni kweli aliua mkewe na watu wote hao akiri mwenyewe ndo tujue ni yeye alafu mbona ni wanawake pekee na jinsia mbili walio uwawa!
@wambuageorgemutua1930
@wambuageorgemutua1930 Ай бұрын
Sio kweli, tuko Kenya na tunajua michezo yao
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 Ай бұрын
Waongoooo
@user-hn8fl9ck2b
@user-hn8fl9ck2b Ай бұрын
shetani hy kwanza ana sura mbaya pia wakenya wengi ni wana roho mby hasa wana ume
@STARGOLDENSTAR1
@STARGOLDENSTAR1 Ай бұрын
Sasa nyie watanzania mkija uku tunawakalipisha ila nyinyi mna roho mbaya sana munawivu
@dianajohnson7268
@dianajohnson7268 Ай бұрын
😢
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s Ай бұрын
Subhanallah😢😢😢
@babuwajinaommy725
@babuwajinaommy725 Ай бұрын
Hana uwezo huo huyo kunakitu nyuma ya pazia acheni janja
@boscow9380
@boscow9380 Ай бұрын
Sasa kwanini asiuwawi na yeye?
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 Ай бұрын
Kiini macho😂😂😂😂
@user-ni2kv3yf6e
@user-ni2kv3yf6e Ай бұрын
Mbona anafanana na ruto 😂
@chindemasoftware
@chindemasoftware Ай бұрын
Uongo tu, haiwezekane akate wote!
@anna19805974
@anna19805974 Ай бұрын
Uwiiiiiiii
@surusuru1994
@surusuru1994 Ай бұрын
👀😲😭niliona nijajuwa nikajuwa nisiasa mung wang
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x Ай бұрын
na saiv kenya kuna uuzaji wa kidney ya watoto. wadada na wakubwa 😭😭sijui kwanini watu wamekuwa wanyama hivi jamani
@rakelmula.2439
@rakelmula.2439 Ай бұрын
Huyu si muuaji tafadhali wacha kutangaza taarifa huzijui
@mohammed-_-home-_-boy0018
@mohammed-_-home-_-boy0018 Ай бұрын
🤔🤔🤔🤔
@ENGGILYAPAUL
@ENGGILYAPAUL Ай бұрын
ko alikuwa anaua haraf anapeleka karibu na kituo cha police
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Ай бұрын
Machupi mekundu yote mmeokota mje kutushikia akili
@daizzmwangi4634
@daizzmwangi4634 Ай бұрын
Kumbe mfatilii washa jichanganya 😅😅 Leo ni Tuesday we are in as fuck
@edishaa3108
@edishaa3108 Ай бұрын
Mbona kama wamchongo😅
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 Ай бұрын
SUBUHANALLAH 😢
@salimbilali5174
@salimbilali5174 Ай бұрын
Mtu mmoja haez kuuwa watu wote hao... something is hidden..he is just an intermediary but i think someone somewhere is the main suspect
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 Ай бұрын
Subuhanallah 😢
@dainagano3656
@dainagano3656 Ай бұрын
Sura yake ya kiuaji ila pia anaonekana sio muuaji...yan yupo afu hayupo
@alphangeff2933
@alphangeff2933 Ай бұрын
hallo SNS , PLEASE DON'T trust our media outlets
@billjames1216
@billjames1216 Ай бұрын
Hakuna bwana Ruto na uongo amezidi tu tena sana
@chainbre275
@chainbre275 Ай бұрын
Hmmm Hii kama vile imepangwa why hakai muuaji jmn😢
@jospehfabian7856
@jospehfabian7856 Ай бұрын
mbona hamkumkamata mapema kama sio uongo. achen kuzingua
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k Ай бұрын
Huyu ameshirikiana n Ruto kaagizwa n Ruto wala wasiwadanganye viongozii wakenya tunawajua vizuri sisi wakenya ndio tunafahamu michezo yao 😢
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Ай бұрын
Acheni kufanya watu kama hawana akili
@michealouma2410
@michealouma2410 Ай бұрын
😂,sio ukweli nyinyi sns pia ni waogo sana ,how comes amepatikana haraka ivo ,,sisi kama wakenya tumekataa
@user-ni2kv3yf6e
@user-ni2kv3yf6e Ай бұрын
😂😂 Sasa sns uongo wao wapi😂
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Ай бұрын
HUYU SI MUUWAJE NI UONGOOOO #RUTO MUST GOOOOO
@thomaschenge-lc8wf
@thomaschenge-lc8wf Ай бұрын
Duuuh
@user-uy3uk2ul5b
@user-uy3uk2ul5b Ай бұрын
Duuu baada ya milikujulikana, je miliisingejulikana je mae asingejulikana.
@jassonnelly3445
@jassonnelly3445 Ай бұрын
Kama movie vile kumbe ni kweli
@ludanchuwa5054
@ludanchuwa5054 Ай бұрын
Ukifikirisana ukaunga jibu halijifichi pole kwawafiwa na Kenya yote
@lizzygabriel9601
@lizzygabriel9601 Ай бұрын
Mmh
@user-td3ss6nk2d
@user-td3ss6nk2d Ай бұрын
Movie lakutisha lakutunga😂😂😂😂😂😂😂 gen z wanasema JNNE ZAKAYO MUST GO HOME......
@abdullahmanalex2306
@abdullahmanalex2306 Ай бұрын
Hakuna muuaji hapo changa la macho hilo GEN_Z msikubali huyo ni mbuzi wa kafara ili kupoza mambo
@morrismuinde8621
@morrismuinde8621 Ай бұрын
😂😂😂 hii ni uongo huyu ni mwizi wa kawaida tu
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z Ай бұрын
Kenya muokoke msipofanya hivyo knya itawashinda
@democritenzoisaba9117
@democritenzoisaba9117 Ай бұрын
Haiwezekani kuuwa watu 42 serikari inazima issue/ Huyo baada ya muda mtamkuta VENEZUERA akira maisha.
@sarafinawanja8549
@sarafinawanja8549 Ай бұрын
Hii ni uongo I feel this fake, maybe he's paid to take the blame, this is full of nonsense
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 Ай бұрын
Hapana hapa hii story imebuniwa na serikali
@SamuelOuma-uy2ci
@SamuelOuma-uy2ci Ай бұрын
Huuu ni uongo amekuwa 2 kigezo wanajisafisha
@hidayahidaya-vd3ze
@hidayahidaya-vd3ze Ай бұрын
Kama aliumwa yy itakuwa nilazima majirani watakuwa wanamfahamu familia yake anakokaa asli yake Hivo
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq Ай бұрын
Jamaa huyu ni si mtu wa kawaida aisee dah ila pongezi kwa maofisa uchunguzi wa haraka na kumpata muhusika kwa haraka👊👊👊
@shatonyonge
@shatonyonge Ай бұрын
Gen Z washafanya uchunguzi wao na wamepata jina kamili la mshukiwa..kwanza amepatikana kwa haraka sana na kuna mauaji mengnei hawajawahi kamata wahusika...
@Nicholaskinyua253
@Nicholaskinyua253 Ай бұрын
Huyu mtu ata astuki huyu ni muaji kweli
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Ай бұрын
Hastuki kwasababu anajua walio nyuma yake ni watu wazito hii ni fumba macho tu
@EmmyNamoyo
@EmmyNamoyo Ай бұрын
🙆‍♀️
@thulanimashaba8491
@thulanimashaba8491 Ай бұрын
Jumba bovu hilo anaangushiwa mwana
@flavourboyke
@flavourboyke Ай бұрын
Hapo serikali inatucheza
@3erffeoui86
@3erffeoui86 Ай бұрын
TUESDAY IS TOTAL SHOWTDOWN
@arkei4003
@arkei4003 Ай бұрын
Huyu siye huu mchezo twaujua😂
@user-fy9pw2zr8l
@user-fy9pw2zr8l Ай бұрын
sasa huu awawe na yey
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 Ай бұрын
Propaganda tu sio kweli wakenya🇰🇪 amkeni
@timetravellor5367
@timetravellor5367 Ай бұрын
Mbona kakiri kirahisi Ivo
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j Ай бұрын
Ss heeee na yy anyongwe umbwa uyo
@MtegekiKaijage
@MtegekiKaijage Ай бұрын
Uchunguzi wa uongo changa la macho wakenya wanadanganywa
@juliuskitomari3057
@juliuskitomari3057 Ай бұрын
Hili ni chenga la macho,hamna kitu hapa ,huyo sii muuaji kabisa.
@Moseskoome-l1t
@Moseskoome-l1t Ай бұрын
shinda wanajifanya wajuaji kwa kila kitu toka ruto akubali maombi yao
@malkiawagiza1327
@malkiawagiza1327 Ай бұрын
Dah! Watu ni dhalimu na bahaimu kabisa.
Blinken adai Netanyahu yupo tayari kusitisha mapigano na Hamas
5:34
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 672
-5+3은 뭔가요? 📚 #shorts
0:19
5 분 Tricks
Рет қаралды 13 МЛН
Маусымашар-2023 / Гала-концерт / АТУ қоштасу
1:27:35
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 390 М.
Jaidarman TOP / Жоғары лига-2023 / Жекпе-жек 1-ТУР / 1-топ
1:30:54