Sio kila Mtanzania🇹🇿 hapa USA 🇺🇸 ni mbeba boksi. Hawa wanafanya nini?

  Рет қаралды 97,485

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Жыл бұрын

Hawa ni baadhi ya Watanzania waliopo USA kwa kuanzia miaka 15 hadi 43. Wanafanya nini kipindi chote hicho?
#ebmscholars #ebmswahili #ughaibuni

Пікірлер: 217
@berthatz
@berthatz Жыл бұрын
Hii imekaa vzuri sana kaka EBM..Nafurahi kuona watanzania wenzetu wanaofanya vzuri ugenini..Love my people so much…Kzi nzuri kaka EBM..👏🏾👏🏾👏🏾❤️🇹🇿🙏🏾
@davjoh7728
@davjoh7728 Жыл бұрын
Congratulations to our Tanzanian brothers and sisters for the greater heights they have attained,much love from kenya.
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 Жыл бұрын
Nasisi tunawapenda wakenya ❤️❤️❤️
@davjoh7728
@davjoh7728 Жыл бұрын
@@rukiaiddyyahaya9506 sote ni ndugu na Dada ,karibu sana
@aprilking8250
@aprilking8250 Жыл бұрын
Minabeba boksi kwa mshara $22 kwa saa kwangu mimi niko sawa tu
@kanyankole
@kanyankole Жыл бұрын
Ndo upambanaji kikubwa kusaka pesa na mafanikio🙏
@lilly.guides
@lilly.guides Жыл бұрын
Big up bro keep it up... And for how many hours do you do the Job
@peterkariuki9073
@peterkariuki9073 Жыл бұрын
Halloo there! Am also from Tz
@abduyussuf8345
@abduyussuf8345 5 ай бұрын
Mi ni kinyozi ninauzoefu wa miaka 20 vipi naweza kupata kazi?
@rosemarygiga167
@rosemarygiga167 4 ай бұрын
Mambo vipi!! Naitwa Rosemary Niko arusha can we talk more if you don't mind
@haikamsechu8039
@haikamsechu8039 Жыл бұрын
Hakika nafurahia sana vipindi vya EBM. Kwa wale mnaotaka kucheki maisha ughaibuni na hata kwa wale ambao tayari tupo ughaibuni. Hizi information ni nondo. Mungu endelea kuibariki kazi ya EBM.
@salimamri9488
@salimamri9488 Жыл бұрын
Brother unavyo sema siokila Mtz alieko USA Sio mbeba BOX 📦 Unakosea sana kunawatu wanafanya hizo kazi namaisha yao wana yasukuma vzur napia wapo proud about it. Na wanashinda mushahara badhi ya wasomi wengi walioko Bongo kwahiyo jaribu kurekebisha kauli yako please
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 Жыл бұрын
Stop complaining and learn
@sabatoarika6550
@sabatoarika6550 Жыл бұрын
Yes don't claim because hayo ndo Mambo yaliyozoeleka kusemw kuwa watu wanaosha vyombo
@chemutaimaina3637
@chemutaimaina3637 Жыл бұрын
EBM, this is a great video, informative and educative.Keep it up!
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 Жыл бұрын
EBM sasa matumani yamerudi, kama hamna anayebeba boksi basi ntajitahidi nije huko. EBM unafanya kazi nzuri.
@sikuzanibusanya7352
@sikuzanibusanya7352 Жыл бұрын
Km hipo kz yakubeba boksi basi watwambie tusiyokuwa na Elimu ya juu jmn
@nandikaa471
@nandikaa471 Жыл бұрын
Congratulations to our brothers and sisters and thank you for setting a great example for all Africans. Kazi ni kazi... But always have a plan and a goal.
@malakimollel6044
@malakimollel6044 Жыл бұрын
Brother Ernest ..Huyu mchaga nimemuelewa sana Inaonekana yupo smart sana 😁
@berthatz
@berthatz Жыл бұрын
@Juakali Tamthilia 😂
@piusphilip307
@piusphilip307 Жыл бұрын
Uraia Pacha unahitajika haraka sana Tanzania, hii rasilimali ya Watanzania tunaihitaji nchini haraka sana.
@georgenkanawa7156
@georgenkanawa7156 Жыл бұрын
Kabisa aisee
@michaelkomwiswa7048
@michaelkomwiswa7048 Жыл бұрын
Hongera kwa hao wote Asante sana Bwana EBM
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele Жыл бұрын
Mbeba boksi ni term tu ya kumaanisha hawaafanya kazi za maana haina maana kabisa ya kubeba boksi. Wengi ndivyo walivyo hawafanyi kazi za maana Pamoja na kuwa hata Hizo kazi za hovyo SINA competitive advantage on terms of Dollar and Tshillings wanapotuma PESA Tanzania but when it comes kutuma Hizo PESA ndani ya Marekani ni struggle. I have seen many doctors with PhD Wanaosha vyoo na kuendesha taxi so inategemea how lucky are you.
@atoshamkingule7258
@atoshamkingule7258 Жыл бұрын
True
@peterkariuki9073
@peterkariuki9073 Жыл бұрын
Nataka sana nije Marekani nipambane.
@ngamanyajoshua839
@ngamanyajoshua839 Жыл бұрын
Mambo ya kusema kuwa watu waliopo US na Europe ni wabeba Box mostly ni maneno ya haters wanaotamani wangepata nafasi ya kwenda Europe na US lakini wameshindwa..
@rabisonchrizestomu1810
@rabisonchrizestomu1810 Жыл бұрын
EBM hii nimeipenda Sana I wish na mimi ningekuwepo Leo.
@flossiephilemon8797
@flossiephilemon8797 Жыл бұрын
Kazi nzuri EBM God bless you
@victoriamuteti6328
@victoriamuteti6328 Жыл бұрын
Kazi nzuri EBM ,number 1 fan from Kenya.
@joymas1653
@joymas1653 Жыл бұрын
Jamani mweee first gal talking my schoolmate vero, happy seing her !
@OmariTube
@OmariTube Жыл бұрын
EBM I’m patiently waiting for all the videos from DICOTA event
@ladylucky1714
@ladylucky1714 Жыл бұрын
Mahojiano ni mazuri sana. Hongera sana Mtangazaji...Nimempenda mchaga og 🤣 anavyoongea amewakilisha..wachaga hoyeee ❤❤
@mr.content266
@mr.content266 Жыл бұрын
miaka 21 nipo marekani huo ni umri wangu 😁😁 anyway didn't expect that brother you look younger👏👏
@boazkalema2439
@boazkalema2439 Жыл бұрын
Hiyo Ni no ya wtsapp
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Pole njoo ubebe box
@thanksgivingchannel6247
@thanksgivingchannel6247 Жыл бұрын
EBM barikiwa sana, karibu Texas, yupo Bishop Robert kuanzia tarehe 9/09/2022,kupata link ya mtumishi ingia KZfaq andika Robert tv Tanzania.
@gaudencemihungo4348
@gaudencemihungo4348 Жыл бұрын
Kipindi ni kizuri. Lakini ni vizuri watu wajitambulishe wenyewe na kujieleza. Congratulations.
@noelamwesiga6776
@noelamwesiga6776 Жыл бұрын
Hopefully few years to come I'll in America that's my dream and Mr EBM your are the catalyst of my Dream.God bless you all my African Brother and sisters in America
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Welcome
@leadekeikelvin456
@leadekeikelvin456 Жыл бұрын
Amazing stories 🙏🙏 I will like to visit USA & Canada ❤️❤️
@adam-saffi211
@adam-saffi211 Жыл бұрын
Kazi ni kazi ughaibuni. You can do many jobs, Phd or a degree is not all that important. You can clean public toilets get paid well on weekends and public holidays. Kazi ni kazi!
@demicratia4071
@demicratia4071 Жыл бұрын
Well said
@berthatz
@berthatz Жыл бұрын
Exactly….Kuna watu wanabeba box na wafanya mambo makubwa tu..
@Memphisblue22822
@Memphisblue22822 Жыл бұрын
well said lakini yule jamaa truck driver ange angaza hii comt yako mzee anatengeneza 40k a month ukitoa expenses zoote pamoja na kujilipa 1000
@hellenmuthoni820
@hellenmuthoni820 Жыл бұрын
Nawatupe Kazi Cha kuosa choo
@almuhtaramzamil
@almuhtaramzamil Жыл бұрын
Nimefurahi kumuona Dr.Mohamed Zuhery,wakati nipo Form 1 Popatlal Sec School Tanga alikuwa School Headboy wetu!
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Titels ziko Sanaa Africa. Sababu wanataka Sana ukubwa. Na ubabaishaji.
@peacemwakyombe
@peacemwakyombe Жыл бұрын
Dr Veeee ni mrembo Mungu azidi kumbariki
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
I real appreciate you jmn. I wish to get connection ya kukuja huko mambele. For sure natamani ulaya saaana ila namuamini Mungu. Mchaga og nifanyie basi mchongo best
@lilly.guides
@lilly.guides Жыл бұрын
Apply green card rafiki ndo mchongo pekee ukipata umeula ndugu. Cha msingi apply apply apply Tena
@ufahamuzaidi2343
@ufahamuzaidi2343 Жыл бұрын
Great
@abdulazizsadi5901
@abdulazizsadi5901 Жыл бұрын
Very inspirational
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 Жыл бұрын
Safi sana maisha kutafuta ..,
@amirykingoto9123
@amirykingoto9123 Жыл бұрын
Asante sana Ebm kwa shule tunajipanga tutaonana October
@amourmtungo623
@amourmtungo623 Жыл бұрын
🤔Funua funua bro. Kila ukifunua stori na maendeleo ya Watanzania nje ya nchi itawatia motisha Watanzania wengine kufanya jitihada ya kufikia malengo kama ya hawa wenzetu. Asante EBM kwa habari🤝
@wm9669
@wm9669 Жыл бұрын
Interesting video.
@mhudumuonline9060
@mhudumuonline9060 Жыл бұрын
Mungu akubariki Kwa ufahamisho
@sukivlog885
@sukivlog885 Жыл бұрын
EBM barikiwa sana
@da2jamhuri418
@da2jamhuri418 Жыл бұрын
Kiongozi miyoyo yetu inandoto tayari yakwenda huko,hata box tutabeba tu,
@prosistermassawe3150
@prosistermassawe3150 Жыл бұрын
Umeonaeee tuko tayari kikubwa ni connection tu
@beatrice3671
@beatrice3671 Жыл бұрын
Amen 🙏
@kasukukasuku3896
@kasukukasuku3896 Жыл бұрын
Inaonekana huko hakuna ubaguzi katika kazi niliona wtz wengine wako jeshi America,EBM thanks for inspiration
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wazungu hawabagui Weusi na Waafrica tunabagua hata mkimbizi tu unamnyima haki ya msingi,Mtu kazaliwa 1972 Tz mpaka leo ni Mkimbizi,ni Haki hiyo??Marekani ukifika leo Ukiomba ukakubaliwa tu mwanao akizaliwa tu ni Raia hata kama wewe mzazi si Raia
@maribasimon6993
@maribasimon6993 Жыл бұрын
kazi nzuri
@freddokuckelmann8502
@freddokuckelmann8502 Жыл бұрын
Hata kama ni mbeba boksi, bado anapata pesa halali hata mbele za Mungu. Akilala ni usingizi wa amani. Kuliko msomi kwenye ofisi za selikali anayeibia wananchi, siku zote usingizi wa hofu akihofia kufa na kukutana na Mungu.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
AMINA
@samsifuni
@samsifuni Ай бұрын
nimempenda sana mangi huyo. yuko realistic sana na anapenda asili yake na hajaisahau.
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 Жыл бұрын
Mangi nimependa the way unaelezea jambo #welcome #December#2022
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Жыл бұрын
Safi sana.Lkn next time zingatia sound makelele ni mengi sana
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 Жыл бұрын
Jaman nımewapenda sana hongerenı nataman sıku mnıalıke nataman kwel .
@belzylucas7275
@belzylucas7275 Жыл бұрын
Nimependa 💞
@ammaherman3391
@ammaherman3391 Жыл бұрын
One day I will earn my Law PhD in America.
@brianmarco1646
@brianmarco1646 Жыл бұрын
Amen
@OgollaJr
@OgollaJr Жыл бұрын
much love guys🇰🇪❤️
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 6 ай бұрын
Dokta p ni mrembo kweli maashaallah ❤❤❤❤
@Kabi_47
@Kabi_47 Жыл бұрын
Kiwanjani (canada & america) mchawi nguvu zakoo hakuna kazi ya kubeba box hakunaga hyo kaziiii ukifanikiwa kuingia ni rahisi kutusua coz michongo iko mingii fundi ujenz hapa canada analipwa hela nyingi kuliko mfanya kazii wa maana kabisa humu humu canada ,madereva wa magari taka wanalipwa mpunga mzurii tu madereva wa mabasii wanalipwa mpunga mzurii tuuu so bnafsii naaamin katika mipangoo ukifika kiwanjani kama hauna familia jipe miaka zaidi ya mi4 kuseto down usiwe na preshaaaa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@martinkisha6307
@martinkisha6307 Жыл бұрын
Kama tunawasomi huko SI Bora waje Tanzania wengine wawe viongozi hapa Sasa tunawapigaji tu viongozi ovyo sana hawana uzarendo nikutozwa tu Tanzania
@luizabahati5198
@luizabahati5198 Жыл бұрын
Mmh na hizi Tozo? Hawatawezana
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 Жыл бұрын
EBM the great
@officialaftab8760
@officialaftab8760 Жыл бұрын
good job
@BaigonMacha
@BaigonMacha 5 ай бұрын
Mungu awabariki
@samxx411
@samxx411 Жыл бұрын
Nimependa Sana tujitahidini Sana wenzangu tunaweza kabisa
@adoumpmoussah939
@adoumpmoussah939 Жыл бұрын
The africans are complicated,these kubeba boksi job ,they pay here in Minnesota 18$/hr I was googling to see how much is paid Doctor in Tanzania :5000000shillings Brothers,hakuna kazimbaya America . I came here in America 2019,natumika kwa factory ,iam paid18,65/hr I have bought fuso fight from japan ,now it is working in Kampala ,im planing to build a house of 30000$,during 2 next years. Sijuwi watu wanazarawu kazi za hapa America. Bado kuona mtu anabeba boksi kwa mugongo awu kicwa.
@jennytugara9470
@jennytugara9470 Жыл бұрын
Title ndio ameiweka vibaya eti sio wabeba boksi wakati Mbeba matakataka wa USA analipwa kuliko Professor wa UDSM. Mentality ya Mtanzania kama huyu ni Title ya Mtu na sio kipato cha Mtu.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wewe 18$/hr ,Amazon wanalipwa 3o$/hr ndugu yangu
@berthatz
@berthatz Жыл бұрын
@@trophywilson7211 Weee..Amazon ya wapi hiyo.??😳ziko hapa OH kibao wanalipa 19-21 inategemea na shift
@jennytugara9470
@jennytugara9470 Жыл бұрын
@@trophywilson7211 najua zipo kazi nyingi zinalipa sana ila nilichukua ratio ya chini kutokana na sfatement eti sio kila Mtanzania ni mbeba Box. Is a job People make living. Yeye anaona ni kazi duni sana
@sarahmuchina1910
@sarahmuchina1910 Жыл бұрын
Mimi mkenya hivi kubeba boksi ni kazi Gani?
@da2jamhuri418
@da2jamhuri418 Жыл бұрын
EBM uyo mohamedi ally wajina wangu yuko huko Fanya mpango nimfate
@oxwad3836
@oxwad3836 Жыл бұрын
👏🏿👏🏿 . 🇹🇿
@eddyamour9720
@eddyamour9720 Жыл бұрын
Hapa mwendo wa box tu Hamna chengine wakusoma asome 😂
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 3 ай бұрын
Wameshiba, maisha mazuri huko!
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 Жыл бұрын
20 years in USA my whole families here.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Yes Me too now 12 years
@habibmarwan2737
@habibmarwan2737 Жыл бұрын
Mangi hatareee..😁😁😁
@luizabahati5198
@luizabahati5198 Жыл бұрын
Aisee Kinabo kumbe upo hukuuuu..salams bro..
@benngideon9317
@benngideon9317 Жыл бұрын
😂😂😂😂hawa itakua wanafanya hotelini ndio maana wanene hivii. Mungu awabariki ndugu zangu mzidi zaidi na zaidi.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Mmm kila mtu akitaka kuwa mnene huku anakuwa
@petermungai6958
@petermungai6958 Жыл бұрын
EBM naomba namba yako tueze kuongea maswala kadhaa kiundani....mimi ni shabiki wako👍
@richshayo4924
@richshayo4924 Жыл бұрын
As longer unalipa bills who care kinachomatter what u earn na si kufurahisha watu mimi nabeba
@richshayo4924
@richshayo4924 Жыл бұрын
Bora 📦 kuliko HR kwa 17-20/hr kukaa officine au bank teller fir 15/hr while on boxes delivery I can earn up 35/hr plus tip lol marekani ni uwe na Target tu Kuna watu wame spend 4yr on college plus student loan still they can make 10k annual gross 😝 😄 😀
@godcompeter9844
@godcompeter9844 Жыл бұрын
Boss fanya interview na Roma mkatoliki
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI Жыл бұрын
Sijapata simu yake. Hopeful one day
@godcompeter9844
@godcompeter9844 Жыл бұрын
Mchek dm
@nataliamu4119
@nataliamu4119 Жыл бұрын
Napenda watanzania! 🙏
@yonandimila793
@yonandimila793 Жыл бұрын
Karibu
@maulidndunda6965
@maulidndunda6965 Жыл бұрын
Huyu mzee nampenda jaman niunganishe na mr.fundi nakubali Sana na dada yangu hapo
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Mazungumzo mazuri lakini angalao yangelifanyika sehemu ambayo haina kelele background..,natumaini utafanya vyema mbeleni.
@barbarasara4033
@barbarasara4033 Жыл бұрын
Nimecheka sana eti sio mbeba boksi
@ernestmatimba9964
@ernestmatimba9964 Ай бұрын
Ni wamarekani wenye asili ya TANZANIA
@Rasheedsmartguy
@Rasheedsmartguy Жыл бұрын
Safi hiii🇹🇿
@elishajustine28
@elishajustine28 Жыл бұрын
Ss ambao hatuna high school equivalents na za u.s.a fursa zetu zinakaaje
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Mpaka uje kama visitor ndipo ujipange namna ya kusoma
@husseinmagoma3838
@husseinmagoma3838 Жыл бұрын
Mambo ndugu yangu Mimi nitafutie ndugu yangu anaitwa muktari magoma,Mimi ni mmoja wa ndugu yangu Mimi ni hussein magoma,huyo alikuwa mtoto wa mtangazaji magoma najua utakuwa unamjua
@leilaassey1726
@leilaassey1726 Жыл бұрын
Mchagha kanikosha jamani
@haider1997
@haider1997 Жыл бұрын
Leteni raia pacha mbwa nyinyi,mnakaa bungeni na posho zenu za tsh elf 8
@EWillyzeDiplomat
@EWillyzeDiplomat Жыл бұрын
Hope to be there one day
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Karibu saana
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw 4 ай бұрын
WAHA TUNAKUBARI SANA KAKA
@JoyceakaJowi
@JoyceakaJowi Жыл бұрын
Dr veeeeee
@anordelias
@anordelias Жыл бұрын
Bro hbar naomba unisaidie na mm nipate kazi marekani
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 Жыл бұрын
Huyo Dr wa IT ana miaka zaidi ya 20 US ila ana kiswahili amazing hadi anataja neno "UDOHOO" kama kashata ambalo ni kiswahili cha ndani ndani.
@happykibona2183
@happykibona2183 Жыл бұрын
Nimesikia dr kibona
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 Жыл бұрын
Huyo Mchagga anaongea kama NIKKI #WA#PILI
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Kubeba box ni lugha tu lakini hakumaanishi ni kubeba box
@eaglemaris327
@eaglemaris327 Жыл бұрын
Natamani kupata scholarship nije kusoma nitimize ndoto kaka EBM nisaidie sana
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wasiliana na wengi tu wanajua njia
@jacksonkabaata6011
@jacksonkabaata6011 Жыл бұрын
🇹🇿
@nagyguntar2268
@nagyguntar2268 Жыл бұрын
Mimi hata kama kuna kazi ya kuogesha mbwa na paka am rediiiiii to gooo
@afrocushitic
@afrocushitic Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@zozokulwa1627
@zozokulwa1627 Жыл бұрын
Hahahaha 😆😆😆
@joycesichone1175
@joycesichone1175 Жыл бұрын
Mohamed zuberi was my school m.et at Gerezani primary school
@carlosben3005
@carlosben3005 Жыл бұрын
Mangi angekomaa huko huko ulaya tu. Asirudi bongo. Huku bongo watampoteza. Bongo ngoma ngumu sana
@Gdiamond360
@Gdiamond360 Жыл бұрын
Very good video, it's good kuona WaTanzania wenzetu wameweza achieve the best education level. But after kuipata, why wameshindwa kuja convert their education where it's actually practical? Why wameshindwa kuja share with the rest of sisi nobodies?
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Mshahara Tz mdogo ndiyo maana tunabakia huku
@MZIZE
@MZIZE Жыл бұрын
​@@trophywilson7211 Safi Sana 👏👏 Nafanyaje na mm nibak?
@anastaziuscyriacus5415
@anastaziuscyriacus5415 3 ай бұрын
We mwenyewe unafahamu, bongo miyeyusho sana
@Gdiamond360
@Gdiamond360 3 ай бұрын
@@anastaziuscyriacus5415 kwakweli changamoto ni nyingi na kubwa
@barakasimba6486
@barakasimba6486 Жыл бұрын
Mm ni refrigeration technician na aluminum welder, how and what can I do nije huko boss.
@leecode6135
@leecode6135 Жыл бұрын
Njoo Brasil kazi zipo mbona sio mpka marekani
@TrueZionTv255
@TrueZionTv255 Жыл бұрын
@@leecode6135 utaratibu ukoje kuja huko?
@leecode6135
@leecode6135 Жыл бұрын
Ntakutumia maelekezo
@TrueZionTv255
@TrueZionTv255 Жыл бұрын
@@leecode6135email au contact please
@robertmasule4819
@robertmasule4819 Жыл бұрын
Lee code nipe mchongo WA Namna ya kupata kuja huko Canada
@hassanabubakari3992
@hassanabubakari3992 Жыл бұрын
Kaka EBM naomba nikutanishe au nisaidie nipate mawasiliano na huyo Dr aliyesoma masters ya Marine Science
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Жыл бұрын
Nafrahi kuwaona ndugu zetu mkiwa huko
@salummhina4857
@salummhina4857 Жыл бұрын
Hamjaelewa tuu Mbeba box maana yake sio kubeba box km ilivyo. Nikufanya kazi tuu.Baadhi ya inchi huwaita waosha masufuria. Kwahiyo toa hiyo mentality yako.
@JoyceakaJowi
@JoyceakaJowi Жыл бұрын
✈️✈️✈️ chiiiiii
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Жыл бұрын
Jamaa wa kigoma anaongea mzee wa Rotery green card
@esthergrace1455
@esthergrace1455 Жыл бұрын
Jamani mtusaidie na sisi tufike huko
@robbemanase9051
@robbemanase9051 Жыл бұрын
Safi ika uwe ubataja majina yao in full , sio DR V , V nani?
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 23 МЛН
Maisha ya Marekani: Kukaa ndani, Upweke, Nyumba, Magari nk
12:22
EBM SWAHILI
Рет қаралды 403 М.
Mtanzania Daktari Bingwa USA 🇺🇸 aliyesoma Harvard University
12:55
EBM na JOYCE K NURSE wakutana kuongelea maisha ya Canada na USA
19:24
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 23 МЛН