Siri ya kuwepo mafuta mashariki ya kati hii hapa |Mwili wa mtu unatengeneza Diseli

  Рет қаралды 68,093

Josephat Gwajima RudishaTv

Josephat Gwajima RudishaTv

3 жыл бұрын

Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

Пікірлер: 188
@ilovejesus666
@ilovejesus666 3 жыл бұрын
Kumbe mnajua kua mitume wote wanatokea mashaliki ya kati ala mnakuja kuwafanya wazungu ndo mitume zenu nawaonea huluma sasa
@mcmwasha9668
@mcmwasha9668 3 жыл бұрын
Niliijua hii sayansi abt 7 years back ,the pastor is very factual
@christophermika6968
@christophermika6968 3 жыл бұрын
Majeshi majeshiii,, Yehova anakusogezasogeza kwenye kiti cha ( ). tz mpya inakuja,ya mwana kondoo Ameee!!!wiiiiiii
@donussack2438
@donussack2438 3 жыл бұрын
I got it Pastor, a mavellous speech. May God The Almighty continue using you anlighting people.
@nowelaraymond4894
@nowelaraymond4894 3 жыл бұрын
God Bless You, Bishop!
@pastorhermantv5420
@pastorhermantv5420 3 жыл бұрын
Amen very true Bishop
@stevensteve7519
@stevensteve7519 3 жыл бұрын
Hamna bhana, watu wa kale zaidi walianzia Tanzania, Afrika mashariki.
@martinkipenya4592
@martinkipenya4592 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@suleimanjuma4443
@suleimanjuma4443 3 жыл бұрын
dah!!! mjomba unalo lakujbu Allah (sw) fanya uslmu acha kudanganya binaadamu wezko kwa njaa zko za kidunia na umebakisha cku chache na uwondoke dunia
@rithersospeterkati3355
@rithersospeterkati3355 Жыл бұрын
Amen Amen baba. 🙏🙏
@masungajp1
@masungajp1 3 жыл бұрын
Nimelielewa somo bishop.
@clementinekieti4894
@clementinekieti4894 3 жыл бұрын
Very true bishop.
@jackhans7708
@jackhans7708 3 жыл бұрын
Kiufupi huyu jamaa sio mwanadini au mwanasiasa,anaongea vitu vilivyotokea na vilivyopo, fact, ninamuamini sana na anaijuwa vizuri Tanzania yetu yaaani mpendwa wetu Tanzania.
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 3 жыл бұрын
Raisi ajae ni huyo
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 жыл бұрын
There is no facts in his speeches, just red herrings.
@joycemaige6838
@joycemaige6838 2 жыл бұрын
Ukizariwa kwasababu duniani na haswa ukijijua wewe umeletwa duniani ni kwakusudi gani basi utalitumikia kusudi kwakweli ashukuliwe Mungu👏
@sebastianalbert2857
@sebastianalbert2857 2 күн бұрын
mimi ni mroma lakini mahubili ya gwajima nayasikilizaga sana huyu ni PhD holder wa kweli
@michaelmponeja2102
@michaelmponeja2102 3 жыл бұрын
Watu weusi sio wa kuamini sana ktk imani ,usaniii tupu
@theojenesjames3942
@theojenesjames3942 3 жыл бұрын
We nae fara
@salomeomashibo1971
@salomeomashibo1971 3 жыл бұрын
Hongera Sana.🇸🇦🇰🇪 .
@ernestphilip256
@ernestphilip256 3 жыл бұрын
Mm nakukubali sana Tegemeo langu rais wetu musimu ujao
@ahmednurhussein8945
@ahmednurhussein8945 3 жыл бұрын
Rais wa nchi gani?
@tranchescoanthony2509
@tranchescoanthony2509 3 жыл бұрын
Nataka sasa niende kwenye makaburi nikafanye utafiti wa mafuta.
@moniquebankibigwira866
@moniquebankibigwira866 3 жыл бұрын
Mama Gwajima umependeza unastahili kuwa kielelezo kwa wamama hapo kanisani. Wavue Helen I wigi na kadhalika.
@adorablesein
@adorablesein 3 жыл бұрын
Hapo umenena
@ahmadiomari6913
@ahmadiomari6913 3 жыл бұрын
Mmmmh Hii kali sasa day G.hujanidanganya
@salbokosaid8992
@salbokosaid8992 3 жыл бұрын
Mungu akuongeze ni mwalimu
@emmanuelbonaventura4258
@emmanuelbonaventura4258 3 жыл бұрын
Man of the match
@biggestnasritv2601
@biggestnasritv2601 3 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@moniquebankibigwira866
@moniquebankibigwira866 3 жыл бұрын
Grace umeona maono
@mchopaluka4319
@mchopaluka4319 3 жыл бұрын
Wakristo wooooote tunajifunika kwa DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO.
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 4 ай бұрын
Ndo maana hamna akili ameeeen
@kingdavidmoto6149
@kingdavidmoto6149 3 жыл бұрын
amen baba
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 3 жыл бұрын
Chuma kimeingia kutu....jiwe limebunguliwa🤗
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 3 жыл бұрын
I love how you craft your messages pastor. You have that ability to teach heavenly matters with human language. Above all, you sound fatherly.
@miriammuller2845
@miriammuller2845 Жыл бұрын
😂 minofuminofu
@dauditandika8061
@dauditandika8061 3 жыл бұрын
Asante
@millicentochieng5740
@millicentochieng5740 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@chrisjacob4057
@chrisjacob4057 3 жыл бұрын
Hili jamaa liko vizurii jmn
@neemamabiki4496
@neemamabiki4496 3 жыл бұрын
Amen🙏
@frolianjohanes2505
@frolianjohanes2505 3 жыл бұрын
Fact ...I knew it about 10 yrs ago
@gracenyangusi6230
@gracenyangusi6230 3 жыл бұрын
Mmh makubwa.
@natumiatu5257
@natumiatu5257 3 жыл бұрын
Amen
@bokimmwamba2322
@bokimmwamba2322 3 жыл бұрын
Wasienda darasani wanahisi uongo but hii topic inaitwa organic chemistry humo tunasoma organic compounds ni compound znatokana na viumbe hai kagusia upande wa mafuta ila makaa ya mawe pia chakuelewa ni kwamba formation ya hizo compound znachukua miaka mingi sanaaaaa
@DavidMbalwa
@DavidMbalwa 5 ай бұрын
Boss Shinar was and still in Babylon in modern day Sudan ,which is the land of Cush ,the land Nebuchadinezzer.
@dauditandika8061
@dauditandika8061 3 жыл бұрын
Sikuzamwisho gwajima
@swalehkiuga167
@swalehkiuga167 3 жыл бұрын
Mungu wangu haogopi hata mungu anafyodanganya watu kweli huyu yupo mbali na mungu
@dynasmdegela6669
@dynasmdegela6669 3 жыл бұрын
Hongera kwa kusikiliza uongo
@christophermachonchory4500
@christophermachonchory4500 3 жыл бұрын
Asante sana kwa huu ufunuo ila weka fundisho lote basi mpaka mwisho
@vicentthomas5279
@vicentthomas5279 3 жыл бұрын
Mch. unachosema kwamba mashariki ya Kati ndio binadamu wa kale zaidi walishi ni sawa lakini issue ya formation ya mafuta hata Africa yapo Kwa Karne na Karne za miaka Sema wazungu walianzia kufanya utafiti kule kabla ya Afrika
@mabawamaguta6154
@mabawamaguta6154 3 жыл бұрын
Ubarikiwee raisi wetu Wa 2025-2030 kura yangu unayoo
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
labda rais wa ukoo wenu
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 3 жыл бұрын
Siyo kweli unawaongopea walikufa miaka mingapi imepi iliyopita mpaka Leo warabu wanavuna mafuta.
@jumannepatrick4943
@jumannepatrick4943 3 жыл бұрын
Na hioo ndioo hoja ya uislamu kuwa Ni dini ya kweli ,inaonyesha Asilia ya watu wazamani
@kassimkasi846
@kassimkasi846 3 жыл бұрын
Dah wa kristo mdajuwa kuchezewa akili zenu
@jaffarijembekali2684
@jaffarijembekali2684 3 жыл бұрын
Gwaj unaongeaga vyamaana sana ola unapotibukaga na miutopolo unanichoshaga ila Mungu akurehemu.
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx Ай бұрын
Upuuzi
@gracenyangusi6230
@gracenyangusi6230 3 жыл бұрын
Ameeen daddy Gwajima
@nelsonpeter2112
@nelsonpeter2112 3 жыл бұрын
Huyu jamaaa anasoma sana
@sayunicasmiry4365
@sayunicasmiry4365 3 жыл бұрын
TUNAKUPENDA baba
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
we endelea kuwaongopea tu
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 3 жыл бұрын
Tatizo anacheza na akili zao bila maandiko😆😆
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 3 жыл бұрын
Maandiko anayatoa kichwani kwake😆😆
@herimkristo8330
@herimkristo8330 3 жыл бұрын
Ameeeen
@nozgeniuz1812
@nozgeniuz1812 3 жыл бұрын
GWAJIMA ADAM AND HAWA HAWA WAWILI WOTE WALIKUWA TANZANIA MWANZO 2;15
@ilovejesus666
@ilovejesus666 3 жыл бұрын
Nyie mkiambiwa mavi sawa mkojo sawa
@alexrukundo6048
@alexrukundo6048 3 жыл бұрын
Nigeria Angola congo brazzavile Gabon Ghana Libya Algeria yapo mafuta
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 4 ай бұрын
Hapa tz tumeanza kuzika lini makaburini inabidi tukstafiti diesel makaburini
@godfreymaswe8443
@godfreymaswe8443 3 жыл бұрын
In kweli fometion ya mafuta ni uozo wa viumbe hai hilo liko waz
@keeptimenimrod3770
@keeptimenimrod3770 3 жыл бұрын
Bishop umeongea kitu kikubwa sana
@alloys-barakaitangaja2531
@alloys-barakaitangaja2531 3 жыл бұрын
Kuna siri nyingi juu ya Africa. Tunatamani kuzijua. Naamini hata Kristo wa kweli alikuwa mtu mweusi
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
Kwaiyo Alibadilika rangi
@saidkhery9011
@saidkhery9011 3 жыл бұрын
Off course, alikuwa mweusi ndugu yangu. Mzungu kaja Enzi za nuhu.
@mgasathedon1579
@mgasathedon1579 3 жыл бұрын
@@saidkhery9011 haijalishi yesu Rangi ya ngozi yake nachojali ni mwokozi wangu
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 3 жыл бұрын
kumbe mnajua chimbuko la manabii wote,Arabuni ndio chimbuko la manabii ila wazungu wamewapoteza mpaka makao makuu ni vatican italy,mtajua siku zinakuja
@christiansamwel681
@christiansamwel681 3 жыл бұрын
Hapa mbunge ninae...poleni wenye vilaza majimboni mwako
@amosyohana5351
@amosyohana5351 3 жыл бұрын
Mbunge na Dactari wa falsafa na Askofu Mchungaji kiongozi namfatilia Sana sijawahi kufika kanisan kwake lakin nashirik vizuli ibada za UFUFUO NA UZIMA online. Wapigweeww
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 3 жыл бұрын
GANBO KILAZA
@kassimkasi846
@kassimkasi846 3 жыл бұрын
Ngwajima wacha kuwadanganya watu ww mm nafanya kazi kwenye sehemu zinazo chimbwa mafuta na hizo rig zunazo chumba ss ndo tunazipeleka kutoka locatione moja kwenda nyengine ss mafuta yanachimbwa kama yanavyochimbwa maji ila mafuta yako chini sana na hiyo petrol na diseli gris na lami oil hummbadilika huko ni ule mchakachuwa lakini kwenda kuchimba ni inatoka au moja tu tena ni matope ndio hapo huchujwa na kutofautisha aina hizo
@mchopaluka4319
@mchopaluka4319 3 жыл бұрын
Ukristo ni usomi yaani hadi raha
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
oil grease deseal parafin
@estermathias8354
@estermathias8354 3 жыл бұрын
No one like you in Tz
@barakaba8417
@barakaba8417 3 жыл бұрын
Gwajima najua hujasoma unatumia hisia kuliko sayansi hiki ni kizazi cha sayansi sikiliza oil na gas zinatokana na hydrocarbons ambazo source zake ni single celled planktons kama diatoms na single celled aquatic animals sio binadamu sisi hatuna hizo property za kuform oil au gas.haya mambo achia wasomi broo watu wanakuchora ujue
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 3 жыл бұрын
Asante baraka.Mpe taaluma
@mohammedjohari8094
@mohammedjohari8094 3 жыл бұрын
😃😃😃
@abubakarseif6073
@abubakarseif6073 3 жыл бұрын
Jitahidini video ziwe na sauti
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 жыл бұрын
Hiyo ni kweli kabisa hujawahi kupotosha kabisa
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 3 жыл бұрын
Acha ni uozo mtupu huyu mtu anafuata wanasayansi waliomkataa Mungu achana naye utapotezwa njoo kaifuate biblia utagundua ni mwongo kama baba yake yule
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 жыл бұрын
@@jacksonngusi4122 daaa lkn hata sayansi inaasema hivyo juu ya mafuta ni viumbe vilivyooza miaka mingi sasa sijui kama kuna jingine unalololijua nifahamishe.
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 3 жыл бұрын
@@mashramadhani1989 kwa hivo unaamini pia tumetokana na nyani kama wanasayansi wasemavyo!!
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 3 жыл бұрын
@@mashramadhani1989 ni uongo uliopita mipaka matokeo ya kuwepo kwa mafuta ni kama matokeo ya uwepo copper, alminium, gold, zink, uranium nk achen kutunga mambo ya kiajabu ajabu na kuwaamini hao wanaodanganya ludi ujifunze katika biblia upate nuru wengi wamekuja kwa njia Ya kudanganya kama baba yao
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 3 жыл бұрын
@@jacksonngusi4122 hili siamini sababu sioni nyani wengine wakibadilika ila naomba unipe sababu za kisayansi uwepo wa kopa na alminium kama ulivyotaja nataka sababu za kisayansi sababu sio kila kitu kinachosemwanm na wanasayansi ni cha kweli au uongo lkn prove kwa hili kisayansi au kwa mifano ya kweli
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 4 ай бұрын
Haiingii akilini hata kidogo
@mutabazijonathan7278
@mutabazijonathan7278 3 жыл бұрын
Sisi site tutaunda mafuta baada ya kifo Mungu ni mkubwa
@strongweakpriceactiontradi9761
@strongweakpriceactiontradi9761 3 жыл бұрын
Kwa waarabu Mafuta ameweka Mwenyezi MUNGU tangu uumbaji...binadamu tunategemeana na nchi zinategemeana..kwa maliasili. Ili kukooperate...Kama Tanzania Mbona tuna Madini ya tanzanite tu...kuhusu uozo na decompostions ni kweli lkn yalikuwepo by natural kama chumvi kwenye kwenye miamba ya bahari...Hayana kikomo wala hayataisha mpka BWANA WETU atakaporudi.
@harrisonsamwel3112
@harrisonsamwel3112 3 жыл бұрын
nenda shule wewe ukasome mafuta yanapatikanaje mungu aliweka mifumo yakujiendesha duniani dunia inajiendesha yenyewe
@rashidsaid4369
@rashidsaid4369 3 жыл бұрын
Hakuna kitu Cha namna hiyo.mafuta Yana formula yake
@nicolemulonda8984
@nicolemulonda8984 3 жыл бұрын
Shalom
@omanabcd9249
@omanabcd9249 3 жыл бұрын
Amina
@mekumeku2484
@mekumeku2484 3 жыл бұрын
Kiumbe kikifukiwa kinakuwa mafuta au mbolea jaman
@omaar5693
@omaar5693 3 жыл бұрын
Ila huya ananichanganya,,, Kama vile yuko mguu ndani mguu nje... Hapo ameongea porojo uongo mtupu....
@zenassylvester125
@zenassylvester125 3 жыл бұрын
Hata wachawi nao hutumia mafuta ya watu haswa watoto kuendesha vyombo vyao 😆😆😆
@sheikhjamaljojo8523
@sheikhjamaljojo8523 3 жыл бұрын
Ulidanganywa babu
@hummertv2393
@hummertv2393 3 жыл бұрын
Wewe ulikua wapi kipindi hicho
@richardnganya2311
@richardnganya2311 3 жыл бұрын
Mheshimiwa mbunge huyo! Injili mpya!!
@dauditandika8061
@dauditandika8061 3 жыл бұрын
Souza mwisho
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 3 жыл бұрын
Du!
@amiroamiroboa8724
@amiroamiroboa8724 3 жыл бұрын
Duuuuhh
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 3 жыл бұрын
Endelea kufufua waliofariki.
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 жыл бұрын
Huyu bwana ana matatizo ya kichwa, aache kudanganya watu namna hii yeye sio geologist.
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 3 жыл бұрын
Raisi matarajiwa
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 3 жыл бұрын
MASSEGE IMEFIKA KWA KWA YULEEE. ANAJIFANYA ANAENDESHA MKUTANO KWA KINGEREZA HA HA HA HA HA HA
@rehemamwakinyaka3167
@rehemamwakinyaka3167 3 жыл бұрын
Jesusi la Mbinguni limeongea haya
@mkurangacnajemasabatochane4626
@mkurangacnajemasabatochane4626 3 жыл бұрын
Mahubiri kutoka kuzimu
@modomfupi9972
@modomfupi9972 3 жыл бұрын
Umejuaje we ni shetani au mmiliki wa kuzimu 🤔
@selemankishema5780
@selemankishema5780 3 жыл бұрын
Muongeaji mzuri kibaya unawadanganya jamaa Kama watoto wadogo nao wanakusikilizaje? Mpaka raha amkeni nyie sema oil oil oil alafu bonge la mjusi toka Tanzania nao wanacheka hahahahahaha
@ezekieliigembe4692
@ezekieliigembe4692 3 жыл бұрын
Uko pos
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
That’s true, expired date tunayo jamani😂😂😂
@charlesgasper2243
@charlesgasper2243 3 жыл бұрын
Talking beyond of this worid ?
@martinmramba1582
@martinmramba1582 3 жыл бұрын
Hivi watu na akili zao wanakaa chini kusikiliza mafundisho ya kipumbavu na upotoshwaji was namna hii. Waafrika tuamuke tujiepushe na hawa vibaraka na wasaliti wa uamsho wa mtu mweusi
@Andy_tz
@Andy_tz 3 жыл бұрын
Wewe ndio mpumbavu moja usiye ujua hata upumbavu wako ni upi.
@fungamezasinon8337
@fungamezasinon8337 3 жыл бұрын
Hakika wewe ni moja ya wapumbavu wasio taka kuelimishwa wanao amini katika upumbavu wao ko hawawezi kupokea elimu atakama nitakuwa saidia wao
@janetboniface5058
@janetboniface5058 2 жыл бұрын
Pumbavu kweli kwani uliitwaa ujee usikilizee wewe mwenyewe huna akili ndiyo maana umekaa umesikilizaa
@gracenkembo8318
@gracenkembo8318 Жыл бұрын
Watu walokaa kumsikiliza kwajima una waita wapumbavu na wewe ulie tazama ninaniii
@mekumeku2484
@mekumeku2484 3 жыл бұрын
Tangu kuumbwa adam hadi leo ni miak ngapi
@husseinsaid8021
@husseinsaid8021 3 жыл бұрын
Toka kwa ADAM hadi KUZALIWA masihi Ni miaka 3974 Piga yesu kakaa miaka mingapi DUNIANI then jumlisha 2021 Almost DUNIA Ina miaka 6000 tangu kushuka kwa ADAM
@nicolaus4088
@nicolaus4088 Жыл бұрын
Karbunjombee
@ahmednurhussein8945
@ahmednurhussein8945 3 жыл бұрын
Dunia ilianzia Iraq ndio mjue Allah aianza nawaisilamu kwanza
@canibalgazaboy8325
@canibalgazaboy8325 3 жыл бұрын
Hawakuwepo waislam hizo nchi unazosikia saivi ni nchi za kiislam zote zilikaliwa na watu wa dini tofauti na waislam wayahudi,wakristo ndo waliishi huko hayo mataifà ya kiislam mengi yalitokana naupanga watu walikuwa wakichinjwa kama hataki kubadiri dini ko elewa Ivo naona hujui historia vizuri ndugu yangu uturuki ilikuwa ni wakristo watupu lakini baada ya ottoman empire kuanzia walilazimishwa kubadiri dini ko jua kuwa ulimwengu wa kiislam umetokana na upanga.
@sultanhassan4902
@sultanhassan4902 3 жыл бұрын
@@canibalgazaboy8325 so kwel
@emmabrownmissana6996
@emmabrownmissana6996 3 жыл бұрын
Vp kuhusu hoima Uganda🏃🏃😂😂😂
@eatlawe
@eatlawe 3 жыл бұрын
Vipi kuhusu Amerika amabyo walikuja kuhamia 1492?
@ezekieliigembe4692
@ezekieliigembe4692 3 жыл бұрын
😜😃😃😀😀😭
@margaretmuranga1362
@margaretmuranga1362 3 жыл бұрын
You know 😂😂petroli
@mussamapesa8972
@mussamapesa8972 3 жыл бұрын
Usidanganye watu bhana mafuta ni ya mungu na ukisema hivyo dhahabu je yametokana na nn ?
@michaeloroni3193
@michaeloroni3193 3 жыл бұрын
Dhahab ni kichwa cha mtu🤣🤣🤣
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Oil, Lami. Grease 🤣🤣🤣🤣
@nizarmanji5343
@nizarmanji5343 3 жыл бұрын
Mzee wa sadaka huyu...hivi kuna cku alishatoa sadaka huyu!!!!kondoo wa bwana
@kareemsukri3256
@kareemsukri3256 3 жыл бұрын
Uongo jee Sudan Nigeria mumezoea kudanganya wakristo
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 3 жыл бұрын
Nakupinga wazi sayansi wanajitafutia wao vyakwao na ndio maana walisema mwanadamu mwanzon alikua nyani akazidi geuka mpaka kufikia mtu wakati biblia inasema Mungu akamfanya Binadamu kwa mfano wake akiwa kamili huyu analeta habari zilizokufa kama tulivyo danganywa kwenye somo la histor huyu anawapeleka upotevu ni waz kabisa simama na biblia itakuokoa na upotevu kama huu 1 Timotheo 4:7 [7]Bali hadithi za kizee, zisizokuwa za dini, uzikatae; nawe ujizoeze kupata utauwa.
@nathanmateow9455
@nathanmateow9455 3 жыл бұрын
Sayansi Na bibilia wapi Na wapi,tufanye alikuwa anapiga soga
@richardsilvanus8927
@richardsilvanus8927 3 жыл бұрын
True
@richardsilvanus8927
@richardsilvanus8927 3 жыл бұрын
Safi
@tembasimba9462
@tembasimba9462 3 жыл бұрын
Hakuna maali wanasema binadamu alikua nyani , kasome upya.
@neemamabiki4496
@neemamabiki4496 3 жыл бұрын
Wewe mwenyewe pia hujui😀😀kisayansi binadamu hakuwa nyani kasome biology vizuri!!
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 4 ай бұрын
Hili ni tatizo la wajinga kua wengi
Ukiujua ukweli huu Hata simba hawezi kukufanya chochote!! Askofu Gwajima
19:02
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 52 М.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 42 МЛН
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 57 МЛН
Nakumbuka siku yule dogo aliponitaja | Askofu Gwajima asimulia kisa hiki tena
15:58
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 191 М.
KISA CHA KWELI!! Siri ya matajiri wa Korea hii hapa
8:46
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 174 М.
Safari hii ukileta mchezo unakufa | Atoa tahadhari kwa wanajidai wanachanja
11:59
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 278 М.
SIRI YA FICHULIWA UONGO WA MIUJIZA WANAYO IFANYA EV PASCHAL CASSIAN
17:24
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 169 М.
Hotuba ya Askofu Gwajima 'iliyomvunja mbavu' Rais Magufuli bungeni
9:30
Daily News Digital
Рет қаралды 488 М.
MAOMBI YA ASUBUHI | Sitaogopa
6:06
Maombi Ya Asubuhi
Рет қаралды 511 М.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 42 МЛН