Baba asante sanaaaaana ukweli ndo uo namimi mungu alinifunulia ktk ndoto nanikaona mashoga wanaimba nyimbo za dini nao wanakuwa wanajifanya kumuibia yesu na wote walikuwa wamevaa uchi na kucheza kwao kulionekana wanashika sehemu zao za siri walikuwa wanamdhiaki bwana yesu.
@BahatiJohn-xl3fnАй бұрын
UWE unaandika Mungu iyo m iwe herufii kubwa SAWA mpendwa Katika Kristo
@FredLusweti-zm1ou15 күн бұрын
shukurani kwa neno , ni fred lusweti nairobi kenya
@user-io1tp6nz8m12 күн бұрын
Barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu
@narrowgateglobal3 ай бұрын
Powerful message
@johnnguttu9516 Жыл бұрын
Amen, Amen. Neema ya KRISTO YESU na Roho wake anipe uwezo wa kumkili KRISTO YESU kila wakati Mimi na Uzao wangu. Asante Sana Kwa Mafundisho mazuri Rabbi. Barikiwa
@cmoshi70144 ай бұрын
NAMSHUKURU MUNGU KWA KUIJUA HII CHANEL HAYA NDIO MAFUNDISHO NAPENDA KUSIKILIZA HUWA SICHOKI KUSIKIA HABARI ZA SIKU ZA MWISHO KWASABABU NDIO TUNAISHI.BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU
@pascalinamtanke82464 ай бұрын
Amen amen mtumishi wa Yesu Kristo. Ujumbe huu ni mzito na mzuri sana. Asante sana, Mungu akutie nguvu uwafikie wengi.
@wilsonmkumbo3032 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU kwa mafundisho yanayotufanya waamini tuelewe nyakati tulizonazo na tujiandae kwa unyakuo wa kanisa
@rahelpaul4273 Жыл бұрын
Mafundisho yenye uzima mno,tuamke kanisa tuamke Yesu ni kama sasa amesogea kweli!!wewe ni mwalimu
@alexmayemba860610 ай бұрын
Amina mtumishi barikiwe sana
@maystellakajuna54614 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza Rabbi, you were brought in this word for such a time as this! Mwenye masikio na asikie Neno Roho anayaambia mataifa!
@masindemagee96035 ай бұрын
Amina
@habarugirasamson47029 ай бұрын
Ubarikiwe Sana mutumishi wa Mungu endelea mbele na injili
@angelitapaulo3 ай бұрын
Baba ubarikiwe sana hakika huhitaji kuhubiri mali haya ndio YATUPASA wakati huu Asante na ubarikiwe sana
@fadhiliissac.mwangalika6 Жыл бұрын
Mungu nisadie niokolewe na wewe Baba
@floraflora57177 ай бұрын
Asante Mungu akubariki Sana kwa mafundisho nabarikiwa sana
@CaptainLufumbe8 ай бұрын
Nakuelewa sana baba amina na mungu akubariki naakufunurie mengi zaidi
@miriavagheni4480 Жыл бұрын
Amen Gob bless you
@KuhaniHappynessJoshua-qs4gw Жыл бұрын
Amen mtumishi tupo pamoja
@user-ob3fw9xv4m6 ай бұрын
Nîmes mubariki uyuu mungu kwa Ku nipa nehema ya kuku fwata Rabbi,Niko muchristo ni Ku ona Mara kwanza Butembo Congo,n'a pale mungu Ali dji Tuliza sanza kupitaaa wewe. N'a pile Kwa kanisa Sukisa Bunia Congo,n'a Léo kwa ligne, mungu aku bariki sanaaaaaà,Nina amini mafundisho uli leta kwetu: Divin connections.
@BahatiJohn-xl3fnАй бұрын
UWE unaandika Mungu sio mungi
@BahatiJohn-xl3fnАй бұрын
sio mungu kwa herufii ndogo iyo M iwe kubwa
@juliethchavala33147 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@kamikazineema1957 Жыл бұрын
Barikiwa man of God
@Misigaro82463 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@ModesterHinju-gf1go9 ай бұрын
Shalom ubarikiwe kwa ujumbe mzuri
@wilsonmkumbo3032 Жыл бұрын
GOD bless you servant of our lORDJESUS,for your unique anointed teachings on the current season we are in, waiting for the rapture of the church
@hatangimbabaziSenzoga-kz4nm8 ай бұрын
Amena God bless you
@johnmasonga426 Жыл бұрын
Amen my pastor
@martinehangi81743 ай бұрын
Asante sana Namuchukuru Mungu Baba ,kupitia Yesu Kristo kwa tumia wa yaudi kuwa waalimu wa injili... Bwana Yesu Kristo asifiwe Sana.mimi niko Congo nampenda Yesu Kristo.
@DieudonneMAHANGO-ws3do2 ай бұрын
Amen 🙏
@jonastakilihona7 ай бұрын
Amen
@MadilishaSimon-sb9kk2 ай бұрын
Niombee baba nahisi kuwa na roho ya kukataliwa na mikosi
@boniphacenjige1944 Жыл бұрын
Ameen!!
@user-yb8jq9xw2o7 ай бұрын
Ameni
@nagheshio31744 ай бұрын
Bwana utusaidie tupe maarifa tupone.
@mugishatv73057 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI AKUJIDISHIYE VIPAWA
@DanielIsaya-jf9xp21 күн бұрын
.
@christinangondi42126 ай бұрын
Eeeeh MUNGU WA MBINGUNI tusaidie tusikukane wala tusikuache
@EzraMsagati4 ай бұрын
Hiyo background music inasumbua. Je inawezekana anayepiga akanyamaza?
@upendosahala86636 ай бұрын
Amen Amen mtumishi ubarikiwe sana
@upendosahala86636 ай бұрын
Naomba maombi nina maumivu ya mgongo yameanza gafla sijawahi kupata shida hii maumivu yalianza usiku
@angelitapaulo3 ай бұрын
Upone kwa jina la YESU dawa chukua asali, kijiko kimoja cha chai, tafuna carrot moja kila siku, na pia mbegu za maboga kijiko kimoja kila siku mpaka utaona maumivu yatapona,
@habarugirasamson47029 ай бұрын
Ubarikiwe Sana mutumishi wa Mungu endelea mbele na injili