Asante mtumishi kwa kutueleza na kutufundishaa mengii Tusiyoyajua MUNGU wa mbinguni akubariki sanaaa
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Sasa Mungu wambinguni Gani Tena uyo mna jichangana Yesu ni Mungu Sasa uyoemwine wa mbinguni Gani tena
@christophersimwinga6689Ай бұрын
Wewe niMwalimu nimekukubali na Leo ndo nimeelewa kuwa dini zote zitahukumiwa Kwa haki
@christophersimwinga6689Ай бұрын
Yes Mwalimu upon sahihi hata yesu mwenyewe alisema Mimi na baba ni Kitu kimoja
@mwinyijuma268615 күн бұрын
Bado hujaelewa yesu aliposema hivyo sababu umesoma sentence Moja tu katika kitabu Cha yohana 10:30 ukitaka kujua maana halisi soma kuanzia John (yohana) 10:23-34.
@mcndege9724Ай бұрын
John 3:16 Mungu akajituma...... Mungu akafa siku tatau.... Waubiri bubu waliopotoka hawaelewi maandiko wanawapotesha watu. Yesu ni mwana wa Mungu alie hai.. hiyo ndo wokovu..
Kwanza ukitaka kujuwa mmepotea towa andiko inasema tusamiyane kwa jina la yesu towa hapo yesu anesema Mathayo 11:29 tufunze kwake sasa wapi yesu alitowa iyo salamu ili tujifunze kwake
@emmanuelallankanumba5234Ай бұрын
Je ni Mambo gani yesu au Issa aliamulu umma wa waislamu wayashike na kumfuata yeye kama hakim ili wapate wokovu maana sisi wakrito inaeleweka asiyezaliwa mara ya pili hawezi kuona ufalme wa mbinguni,,mimi ndio njia na kweli na uzma huwezi kwenda kwa baba ila kwa njia ya mimi nk naomba unipe elimu kuhusu hawa ndg zetu nini hatma yao aksante
@jospinchance7 күн бұрын
Alina mutu Alina mungu wakati wowote ni mechack pa Sud Kivu Bukavu
@jospinchance7 күн бұрын
Akuna mutu alishaka ona mungu
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Iyo tito ni Paul ndiyo anasema yesu ni Mungu
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Oyo missionary ndiyo wale tu wa catholic imani zao
@abdalahsuleiman8989Ай бұрын
Ukisikia watu wa moton wakiwa duniani
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Ndiyo hawa
@msemakweli243Ай бұрын
Hapo mnapotosha watu mungu haonekani, yesu ana uhungu
@lastpage488 Жыл бұрын
nimepata kitu kingine
@nehemiekwizera1277Ай бұрын
Kwanza maneno ya Daniel anajichanganya mwenyewe, eti huwezi kutofautisha neno na mwenyenalo, basi ukasema Kwamba John 1:1 , Neno alikua, then ukaja ukabadisha eti Neno lija , si unaona unajichanganya.
@jemimanzombo9808 Жыл бұрын
Amina🙏🙏🙏
@geoffreykomu9782Ай бұрын
kama yesu ni yule mungu mmonja ambaye haonekani, nashidwa ibilisi katokea wapi kuja kuwadanganya watu, kisha huyu mungu ajifanye mwanadamu ili apambane na huyu ibilisi.
@dennismasira8992Ай бұрын
Muulize tena kwa sauti
@davidochiengbuoga7165Ай бұрын
Amina,ningependa mfanye hii majadiano moja kwa moja na mwalimu kutoka Kenya 🇰🇪,jina lake ni Ndacha.Anasema Yesu sio Mungu ila ni malaika MKUU ZAIDI.Mbarikiwe watumishi
@msemakweli243Ай бұрын
Kinacho watatiza ni kukalilishwa yesu sio mungu hila ana uungu
@davidochiengbuoga7165Ай бұрын
@@msemakweli243 Hiyo uungu wa Yesu Kristo ndo inamfanya awe Mungu (Isaya 9:6; Wafilipi2:5-11)
@JESUSISLO891Ай бұрын
Ndacha hajielewi anafaa kurudi Kwa Imani ya kweli
@msemakweli243Ай бұрын
@@davidochiengbuoga7165 kwahyo mungu watakuwa wangapi?
@msemakweli243Ай бұрын
@@JESUSISLO891 wewe ndo fikira zako
@kelvinmpanda-ms2ikАй бұрын
Kuna Yesu na Mungu ila Yesu sio Mungu
@julyuzkemei5754Ай бұрын
Umepotea kabisa...soma biblia kwa makini brother
@davidochiengbuoga7165Ай бұрын
YESU Kristo ni Mungu kwa utukufu wa Mungu Babaye (Isaya 9:6; Wafilipi2:5-11)
@davidochiengbuoga7165Ай бұрын
Je, unafahamu kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka, vile vile, Mtoto wa Mungu ni Mungu. Yesu Kristo ni Mtoto wa Mungu,tena mzaliwa wa kwanza wa Mungu na yupo pamoja na ndugu zake hapa duniani.Ndungu zale Yesu Kristo ni 'miungu "(Zaburi82:6; Yohana 10:30-37)
@nehemiekwizera1277Ай бұрын
Then akasema eti Thomas, alimuita Yesu Mungu ....mbona hakusoma waebrania 1:7,8 ambapo Mungu Baba Mwenyewe akumuita Mwanawe Mungu.
@djskadi7355Ай бұрын
Kenya kwa ndacha atachukuwa nusu saa anabadilika uyoo anadanganya Yesu ni Mungu kwa Nature sio Mungu mkuu kwa sababu ni mtoto wa Mungu ndo maana anakuwa mungu kuna Mungu mkuu na Bwana Yesu soma imani Yohan 7-3 huu ndo uzima wa milele hii andiko alitaki kachumbali uyu mwalimu wa utatu ni uwongo kabisa akuna andiko linasema Mungu baba Mungu mwana Mungu roho kama lipo watoe kunyeshe mvua ya damu 😅
@petromachanga5538Ай бұрын
Safi utatu
@nehemiekwizera1277Ай бұрын
Then akasema eti Emmanuel maana yake ,hakfu akaweka maneno yake. Jamani
@jumamnyonge2148Ай бұрын
2wakorintho 12:7 Na makusudi nisipate kujivuna kupita kiasi Kwa wingi wa mafunuo hayo nalipewa mwiba katika mwili mjumbe wa shetani ili anipige nisije nikajivuna kupita kiasi
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Sasa uyo ndiyo na shetani ndiyo wame wangiya nyinyi ote kuleta imani yesu nimungi
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Warumi 3:7 Lakini ikiwa kweli ya Mungu imezidi kidhihirikasha utukufu wake kwa sababu ya Uongo wangu mbona mimi ningali nahukumiwa kuwa mwenye dhabi
@jumamnyonge2148Ай бұрын
Paul najiita Muongo na Mwenye Dhabi nakila anaye mfuta wote motoni Aliwanda nganya kuwa yesu ni Mungu nanyi wajinga hapo studio mkaamini