Skia alichoimbiwa Salama na shabiki, Hujui mtu katoka wapi

  Рет қаралды 220,239

BongoStarSearch

BongoStarSearch

2 жыл бұрын

Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz

Пікірлер: 247
@juliusmogere7466
@juliusmogere7466 2 жыл бұрын
Love from Kenya. Love you judges, masterj, salama and chief judge pulsen rita
@cosmasjuma6953
@cosmasjuma6953 Жыл бұрын
957
@jacobjones9603
@jacobjones9603 Жыл бұрын
You guys hamfai kuwa majaji...mnaeza mfanya mtu akajinyonge tu sio vizuri
@rachealhalima4162
@rachealhalima4162 Жыл бұрын
Someone to came spare my ribs 😂🤣🤣nmecheka adi basii BONGO STAR SEARCH love you guys way from Kenya 🇰🇪
@aliben9
@aliben9 2 жыл бұрын
One of the best Tv show in Africa. We really miss this show, please guys bring it back soon,#BSS4LIFE❤️
@thestoryteller6398
@thestoryteller6398 Жыл бұрын
i love the confidence of the first guy
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Uyo mama wa mwisho 😂😂😂😂🙌🏻
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
nmechekaaaa😂😂😂
@tigerclassic-
@tigerclassic- Жыл бұрын
Laizer from Kenya sometime Salama mnakatiza vijana hopes Kwenye mziki
@nundamalickofficial9538
@nundamalickofficial9538 Жыл бұрын
Kweli
@stanleysenzota3180
@stanleysenzota3180 Жыл бұрын
Master jay,salama,madam,na ommy dimpoz nawashangaa sana....MTU HATA KAMA HAJUI MZIKI (MTAZAMO WENU)MUELEZEN KAKOSEA WAP....,KWA KIFUPI SALAMA HUJUI MZIKI...MADAMU RITA HUJUI MZIKI..DIMPOZ MZIKI UNAUJUA ILA UNAAMUA KUWA KIZIWI
@Shadya-ju2el
@Shadya-ju2el 8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila bbs jmn kunavituko
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 Жыл бұрын
Wimbo wa kumsifu salama ni mzuri bana
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 Жыл бұрын
Jamaa Alie Rap kwa ajili salama .Anajua Asee.
@materulivin5921
@materulivin5921 Жыл бұрын
Kwakweli sema wanazingua kina salama
@ayubuamsonjr9437
@ayubuamsonjr9437 8 ай бұрын
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 Жыл бұрын
Ushauri wangu wasanii watanzania mkiona mnajua kuimba nenda studio tu uterekodi utasapotiwa na wananchi ,vipesa vyenyewe vya hawa jamaa vya mandazi haviwezi kukupeleka popote. Hawa wenyewe no judge hapo usenge tu na dharau na kukatisha tamaa wasanii.
@CharlesMchami-yg2qz
@CharlesMchami-yg2qz 8 ай бұрын
Ahaaaaa
@Abdulhamid_Suleiman
@Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын
Bangi mbaya sana Asee 😂 wamemuibia
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 Жыл бұрын
watu wanapenda mziki lakini mziki hauwapendi
@quintertheebestnanny1875
@quintertheebestnanny1875 2 жыл бұрын
Hata nyie mna stivo simple boy😂😂😂
@IN-ny2kb
@IN-ny2kb 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@lynlk2346
@lynlk2346 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 8 ай бұрын
Nampenda shishi jamani na salama mashaa allah wanavituko muster J umeibiwa viatu pole Aunt rita punguza English shishi mnamkera 🤣🤣🤣 nawapenda from uk 🇬🇧
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
uyu mama wa mwisho ataniua🤣🤣🤣🤣
@betrackjasson6698
@betrackjasson6698 Жыл бұрын
Haibu jamani
@pendoladhati2823
@pendoladhati2823 Жыл бұрын
Hahaha
@ibramayno8447
@ibramayno8447 Жыл бұрын
Daaaah hii show bhana huwa na uwaki flani
@mohamedschaeublin7374
@mohamedschaeublin7374 Жыл бұрын
Please Judges ama Salama and Co, Heshima kidogo kwa Hao Wasio na vipaji wanao bahatisha , don't Disrespect them..
@manirambonazaza3332
@manirambonazaza3332 Жыл бұрын
Polenii wenye kwenda kuiimba duuu wana towa noma kishenz muna roh ngum
@fathimamct232
@fathimamct232 Жыл бұрын
Kwa gitaa yupo vizuri
@hamiskadogo8665
@hamiskadogo8665 Жыл бұрын
Hicho kidada kina roho mbayaaaa sura imekakomaaaa kama kanalimwa Salama mshenzi sanaaa utazani kana maisha mazri hovyo tu
@roi2554
@roi2554 8 ай бұрын
Maatata kweli kweli 😂😂😂
@tusmokinana3836
@tusmokinana3836 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣napenda bss kwa ajili ya kucheka tu
@vj8313
@vj8313 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@fatimamv2723
@fatimamv2723 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mm Huwa naangalia nikichekaa
@OfficialeugennyPro6130
@OfficialeugennyPro6130 2 жыл бұрын
Salama we ni mnafiki asee
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Жыл бұрын
Salama mwenyew katoboa pua ana fikiri ana nn
@batistkatumbi782
@batistkatumbi782 Жыл бұрын
Huyo mama jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kachangamka
@Nominated207
@Nominated207 Жыл бұрын
Huyu dimpoz kama msenge yani unakatisha watu tamaa kiasi hiko cha kisenge mpe mtuu nafasi lazima ujue anaimba nn anahitaji nini yupo kama choko
@mchilangaakomwaninyoyakwe8399
@mchilangaakomwaninyoyakwe8399 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁
@cleophasmkungu623
@cleophasmkungu623 Жыл бұрын
Huhuuu, ila wabongo tunatisha. Nesi anapenda kuimba kuliko kazi yake.
@neemasombi5506
@neemasombi5506 Жыл бұрын
Ajali ya ndege
@user-id4it1wz8m
@user-id4it1wz8m 8 ай бұрын
Wangebadilisha izo mbwaaa
@emmanuelernest3596
@emmanuelernest3596 Жыл бұрын
Majaji mna moyo sana mungu awabariki😅😅😅😜
@Ebendentalclinic
@Ebendentalclinic Жыл бұрын
hahahahaa ila mnakutanaga na mambo aiseee huyo mama hapo😂😂😂😂
@djtalkido2547
@djtalkido2547 Жыл бұрын
Nianze kazi😂🤣
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 жыл бұрын
Omi anasema legeza jicho basi🤣🤣🤣
@Mrcmelody
@Mrcmelody Жыл бұрын
Kwanza ommy unakosoana mwenyewe unapima pima tu mbwa wewe🤣🤣
@AminaLibisa
@AminaLibisa 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂kaibiwaaaa
@marysaituni4584
@marysaituni4584 Жыл бұрын
Imani mola akuongoze kama unajiamini inatosha
@georgenorasco1705
@georgenorasco1705 Жыл бұрын
Nyie majaji hovyo sana hamfai kabisa, Bora waje watu wengne nyie mnadharau sana mnakejeri vijana wetu
@joaniminza9618
@joaniminza9618 Жыл бұрын
I never understand why Master J anakichukia kiingereza, anyway much love from Kenya
@AminaLibisa
@AminaLibisa 8 ай бұрын
Sema mapengo ndo shida😂😂😂
@naomilyoto1977
@naomilyoto1977 Жыл бұрын
Watu wanapenda mzik ila mziki awapendi
@Wildwolf254
@Wildwolf254 Жыл бұрын
Kazi ipo!
@hejopantumsifusimon21
@hejopantumsifusimon21 Жыл бұрын
mm simpendi salama anakatixha tamaa
@rizikirobert4596
@rizikirobert4596 Жыл бұрын
Haaahaaaaaa kwanza pengo Ashike jembe akalimeeeee Iman
@MoyiSanJose-eg1nr
@MoyiSanJose-eg1nr 7 ай бұрын
Natamani nikuone, haha, huyu ndo Stivo Simple Boy wa Tz.
@user-ho2ql1zc2z
@user-ho2ql1zc2z 8 ай бұрын
Iko vizur
@mussakuntu7702
@mussakuntu7702 9 ай бұрын
Jamani mlio muona mwamba Alie ibiwa vitu vyake sm na redio akuje hapa
@user-mr5tk8oc3t
@user-mr5tk8oc3t 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu kaka alie ibiwa kanichekesha
@papangoda229
@papangoda229 Жыл бұрын
Daah aseee noma
@OtavinaMsigala-xx5bl
@OtavinaMsigala-xx5bl 8 ай бұрын
Salama mjinga sana hayo macho sasa....
@ameirameir4930
@ameirameir4930 Жыл бұрын
Kwa kweli majaji hamjajua lengo la kazi yenu ni nini nyinyi wenyenu mnatakiwa mpate shule kiukweli mnatakiwa kuwatia moyo vijana hata akifika hpo kijana amethubutu
@fefeonlyme5394
@fefeonlyme5394 Жыл бұрын
Uyu mama nisimame wapi katikati😂😂😂😂😂😂
@flova7022
@flova7022 Жыл бұрын
Hahahahahaha Hawa wataniuaaa mm...dahh hata kama mi sio fundi kivile WA kuimba Ila dahh
@georgenorasco1705
@georgenorasco1705 Жыл бұрын
Mnadharau sana
@manrakizagervais4418
@manrakizagervais4418 8 ай бұрын
Hahaha😂😂😂yani madam Rita mnamyoyo kwakweli
@fathimamct232
@fathimamct232 Жыл бұрын
Salama watu unawazodowa baadae wakitoka mnaona aibu hamjifunzi tu kutoka kwa Rajabu
@vickylupemba6055
@vickylupemba6055 Жыл бұрын
😂Anawazodowa!Haswa lugha siyo ya kibiashara, sifa tu
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Жыл бұрын
Rajabu ndo kayumba ?
@fathimamct232
@fathimamct232 Жыл бұрын
@@mishikikoti2948 Hapana Rajabu ni Harmonize
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Жыл бұрын
@@fathimamct232 ahaa ok
@user-er2yf9sl9b
@user-er2yf9sl9b 8 ай бұрын
Huyu mama wa mwisho jamani nimempenda 🤪🤪🤪
@mrben227
@mrben227 8 ай бұрын
Yeah ,majaji munatakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wale ambao hawana vipaji na si kuwakashifu
@LuciaGodfrey-sk6lz
@LuciaGodfrey-sk6lz 8 ай бұрын
😅😅😅😅😅ila mnakatsha tamaa mwee😂😂😂
@christinaonditi9341
@christinaonditi9341 Жыл бұрын
Dah
@gaudenciaantony5523
@gaudenciaantony5523 Жыл бұрын
Huyu wa mwisho yupo serious kweli
@noeljacob9644
@noeljacob9644 Жыл бұрын
Nesi yuko vizuri
@bigdaddy_faustinjumong4427
@bigdaddy_faustinjumong4427 Жыл бұрын
Huuuu mwaka hakuna #BSS
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 8 ай бұрын
MUNGU wangu nimecheka duh🤣🤣🤣
@zuenajohn8325
@zuenajohn8325 Жыл бұрын
Gita tofauti kuimba tofauti
@georgenorasco1705
@georgenorasco1705 Жыл бұрын
Mnatukera sana
@abdimalikabdulaziz4954
@abdimalikabdulaziz4954 8 ай бұрын
😂😂😂 nimecmama kwenye konaa....nesi jaman😂😂😂
@pellahmdee9189
@pellahmdee9189 2 жыл бұрын
Ila uyooo mamaa....duh😁😁😁
@Nashondaniel
@Nashondaniel Жыл бұрын
Salama jaman unavunja Moyo watu🤣🤣
@mody-guyngido2792
@mody-guyngido2792 Жыл бұрын
Wapeni watu Moyo wafarijike wazidi kufanya vizuri,na pili muwakosoe wanapokosea na warekebishe kipo.
@AminaLibisa
@AminaLibisa 8 ай бұрын
😂😂😂😂 hatari sana 🤣🤣
@bondokeyofficial5273
@bondokeyofficial5273 Жыл бұрын
Bss michosho watu wanajua lakini wanabadiwa mfano mzuri ni harmoniz aliambiwa hajui Saiz ndio hyo
@fefeonlyme5394
@fefeonlyme5394 Жыл бұрын
Alikuwa hajui zaman..angalia zman na sasa hvi
@florianminja1127
@florianminja1127 Жыл бұрын
Mtu kama uyo imani unataka kusemaje
@sophiankwera9020
@sophiankwera9020 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣eeee Kuna Watu wanachekesha
@suhaylahabdallah8947
@suhaylahabdallah8947 Жыл бұрын
😘
@hadijasalim7769
@hadijasalim7769 8 ай бұрын
Shishi anaongea sana hatuliyi ajitahidi kidogo tunamupenda
@user-si7yn1pg2y
@user-si7yn1pg2y 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wimbo wa tuma 😅😅😅😅
@robertokasike4824
@robertokasike4824 Жыл бұрын
Hivi mpo hapo kama watafuta vipaji au kuwakatisha vijana tamaa maana sioni mkisimama kama wasaka vipaji mmesimama kama mahakimu mmesahau kama mpo kwajili ya kuwaweka sawa vijana katika uimbaji wao.
@nabiichrisstv
@nabiichrisstv 3 ай бұрын
Hasira✓ Sio( asiraX) 😂😂😂😂
@ndama_shekwavi9552
@ndama_shekwavi9552 Жыл бұрын
Ila dah
@user-hs7ex4nh8m
@user-hs7ex4nh8m 8 ай бұрын
Yani wapo kimaslahi hawana lolote wanawake wazima huruma hata hawana,,etty wanasema ukifa huozi yani nyio mtaoza mpaka funza sehemu za siriiii laaana sumakaaaaaa
@happynessmasusu3752
@happynessmasusu3752 2 жыл бұрын
Nimecheka Kama mazur vile😁😁😁
@georgenorasco1705
@georgenorasco1705 Жыл бұрын
Ila humu kunavituko sana da
@abelyphilimon8415
@abelyphilimon8415 Жыл бұрын
Achen kujiona mungu watu
@lynlk2346
@lynlk2346 Жыл бұрын
Hilariously rib cracking😂😂😂 n judges honesty😂😂😂😂😃
@TristanKevin
@TristanKevin Жыл бұрын
😃😃😃😃
@jacklinebrightness4513
@jacklinebrightness4513 Жыл бұрын
Imani🤣🤣
@mwananjesafari2547
@mwananjesafari2547 Жыл бұрын
Huyo nesi katoroka Mirembe maana sikwa wimbo huo
@user-do8wv9mb3i
@user-do8wv9mb3i 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 nikicheko jamani
@rahmamfinanga7232
@rahmamfinanga7232 Жыл бұрын
😀😀
@carolinecharles9781
@carolinecharles9781 Жыл бұрын
Master j huyu jamaa ana kipaji
@saidjafary2000
@saidjafary2000 Жыл бұрын
Salama jifunze kuwa mvumilivu
@harunabusengaupdates9518
@harunabusengaupdates9518 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@demikel
@demikel Жыл бұрын
bongo star search is unprofessional. majaji wana dharau na kudhalilisha wasanii watu hawa sio kama hawana mambo ya kufanya ila mtu anapo amini kuwa anakipaji si vyema kumkashifu, kwa kuwa wapo watu wa aina tofauti wapo amabao ukiwacrush watajiuliza na kufanya juhudi na kufanya marekebisho na wapo ambao ukiwacrush wataumia sana na hawatoweza kunyanyuka tena. Hili suala liangaliwe tena na tena majaji wana lugha chafu hawastahili kutukana wasanii.
@rtp9010
@rtp9010 Жыл бұрын
Hakuna cha kudhalilisha, we huoni hao washiriki jinsi wasivyo serious ndugu!!!? Washiriki wanazingua na wako wengi, lazima jaji awe na wenge
@demikel
@demikel Жыл бұрын
@@rtp9010 mfano, chukua harmonize alivyo enda bss je? alienda kama mzinguaji? je alifanya hayo masihara ? je unakumbuka majibu gani alipewa na salama pamoja na master j? unadhani kwa uimbaji ambao Harmonize alionyesha ile siku alistahili yale majibu kutoka kwa wale majaji? ila hakukata tamaa aliinuka na kusonga mbele mpaka sasa ni msanii mkubwa je vp kama angekata tamaa kwa yale maneno angekuwa wapi ?? point ni wapo watu wenye vipaji vya kawaida ambao wanahitaji mazoezi au mafunzo zaidi ili wang'ae na ndio maana Harmonize alipo enda wasafi alipewa mafunzo zaidi mpaka ndio maana sasa yupo pale watu kama hapo wanaenda na watukanwa na majaji. Ndio maana kama umegundua wengi wa wenye vipaji vya mziki hawajisumbui na Bss.
@emmanuelchilongola5804
@emmanuelchilongola5804 Жыл бұрын
Nice
@mariaalmack3686
@mariaalmack3686 9 ай бұрын
@@demikel harmo alikua bado ndo akaenda kujipng
@johmarleyofficial8460
@johmarleyofficial8460 8 ай бұрын
Real talk maniga wak n dharau
@manirambonazaza3332
@manirambonazaza3332 Жыл бұрын
We mam hahaaaaa
@zoransarich1176
@zoransarich1176 Жыл бұрын
Salama Yan sijui unaloho gan unawakatisha tamaa wenzako
@princephiri6355
@princephiri6355 Жыл бұрын
Niwajinga saana,kuliko wamuache msani amalize kuimba wanakatikiza kwa dharau
@bboymelvo5494
@bboymelvo5494 Жыл бұрын
Weeee hii ilitisha jamani
@didah4really93
@didah4really93 7 ай бұрын
😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abellymkoma8472
@abellymkoma8472 2 жыл бұрын
Aahahahah jmn watu wanavituko
@medy-thebrandtv6688
@medy-thebrandtv6688 8 ай бұрын
Hapana majaji wapo sahihi kabisa challenges ndio zitakupandisha ukiumizwa na kauli zao hutoenda kokote ndio maana Harmonize akuishia hapo alikuwa hawez kwel but alipambana i hope you got me bruh
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Nyimbo za kuimba kilabuni yeye anaomba kwenye mashindano jamani
@mariamramadhani3860
@mariamramadhani3860 Жыл бұрын
Maisha haya
@maryevarist8583
@maryevarist8583 Жыл бұрын
Ila salama anakatisha tamaa jmn
BONGO STAR SEARCH DAILY SHOW ARUSHA WEDNESDAY
27:56
BongoStarSearch
Рет қаралды 224 М.
Nyimbo ya Hamiss wa Bss na Harmonize kwa mara ya kwanza kwenye jukwaanu
10:14
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,6 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 6 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 55 МЛН
BSS 2023 SN 14   EPISODE 01 ARUSHA
1:03:40
BongoStarSearch
Рет қаралды 198 М.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 269 М.
Tgun Tozzy - Atoa watu Machozi Live, Madam Ritha, Huzuni
4:06
TGUN TOZZY
Рет қаралды 663 М.
BSS 2023 SN 14   EPISODE 04 KIGOMA
1:11:04
BongoStarSearch
Рет қаралды 80 М.
Кого она вытащила из воды?😱
0:51
Следы времени
Рет қаралды 2,4 МЛН
Спит с ОТКРЫТЫМИ ГЛАЗАМИ! 😱😴
0:25
Взрывная История
Рет қаралды 4,5 МЛН